text
stringlengths
18
277
label
int64
0
1
Kwani tanesco wanakataga umeme makusudinadhani kuna changamoto behind zinatakiwa zitatuliwe na sio kutoa matamko
0
cjawahi kuona content yoyote zaidi ya kuwa analalamika cjawahi kuona akitafuta solution ya tattizo zaid ya kulalamikabasi tutakuwa na Rais wa ajabu huwa mwaka 2045
0
Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari likiwalenga wajenzi kutoka Uturuki limelipuka katika eneo la Afgoye kaskazini Magharibi mwa mji mkuu wa Mogadishu Somalia limeua watu wanne polisi wamesema
0
Kuna video inasambaa mitandaoni jamaa amemfumania mkewe akiwa na jamaa mwingine huku akimlalamikia jamaa akimwambia kw
0
Viwavijeshi wanapita katika hatua kuu 6 za ukuaji katika hatua yake ya larvae mayai 10001500 hutagwa na larvae mmoja kwa mwezi Hatua pekee inayowezesha kusambaa kwa viwa vijeshi ni kipepeo ambao huruka kwa makundi na wanaweza kuruka hadi kilometa 1500
0
FamiliaNduguMarafiki wana hofu kubwa juu ya WatotoNdg zao walioko CHINAKulinda maisha ya watu na uhai ni kipaumbele
0
Suala la miundombinu katika maeneo ya uchimbaji mdogo nchini iliyoulizwa kwenye imejibiwa kisiasa zai
0
Klabu ya imemfukuza kocha wake sababu ikiwa ni kutokana na muendelezo wa matokeo mabovu ya klabu hiyo
0
Waliomua kinyama mtoto wasakwa gt
0
Mwenyekiti wa kijiji cha Kilombero 1 Wilayani Geita amejikuta akisusia kikao kilichoitishwa na Mkuu wa wilaya hiyo ambacho kilikuwa na lengo la kuleta suluhu baada ya wananchi kudaiwa kufunga ofisi ya kijiji kwa kile kilichoelezwa kuwa kuna ubadhirifu wa fedha 12
0
Wananchi wa mtaa wa Nshinde Wilayani Geita wamelalamikia ubovu wa Barabara inayoelekea fadhili bucha na Mwatulole mkoani hapa kuwa kero kubwa kutokana na ubovu ambao umekuwa ukisababisha gari nyingi kukwama na kukosekana kwa baadhi ya huduma za usafiri 12
0
wewe takataka sijui utakuwa liniSasa linichokufanya uvamie mkutano wa chadema leo ni kitu gani Hujaalikwa u
0
s Day Msanii wa muziki nchini Tanzania ameendelea kuugulia maumivu ya kutokuwepo kwa Mzazi mwenzake Mchekeshaji Mrembo Boss Martha aliyefariki Septemba 12 2019
0
Imekuwa too muchwatu wanashindwa hata kusheherekea maisha yao kwa amanimtu unampost mke wake kumpongeza wameoana we unakuja kutukana kwenye comments watu hata huwajui
0
Mama mzazi wa mwandishi wa Habari za uchunguzi anayeshikiliwa na Dola Erick Kabendera Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia Desemba 312019 Taarifa za kufariki kwake zimepatikana alfajiri ya leo Januari Mosi
0
Tumepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kuuawa kwa Katibu wa CHADEMA Jimbo la Manyoni Mashariki Bw Alex Jonas usi
0
Basi walitakiwa wawatoe kisiasa pia matumizi ya nguvu nyingi sio sahihihapo wameua hadi mtaji
0
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Tungu Mgaya anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma tangu jana kwa kutuhuma z
0
Tatizo mlituma watu waandamane Siku ileili kukimbia kichapolkn mbio Za ukiongoni huishia farasi
0
Akutukanaye hakuchagulii tusi Hii ndio karaha ya kufungwa watu wanafyatuka tu na headlines zao
0
Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania TABOA kimemwandikia barua Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kujitoa kwenye kamati ndogo Akizungumzia sababu za kujitoa ktk kamati hiyo Katibu Mkuu wa TABOA Ernest Mrutu alisema wamefikia hatua hiyo kutokana na changamoto zao kutotatuliwa
0
So wazee wanawanyanyasa hadi wajeda sio sisi raia tu sijapenda Me nawaaminia sana wajedasiku za mbeleni najua hamtotuangusha wanetu na mtakuwa mmechukizwa sana ila basi tu
0
Me mwenyewe linanishinda kuliandika ila nalikumbukaumeniita jina langu nikaogopa
0
VIDEOWatu 6 wamepoteza maisha na wengine 30 kujeruhiwa kwenye mlipuko uliotokea leo katika kiwanda cha kemikali mashariki mwa China CGTN
0
me nimepita asubuhi vimebomolewa vyoteina maana ni usiku na hawajahusishwahuu ni uhuni
0
Humu ndani kuna watu wana madini mengi sana shida ni kwamba ukiwaomba waziteme watakuzungusha Bora uweke notification on
0
Muda Huu Kuna Mjinga Mmoja Yupo Ananusa Boxer Yake Kama Haina Harufu Avae Tena Baada Ya Kuivaa Siku 6
0
Hakuna mtandao wa kijamii ambao ni salama kwa sasa Walipoanzisha facebook twitter nakadhalika ikiwemo mtandao wa L
0
Halafu kuna mwamba wa zamani wa Man United kakosa penati leo hakuna pa kujifichia msimu huu
0
Wanafunzi wenye ulemavu wakwamishwa na miundombinu Lindi Klik
0
Kama lengo lilikuwa ni kututisha na kutukatisha tamaa wananchi katika harakati za kupigania mabadiliko kutoka katika utawa
0
Ile msg ya sizioni siku zangu si uwa inakuogopesha sasa kwanini hupendi kutumia
0
Mimi huwa sipendi kufanya kazi na ndugu zangu sababu ndugu wanalawama sana hawakubali kama nimeshakuwa Bosi Kandi Baham
0
Ni Mwaka Mmoja sasa tangu Jasiri Muongoza Njia Ruge Mutahaba atangulie ni kama Juzi tu Endelea kupumzika mahali pema peponi
0
Kila mtu akipata mita za ujazo chini ya 1700 maana yake tumeingia kwenye uhaba wa maji ikifika kwamba kila mtu anapata mit
0
Anatuambisha Sana Sisi Kama wasukuma wenzake Hatujapenda kabisa
0
Leo nimepika choroko Maana mambo naona yamevurugika kweli na waHindi hawataki choroko zetu
0
Kabisawatu walimpinga kwa watu binafsi kufanya hili suala bila financial institution
0
Sehemu ya ripoti ya Mchunguzi Maalum Robert Mueller nchini Marekani juu ya kujihusisha kwa Urusi kwenye uchaguzi wa Urais wa mwaka 2016 inaonesha kuwa Rais Donald Trump alitaka kuudhibiti uchunguzi huo na kulazimisha kuondolewa kwa Mueller mwaka 2017
0
Watu wengi wanatumia mitandao ya kijamii Ila Sheria zake hawazijui na Wala hawataki kuzijua
0
Poleni sana wateja wetutunaifanyia kazi changamoto hiyo ya kuangalia slio kwa ujumla
0
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Rais Mstaafu na Baba wa Taifa la Zimbabwe Mzee Robert Mugabe Afrika i
0
Utabiri wa Hali ya Hewa wa siku tano na athari zinazoweza kutokea Umetolewa leo tarehe 25082019 na Mamlaka ya Hali ya
0
Nchi ya drama na matukio Ila hii kama ikidhihirika ni kweli basi ni kashfa kubwa sana kitaifa Mark my words Maswali ha
0
Naibu Rais Iran aambukizwa virusi vya corona Nigeria yaripoti kisa kimoja via
0
Kuna story ambayo mke wangu hapendi kusimulia imekuwa ikimtesa sana Ipo hivi mke wangu ni mmoja wa watu waliozaliwa a
0
Aiseeee This is nonsense hivi ameongea baya gani mpaka mtu unaropokwa maneno yote hayo
0
Mbinu mojawapo ya watawala ni kuwafanya watawaliwa kuona kwamba maadui wao wanatoka nje ili wapambane nao badala ya ku
0
Unakuta wengine ndio kwanza wanapenda kukuona ukiwa tegemezi kwao
0
umeme ambapo miradi ya usafirishaji kutokana na umbali huo inakuwa ni ya gharama sana Kutokana na kuwa mahitaji ja umeme yalikuwa tayari ni makubwa katika maeneo ambayo hata hayajafikiwa na gridi ya Taifa ililazimu kufanya miradi mbadala kwa ajili ya kufikisha umeme wa
0
Tumeshavuna aibu yetu Olympic Tokyo Waliokabidhiwa bendera wako wapi mpaka mtu kaamua kutusaidia kubeba Bendera
0
Kuna kipindi rafiki yangu mmoja alikuwa ananitongozea girlfriend wangu Na alikuwa kabisa anajua mimi ndio natoka nae ht
0
Nyoka aina ya chatu ameingia katika gari la watalii kupitia magurudumu ya mbele ya gari hilo ambapo wageni waliokuwa wakitumia gari hilo wameonyesha kutokuwa na wasiwasi wowote Soma zaidi gtgt
0
Inasikitisha sanahiyo ndio tanzaniapoleni
0
Shame wanakatili watoto kwa mambo zao za kisiasa ni huupuzi kabisa
0
Wakala wa Barabara Tanzania Tanroads umesema ujenzi wa daraja la mto Mkange mkoani Morogoro lililosombwa na maji utaanza leo usiku huu kwa ushirikiano na makandarasi wa ujenzi wa reli ya kisasa SGR
0
Spika wa Bunge ametoa siku nne hadi Ijumaa kwa Serikali kuwasilisha taarifa ya kina kuhusu mauaji ya watoto yanayoendelea mkoani Njombe Waziri Jenista Mhagama aliliomba Bunge kutoa muda huo kwani Serikali inahitaji muda kutoa taarifa kamili itakayoelezea pia hatua walizochukua
0
Machozi Jasho na Damu
0
Mhusika mwenye picha au video hiyo mbali na makosa ya kisheria unayoyatenda kwa kusambaza Tambua kutuma picha za fara
0
Watanzania wameonyesha hawakipendi Chama cha Mapinduzi sio jambo la kawaida katika kipindi hiki kigumu Watanzania wamenyi
0
TAZAMA Kivuko cha MV Nyerere kimezama ziwa Victoria
0
Wasichana wana changamoto nyingi zinazohusiana na hedhi mojawapo ni kutokupata taarifa sahihi pamoja na kunyanyapaliwa
0
we me wa online sio offlinesema dharau zinazidi sana humukila kukicha halafu vibwana vidogo tu
0
Mimi watani wangu hawajawahi kuvuka mipaka ila pimbi ambao sina hata mazoea ndo huwa wananichokonoa
0
Yaani Coco huna akili ujinga wenu na yule ex wako mpumbavu umenicost sana hadi mimi hebu fikiria nimeweka bondi Gari y
0
Nikila hicho chakula minyoo yangu ya tumboni inaweza kuzimia kwa kupata mshituko maana Ni surprise kwao
0
Kama hawa waliowachukua kina ROMA na MONI ni POLISI na kuwapeleka kusikojulikana basi hii nchi ilipofika ni kubaya san
0
Ninapo kosa hela washkaji wanatoweka ninaporekebisha pumbavu wanasogea
0
Polisi Morogoro yadaka mtandao wa wizi yapo magari nyama na nyara
0
Je Wajua Imekua ni kawaida kwa watu kufanya mapenzi kinyume na maumbile Kisheria ni kosa la jinai na adhabu yake ni k
0
Hakika wameonesha udhaifu mkubwa kutokuwa na common opposition front Hii inamaanisha wamejigawa we
0
Simba mmeshinda kwasababu yanga ni pungufu Na refa pia ni wa kwenu siku zote kwanini asingetafutwa refa mwingine Wa final
0
Kumbe sio Serikali tu hadi wadau wengine wa maendeleo hawana imani na vijana
0
Rais wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar DARUSO pamoja na viongozi wengine wamefukuzwa chuo kwa kusimamia haki
0
Naibu waziri wa habari julianashonza ametoa onyo kwa baadhi ya wasanii wanaopiga picha za utupu
0
Kondomu inanibana hii kauli imezika vijana wengi Sana kwa gonjwa la Ukimwi
0
Sipendagi kabisa kucheza hii michezo ila leo nimeborekwaJaza hizo twende sawa Bank acct Routing Name on Debit C
0
Jana nilimwambia mtu imagine unakufa huu msimu imetoka bia tamuakasema hapana inauma
0
Wanaongoza ni wanawake wenyewe ubaguzi chuki na kukosa utu wa wanawake dhidi ya hawa wadada wa kazi is on anoth
0
Basi la Kampuni ya Premier limegongana uso kwa uso na lori mkoani Mbeya lenye namba za usajili T 629 AET linalofanya safari
0
Mambo ya kumaliza kesi za ukatili kifamilia zinakwamisha nyuma jitihada za kupinga vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake wat
0
Da kaka kuna mda yanaweza kukukuta mambo magumu mpaka inakubidi tu uwe mbali ila inaumiza s
0
Mnasema tutoe namba lakini hakuna feedback mnayotupa namba hii apa 0784 495117 tunaomba mtusaidie jamani wateja wengi wanalalamikia siku hizi mmekua na huduma mbovu sana NA SIMU ZENU UKIPIGA ZINAKATA UKICHEKI SALIO BADO
0
Tunaonewa Sana imagine Mtu anakwambia Kuna msukuma eti amemuona amejichora Tattoo ya Tigo Pesa mkononi
0
Hili la kila siku wameshalipigia kelele miaka 20 sasa
0
Ibada ya Eid Al Adha imeendela ndani ya Ikulu ya rais Ashraf Ghani wa Afghanistan licha ya makombora kutupwa jirani na i
0
Utanifanya nisirudi darhalafu ile juzi nilijua unataka kunichoma kisu kilikuwa jirani yako
0
Mwaka 2006 uligubikwa na matukio mengi ya watu kuuwawa wakisemekana ni majambazi lakini baadae ndugu wa waliouwawa waliibuka n
0
wanachofanyiwa wafanya biashara wadogo wadogo machinga inahuzunisha sana
0
Kesi namba 1122018 inayowakabili Viongozi wakuu wa na baadhi ya wabunge katika Mahakama ya Kisutu Dar leo imea
0
Mamia ya waombolezaji wameungana leo kuuaga mwili wa mwandishi wa habari wa shirika la utangazaji la Ujerumani Isaack Muyenjwa Gamba ambae alikutwa amefariki nyumbani kwake oktoba 18 mwaka huu Soma zaidi gtgt
0
Kuna wakati kulifunguliwa jalada la Wizi wa kuaminiwa katika kikuu cha polisicentral Dar es salaam CDRB133362013 WIZI
0
yahya haxxan Habari Tafadhali tunaomba kufahamu changamoto unapotumia huduma zetu
0
Nashangaa watu wanaumia na furaha za watu wenginehata ukisema nimeshibaaunaambiwa mseng wewe hujui sisi tuna njaa
0
Kigogo huyu wa CUF ajiuzulu mwenyewe aeleza
0
5Ukichaguliwa mwishon ujue uwezo wako ni mdogo kuliko wote 6Mwenye mpira akikaclika mpira umeisha 7Inaruhusiwa kubadili golikipa kama ikitokea penat na baada ya apo ataendelea kudaka yule yule 8Mechi itaisha pale giza linapoingia
0
Wanawake bana kwahiyo kumchangamkia mwanamke mwenzio mbele yako kisa amefanya kitu fulani ni kosa Em kaangalie hii ep
0
Habari Ahsante kwa kuwasiliana nasi Tunaskitika kujua hilo hivyo fahamu jinsi ya kudhibiti matumizi yako ya intaneti ZM
0
Yaaani people are sad kuona wengine wako happy yaani wanachukia kabisa makasiriko ya hali ya juu wamerogwa sijui
0
Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi vifo vya vijana wa JKT 11 Askari JWTZ 1 na Dereva vilivyotokea Mbeya
0

Sentiment Analysis Data for the Swahili Language

Dataset Description: This dataset contains a sentiment analysis dataset from Muhammad et al. (2023).

Data Structure: The data was used for the project on improving word embeddings with graph knowledge for Low Resource Languages.

Citation:

@inproceedings{Muhammad2023AfriSentiAT,
  title={AfriSenti: A Twitter Sentiment Analysis Benchmark for African Languages},
  author={Shamsuddeen Hassan Muhammad and Idris Abdulmumin and Abinew Ali Ayele and Nedjma Ousidhoum and David Ifeoluwa Adelani and Seid Muhie Yimam and Ibrahim Sa'id Ahmad and Meriem Beloucif and Saif Mohammad and Sebastian Ruder and Oumaima Hourrane and Pavel Brazdil and Felermino D'ario M'ario Ant'onio Ali and Davis Davis and Salomey Osei and Bello Shehu Bello and Falalu Ibrahim and Tajuddeen Gwadabe and Samuel Rutunda and Tadesse Belay and Wendimu Baye Messelle and Hailu Beshada Balcha and Sisay Adugna Chala and Hagos Tesfahun Gebremichael and Bernard Opoku and Steven Arthur},
  year={2023}
}

@article{muhammad2023semeval,
  title={SemEval-2023 Task 12: Sentiment Analysis for African Languages (AfriSenti-SemEval)},
  author={Muhammad, Shamsuddeen Hassan and Abdulmumin, Idris and Yimam, Seid Muhie and Adelani, David Ifeoluwa and Ahmad, Ibrahim Sa'id and Ousidhoum, Nedjma and Ayele, Abinew and Mohammad, Saif M and Beloucif, Meriem},
  journal={arXiv preprint arXiv:2304.06845},
  year={2023}
}
Downloads last month
43
Edit dataset card