BUFFET / xcopa /sw /xcopa_16_100_dev.tsv
akariasai's picture
Upload 506 files
b3bdde9
raw
history blame
1.77 kB
Mwalimu aliwapa wanafunzi kazi ya nyumbani. (A) Wanafunzi walipitisha maelezo. (B) Wanafunzi walilalamika. (B)
Nilitilia shaka sauti ya muuzaji. (A) Niliikataa ofa yake. (B) Alinishawishi ninunue bidhaa. (A)
Marafiki wameamua kugawana baga. (A) Walilikata baga nusu. (B) Waliangiza chipsi pamoja na baga. (A)
Jamii ilijua kwamba yule mwanaume alifariki. (A) Jamaa yake ilimzika makaburini. (B) Tanzia yake ilionekana kwenye gazeti. (B)
Mwanamke aliufunika mdomo wake kwa kutumia mkono. (A) Alitoa pumzi. (B) Alipiga chafya. (B)
Vurugu za kisiasa zimejitokeza katika taifa. (A) Wananchi wengi walihama mji mkuu. (B) Wananchi wengi walipata makao katika maeneo mengine. (B)
Mwizi wa vito amekamatwa. (A) Vito vilivyoibiwa vilirejeshwa kwa wamiliki. (B) Garama ya vito vilivyoibiwa ilikuwa inahesabiwa. (A)
Mwanafunzi alikuwa na haraka kufika shule kwa wakati. (A) Aliacha kazi yake nyumbani. (B) Alileta chakula chake cha mchana shule. (A)
Msichana alikataa kula mboga zake. (A) Babake alimwambia anywe maziwa yake. (B) Babake alimnyang'anya kitindamlo chake. (B)
Niliweka mikono yangu chini ya mfereji wa maji. (A) Sabuni ilinitoka mikononi. (B) Maji yalinichapa kwenye uso. (A)
Mwanamme alivalia suti yake nzuri. (A) Aliratibu mkutano na mteja muhimu. (B) Mke wake alimnunulia tai mpya. (A)
Niliwasha mshumaa. (A) Nta ilidongoka kutoka kwenye mshumaa. (B) Nta juu ya mshumaa iliganda. (A)
Mtoto mgonjwa alimkoholea rafiki yake. (A) Rafiki yake aliumwa. (B) Rafiki yake alipiga chafya. (A)
Mwanafunzi alikosea kutamka neno. (A) Mwalimu alimsahihisha. (B) Mwalimu alimfukuza. (A)
Nilikohoa. (A) Alivuta moshi ndani. (B) Nilipunguza sauti yangu. (A)
Niliamua kubaki nyumbani usiku ule. (A) Utabiri wa hali ya hewa ulitabiri kimbunga. (B) Rafiki zangu walinitaka tutoke. (A)