BUFFET / xcopa /sw /xcopa_16_21_dev.tsv
akariasai's picture
Upload 506 files
b3bdde9
raw
history blame
1.75 kB
Dereva aliwasha mataa ya mbele ya gari. (A) Alisikia mgurumo wa radi. (B) Jua lilitua. (B)
Wapenzi walisafiri kusini kwa ajili ya majira ya baridi. (A) Walikuwa wamestaafu. (B) Walikuwa wametengana. (A)
Mtoto mgonjwa alimkoholea rafiki yake. (A) Rafiki yake aliumwa. (B) Rafiki yake alipiga chafya. (A)
Marafiki wameamua kugawana baga. (A) Walilikata baga nusu. (B) Waliangiza chipsi pamoja na baga. (A)
Mwanamke alitia kidole chake kwenye maji baridi. (A) Aliunguza kidole chake kwenye tosta. (B) Alivaa pete ya almasi kwenye kidole chake. (A)
Msichana aliona mdudu kwenye uji wake. (A) Alimimina maziwa kwenye kibakuli. (B) Alipoteza hamu ya kula. (B)
Nilitaka kuokoa nishati. (A) Nilisafisha sakafu ya chumba kisichotumika. (B) Nilizima taa za chumba kisichotumika. (B)
Mwanamke aliwatimua watoto nyumbani kwake. (A) Watoto walipiga mpira kwenye uwanja wake. (B) Watoto walikanyagakanyaga bustani yake. (B)
Watekaji walimwachia mateka. (A) Walikubali kupokea pesa za kumgomboa. (B) Walitoroka jela. (A)
Mwanamke aliufunika mdomo wake kwa kutumia mkono. (A) Alitoa pumzi. (B) Alipiga chafya. (B)
Nilibonyeza mikono yangu kwenye saruji isiyokauka. (A) Alama ya mkono wangu ilikauka kwenye saruji. (B) Nyufa ziliibuka ndani ya saruji. (A)
Mwanamme alipingana na mamlaka ya kanisa. (A) Alichangia pesa kwenye kanisa. (B) Alifukuzwa kanisani. (B)
Mwanamme alizimia. (A) Alipata lepe la usingizi. (B) Alikimbia mbio za masafa marefu. (B)
Mwanamme alijisikia kulazimika kuhudhuria tukio. (A) Alimkatalia rafiki yake kwenda. (B) Alimuahidi rafiki yake kuwa atakwenda. (B)
Nilirejesha utulivu baada ya hasira mingi. (A) Moyo wangu ulidunda. (B) Nilichukua pumzi za kina. (B)
Mwanamme alishinda bahati nasibu. (A) Amekuwa tajiri. (B) Amemiliki pesa. (A)