Mwanamme alijisikia kulazimika kuhudhuria tukio. (A) Alimkatalia rafiki yake kwenda. (B) Alimuahidi rafiki yake kuwa atakwenda. (B) Kitasa kilifunguka. (A) Nilizungusha funguo ndani ya kitasa. (B) Nilitengeneza nakala ya funguo. (A) Uonaji wangu wa sinema ulizibwa. (A) Wapenzi wawili walikuwa wananong'onezana nyuma yangu. (B) Mtu mrefu alikaa mbele yangu. (B) Nilikipinda kifuniko cha chupa ya soda. (A) Soda ilitoa vibofu. (B) Soda ilifoka. (A) Polisi waliitafuta gari ya mwenye makosa. (A) Walikuwa wanajaribu kumfanya akiri makosa. (B) Wanatafuta madawa ya kulevya. (B) Dereva alipata pancha. (A) Alipitiliza kiwango cha mwendo. (B) Alikanyaga msumari. (B) Wapenzi walisafiri kusini kwa ajili ya majira ya baridi. (A) Walikuwa wamestaafu. (B) Walikuwa wametengana. (A) Saa iligonga. (A) Ilikuwa ni saa la awali za siku. (B) Saa ilionekana haiendi mbele. (A) Kabati langu lilikuwa chafu. (A) Nililipanga. (B) Nililipamba. (A) Nilirejesha utulivu baada ya hasira mingi. (A) Moyo wangu ulidunda. (B) Nilichukua pumzi za kina. (B) Mwanamke amesoma gazeti. (A) Aligundua matokeo ya uchaguzi. (B) Alipiga kura katika uchaguzi. (A) Ngozi yangu imetokewa na upele. (A) Nilipangusa sumu ya mmea mtambaachi kwenye uwanja wangu. (B) Niliondoa sumu ya mmea mtambaachi kwenye uwanja wangu. (A) Yule mwanaume alipata faini ya maegesho. (A) Aliegesha kisambamba kwenye barabara. (B) Muda wa mita ya maegesho ulimalizika. (B) Wanandoa walikuwa na furaha kuonana. (A) Walibusiana. (B) Walipumzika. (A) Nilisafisha nyumba yangu. (A) Nilikuwa nimeelemewa na kazi. (B) Nilikuwa nikitarajia washirika. (B) Nilikesha hadi usiku sana. (A) Nilikuwa na ndoto za wazi wazi usiku ule. (B) Nilikuwa mchofu asubuhi. (B)