url
string
title
string
content
string
timestamp
string
language
string
last_updated
string
total_documents
int64
text
string
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/07/yaliyojili-magazetini-leo-jumamosi.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani MAGAZETI YALIYOJILI MAGAZETINI LEO JUMAMOSI JULAI 11,2020 YALIYOJILI MAGAZETINI LEO JUMAMOSI JULAI 11,2020 uvccmtz Jumamosi, Julai 11, 2020 Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/05/benki-kuu-ya-tanzania-yashusha-riba-ya.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani UCHUMI BENKI KUU YA TANZANIA YASHUSHA RIBA YA MIKOPO HAPO 5% KUTOKANA NA CORONA BENKI KUU YA TANZANIA YASHUSHA RIBA YA MIKOPO HAPO 5% KUTOKANA NA CORONA uvccmtz Jumanne, Mei 12, 2020 Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/07/wizara-ya-viwanda-yajipanga-kukuza.html
null
null
null
null
null
null
*TANTRADE wapongezwa kwa kuyatendea haki maonesho hayo kila mwaka Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamii MAONESHO ya 43 ya biashara maarufu kama sabasaba yenye kauli mbiu ya usindikaji wa mazao ya kilimo kwa maendeleo ya viwanda yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam huku masuala ya utafutaji wa masoko pamoja na kuelimimisha wafanyabiashara kuhusiana na kliniki ya biashara yakitiliwa mkazo. Akizungumza katika ufunguzi huo makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa maonesho hayo ni kwa kutoa kipaumbele kwa bidhaa zinazozalishwa nchini Kama Rais anavyosisitiza. Suluhu amesema kuwa maonesho ya sabasaba ni makubwa katika ukanda wa Afrika na katika maonesho hayo zaidi ya nchi 35 zimeshiriki katika hali inayoashiria ubora na utulivu unaovutia uwekezaji katika nchi yetu. Amesema kuwa serikali itaviwezesha viwanda vidogo na Kati katika masoko pamoja na kuendelea kushiriki katika maonesho hayo ili waweze kutangaza bidhaa zao zaidi. Pia amesema kuwa kukua kwa uchumi kwa asilimia 7 kunachagizwa na maendeleo ya viwanda na kasi zaidi pamoja na wasimamizi wa sekta hiyo utapelekea wananchi kufanana na kasi ya ukuaji wa uchumi. Aidha amezitaka mamlaka za TFDA, TBS, mamlaka za uvuvi na kilimo kufanya kazi kwa uadilifu na utii na wao kama Serikali watasimamia na kuhakikisha hakuna urasimu katika hilo, na amewahimiza tantrade ambao ndio wasimamizi na waandaaji wa maonesho hayo kutafuta masoko na kutoa elimu kwa wananchi kuhusiana na ubora na kuhamasisha matumizi ya bidhaa zinazozalishwa nchini. Kuhusiana na ujenzi wa viwanda Suluhu amesema kuwa azma ya serikali katika ujenzi wa viwanda bado ipo palepale na hiyo ni pamoja na utafutaji wa masoko ya ndani na nje. Kwa upande wake Katibu mkuu wa chama Cha mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amewapongeza bodi, baraza na wafanyakazi wa tantrade kwa kuyatendea haki maonesho hayo mwaka hadi mwaka. Amesema kuwa maonesho ya namna hayo ni kisiwa Cha kuboresha nyaraka za kisera zinazosaidia katika maendeleo. Pia Waziri wa viwanda na biashara Innocent Bashungwa amesema kuwa gurudumu la maendeleo linaenda vyema na hiyo ni kutokana na uongozi Bora wa serikali ya awamu ya tano na kusema kuwa wizara za biashara na viwanda pamoja na uvuvi na kilimo zinategemewa na watanzania wengi hivyo zitazidi kusimamiwa ili kuongea kipato zaidi. Bashungwa amehaidi ushirikiano baina yao na wawekezaji na ndani na nje ya nchi na kuwahimiza watanzania kushiriki katika ujenzi wa taifa kwa kujihusisha na viwanda hasa vidogo na vya Kati. Aidha amezitaka halmashauri zote nchini kutenga maeneo kwa ajili ya uwekezaji na wao Kama wizara watahakikisha uwepo wamaeneo ya usindikaji. Ufunguzi huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo mawaziri, wakuu wa Wilaya, wabunge pamoja na wajumbe wa baraza la wawakilishi. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza wakati wa uzindua rasmi wa maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara katika Viwanja vya Sabasaba Barabara ya kilwarod jijini Dar es salaam leo Julai 02, 2019. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua rasmi kwa kubonyeza kitufe maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara katika Viwanja vya Sabasaba Barabara ya kilwarod jijini Dar es salaam Julai 02, 2019. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa zawadi kwa washindi wakati wa uzinduzi rasmi na kutembelea maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara katika Viwanja vya Sabasaba Barabara ya kilwarod jijini Dar es salaam Julai 02, 2019. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda mablimbali mara baada ya kuzindua rasmi maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara katika Viwanja vya Sabasaba Barabara ya kilwarod jijini Dar es salaam Julai 02, 2019. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2018/12/uvccm-songwe-yahimiza-vijana.html
null
null
null
null
null
null
**Umoja wa Vijana wa CCM mkoa wa Songwe, umeendelea na Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM husasan katika Kupambana na Umaskini na Ajira kwa Vijana kwa kuanzisha mafunzo ya Ujasiriamali kwa vitendo kwa wilaya zote ndani ya mkoa kwa vijana wote na wananchi wote bila kujali itikadi za vyama vyao.** M/kiti UVCCM Mkoa wa Songwe Ndugu Andrew Kadege alisema "Kupitia ziara tuliyofanya na kamati yangu ya Utekelezaji kwa wilaya zote ndani ya mkoa wetu pamoja na changamoto nyingi tulizoziona na kukutana nazo mojawapo ilikuwa ni kutokuwa na hamasa na uelewa wa mikopo isiyo na ratiba inayotolewa na halmashauri zetu kwa makundi maalum ambapo kila halmashauri inapaswa kutenga 10% ya mapato yake ya ndani ambapo 4% ni kwa ajili ya vijana. **Mh mkuu wa mkoa kwa kuthibitisha hili Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya mji wa Tunduma katika taarifa yake ameonesha katika mwaka wa fedha 2017/18 walitenga zaidi milion 374 lakini walitoa tzs mil 100 na 2018/19 robo ya kwanza wametoa mil 70 tu hadi novemba ,hivyo tukaona ni fursa na kuamua kuwahamasisha vijana wote ndani ya mkoa wa Songwe kwa kufanya mafunzo haya ya Ujasiriamali kwa vitendo na kuwaelekeza taratibu na namna ya kuweza kunufaika na mikopo hii"** Tumetoa mafunzo mbalimbali kwa vitendo kama utengenezaji wa sabuni, dawa za kusafisha vyoo, utengenezaji batiki, tunaziomba halmashauri zote ambapo tutafikisha mafunzo haya, vikundi vitakavyokuwa vinafanya uzalishaji wa batiki basi kuelekea sherehe za uwashwaji mwenge wa uhuru kitaifa zitakazofanyika kitaifa mkoani kwetu mwakani vipewe fursa ya kufanya kazi kwa kubuni vazi la mwenge wa uhuru na hii ndio tafsiri halisi ya kuwainua vijana kiuchumi na kuelekea uchumi wa viwanda. **Mafunzo ya siku mbili yamehitimishwa leo na taasisi ya TAEDO katika halmashauri ya mji wa Tunduma ambapo yataendelea wilaya ya Ileje, Songwe,Mbozi na kumalizia halmashauri ya wilaya ya Momba.** **#TukutaneKazini** **#HapaKaziTu** **Viongozi wa CCM na Jumuiya zake wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa kwa vitendo na Taasisi ya TAEDO chini ya Mkurugenzi wake Ndg Kenani Kihongosi** **Baadhi ya bidhaa zilizotengenezwa kwenye mafunzo hayo na Vijana waliokwisha patiwa darasa la namna ya kutengeneza batiki** ## 0 Maoni
https://www.blogger.com/profile/08864649902627372506
null
null
null
null
null
null
Tazama Ukubwa Kamili Kwenye Blogger tangu Novemba 2016 Mionekano ya Wasifu - 3820 Ripoti Matumizi Mabaya
https://uvccmtz.blogspot.com/2018/11/asilimia-96-ya-walioajiriwa-ujenzi-wa.html
null
null
null
null
null
null
**Zaidi ya watu 6,000 wameajiriwa katika mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR). Kati ya ajira hizo asilimia 96 sawa na watu 6,182 ni za Watanzania na asilimia nne sawa na watu 258 ni wageni.** **Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Jumanne Novemba 14, kuhusu maendeleo ya mradi huo, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema kwa upande wa wataalamu 189 ni Watanzania na 258 ni wageni.** “Ajira 626 za Watanzania wasio na ujuzi na 19 za wenye ujuzi zimepatikana kupitia kampuni za wazawa wanaoshiriki moja kwa moja kwenye mradi huu, hivyo tunafanya vizuri sana,” amesema Kadogosa. **Amesema maendeleo ya ujenzi huo kwa kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro yamefikia asilimia 34.** **Kipande hicho chenye urefu wa kilomita 300 kilianza kujengwa Mei 2, mwaka jana na kinatarajiwa kukamilika Novemba 2, mwakani.** ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2018/11/rais-magufuli-atoa-maamuzi-kuhusu.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani UCHUMI RAIS MAGUFULI ATOA MAAMUZI KUHUSU KOROSHO, NDANI YA SIKU 4 NI UTEKELEZAJI RAIS MAGUFULI ATOA MAAMUZI KUHUSU KOROSHO, NDANI YA SIKU 4 NI UTEKELEZAJI Thobias Omega Jumamosi, Novemba 10, 2018 Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2018/11/dkt-mpango-awasilisha-bungeni.html
null
null
null
null
null
null
**Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akiwasilisha Bungeni Jijini Dodoma, Mapedekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Mwaka 2019/2020.** **…………………** **UTANGULIZI** **Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadili na kutoa maoni na ushauri kwa ajili ya kuandaa Mpango wa Maendeleo wa Taifa na kuboresha Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2019/20.** **Mheshimiwa Spika, kinachowasilishwa sasa mbele ya Bunge lako Tukufu ni kwa mujibu wa Kifungu cha 94 cha Kanuni za Kudumu za Bunge Toleo la Mwaka 2016 kinachoelekeza Serikali kuwasilisha Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa mwaka wa fedha unaofuata.** **Mheshimiwa Spika, Kitabu cha Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kinajumuisha mapitio ya hali ya uchumi; utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa mwaka 2017/18 na robo ya kwanza ya mwaka 2018/19; maeneo ya kipaumbele kwa mwaka 2019/20; ugharamiaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2019/20; mfumo wa ufuatiliaji, tathmini na utoaji taarifa; na vihatarishi vya utekelezaji wa Mpango. Aidha tumeambatanisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha miaka mitatu ya kwanza ya utawala wa Serikali ya awamu ya tano 2016/17 – 2018/19.** **Mheshimiwa Spika, Kitabu cha Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali 2019/20 – 2021/22 kimeainisha masuala muhimu ambayo yanatakiwa kuzingatiwa na Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala za Serikali, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa na Taasisi na Mashirika ya Umma wakati wa kuandaa bajeti zao za mwaka 2019/20.** **Mheshimiwa Spika, Mapendekezo haya ninayowasilisha yamezingatia: Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025; Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21; Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015; na Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030. Vilevile, maandalizi ya Mapendekezo ya Mpango na Mwongozo yamezingatia sera, mikakati na progamu mbalimbali za maendeleo ya kisekta zikiwemo: Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo Awamu ya Pili; Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji; Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Afya; Mpango Kabambe wa Kuendeleza Sekta Ndogo ya Umeme wa Mwaka 2016; Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu 2016/17 – 2020/21; Mkakati Jumuishi wa Kuendeleza Viwanda 2025; na Mpango Kabambe wa Sekta ya Utalii wa Mwaka 2006. Hivyo, ni vema Waheshimiwa Wabunge watakaposoma vitabu vya Mwongozo na Mapendekezo ya Mpango warejee pia mikakati na programu za kisekta.** **Mheshimiwa Spika, napenda kulihakikishia Bunge lako Tukufu kuwa ushauri na maoni yatakayotolewa katika kikao hiki cha Bunge yatazingatiwa kikamilifu katika kuandaa rasimu ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2019/20 utakaowasilishwa Bungeni tarehe 11 Machi 2019 kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge. Aidha, ushauri wa Waheshimiwa wabunge utatumika kuboresha Mwongozo wa kuandaa Mpango na Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2019/20. Hivyo, ninawasihi Waheshimiwa Wabunge katika nafasi yenu ya uwakilishi wa wananchi, mtumie weledi na uzoefu wenu katika kutoa maoni, ushauri kuhusu maeneo muhimu na miradi inayopaswa kuzingatiwa katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/20.** **MWENENDO WA VIASHIRIA VYA UCHUMI** **Mheshimiwa Spika, Aya Na. 7 hadi 15 ya Kitabu cha Hotuba yangu zinaelezea mwenendo wa viashira vya uchumi kidunia, kikanda na kwa Tanzania. Ninaomba nizipitie aya hizo kwa kifupi. Mwenendo unaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri. Kwa mwaka 2017, Pato la Taifa limeendelea kukua kwa kiwango cha asilimia 7.1 ikilinganishwa na asilimia 7.0 kwa mwaka 2016 na kuongoza kwa ukuaji katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Katika robo ya kwanza ya mwaka 2018, Pato Halisi la Taifa lilikua kwa asilimia 8.4 ikilinganishwa na asilimia 5.7 katika kipindi kama hicho mwaka 2017. Shughuli za kiuchumi ambazo zilikua kwa kiwango kikubwa katika robo ya kwanza ya mwaka 2018 ni pamoja na: ujenzi (asilimia 20); habari na mawasiliano (asilimia 18.3); usafirishaji na uhifadhi wa mizigo (asilimia 9.2); na kilimo (asilimia 7.1).** **Mheshimiwa Spika, mfumuko wa bei uliendelea kushuka na kuwa chini ya asilimia 5 kwa takriban kipindi chote cha mwaka 2017/18. Kwa upande wa sekta ya nje, mauzo ya bidhaa na huduma nje ya nchi yalikuwa dola za Marekani milioni 8,949.40, ikiwa ni ongezeko la asilimia 2.8 kutoka mwaka 2016/17. Hii ilitokana na ongezeko la thamani ya mauzo ya mazao ya korosho, karafuu, tumbaku, chai na mkonge; pamoja na kuimarika kwa bei za dhahabu katika soko la Dunia. Akiba ya fedha za kigeni ilifikia dola za Marekani milioni 5,483.9 mwishoni mwa mwezi Juni 2018, sawa na uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma kutoka nje kwa miezi 5.6. Thamani ya Shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani iliendelea kuwa tulivu, ikibadilishwa kwa wastani wa kati ya Shilingi 2,231.17 na Shilingi 2,264.97 kwa dola moja ya Marekani. Deni la Taifa lilifikia dola za Marekani milioni 27,774.86 Juni 2018. Uchambuzi wa Deni la Taifa unaonesha kuwa deni hilo ni himilivu ambapo viashiria vyote vya athari za madeni vimeendelea kuwa chini ya ukomo wa hatari unaokubalika kimataifa.** **Mheshimiwa Spika, hali ya ustawi wa jamii imeendelea kuimarika kutokana na ukuaji wa uchumi ambao kwa kiasi kikubwa umechangia kupungua kwa umaskini. Hali hii inadhihirishwa na utafiti uliofanywa na Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Dunia mwaka 2015/16 ambao ulionesha kuwa idadi ya Watanzania wanaoishi chini ya mstari wa umaskini ilipungua kufikia asilimia 26.3 ikilinganishwa na asilimia 28.2 mwaka 2012. Napenda kulitaarifu Bunge lako Tukufu kuwa Utafiti mpya wa Matumizi ya Kaya Binafsi unaendelea hivi sasa na utafiti huo unatarajiwa kukamilika Machi 2019 na kutupatia hali halisi ya viwango vya umaskini. Aidha, wastani wa umri wa kuishi kwa Tanzania Bara umeongekeza kufikia wastani wa miaka 64.3 mwaka 2017 na unatarajiwa kuongezeka hadi wastani wa miaka 64.9 mwaka 2018. Vilevile, hali ya uzalishaji na upatikanaji wa mazao ya chakula nchini imeendelea kuimarika ambapo kwa Mwaka 2017/18, uzalishaji ulifikia tani milioni 15.9 ikilinganishwa na mahitaji ya tani milioni 13.3. Hivyo, nchi ilijitosheleza kwa chakula kwa asilimia 120.** **Mheshimiwa Spika, mwenendo wa baadhi ya viashiria vya sekta ya kibenki umeendelea kuimarika baada ya Serikali kuchukua hatua za kuongeza ukwasi. Kufuatia hatua hizo, mikopo kwa sekta binafsi imeanza kuonesha mwenendo unaoridhisha ambapo hadi kufikia Juni 2018 mikopo hiyo ilikua kwa asilimia 4.0 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 1.3 Juni 2017. Maelezo ya kina kuhusu mwenendo wa viashiria vya uchumi yanapatikana katika Sura ya Pili, Sehemu ya Kwanza ya kitabu cha Mwongozo na Sura ya Pili ya kitabu cha Mapendekezo ya Mpango.** **Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka 2017/18** **Mheshimiwa Spika, Mapato ya ndani katika mwaka 2017/18 yalifikia Shilingi bilioni 17,944.9 sawa na asilimia 90 ya lengo la Shilingi bilioni 19,977.0. Kati ya fedha hizo, Shilingi bilioni 15,191.0 zilitokana na Mapato ya Kodi, sawa na asilimia 89 ya lengo; Shilingi bilioni 2,212.4 zilitokana na Mapato yasiyo ya Kodi, sawa na asilimia 101 ya lengo; na Shilingi bilioni 541.5 zilitokana na mapato ya ndani ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa, sawa na asilimia 79 ya lengo.** **Mheshimiwa Spika, misaada na mikopo nafuu iliyotolewa ilikuwa Shilingi bilioni 2,466.0 sawa na asilimia 62 ya makadirio ya Shilingi bilioni 3,971.1. Mikopo iliyopatikana kutoka ndani na nje ni Shilingi bilioni 7,055.8, sawa na asilimia 90.9 ya lengo la Shilingi bilioni 7,763.9. Kati ya mikopo hiyo, Shilingi bilioni 1,351.5 ni kutoka vyanzo vya nje na Shilingi bilioni 5,704.4 ni kutoka vyanzo vya masoko ya ndani. Kati ya mikopo ya ndani, Shilingi bilioni 4,835.2 zilitumika kulipia Mtaji wa Deni la Ndani (Rollover) na Shilingi bilioni 869.2 ni Mikopo mipya kwa ajili ya kugharamia bajeti ya Maendeleo.** **Mheshimiwa Spika, matumizi halisi ya Serikali yalifikia Shilingi bilioni 25,321.7 sawa na asilimia 80 ya bajeti iliyoidhinishwa ya Shilingi bilioni 31,711.9. Kati ya kiasi hicho, Shilingi bilioni 18,778.5 zilikuwa ni matumizi ya kawaida sawa na asilimia 93 ya lengo la Shilingi bilioni 20,279.3 na Shilingi bilioni 6,543.2 zilikuwa ni matumizi ya maendeleo sawa na asilimia 57 ya bajeti ya Shilingi bilioni 11,432.7. Matumizi ya fedha za maendeleo hayajumuishi baadhi ya fedha kutoka kwa Washirika wa Maendeleo zilizopelekwa moja kwa moja (D-funds) kwenye utekelezaji wa miradi ambazo hazikupita kwenye Mfumo wa Malipo wa Serikali. Fedha hizi zitajumuishwa pindi taratibu za kiuhasibu zitakapokamilika.** **Utekelezaji wa Baadhi ya Miradi ya Maendeleo Mwaka 2017/18 na Robo ya Kwanza ya Mwaka 2018/19** **Mheshimiwa Spika, Aya Na. 19 ya Kitabu cha Hotuba imeelezea kwa kifupi baadhi ya miradi iliyotekelezwa katika kipindi cha mwaka 2017/18 na robo ya kwanza ya mwaka 2018/19 ambapo Serikali ilitekeleza miradi ya maendeleo katika maeneo yafuatayo: viwanda, nishati, uchukuzi, barabara, mawasiliano, elimu, afya, maji, madini, kilimo, utalii na utawala bora. Aidha, taarifa za kina za utekelezaji wa miradi hiyo zimeainishwa katika Sehemu ya Kwanza ya Kitabu cha Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali (Sura ya Kwanza) na Kitabu cha Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20 (Sura ya Tatu).** **MAFANIKIO KWA KIPINDI CHA 2016/17 – 2018/19** **Mheshimiwa Spika, yapo mafanikio mengi yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitatu ya kwanza ya utawala wa Serikali ya awamu ya tano (2016/17 – 2018/19). Mafanikio hayo yanajumuisha yafuatayo:** **(i) Ukuaji wa Uchumi: kuendelea kuimarika kwa uchumi wa Taifa, ambapo uchumi ulikua kwa wastani wa asilimia 7.1 mwaka 2017 kutoka ukuaji wa asilimia 7.0 mwaka 2016 na mfumuko wa bei kuendelea kupungua na kuwa katika wastani wa kiwango cha tarakimu moja, chini ya asilimia 5.0.** **(ii) Mapato ya Kodi na Yasiyo ya Kodi: mapato ya kodi yaliongezeka kutoka Shilingi bilioni 12,434 mwaka 2015/16 hadi Shilingi bilioni 15,191 mwaka 2017/18 na mapato yasiyo ya kodi yaliongezeka pia kutoka Shilingi bilioni 1,188 mwaka 2015/16 hadi Shilingi bilioni 2,212.4 mwaka 2017/18. Aidha, ongezeko la mapato yasiyo ya kodi lilitokana na kuimarika kwa ufuatiliaji na matumizi ya mifumo ya kielektroniki katika ukusanyaji wa mapato hususan Wizara ya Madini (kutoka Shilingi bilioni 207.9 mwaka 2015/16 hadi Shilingi bilioni 301.2 mwaka 2017/18), Ofisi ya Msajili wa Hazina (kutoka Shilingi bilioni 243.4 mwaka 2015/16 hadi Shilingi bilioni 803.5 mwaka 2017/18), Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi (kutoka Shilingi bilioni 73.3 mwaka 2015/16 hadi Shilingi bilioni 92.2 mwaka 2017/18) na Idara ya Uhamiaji (kutoka Shilingi bilioni 115.3 mwaka 2015/16 hadi Shilingi bilioni 159.3 mwaka 2017/18).** **Ulipaji wa Madai: Serikali ililipa jumla ya Shilingi bilioni 2,288.9 za madai yaliyohakikiwa ya wakandarasi, watoa huduma, wazabuni, watumishi wa umma na madai mengineyo. Kati ya kiasi hicho, Shilingi bilioni 1,611.0 zililipwa kwa wakandarasi, shilingi bilioni 144.6 kwa watoa huduma, shilingi bilioni 218.3 kwa wazabuni, Shilingi bilioni 285.9 kwa watumishi wa umma na Shilingi bilioni 29.1 kwa madai mengineyo.** **Barabara: mtandao wa barabara kuu za lami uliongezeka kutoka kilomita 7,646 Juni 2016 hadi kilomita 8,298.12 Juni 2018 na mtandao wa barabara za mikoa nao uliongezeka kutoka kilomita 1,398 hadi kilomita 1,687 kwa kipindi hicho. Aidha, ujenzi wa Barabara ya juu ya***Mfugale Flyover*(TAZARA) ulikamilika na kuanza kutumika na ujenzi wa*Interchange*ya Ubungo unaendelea. **(v) Reli: ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha***Standard Gauge*umeanza, ambapo kwa awamu ya kwanza ya Dar es Salaam – Morogoro (km 300) ujenzi umefikia asilimia 24. Maandalizi ya ujenzi kwa sehemu ya Morogoro – Makutupora (km 422) nayo yameanza. Faida zitakazotokana na kukamilika kwa reli hii ni pamoja na: kupungua kwa muda wa kusafirisha abiria na mizigo; kuongezeka kwa kiwango cha usafirishaji wa abiria na mizigo; kuongezeka kwa mapato ya Serikali; kuongezeka kwa fursa za ajira; na kupanuka kwa biashara katika vijiji na miji inayopitiwa na reli hiyo. Vile vile, Serikali imeendelea kuboresha reli ya kati inayotumika sasa ambapo mafanikio yaliyopatikana ni pamoja na kuwezesha usafirishaji wa mizigo kutoka bandari ya Mwanza (Mwanza South Port) kwenda Bandari ya Port Bell – Uganda ambapo katika mwaka 2017/18 wastani wa shehena ya mizigo ya tani 200,000 ilisafirishwa. **Kuboresha Shirika la Ndege Tanzania: ndege mpya tatu (3) aina ya Bombadier Q 400 na moja (1) aina ya Boeing 787-8***Dreamliner*zilinunuliwa na kuanza kufanya kazi*.*Vile vile, sehemu ya malipo ya ndege mbili (2) aina ya A220 – 300 zinazotarajiwa kuwasili Novemba 2018 na moja (1) aina ya Boeing 787-8*Dreamliner*inayotarajiwa kuwasili mwaka 2020 yamefanyika. Kutokana na kuboreshwa kwa ATCL, idadi ya mikoa inayohudumiwa na ndege za ATCL imeongezeka na kufikia 10. Mikoa hiyo ni: Dar es Salaam, Kagera, Mbeya, Kigoma, Ruvuma, Mtwara, Dodoma, Tabora, Kilimanjaro na Mwanza. Aidha, Shirika pia linatoa huduma Zanzibar. Vile vile, Shirika limeanzisha ofisi katika miji ya Mumbai, Bujumbura, Guangzhou na Entebbe. **Viwanja vya Ndege: ujenzi wa Jengo la Tatu la Abiria na miundombinu yake katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere umefikia asilimia 78. Aidha, upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Mwanza umefikia asilimia 70 na ukarabati wa Kiwanja cha Ndege cha Kilimanjaro umekamilika. Upanuzi huu umewezesha kuongezeka kwa: abiria na mizigo; mapato ya Serikali; ajira; biashara za hoteli na maduka; na idadi ya watalii.** **Bandari: ujenzi wa gati la kupakua na kupakia magari (Roll on Roll off – Ro-Ro) na upanuzi wa gati Na. 1 katika bandari ya Dar es Salaam umefikia asilimia 35, na upanuzi wa bandari za Tanga na Mtwara umefikia asilimia 76 na 30 kwa mtiririko huo. Kukamilika kwa ujenzi huo kutawezesha kuongezeka kwa uwezo wa bandari kuhudumia magari kati ya 300,000 hadi 500,000 kwa mwaka; kupungua kwa muda wa kupakua magari na hivyo kuongeza ufanisi wa bandari; kuongezeka kwa mapato ya Serikali; na kuhimili ushindani kutoka bandari za nchi jirani.** **Kilimo: kiwango cha ukuaji wa sekta ya kilimo kiliongezeka kufikia asilimia 7.1 mwaka 2017 ikilinganishwa na asilimia 5.6 mwaka 2016. Ukuaji huu umewezesha kuongezeka kwa usalama wa chakula, kupungua kwa mfumuko wa bei ya chakula kufikia asilimia 3.8 Juni 2018 ikilinganishwa na asilimia 9.8 Juni 2017 na kuongezeka kwa mapato ya mauzo ya bidhaa asilia nje ya nchi kutoka dola za Marekani milioni 866.4 mwaka 2016/17 kufikia dola milioni 1,152.4 mwaka 2017/18, sawa na ongezeko la asilimia 33. Vile vile, upatikanaji wa mbegu bora uliongezeka na kufikia tani 51,700.5 mwaka 2017/18 kutoka tani 36,482 mwaka 2015/16, na tani 435,178 za mbolea zilinunuliwa na kusambazwa katika mwaka 2017/18 ikilinganishwa na tani 302,450 zilizonunuliwa katika mwaka 2015/16. Aidha, katika kuimarisha Ushirika na Masoko ya Mazao, Vyama vya Ushirika viliongezeka kutoka 7,888 mwaka 2015 hadi 10,990 mwaka 2017.** **(x) Huduma za Afya: kukamilika kwa ujenzi na ukarabati wa Hospitali 10 za Wilaya, Vituo vya Afya 295 na nyumba za watumishi wa afya 306. Aidha, bajeti ya ununuzi wa dawa, chanjo, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi iliongezeka kutoka Shilingi bilioni 31 mwaka 2015/16 hadi Shilingi bilioni 269 mwaka 2017/18. Kuanza kutoa huduma ya kupandikiza figo kwa wagonjwa 28 na hivyo kupunguza gharama kwa wastani kutoka shilingi milioni 100 hadi shilingi milioni 20 kwa mgonjwa mmoja endapo angepelekwa nje ya nchi. Vile vile, Serikali imeanzisha huduma ya kupandikiza vifaa vya kusikia (***Cochlear Implant*) kwa watoto ambapo jumla ya watoto 11 wamepatiwa huduma hiyo na hivyo kuokoa shilingi milioni 64 kwa mtoto mmoja endapo angepata huduma hii nje ya nchi. **Nishati: uzalishaji wa umeme umeongezeka kutoka MWh 6,950,280 mwaka 2016/17 hadi MWh 7,010,590 mwaka 2017/18 ambao umewezesha kuongezeka kwa upatikanaji wa umeme wa uhakika, kuongezeka kwa idadi ya wananchi waliounganishiwa umeme ambapo hadi kufikia mwezi Oktoba 2018 jumla ya vijiji 5,181 tayari vimeunganishiwa umeme. Aidha, shughuli za kiuchumi pia zimeongezeka; vilevile, ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu za maji mto Rufiji – MW 2,100 umeanza; Pia, maandalizi ya utekelezaji wa Mradi wa Kusafirishia Mafuta Ghafi kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga yamekamilika.** **Huduma za Maji: miradi 1,595 ya maji vijijini imekamilika, ikiwa na jumla ya vituo vya kuchotea maji 126,610 na uwezo wa kuhudumia wananchi 31,652,500.****Viwanda: Serikali iliendelea kusimamia utekelezaji wa azma yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda ambapo viwanda vipya zaidi ya 3,306 vilijengwa katika mikoa mbalimbali ikijumuisha viwanda vya kuzalisha bidhaa za ujenzi (saruji, marumaru, nondo) na kilimo, hususan, kusindika matunda, mafuta na ngozi. Ujenzi wa viwanda vipya umechangia kupatikana kwa ajira mpya 482,601 mwaka 2017/18.** **Kuhamishia Makao Makuu ya Serikali Dodoma: Serikali ya awamu ya tano imefanikiwa kuhamisha Makao Makuu ya Serikali kutoka katika jiji la Dar-es-Salaam kuja hapa katika jiji la Dodoma ambapo Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Watumishi wa Umma 6,531 kutoka Wizara zote wamehamia Dodoma. Aidha, inatarajiwa kuwa Mheshimiwa Rais atahamia rasmi Dodoma kabla ya tarehe 31 Desemba 2018.** **Madini: Sheria za Madini zilifanyiwa mapitio ili kuiwezesha Serikali kunufaika zaidi na rasilimali za madini. Aidha, Serikali ilikamilisha ujenzi wa ukuta wenye mzingo wa km 24.5 kuzunguka migodi ya Tanzanite Mirerani ambao umewezesha kupunguza utoroshwaji wa madini. Juhudi hizi na nyinginezo ziliwezesha kuongezeka kwa makusanyo ya maduhuli yanayotokana na madini kufikia Shilingi bilioni 301.2 mwaka 2017/18 ikilinganishwa na lengo la Shilingi bilioni 194.4.** **Elimu: Serikali ya awamu ya tano ilianzisha na imeendelea kutekeleza utaratibu wa kutoa elimumsingi nchini bila ada ambapo Serikali imekuwa ikitoa Shilingi bilioni 20.9 kila mwezi. Juhudi hizi zimechangia ongezeko la wanafunzi walioandikishwa darasa la kwanza kutoka 1,568,378 mwaka 2015 hadi 2,078,379 mwaka 2018, na kidato cha kwanza kutoka wanafunzi 448,826 mwaka 2015 hadi wanafunzi 562,695 mwaka 2017.** **Usafiri wa Majini: Serikali iliendelea kujenga na kukarabati meli na vivuko katika Ziwa Victoria, Tanganyika na Nyasa Kazi hizi zitarahisisha na kuongeza uwezo wa usafirishaji wa abiria na mizigo. Aidha, uwezo wa meli hizo ni kama ifuatavyo: meli mpya katika ziwa Victoria itabeba abiria 1,200 na tani 400 za mizigo; ziwa Nyasa abiria 200 na mizigo tani 200; na ziwa Tanganyika abiria 600 na tani 400 za mizigo.** **Changamoto za Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo na Bajeti na Hatua za Kukabiliana Nazo** **Mheshimiwa Spika, changamoto kubwa zilizojitokeza katika utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya mwaka 2017/18, ni pamoja na zifuatazo:** **(i) Ugumu wa kusanya kodi kutoka kwa wafanyabiashara waliopo katika sekta isiyo rasmi kwa kuwa hawana sehemu rasmi na za kudumu za kufanyia biashara na hawatunzi kumbukumbu;****(ii) Kutofikiwa kwa lengo la kodi zinazotokana na ajira (PAYE) kulikosababishwa na kutofikiwa kwa malengo ya ajira mpya na kutoongezeka kwa mishahara kwa wafanyakazi kama ilivyokuwa imetarajiwa. Vile vile, kodi hizi zimeathirika kutokana na kupunguzwa kazi kwa wafanyakazi kwenye migodi ya madini kufuatia kupungua kwa shughuli za uchimbaji madini kwa baadhi ya migodi;****kushuka kwa biashara za kimataifa kulikopelekea kutofikia malengo ya uingizwaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi kama ilivyokuwa imetarajiwa;****Upungufu wa wafanyakazi na vitendea kazi ndani ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, hivyo kupunguza ufanisi wa utendaji kazi wa Mamlaka;****(v) Kupungua kwa misaada na mikopo nafuu kutoka kwa Washirika wa Maendeleo wakati wa utekelezaji wa bajeti;****Changamoto ya masoko na bei ndogo za mazao kwa wakulima; na****Kuendelea kuwepo kwa madai mbalimbali yakiwemo ya wakandarasi, watoa huduma, wazabuni na watumishi wa umma.** **Mheshimiwa Spika, katika jitihada za kuongeza mapato, Serikali imechukua hatua mbalimbali, ikiwa pamoja na: kuimarisha usimamizi wa sheria za kodi na utoaji wa elimu kwa walipakodi ili kuongeza mwamko wa kulipa kodi; kuimarisha mifumo na taasisi zinazokusanya mapato ili kudhibiti ukwepaji kodi na uvujaji wa mapato ya Serikali; kuboresha mazingira ya uendeshaji biashara na uwekezaji wa Sekta Binafsi; na kuimarisha ushirikiano na Washirika wa Maendeleo kupitia utekelezaji wa Mwongozo wa Ushirikiano wa Maendeleo (Development Corporation Framework – DCF).** **MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2019/20** **Mheshimiwa Spika, misingi iliyozingatiwa katika kuweka malengo ya uchumi jumla ni pamoja na: uwepo wa amani, usalama, utulivu na umoja hapa nchini na katika nchi jirani; kuimarika kwa viashiria vya uchumi jumla na maendeleo ya kiuchumi na kijamii; kutengamaa kwa uchumi wa dunia; utulivu wa bei za mafuta katika soko la dunia; na hali nzuri ya hewa.** **Mheshimiwa Spika, Shabaha na Malengo ya Uchumi Jumla: Shabaha na malengo ya uchumi jumla ambayo yanatokana na takwimu mpya za mwaka wa kizio wa 2015 ni kama ifuatavyo:-** **Kuongeza kasi ya ukuaji wa Pato halisi la Taifa kufikia asilimia 7.3 mwaka 2019 ikilinganishwa na matarajio ya asilimia 7.2 mwaka 2018, na kuongezeka kwa wastani wa asilimia 7.6 katika Kipindi cha Muda wa Kati (2019/20 – 2021/22);****Kuendelea kudhibiti kasi ya mfumuko wa bei na kuhakikisha kuwa unabaki kwenye wigo wa tarakimu moja ya wastani wa asilimia 5.0 katika Kipindi cha Muda wa Kati (2019/20 – 2021/22);****Mapato ya kodi kufikia asilimia 12.7 ya Pato la Taifa mwaka 2019/20 kutoka matarajio ya asilimia 12.5 mwaka 2018/19 na wastani wa asilimia 12.9 katika Kipindi cha Muda wa Kati (2019/20 – 2021/22);****Matumizi ya Serikali yanatarajiwa kuwa asilimia 21.1 ya Pato la Taifa mwaka 2019/20 na kufikia wastani wa asilimia 20.2 katika Kipindi cha Muda wa Kati (2019/20 – 2021/22);****Kupunguza nakisi ya bajeti (ikijumuisha misaada) kutoka matarajio ya asilimia 2.9 mwaka 2018/19 hadi wastani wa asilimia 1.1 katika Kipindi cha Muda wa Kati (2019/20 – 2021/22); na****Kuwa na akiba ya fedha za kigeni kwa kiwango cha kukidhi mahitaji ya uagizaji wa bidhaa na huduma kutoka nje kwa kipindi kisichopungua miezi 4.5 katika Kipindi cha Muda wa Kati (2019/20 – 2021/22).** **Mfumo wa Awali wa Mapato na Matumizi ya Serikali katika Kipindi cha Muda wa Kati (2019/20 – 2021/22)** **Mheshimiwa Spika, mapato ya ndani (yakijumuisha mapato ya Halmashauri) yanakadiriwa kuongezeka hadi Shilingi bilioni 23,206.8 mwaka 2019/20 kutoka Shilingi bilioni 20,894.6 mwaka 2018/19 na kukadiriwa kuongezeka kwa wastani wa asilimia 10.1 katika kipindi cha muda wa kati (2019/20 – 2021/22) hadi Shilingi bilioni 28,113.9 mwaka 2021/22. Mapato ya ndani katika Pato la Taifa yanakadiriwa kuongezeka kutoka asilimia 14.6 mwaka 2019/20 hadi asilimia 14.9 mwaka 2021/22. Mapato ya kodi yanakadiriwa kuongezeka kwa asilimia 11.8 hadi Shilingi bilioni 20,124.1 mwaka 2019/20 kutoka Shilingi bilioni 18,000.2 mwaka 2018/19 na kukua kwa wastani wa asilimia 10.1 katika kipindi cha muda wa kati (2019/20 – 2021/22) hadi Shilingi bilioni 24,385.4 mwaka 2021/22. Uwiano wa Mapato ya kodi na Pato la Taifa unakadiriwa kuongezeka kutoka asilimia 12.7 mwaka 2019/20 hadi asilimia 12.9 mwaka 2021/22. Mapato yasiyo ya Kodi (yakijumuisha mapato ya Halmashauri) yanakadariwa kuongezeka hadi Shilingi bilioni 3,082.7 mwaka 2019/20 kutoka Shilingi bilioni 2,894.4 mwaka 2018/19. Aidha, mapato yasiyo ya kodi (yakijumuisha mapato ya Halmashauri) yanakadiriwa kukua kwa wastani wa asilimia 10.0 na kufikia Shilingi bilioni 3,728.5 mwaka 2021/22.** **Mheshimiwa Spika, misaada na mikopo nafuu inatarajiwa kupungua kutoka Shilingi bilioni 3,380.2 mwaka 2019/20 hadi Shilingi bilioni 3,289.9 mwaka 2021/22. Mikopo kutoka nje na ndani (ikijumuisha Rollover) inatarajiwa kuwa Shilingi bilioni 6,913.2 mwaka 2019/20 na Shilingi bilioni 6,768.6 mwaka 2021/22.** **Mheshimiwa Spika, matumizi ya Serikali yanakadiriwa kukua hadi Shilingi bilioni 33,500.2 (asilimia 21.1 ya Pato la Taifa) mwaka 2019/20 kutoka Shilingi bilioni 32,476.0 (asilimia 22.5 ya Pato la Taifa) mwaka 2018/19 na kukadiriwa kukua kwa wastani wa asilimia 6.7 hadi Shilingi bilioni 38,172.5 mwaka 2021/22. Katika mwaka 2019/20, Mishahara (ikijumuisha mishahara ya Taasisi) inakadiriwa kuwa Shilingi bilioni 7,559.0 na kukadiriwa kuongezeka hadi Shilingi bilioni 8,422.7 mwaka 2021/22. Malipo ya riba na mtaji kwa deni la ndani na nje yanakadiriwa kuwa Shilingi bilioni 8,625.6 mwaka 2019/20 na kuongezeka hadi Shilingi bilioni 11,023.8 mwaka 2021/22. Kiasi cha kulipia bidhaa, huduma na ruzuku kinakadiriwa kuwa Shilingi bilioni 4,931.2 mwaka 2019/20 na kuongezeka hadi Shilingi bilioni 5,166.1 mwaka 2021/22. Matumizi ya Maendeleo yanakadiriwa kuwa Shilingi bilioni 12,384.4 (asilimia 7.8 ya Pato la Taifa) mwaka 2019/20 na kuongezeka hadi Shilingi bilioni 13,559.8 mwaka 2021/22.** **Maelekezo Mahsusi ya Mwongozo** **Mheshimiwa Spika, Maafisa Masuuli wanatakiwa kuzingatia kikamilifu maelekezo yote yaliyopo kwenye Mwongozo na kusimamia Sheria ya Bajeti, SURA 439 na Kanuni zake. Aidha, Kamati za Mipango na Bajeti za kila Fungu zinatakiwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Kanuni ya 17(3) ya Kanuni za Sheria ya Bajeti za mwaka 2015. Mwongozo umebainisha masuala muhimu ambayo hayana budi kuzingatiwa na Maafisa Masuuli wakati wa uandaaji wa mipango, bajeti na utekelezaji kama ifuatavyo:** **Mahitaji ya Rasilimali Fedha** **Kuhakikisha kuwa makusanyo yote yanawekwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali;****Kuendelea kuboresha mifumo ya ukusanyaji wa mapato ikiwa ni pamoja na kuhamasisha matumizi ya Mfumo wa Serikali wa Kielektroniki wa Ukusanyaji Mapato;****Kubuni vyanzo vipya vya mapato ikiwa ni pamoja na vile vilivyoainishwa katika Mkakati wa Ugharamiaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21;****Kutoingia mikataba yenye vifungu vinavyotoa misamaha ya kodi bila kupata ridhaa ya Waziri wa Fedha na Mipango; na****Kuhakikisha kuwa kampuni zote ambazo Serikali ina hisa zinaendeshwa kwa ufanisi na hivyo kutoa gawio stahiki kwa Serikali.** **Udhibiti Katika Matumizi ya Fedha za Umma** **Kuhakikisha thamani halisi ya fedha inazingatiwa katika ununuzi wa bidhaa, huduma na kandarasi za ujenzi kwa kuzingatia misingi ya Kanuni za Ununuzi wa Umma kama***Force Account*, ununuzi wa pamoja na ushindanishwaji wa wazabuni;**Kutumia TEHAMA katika mawasiliano Serikalini, kama vile majalada ya kielektroniki kwa lengo la kupunguza gharama na kuongeza ufanisi;****Kuhakikisha hati za madai na mikataba ya watoa huduma wa ndani inakuwa katika Shilingi ya Tanzania ili kupunguza athari za mabadiliko ya viwango vya ubadilishaji fedha;****Kupunguza uagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi hasa kwa bidhaa zinazozalishwa na viwanda vya ndani;****Kutenga fedha za kulipa madeni yaliyohakikiwa kwa kutumia Ukomo wa Bajeti uliotolewa; na****Taasisi na Mashirika ya Umma yenye uhitaji wa mikopo kuhakikisha zinapata kibali kutoka kwa Waziri wa Fedha na Mipango kama ilivyoainishwa katika Sheria ya Mikopo, Dhamana na Misaada, SURA 134 pamoja na Kifungu cha 60(4) na 62(b) cha Sheria ya Bajeti, SURA 439. Maafisa Masuuli wanaelekezwa kufuatilia kwa ukaribu mikataba yenye dhamana ili kuepuka madeni sanjari.** **Usimamizi wa Taasisi na Mashirika ya Umma** **Kuhakikisha kuwa Taasisi na Mashirika ya Umma yanachangia asilimia 15 ya mapato ghafi katika Mfuko Mkuu wa Serikali kwa mujibu wa Sheria ya Msajili wa Hazina (Madaraka na Majukumu), (Sura 370), ikijumuisha ziada na itolewe kwa wakati;****Kuimarisha ufuatiliaji wa Hisa za Serikali katika kampuni ambazo Serikali ina hisa chache;****Kuhakikisha Mashirika ya Umma yanayojiendesha kibiashara yanaandaa Mwongozo wa Gawio utakaotoa utaratibu wa malipo ya gawio kwa Serikali;****Kuchambua taarifa za fedha na mwenendo wa Taasisi na Mashirika ya Umma na kupendekeza hatua stahiki za kuboresha, kuunganisha au kuyafuta kwenye Daftari la Msajili wa Hazina; na****Kufuatilia viwanda na mashamba yaliyobinafsishwa ili kubaini kama yanaendeshwa kuendana na mikataba ya mauzo na kuchukua hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kurejesha Serikalini mashamba na viwanda ambavyo wamiliki watabainika kukiuka mikataba ya mauzo.** **Mheshimiwa Spika, maelekezo mahsusi ya Mwongozo yameainishwa kwa kina katika Sura ya Kwanza, Sehemu ya Pili ya Kitabu cha Mwongozo.** **MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2019/20** **Mheshimiwa Spika, Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20 yameainisha maeneo ya kipaumbele yatakayozingatiwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka 2019/20. Maeneo hayo yamezingatia Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21 na Mkakati wa Utekelezaji wa Mpango huo. Maeneo hayo ni:** **Viwanda vya Kukuza Uchumi na Ujenzi wa Msingi wa Uchumi wa Viwanda: Ujenzi wa viwanda ikiwa ni pamoja na uanzishwaji wa Kanda Maalum za Kiuchumi (Ruvuma, Mtwara, Kigoma na Bagamoyo); Kukuza kilimo cha mazao, Mifugo na Uvuvi; Maliasili za madini, misitu na wanyamapori; Utalii, Biashara na Masoko; Aidha, kwa kuzingatia umuhimu wa kipekee wa sekta ya kilimo katika ujenzi wa uchumi wa viwanda na ustawi wa wananchi, Serikali itaweka msukumo zaidi katika uendelezaji wa sekta hii kwa kutekeleza mikakati na programu mbalimbali hususan ASDP II, uboreshaji wa masoko ya bidhaa za kilimo na uimarishaji wa bei za mazao ya kilimo;** **Ujenzi wa Mazingira Wezeshi kwa Uendeshaji Biashara na Uwekezaji: Kipaumbele kitatolewa kwa miradi ifuatayo: Nishati, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa mtambo wa kufua umeme katika mto Rufiji; Maendeleo ya reli ikijumuisha ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Standard Gauge; na Usafiri wa anga ikiwemo kuboresha Shirika la Ndege Tanzania. Aidha, maeneo mengine yatakayopewa kipaumbele ni pamoja na barabara; madaraja; bandari; usafiri wa majini; teknolojia ya habari na mawasiliano; ardhi na maeneo ya uwekezaji na biashara; huduma za fedha; na ushirikiano wa kikanda na kimataifa. Vile vile, Serikali itaendelea kutekeleza kikamilifu maelekezo yaliyotolewa katika Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Kufanya Biashara Nchini wa Mwaka 2010 ikiwa ni pamoja na kusimamia mapendekezo yaliyopo kwenye***Blueprint on Policy and Regulatory Reforms*; **Kufungamanisha Ukuaji wa Uchumi na Maendeleo ya Watu: Maeneo yatakayopewa kipaumbele ni elimu na ujuzi hususan kusomesha kwa wingi wataalam kwenye fani na ujuzi adimu; afya na ustawi wa jamii; maji na usafi wa mazingira; vijana, ajira na wenye ulemavu; habari, utamaduni, sanaa na michezo; utawala bora na huduma bora kwa wananchi; hifadhi ya mazingira; na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Aidha, katika kuimarisha utawala bora ili kuchochea ukuaji wa uchumi na maendeleo ya watu, Serikali itaendelea kujenga miundombinu wezeshi hususan ofisi, makazi na huduma za jamii katika Makao Makuu ya nchi Jijini Dodoma. Vile vile, msukumo zaidi utawekwa katika kuongeza na kuboresha huduma ya maji; kuunga mkono juhudi za wananchi kukamilisha maboma ya afya na elimu; na kujenga mazingira ambayo yatawezesha matumizi ya teknolojia ya kisasa kwenye utoaji wa huduma za elimu na afya kama vile upelekaji wa dawa kwa kutumia ndege zisizo na rubani (drones). Pamoja na hayo, Serikali imeanza kuandaa Muswada wa Sheria ya Maji ambao pamoja na mambo mengine unapendekeza kuanzishwa kwa Wakala wa Maji Vijijini ili kuongeza kasi ya kuondoa kero ya maji kwa wananchi;** **Kuimarisha Usimamizi na Utekelezaji wa Mpango: Miongoni mwa masuala yatakayopewa msukumo ni pamoja na upatikanaji wa mikopo ya muda mrefu na kwa riba nafuu, kuimarisha ukusanyaji wa mapato na usimamizi wa matumizi, na kuimarisha mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano. Maeneo mengine ni yale ya kujenga mazingira wezeshi hususan, kulinda umoja wa kitaifa, ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo na ulinzi wa rasilimali za Taifa.** **Mikakati ya Kushirikisha Sekta Binafsi kwa Mwaka 2019/20** **Mheshimiwa Spika, sekta binafsi inatarajia kuongeza uwekezaji ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo hususan katika maeneo ya kipaumbele ikiwemo:-viwanda vya nguo, dawa za binadamu, bidhaa za ngozi, usindikaji wa vyakula, mafuta, ujenzi wa miundombinu wezeshi, huduma za jamii, huduma za fedha, huduma za utalii; na kuanzisha na kuendeleza maeneo ya viwanda na maeneo ya teknolojia.** **Miradi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi** **Mheshimiwa Spika, Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji kupitia utaratibu wa ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP). Maboresho hayo yamepelekea kuundwa kwa miongozo ya kisera, kisheria na kitaasisi ikiwa ni pamoja na kuandaliwa kwa Sera ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi. Kwa msingi huo, miradi ya ubia inayopendekezwa kutekelezwa ni pamoja na: Mradi wa Kusambaza Gesi katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Mtwara; mradi wa kujenga hosteli za wanafunzi katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) – Dar es Salaam; ujenzi wa vyuo kumi vya Ufundi Stadi; ujenzi waTaasisi ya Taifa ya Saratani; ujenzi wa Reli ya Mtwara – Mbamba Bay kupitia Mchuchuma na Liganga, na Tanga – Arusha – Musoma; na ujenzi wa bandari ya Mwambani Tanga; mradi wa kufua umeme – Somanga Fungu; uendeshaji wa huduma ya usafiri jijini Dar es Salaam awamu ya kwanza; na ujenzi wa viwanda vya uzalishaji wa dawa muhimu na vifaa tiba katika mikoa ya Pwani, Mbeya na Mwanza.** **Mheshimiwa Spika, maelezo ya kina kuhusu Maeneo ya Kipaumbele kwa mwaka 2019/20 yapo katika Kitabu cha Mapendekezo ya Mpango (Sura ya Nne).** **HITIMISHO** **Mheshimiwa Spika, Kama nilivyoeleza mwanzoni, Maoni na ushauri wa Waheshimiwa Wabunge juu ya Mwongozo na Mapendekezo ya Mpango niliyowasilisha yatawezesha kuandaliwa kwa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20 ili kuongeza kasi ya ujenzi wa uchumi wa viwanda na kuchochea matokeo yafuatayo: kuongezeka kwa ubora wa huduma za kijamii; kupungua kwa umasikini; kutengamaa kwa viashiria vya kiuchumi na kijamii; na kuboreshwa kwa mazingira ya uwekezaji na biashara. Hivyo, Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala za Serikali, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa na Taasisi na Mashirika ya Umma zinaelekezwa kuzingatia maeneo ya kipaumbele yaliyoainishwa katika Mapendekezo ya Mpango wakati wa kuandaa Mpango wa Mwaka 2019/20. Vile vile, Maafisa Masuuli wanatakiwa kuzingatia kikamilifu maelekezo yote yaliyopo kwenye Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2019/20 na kusimamia Sheria ya Bajeti, SURA 439 na Kanuni zake. Aidha, Kamati za Mipango na Bajeti za kila Fungu zinatakiwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Kanuni ya 17(3) ya Kanuni za Sheria ya Bajeti za mwaka 2015.** **Mheshimiwa Spika, naomba kuhitimisha kwa kuwasisitizia Waheshimiwa Wabunge kwamba katika michango yao wajielekeze zaidi katika kutoa maoni, ushauri na mapendekezo kwenye miradi na vipaumbele vya Kitaifa badala ya kila mchangiaji kujielekeza zaidi kwenye miradi mahsusi iliyopo jimboni kwake. Ninaamini kuwa kwa kufanya hivyo maoni na ushauri wa Waheshimiwa Wabunge utaiwezesha Serikali kuandaa Mpango mzuri wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/20 na Bajeti ya nchi inayojielekeza kutatua kero za wananchi wetu na kuchochea maendeleo ya nchi yetu ya Tanzania.** **Mheshimiwa Spika, baada ya maelezo hayo naomba sasa Bunge lako Tukufu lipokee na kujadili Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2019/20.** **Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.** ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/09/mgombea-urais-ccm-dkt-john-pombe.html
null
null
null
null
null
null
Na. Said Mwishehe,Michuzi TV-Shinyanga MIKUTANO ya Kampeni ya Uchaguzi Mkuu ya Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.John Magufuli imeendelea kuleta matumaini makubwa ya maendeleo ya wananchi ambapo mgombea urais huyo akiwa mkoani Shinyanga ameeleza jinsi Ilani ya Uchaguzi ilivyoanisha maendeleo yanayokwenda kufanyika mkoani humo baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu. Dk.Magufuli ametumia muda mwingi leo Septemba 3,2020 kuzungumza na maelfu ya wananchi wa Shinyanga waliofika kumsikiliza katika mkutano wake wa kuomba kura ambapo ameelezea Ilani ya CCM imetaja miradi ya maendeleo inayokwenda kutekelezwa iwapo Chama chake kitapata ridhaa ya kuongoza tena kwa miaka mitano. Akiwa Uwanja wa Kambarage uliopo Shinyanga Mjini, Dk.Magufuli amesema katika mkoa huo kuna maendeleo makubwa yamefanyika chini ya Serikali ya Awamu ya Tano na kwamba mwaka 2015 walimuamini na kunichagua awe Rais, amefarijika kipindi cha miaka mitano ameshirikiana nao kufanya mambo mbalimbali yakiwemo ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa fedha ambayo ujenzi wake unaendelea. Pia ujenzi wa hospitali za Wilaya katika mkoa huo ambapo Sh. bilioni 3.6 Amesema katika sekta ya dawa nako Sh.bilioni 16 zimetumika huku Serikali kali ikiajiri watumishi wengine wapya kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma za afya katika Mkoa wa Shinyanga.Jumla ya Sh.bilioni 31.9 zimetumika kwa ajili ya maendeleo ya mkoa huo MIKUTANO ya Kampeni ya Uchaguzi Mkuu ya Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.John Magufuli imeendelea kuleta matumaini makubwa ya maendeleo ya wananchi ambapo mgombea urais huyo akiwa mkoani Shinyanga ameeleza jinsi Ilani ya Uchaguzi ilivyoanisha maendeleo yanayokwenda kufanyika mkoani humo baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu. Dk.Magufuli ametumia muda mwingi leo Septemba 3,2020 kuzungumza na maelfu ya wananchi wa Shinyanga waliofika kumsikiliza katika mkutano wake wa kuomba kura ambapo ameelezea Ilani ya CCM imetaja miradi ya maendeleo inayokwenda kutekelezwa iwapo Chama chake kitapata ridhaa ya kuongoza tena kwa miaka mitano. Akiwa Uwanja wa Kambarage uliopo Shinyanga Mjini, Dk.Magufuli amesema katika mkoa huo kuna maendeleo makubwa yamefanyika chini ya Serikali ya Awamu ya Tano na kwamba mwaka 2015 walimuamini na kunichagua awe Rais, amefarijika kipindi cha miaka mitano ameshirikiana nao kufanya mambo mbalimbali yakiwemo ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa fedha ambayo ujenzi wake unaendelea. Pia ujenzi wa hospitali za Wilaya katika mkoa huo ambapo Sh. bilioni 3.6 Amesema katika sekta ya dawa nako Sh.bilioni 16 zimetumika huku Serikali kali ikiajiri watumishi wengine wapya kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma za afya katika Mkoa wa Shinyanga.Jumla ya Sh.bilioni 31.9 zimetumika kwa ajili ya maendeleo ya mkoa huo Pia amezungumzia jinsi ambavyo Serikali imeboresha miundombinu ya barabara kwa kuweka lami katika baadhi ya barabara ambazo nyingine ujenzi unaendelea, kuimarisha usalama wa watumia barabara kwa kuweka taa.Kuhusu amesema kilimo na mifugo yapo yaliyofanyika mengi ukiondoa kusamehe kodi 104, Serikali imeendelea kuboresha miundombinu, imetoa chanjo, imejenga machinjio na katika Uchaguzi Mkuu uliopita viwanda ilikuwa moja ya ahadi kubwa na ujenzi wa viwanda umefanyika na unaendelea. "Sisi Chama Cha Mapinduzi tumekuja na ahadi ambazo ziko kwenye Ilani yetu na ndio ambayo Rais,Wabunge na Madiwani watatakiwa kuyatekeleza. Kwa Shinyanga ukurasa wa 31 unazungumzai kuimarisha vyama vya ushirika, shinyanga kulikuwa na vyama vya ushirika na tunataka vyama hivyo viende kwa spidi kama ile ya zamani.Ukurasa wa 35 unazungumzia wa magharala na vihenge vya kisasa. "Ukienda ukurasa 44 unazungumzia juu ya kujenga vituo vya kuchakata na kuhifadhi mazao katika mikoa mbalimbali nchini ikiwemo ya Arusha, Mwanza Tabota, Morogoro,Mtwara,Singida Songwe Tanga na mikoa mingine kadhaa na Shinyanga ikiwemo.Kwa hiyo kwa hiyo nikieleza katika kipindi kingine cha miaka mitano tutajenda viwanda vya nyama na tunamaanisha,"amesema Dk.Magufuli wakati anafafanua baadhi ya kurasa za ilani hiyo. Pia amesema katika Ilani hiyo ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2020 , ukurasa wa 45 unazungumzia kuchakata mazao ya kilimo na Shinyanga ni wakulima wazuri wa kilimo cha pamba.Ukurasa wa 51 unazungumzia kuongeza uzalishaji wa mazao yatokana na pamba.Mengi yameanishwa hata ufugaji samaki wameahidi kuendelea kujenga mabwawa makubwa.Ukurasa wa 77 unazungumzia ujenzi wa barabara ya kutoka Kagongwa ,Bukoba hadi Kahama yenye urefu wa kilometa 31. "Yapo mengi midradi ya REA yapo ukurasa wa 94.Ilani imezungumzia ujenzi wa reli ya treni ya kisasa inayotumia umeme inayotoka Makotopola,Tabora na Tabora hadi Isaka mpaka Mwanza yenye urefu wa kilometa 250 na fedha zinazotumika ni matrilioni ya fedha.Mtakaonufaika na miradi hii ni vijana na hiyo ndio ya njia ya kutengeneza ajira, ajira ni pamoja na miumdombinu imara ambapowananchi watashiriki kwenye shughuli za uchumi "Mwezi wa Nane au wa Tisa kabla ya kumalizika kwa mwaka huu ujenzi wa reli hiyo utaanza.Ukusara 95 unazungumzia tena viwanja vya ndege. umetoa ufafanuzi wa ndani zaidi, lakini ukurasa wa 99 unazungumzia umeme imara, tumesema nchi yetu iwe na umeme wa kutosha na tutakapomaliza mradi wa Bwawa la kufua umeme la Nyererere tutakuwa na umeme wa kutosha na kama unavyosema tutakuwa kama Ulaya. "Pia tutakamilisha utekelezaji wa awamu ya pili ya njia ya umeme ya kutoka Iringa, Dodoma,Singida hadi Shinyanga.Ukurasa wa 105 unazungumzia madini , yako mengi yamezungumza nitasoma machache, itakuwa ni kuimarisha mifumo ya kisheria na kisera, tunataka madini yanufaishe wananchi wa kawaida , ndio maana tunataka madini haya yachimbwe na wananchi wenyewe. "Tutaendelea kuimarisha maeneo ya uchimbaji madini, mikopo na teknolojia ili kurahisisha uchimbaji na hayo yameendelea kufafanuliwa katika ukurasa wa 105 ,106, 107 ,11.Tunazungumzia maliasili katika mpango wa miji na majiji .Ukurasa 118 kuwawezesha wananchi. "Sisi Chama Cha Mapinduzi tumekuja na ahadi ambazo ziko kwenye Ilani yetu na ndio ambayo Rais,Wabunge na Madiwani watatakiwa kuyatekeleza. Kwa Shinyanga ukurasa wa 31 unazungumzai kuimarisha vyama vya ushirika, shinyanga kulikuwa na vyama vya ushirika na tunataka vyama hivyo viende kwa spidi kama ile ya zamani.Ukurasa wa 35 unazungumzia wa magharala na vihenge vya kisasa. "Ukienda ukurasa 44 unazungumzia juu ya kujenga vituo vya kuchakata na kuhifadhi mazao katika mikoa mbalimbali nchini ikiwemo ya Arusha, Mwanza Tabota, Morogoro,Mtwara,Singida Songwe Tanga na mikoa mingine kadhaa na Shinyanga ikiwemo.Kwa hiyo kwa hiyo nikieleza katika kipindi kingine cha miaka mitano tutajenda viwanda vya nyama na tunamaanisha,"amesema Dk.Magufuli wakati anafafanua baadhi ya kurasa za ilani hiyo. Pia amesema katika Ilani hiyo ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2020 , ukurasa wa 45 unazungumzia kuchakata mazao ya kilimo na Shinyanga ni wakulima wazuri wa kilimo cha pamba.Ukurasa wa 51 unazungumzia kuongeza uzalishaji wa mazao yatokana na pamba.Mengi yameanishwa hata ufugaji samaki wameahidi kuendelea kujenga mabwawa makubwa.Ukurasa wa 77 unazungumzia ujenzi wa barabara ya kutoka Kagongwa ,Bukoba hadi Kahama yenye urefu wa kilometa 31. "Yapo mengi midradi ya REA yapo ukurasa wa 94.Ilani imezungumzia ujenzi wa reli ya treni ya kisasa inayotumia umeme inayotoka Makotopola,Tabora na Tabora hadi Isaka mpaka Mwanza yenye urefu wa kilometa 250 na fedha zinazotumika ni matrilioni ya fedha.Mtakaonufaika na miradi hii ni vijana na hiyo ndio ya njia ya kutengeneza ajira, ajira ni pamoja na miumdombinu imara ambapowananchi watashiriki kwenye shughuli za uchumi "Mwezi wa Nane au wa Tisa kabla ya kumalizika kwa mwaka huu ujenzi wa reli hiyo utaanza.Ukusara 95 unazungumzia tena viwanja vya ndege. umetoa ufafanuzi wa ndani zaidi, lakini ukurasa wa 99 unazungumzia umeme imara, tumesema nchi yetu iwe na umeme wa kutosha na tutakapomaliza mradi wa Bwawa la kufua umeme la Nyererere tutakuwa na umeme wa kutosha na kama unavyosema tutakuwa kama Ulaya. "Pia tutakamilisha utekelezaji wa awamu ya pili ya njia ya umeme ya kutoka Iringa, Dodoma,Singida hadi Shinyanga.Ukurasa wa 105 unazungumzia madini , yako mengi yamezungumza nitasoma machache, itakuwa ni kuimarisha mifumo ya kisheria na kisera, tunataka madini yanufaishe wananchi wa kawaida , ndio maana tunataka madini haya yachimbwe na wananchi wenyewe. "Tutaendelea kuimarisha maeneo ya uchimbaji madini, mikopo na teknolojia ili kurahisisha uchimbaji na hayo yameendelea kufafanuliwa katika ukurasa wa 105 ,106, 107 ,11.Tunazungumzia maliasili katika mpango wa miji na majiji .Ukurasa 118 kuwawezesha wananchi. katika mikoa mbalimbali na Shinyanga nayo imo,"amesema Dk.Magufuli mbele ya maelfu ya wananchi wa Mkoa huo.Karibia kila ukurasa wa Ilani yetu unazungumzia maendeleo na Shinyanga nayo imo." Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Shinyanga mjini katika Mkutano wa Kampeni za Urais kwa upande wa CCM uliofanyika katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga leo tarehe 03 Septemba 2020. Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza huku akiwa ameishika Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa mwaka 2020-2025 katika mkutano wa Kampeni za Urais kwa upande wa CCM uliofanyika katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga leo tarehe 03 Septemba 2020. Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa anafurahia wakati akiangalia msanii wa Singeli Sholo Mwamba alipokuwa akitumbuiza katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga. Sehemu ya Wananchi wa Shinyanga wakishangilia wakati Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akizungumza katika mkutano wa Kampe *ni Shinyanga mjini.* ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/09/mgombea-urais-wa-ccm-ndugu-dkt-john.html
null
null
null
null
null
null
Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho tawala Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiserebuka na msanii wa Bongo Fleva Chegge Chigunda wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni katika Uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga Alhamisi Septemba 3, 2020 ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/07/mwenyekiti-wa-uvccm-taifa-ndugu-kheri_13.html
null
null
null
null
null
null
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Comred Kheri Denice James leo tarehe 12,07,2020 ameongoza kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa jijini Dodoma. Pamoja na mambo mengine Wajumbe wa Kikao cha Kamati ya Utekelezaji, wametoa Pongezi kwa Wajumbe wote wa Mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi kwa kuendelea kuthamini na kutambua Uchapakazi na Uzalendo wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Dkt John Pombe Magufuli kwa kumpitisha kwa Kura za Kishindo kuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi. Pia Kikao hicho kimetoa pongezi kwa Ndugu Hussein Mwinyi kwa Kuaminiwa na Wajumbe wa Mkutano mkuu wa CCM kuipeperusha Bendera ya CCM katika nafasi ya Urais wa Zanzibar. Aidha, Kikao hicho kimepitia na Kujiridhisha juu ya maandalizi ya Kuelekea katika Uchaguzi Mkuu na kwa Kauli moja wajumbe Hao wameridhishwa na mipango mbalimbali pamoja na Utayari wa Vijana kuelekea katika Uchaguzi Wa Mwaka 2020. #TukutaneKazini ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/07/mwenyekiti-wa-ccm-tanzania-dkt-magufuli.html
null
null
null
null
null
null
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Hall Jijini Dodoma. Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli katika kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020 Jijini Dodoma. Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimkaribisha Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar Ndg Ali Mohamed Shein katika kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020 Jijini Dodoma. Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu kilichoketi leo tarehe 9 Julai 2020 Jijini Dodoma. Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kabla ya kuanza kikao wakisimama kimya kwa dakika moja kutoa heshima zao kwa ajili ya kifo cha Mzee Job Lusinde, aliyekuwa sehemu ya waasisi, mjumbe wa Baraza la Wadhamini la CCM na Kiongozi katika Chama na Serikali. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/07/mwenyekiti-wa-uvccm-taifa-ndugu-kheri_94.html
null
null
null
null
null
null
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Komred Kheri Denice James leo amewapokea ndg Joshua Nasari aliekuwa Mbunge Wa Jimbo la Arumeru Mashariki Pamoja na Ndg Wilbroad Qambalo aliekua Mbunge Wa Jimbo la Karatu . Akizungumza katika Mkutano wa Kuwapokea Viongozi hao Ndg Kheri amewapongeza Viongozi hao kwa kutumia haki yao ya kikatiba ya kila Mwananchi kuwa huru kujiunga na Chama anachokitaka. Pia Ndg Kheri ameipongeza Serikali ya Awamu ya Tano kwa kutekeleza Ilani ya CCM 2015-2020 kwa Vitendo na kuendelea kuhakikisha kila Mtanzania ananufaika katika eneo lake alisema “Tunatoa Pongezi zetu kwani kasi ya utendaji mahiri wa serikali ya Rais Dk Magufuli si nguvu ya soda kwa sababu Chama Cha Mapinduzi kipo hai, kinafuatilia ufanisi wa miongozo, sera na program na sasa tunaona ukamilishaji wa ahadi za Ilani ya CCM 2015-2020 kwa Mafanikio makubwa”. Alisema ni jambo la kusikitisha anapowasikia baadhi ya wapinzani baada ya kukiri kuwa Serikali ya CCM ni kiboko yao wameamua kuzusha kila hoja za uzushi na uongo zenye Malengo ya kuikwamisha Serikali kuendelea na majukumu yake ya kuwaletea maendeleo Watanzania. Pia ndg Kheri Ametoa pongezi kwa Chama Cha Mapinduzi na Watanzania wote kwa Kumpa nafasi ya Kuiongoza Serikali ya Awamu ya Tano Rais Mzalendo kwa Taifa lake Dkt John Pombe Magufuli. "Chama chetu hakikufanya kosa na hakitofanya kosa kulipitisha jina la Dk Magufuli awe mgombea urais na Watanzania Kama ambavyo hawakukosea Mwaka 2015, Watanzania Watamchagua Dkt Magufuli kura za Kishindo katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu 2020. Wakizungumza Viongozi hao waliopokelewa wamesema “Sababu za Kujiunga na Chama Cha Mapinduzi ni Kutokana na Demokrasia Iliyo ndani ya CCM pamoja na kuvutiwa na Kasi ya Utendaji ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Wananchi wake” Mkutano huo umehudhuriwa na Viongozi na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi,Kamati ya Siasa Mkoa wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa Ndg Zelote Stephen Zelote. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/07/mwenyekiti-wa-uvccm-taifa-ndugu-kheri_8.html
null
null
null
null
null
null
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa,na Mjumbe wa Kamati Kuu Komred Kheri James Amehitimisha ziara ya Kikazi ya siku Tatu katika Mkoa wa Singida. Katika Ziara hiyo Comred Kheri alijikita katika .Kukagua Uhai wa Chama na Jumuiya ya Umoja wa vijana wa CCM, Wajibu na msingi wa kuendesha Jumuiya,Maandalizi na wajibu wa vijana kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020,Umuhimu wa ushirikiano wa Chama na Jumuiya,Wajibu wa Chama kwa Jumuiya za CCM. Akizungumza na Viongozi hao Komred Kheri amewapongeza Viongozi wote wa Chama Cha Mapinduzi wakiongozwa na mwenyekiti wa Mkoa Ndg Alhaj Juma Kilimba Kwa Umoja na Mshikamano wao kwa Juhudi za Kuimarisha Chama . Aidha Ndg Kheri amepongeza Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi kwa Kutekeleza maelekezo ya Ujenzi wa Nyumba za Makatibu wa UVCCM katika Wilaya zake na Mkoa pamoja na Mikakati mizuri ya Ushindi wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Akishukuru kwa niaba ya viongozi wote,Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Ndg Alhaj Juma Kilimba amemshukuru na kumpongeza Mwenyekiti wa UVCCM Taifa kwa kazi kubwa ya kuimarisha chama na jumuiya alioifanya mkoani humo,na amemuahidi kuwasimamia viongozi na wanachama Katika kusimamia kazi nzuri iiliyo fanyika na kujiandaa kukitafutia kura za kishindo chama cha mapinduzi ktk uchaguzi mkuu. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/08/naibu-katibu-mkuu-uvccm-bara-ndg-galila.html
null
null
null
null
null
null
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Tanzania Bara Ndugu Galila Wabanh'u (MNEC) akizungumza na Vijana Watafsiri Movie za Nje katika Ofisi ndogo za Makao Makuu ya UVCCM Taifa jijini Dar es salaam. ............................................ Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Tanzania Bara Ndugu Galila Ramadhan Wabanh'u (MNEC) amekutana na kufanya mazungumzo na Wasanii wa Kutafsiri kwa Lugha ya Kiswahili katika Movie za nje kutoka Wilaya ya Temeke jijini Dar es saalam. Katika Mazungumzo hayo Umoja wa Watafsiri Movie za Nje kwa Lugha ya Kiswahili walifikisha Changamoto zao kwa Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa-Bara Ndugu Galila (MNEC) na kuomba zitendewe haki kwakuwa Chama cha Mapinduzi kinashughulika na shida za watu mbalimbali. Naibu Katibu Ndugu Galila Wabanh’u alipokea Changamoto za Watafsiri Movie za Nje na kuwapongeza kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kukuza Lugha ya Kiswahili. Pia, Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Bara aliomba kushughulika na Changamoto hizo ndani ya wiki moja ili kupata ufumbuzi wa suala la kurasmishwa na serikali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Aidha, Naibu katibu Mkuu wa UVCCM Bara amepokea mchango wa Umoja wa Watafsiri Movie kwa lugha ya Kiswahili Tanzania unaoenda kwa wahanga wa Ajari ya Moto iliyotokea hivi karibuni Mkoa wa Morogoro na kuahidi kufikisha kwa walengwa. | ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/ushairi-hongera-baba-dkt-bashiru-mwaka.html
null
null
null
null
null
null
**USHAIRI: HONGERA BABA DKT. BASHIRU** **(MWAKA MMOJA WA UKATIBU MKUU CCM)** **Mtunzi: Edimund Lihawa** **S.L.P 999 Kidugala, NJOMBE** **Simu no; 0765861267** **1. Daktari wetu Bashiru, we u jiwe la msingi,** **We hukuja kwa udhuru, lako moja siyo mengi,** **Haki amani Bashiru, wasisitiza kwa wingi,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **2. Ishina9 mei mwezi, shirini kumi na nane,** **Ulipata uteuzi, chama na kionekane,** **Kweli umepiga mbizi, chama sasa ni kinene,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **3. Umepambana vikali, juu ya makinikia,** **Umefunua ukweli, sisi tunajivunia,** **Twanufaika twakili, kwa uchumi Tanzania,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **4. Na ndani ya chama chetu, ni Chama Cha Mapinduzi,** **Udugu hata na utu, na umoja si upuzi,** **Na wakumbatia vitu, wametoka kama wezi,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **5. Umepandisha uchumi, wa Chama Cha Mapindui,** **Vyanzo vingi vya uchumi, nondo hawaingilii,** **Falsafa za uchumi, ni nyingi yako ni hai,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **6. Usimamizi wa dhati, kutekeleza wajibu,** **Kweli li wazi kwa dhati, matendo mengi yajibu,** **Chamani watii kwa dhati, hakuna shughuli bubu,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **7. Ona ye alivyo bingwa, kwenye mambo ya uchumi,** **Kadi za umeme undwa, vyote vyanzo vya uchumi,** **Ufujaji kuondoshwa, chama chalinda uchumi,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **8. Vijana hujawaacha, kweli we ni dila kwao,** **Wao ni kila kukicha, wewe ni kioo kwao** **Ujamaa hatutaacha, kutoka kwako tunao** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **9. Tokeo la chama chetu, taifa lajivunia,** **Kukua kwa chama chetu, ni taifa linakua,** **Hongera Bashiru wetu, twafurahi Tanzania,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **10. Twakuombea kwa mungu, we kiongozi shupavu,** **Wazi kakuleta mungu, nchini tingisha nyavu,** **Haya si maneno yangu, watanzani kwa nguvu,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **11. Pagam Amum mwalim, chuo kiku UDSM,** **PS 2 mwalim2, 21 ni mwalim,** **Kafananisha mwalim, na viongozi muhim,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** **12. Karamu napumzisha, uwe na sherehe njema,** **Katika huu mwaka kwisha, fanya tafakari njema,** **Hakuna tanga kushusha, sisi daima tu nyuma,** **Hongera baba bashiru, mwaka sasa umefunga.** ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/02/ushairi-nasubiri-jibu-lako.html
null
null
null
null
null
null
**Ushairi: NASUBIRI JIBU LAKO.** **1.** **Ni tamu sauti yako,** **Nifananishe na nini,** **Wanivutia mwondoko,** **Ka hugusi ardhini,** **Natamani huba zako,** **Hivi utanipa lini?** **2.** **Hilo tabasamu lako,** **Mithili ya huraini,** **Lanimaliza mwenzako,** **Nguvu zaisha mwilini,** **Hivi huo moyo wako,** **Kunipa washindwa nini?** **3.** **Viatu viwe kokoko,** **Na hata vya chinichini,** **Vyapendeza vyote kwako,** **Kila uvaacho hani,** **Hivi langu hamaniko,** **Tayari shalibaini?** **4.** **Nyusi kama zina piko,** **Na vishimo mashavuni,** **Nuru ya machoni mwako,** **Kama nyota za mbinguni,** **Hivi langu fadhaiko,** **Kiumbe haulioni?** **5.** **Mwisho nipa moyo wako,** **Milele niuthamini,** **Changu kitakuwa chako,** **Kweli sifanyi utani,** **Nisubiri jibu lako,** **Mahabuba hadi lini?** ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/01/ushairi-kidonda-cha-huba.html
null
null
null
null
null
null
**Ushairi: KIDONDA** **Mshairi: HAMISI A.S KISSAMVU** **0715311590** **kissamvujr@gmail.com** **kutoka (Baitu shi'ri)** **MABIBO DSM** **1. Kidonda hiki kidonda, cha mahaba ni msiba.** **Kilio kitakutanda, mwilini kikikukaba** **Hauchelewi kukonda** **Kukonda kutakuwanda,na tibaye huwa haba** **Siku zitazidi kwenda.chakutafuna ja buba** **Sio kale hata sasa huponi donda la huba** **2. Kinadanganya kupona,juu kuweka kigaga** **Kumbe uzima hapana, na mwili chauvuruga** **Muumwa talia sana** **Sana peke akibana,fikira za mvuruga** **Akikumbuka ya jana, kwa siha aliwakoga** **Sio kale hata sasa huponi donda la huba** **3. Wengi kinawadhuru, wala hakuna jabari** **Kikikupata shukuru, muombe dua kadari** **Kidonda hiki hatari** **Hatari chafunga nuru, huwi mwenye kufikiri** **Zinakupotea heri, kila ulacho shubiri** **Sio kale hata sasa huponi donda la huba** **4. Aondoke mahabuba, alokukaa moyoni** **Alokujaza kwa huba, ukapoteza uoni** **Ni mauko ya mahaba** **Mahaba tena ni haba, yatakuwa henzerani** **Utabaki na ukuba, mziba pengo ninani?** **Sio kale hata sasa huponi donda la huba** **5. Wala hakuna tabibu, wa bara hata mrima** **Awezaye kulitibu, ukarejea uzima** **Hata walio janibu** **Janibu nako ni tabu, hili donda la zizima** **Vijana na mashaibu, kilindini wamezama** **Sio kale hata sasa huponi donda la huba** **6. Hapa tamati ya mbeko, nayasitisha maneno** **Yakata huku na huko, mkato wa msumeno** **Donda halina kifano** **Kifano chake kihako, haya sifanye bishano** **Mvuzi wa maandiko, hawezi fanya kiguno** **Sio kale hata sasa huponi donda la huba** ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2018/12/dkt-mwakyembe-lugha-ni-kielelezo-cha.html
null
null
null
null
null
null
**Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akiongea na wataalamu wa lugha ya Kiswahili ( Hawapo katika picha), jana Jijini Dodoma katika halfa ya kuwatunuku vyeti vya utambuzi wataalamu 67 waliofuzu mafunzo ya muda mfupi yaliyoandaliwa na Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) jana Jijini Dodoma..** **Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (Kushoto) akivishwa skafu na kijana wa Skauti wa Shule ya Sekondari Dodoma Vicky Jactan (Kulia) , alipowasili shuleni hapo jana Jijini Dodoma katika hafla ya kuwatunuku vyeti vya utambuzi wataalamu 67 wa lugha ya Kiswahili waliofuzu mafunzo ya muda mfupi yaliyoandaliwa na Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA).** **Mhitimu ambaye ni Mwalimu wa shule ya Sekondari Chikole ya Jijini Dodoma Bibi. Neema Mkobalo akisoma risala kwa mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (Wa tatu kulia) katika halfa ya kuwatunuku vyeti vya utambuzi wataalamu 67 wa lugha ya Kiswahili waliofuzu mafunzo ya muda mfupi yaliyoandaliwa na Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) jana Jijini Dodoma.** **Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (Kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya muda mfupi ya wataalamu wa lugha ya Kiswahili Mwalimu wa Shule ya Msingi Chikowa Bibi. Theresia Lejale jana Jijini Dodoma.** **Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (Kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya muda mfupi ya wataalamu wa lugha ya Kiswahili Mwalimu wa wa Shule ya Msingi Vikonje Bw. Emmanuel Mzumya jana Jijini Dodoma.** **Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wataalamu wa lugha ya Kiswahili waliofuzu mafunzo ya muda mfupi yaliyoandaliwa na Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) jana Jijini Dodoma.(Picha na Lorietha Laurence-WHUSM,DODOMA)** **Na. Lorietha Laurence-WHUSM, Dodoma** **Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amesema kuwa lugha ni kielelezo na sehemu muhimu ya utambulisho wa taifa lolote duniani.** **Hayo ameyasema jana Jijini Dodoma katika Hafla ya kuwatunuku vyeti vya utambuzi wataalamu 67 wa lugha ya Kiswahili waliofuzu mafunzo ya muda mfupi yaliyoandaliwa na Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA).** **“Taifa lolote lisilo na utamaduni wake ni taifa mfu, na sisi tunajivunia kwa kuwa na utamaduni hai ikiwemo lugha yetu ya Kiswahili” alisema Dkt. Mwakyembe** **Aidha aliongeza kwa kueleza kuwa lugha ya Kiswahili ni kitambulisho cha utamaduni wa Mtanzania , kwa kuwa ndiyo lugha inayowaunganisha watu katika shughuli mbalimbali za Kijamii, Kisiasa na kiuchumi.** **Dkt. Mwakyembe anazidi kufafanua kuwa takribani lugha elfu sita (6000) huzungumzwa kila siku duniani ambapo lugha ya Kiswahili ni miongoni mwa lugha 10 zinazoongelewa kwa wingi.** “Mafunzo haya ni mwanzo tu mwa mambo mengi mazuri ambayo Wizara yangu imepanga kufanikisha na ukizingatia kampeni ya mwaka huu ya Uzalendo na Utaifa ina kauli mbiu inayohamasisha kukuza lugha yetu ambayo ni Kiswahili Utashi Wetu, Uhai Wetu” alisema Dkt. Mwakyembe. **Naye Kaimu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Bibi. Consolata Mushi alieleza kwamba mpaka sasa Baraza limefanikiwa kutoa mafunzo kwa wataalamu 350 ambapo jumla ya wataalamu wapatao 198 tayari wametunukiwa vyeti na wataalamu 98 wanatarajiwa kutunukiwa vyeti hivyo mwezi Desemba 2018.** **Anazidi kueleza kuwa lengo la BAKITA ni kuwapa fursa wataalamu hao ili waweze kusajiliwa katika mfumo wa kanzi data ambayo tayari imesajili wataalamu wapatao 380 kwa ajili ya kufundisha lugha ya Kiswahili kwa wageni ndani na nje ya nchi.** **Pia Bibi. Consolata alitoa wito kwa wataalamu wa Kiswahili kutoka katika mikoa yote ya Tanzania Bara kujiunga na kupata mafunzo hayo ili waweze kuorodheshwa katika kanzi data hiyo kwa ajili ya kukibidhaisha Kiswahili katika mataifa mengine.** **Kwa niaba ya wahitimu wenzake Mwalimu wa shule ya Sekondari Chikole ya Jijini Dodoma Bibi. Neema Mkobalo alimshukuru Waziri Dkt. Mwakyembe pamoja na uongozi wa BAKITA kwa kuratibu mafunzo hayo na kuahidi kufanyia kazi yale yote waliyojifunza .** ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2018/11/mwanamuziki-king-kikii-ateta-na-maofisa.html
null
null
null
null
null
null
*Na Dotto Mwaibale* *MWANAMUZIKI Mkongwe hapa nchini Kikumbi Mwanza Mpango 'King Kiki' ameliomba jeshi la polisi kuendelea kusimamia sheria ya haki miliki za wanamuzi ili kazi za wanamuziki hao zisiishie kwa maharamia.* *Ombi hilo alilitoa mwishoni mwa wiki wakati viongozi wa Umoja wa Wanamuzi Tanzania (TAMUFO), ukitoa mada kwa maofisa wa Jeshi la Polisi waliopo katika mafunzo Chuo cha Polisi cha Kurasini jijini Dar es Salaam kuhusu haki za wanamuziki hapa nchini.* *"Ninyi wenzetu jeshi la polisi ndio tunaowategemea katika kusimamia sheria hii tunaamini mtatusaidia kazi zetu zisiibwe na maharamia" alisema King Kiki.* *Akizungumza na katika mafunzo hayo Rais wa TAMUFO, Dkt. Donald Kisanga alisema lengo la mafunzo hayo ya siku moja kwa maofisa hao ni kuwajengea uelewa wa ulinzi wa kazi za muziki ikiwepo kudhibiti na kuwakamata maharamia wa kazi muziki hapa nchini.* *Katibu Mkuu wa TAMUFO Stellah alisema umoja huo ulishatoa mapendekezo kupitia waraka maalumu kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt Harisson Mwakyembe ili mtu yeyote atakayebainika akihujumu kazi za wasanii ashitakiwe kwa makosa ya jinai.* *Alisema TAMUFO pia inaandaa mapendekezo ya kupeleka serikalini ya kuweka dawati la jinsia katika vituo mbalimbali vya polisi hapa nchini ambayo yatakuwa yakishughulikia wizi wa kazi za wanamuziki.* *Mshauri wa masuala ya kisheria wa TAMUFO, Mkaguzi wa Polisi Dkt. Ezekiel Kyogo akitoa mada katika mafunzo hayo yaliyowahusisha maofisa wa polisi zaidi 500 kutoka mikoa yote ya Tanzania alisema ni muhimu kwa maofisa hao kujua sheria hizo kwa kuwa wao ndio wanaozisimamia.* *"Changamoto kubwa tuliyonayo ni maofisa wetu wa polisi kutojua sheria zinazosimamia kazi za wasanii wetu ndio maana tumeona tuwapige msasa ili waijue na kuweza kuongeza nguvu ya kuwakamata maharamia wa kazi hizo za wanamuziki" alisema Kyogo.* *Alisema sheria ya mtandao ya mwaka 2015 sheria namba 14 mtu yeyote atakaye bainika akidurufu nyimbo na kumpa mtu mwingine bila ya ruhusa ya mmiliki wa wimbo husika adhabu yake ni kifungo kisicho zidi miaka mitatu au kulipa faini shilingi milioni tano.* *Aliongeza kuwa kwa mtu atakayebainika akidurufu nyimbo za wasanii kwa lengo ya kuziuza kifungo chake ni miaka mitatu au kulipa faini shilingini milioni 20 hivyo alitoa rai kwa wananchi kuacha kuchezea kazi za wasanii kwani sheria hizo zipo na zinafanya kazi.* *Alisema kazi za wasanii zikilindwa zitawanufaisha kwa kuziuza na zitatoa ajira hivyo ni muhimu jamii ijengewe uelewa ili waache kuiba kazi hizo ambazo zikilindwa vizuri zitaweza kutangaza utamaduni wetu na serikali itapata mapato kutokana na kodi watakazolipa wahusika baada ya kuziuza.* *Maofisa hao wa polisi waliitaka TAMUFO ijihimarishe zaidi katika kazi yao hasa kwa kusimamia mapato yote ya wanamuziki kama inavyofanyika katika nchi zingine jambo likatalosaidia kuyalinda maslahi ya wanamuziki badala ya kuwategemea polisi ambao wanamajukumu mengi ya kesi za jinai.* *"Tunawaomba TAMUFO mjiongeze wekeni utaratibu wa nyinyi kuwa wakusanyaji wa mapato ya wanamuziki jambo ili litasaidia wanamuziki kupunguza uharamia na pia litatupungizia kazi hata sisi wasimamizi wa sheria" alisema mmoja wa maofisa hao wakati akiuliza maswali.* *Mwanamuziki Mkongwe nchini Kikumbi Mwanza Mpango 'King Kikii' akizungumza na maofisa wa Jeshi la Polisi waliopo katika mafunzo Chuo cha Polisi cha Kurasini jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kuhusu haki za wanamuziki hapa nchini ambapo ameliomba jeshi la polisi kuendelea kusimamia sheria ya haki miliki za wanamuzi ili kazi zao zisiishie kwa maharamia. Mada katika mkutano huo zilitolewa na viongozi wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO)* *Maofisa wa polisi wa chuo hicho wakisikiliza mada.* *Katibu wa TAMUFO Stellah Joel Diana akizungumza na maofisa hao.* *Rais wa TAMUFO Dkt. Donald Kisanga akizungumza na makamanda hao.* *Maofisa hao wakiwa bize kuchukua mambo mbalimbali katika mkutano huo.* *Hapa ni kazi tu kwa kwenda mbele maharamia wa kazi za wanamuziki mkae mbali si mnawaona hao jamaa walivyo makini katika mafunzo hayo.* *Mshauri wa masuala ya kisheria wa TAMUFO, Mkaguzi wa Polisi Dkt. Ezekiel Kyogo akitoa mada katika mafunzo hayo.* *Mkutano ukiendelea.* *Makamanda wakiwapashia makofi viongozi hao wa TAMUFO kwa utoaji wa mada nzuri.* *Mwanamuziki wa nyimba za injili Emmanuel Mbasha akizungumza na makamanda hao.* *Picha ya pamoja* ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/08/katibu-mkuu-wa-chama-cha-mapinduzi-dkt.html
null
null
null
null
null
null
| Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Dkt Bashiru Ally Kakurwa akipokea Kombe la Ndondo Cup kutoka kwa timu ya Umoja wa Vijana wa CCM Temeke iliyoshinda Ubingwa huo 2019/2020 | Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Dkt Bashiru Ally Kakurwa tarehe 22/08/2019 amezungumza na Mabingwa wa Kombe la Ndondo Cup katika Ofisi ndongo za CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Vijana hao wa Team ya Umoja wa Vijana Wilaya ya Temeke pamoja na Wadau na Waandaaji wa kombe hilo,Amewataka wanamichezo kote nchini kuendelea kuitumia fursa hiyo Vizuri ili kufikia malengo waliyojiwekea. Pia Dkt Bashiru amewataka Vijana wote nchini wenye nia ya kuwatumikia wananchi kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wenye uadilifu na Uzalendo kwa Taifa letu ili kuweza kusukuma gurudumu la maendeleo mbele. Aidha amewataka Vijana kutotumika na Viongozi wanaowatumia nyakati za Shida za kiuchaguzi na kuwaasa kuendelea kuwa bega kwa bega na Viongozi waliopamoja nao wakati wa shida na raha, amesisitiza kuwa viongozi bora wa kuwachagua hawawezi kutokana na Chama kingine cha siasa bali Chama Cha Mapinduzi pekee, hivyo wakati wa Uchaguzi utakapofika wasifanye makosa Pia Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Tanzania Ndg Galila R Wabanh’u (MNEC) alimshukuru Katibu Mkuu wa CCM kwa kukubali ombi la kutenga muda wa kupokea kombe hilo kutoka kwa mabingwa hao (UV-TEMEKE), aidha ameahidi kuwa UVCCM Taifa itaendelea kusaidia vijana nchi nzima kuibua vipaji vya michezo ambacho kitawasaidia katika maisha yao pamoja na kujenga umoja na mshikamano wa kitaifa. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/08/timu-ya-taifa-stars-yaitoa-kenya-kwa.html
null
null
null
null
null
null
TIMU ya Taifa ya Mpira wa Miguu Taifa Stars wamefanikiwa kuvuka hatua ya mwanzo ya mchujo yq kuwania tiketi ya Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN kuiondoa timu ya Kenya Harambee Stars. Taifa Stars wamefanikiwa kutinga ya mwisho ya mchujo baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Kenya jioni ya leo Uwanja wa Moi Kasarani mjini Nairobi, Kenya. Katika mchezo wa kwanza, uliochezwa Jijini Dar es Salaam Timu hizo zilishindwa kufungana na kutoshana nguvu ya 0-0. Mchezo wa pili uliweza kumalizika kwa dakika 90 bila kufungana na kwenda kwenye hatua ya matuta na kipa mkongwe, Juma Kaseja aliweza kuwa shujaa owa kuokoa penati ya Michael Kibwage. Kipa huyo amerejeshwa kikosini baada ya miaka sita na kuendelea kudhihirisha ubora wake.Kwa upande wa Tanzania Waliopata penati ni mabeki Erasto Nyoni, Paul Godfrey ‘Boxer’, Gardiel Michael na mshambuliaji Salum Aiyee. Kenya walipata penalti moja tu, ambayo ilifungwa na Cliffton Miheso Ayisi, huku nyingine wakikosa Michael Kibwage na Joash Achieng Onyango. Sasa Tanzania itakutana na Sudan katika hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania tiketi ya CHAN ya mwakani nchini Cameroon, mechi ya kwanza ikichezwa Dar es Salaam Septemba 20 na marudiano Oktoba 18 Khartoum. Kikosi cha Tanzania kilikuwa; Juma Kaseja, Paul Godfrey, Gardiel Michael, Erasto Nyoni, Kelvin Yondan, Jonas Mkude, Frank Domayo/Salim Aiyee, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, John Bocco/Ayoub Lyanga, Iddi Suleiman ‘Nado’ na Hassan Dilunga/Abdulaziz Makame. Kenya; John Oyemba, Philemon Otieno/Ibrahim Shambi, Cliffton Miheso, Mike Kibwage, Joash Onyango, Dennis Odhiambo, Samuel Onyango, Kenneth Muguna, Sydney Lokale/Enosh Ochieng, Whyvone Isuza na Duke Abuya/ David Owino. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/06/makamu-wa-rais-mhe-samia-azindua.html
null
null
null
null
null
null
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Hundi ya Shilingi Milioni 10 kutoka kwa Viongozi wa CRDB Bank ikiwa ni mchango kwa Timu ya Taifa Stars kwenye Harambee ya kuchangia Timu ya Taifa Stars ilioyofanyika leo Juni 20, 2019 katika Hoteli ya Serena Jijini Dar Es Salaam ambapo Jumla ya Shilingi Milioni 370 zilichangishwa hapo hapo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa kuzindua Harambee ya kuchangia Timu ya Taifa Stars ulioyofanyika leo Juni 20, 2019 katika Hoteli ya Serena Jijini Dar Es Salaam ambapo Jumla ya Shilingi Milioni 370 zilichangishwa hapo hapo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka saini kwenye Jezi Mpya ya Timu ya Taifa Stars ikiwa ni ishara ya Uzinduzi wa Jezi hiyo wakati wa Harambee ya kuchangia Timu ya Taifa Stars ilioyofanyika leo Juni 20, 2019 katika Hoteli ya Serena Jijini Dar Es Salaam ambapo Jumla ya Shilingi Milioni 370 zilichangishwa hapo hapo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wachangiaji kwenye Harambee ya kuchangia Timu ya Taifa Stars ilioyofanyika leo Juni 20, 2019 katika Hoteli ya Serena Jijini Dar Es Salaam ambapo Jumla ya Shilingi Milioni 370 zilichangishwa hapo hapo.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kuzungumza na msemaji wa Timu ya Simba Haji Manara kwenye Harambee ya kuchangia Timu ya Taifa Stars ilioyofanyika leo Juni 20, 2019 katika Hoteli ya Serena Jijini Dar Es Salaam ambapo Jumla ya Shilingi Milioni 370 zilichangishwa hapo hapo. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/06/ruvuma-songwe-zaingia-fainali-ya.html
null
null
null
null
null
null
Patashika katika mchezo wa mpira wa kikapu wasichana baina ya timu ya mkoa wa dar es salaam dhidi ya timu ya mkoa wa Morogoro ambapo Dar es salaam waliilaza Morogoro kwa 38-17 Mabingwa UMISSETA mwaka 2017 timu ya soka wavulana ya mkoa wa Songwe wakifuraia ushindi baada ya kuifunga kwa penati timu ya mkoa wa Mwanza Golikipa wa Songwe Joseph shibanda akipangua shuti kali la penati lililopigwa na Felician Lucas wa Mwanza na kuipa ushindi timu yake ya Songwe kwa jumla ya magoli 4-3. ………………… Na Mathew Kwembe, Mtwara Timu za mpira wa miguu za wavulana kutoka mikoa ya Ruvuma na Songwe ndizo zitakazocheza hatua ya fainali kumtafuta bingwa wa UMISSETA mwaka huu, mchezo unaotarajiwa kuchezwa katika uwanja wa Nangwanda ijumaa tarehe 21 juni 2019. Ruvuma ndiyo walikuwa wa kwanza kufuzu hatua hiyo baada ya kuifunga Lindi kwa magoli 2-0. Magoli ya Ruvuma yakifungwa na Said Bakari dakika ya 29 na John Ching’uku alifunga goli la pili dakika ya 59. Katika mchezo baina ya Mwanza na songwe ulilazimika kuamuliwa kwa mikwaju ya penati baada timu hizo kutoka suluhu ya bila kufungana katika dakika 90 za mchezo na hatimaye Songwe kushinda kwa penati 4-3. Shujaa wa mchezo huo alikuwa ni golikipa wa Songwe Joseph Shibanda ambaye ndiye aliyewanyamazisha mashabiki wa Mwanza baada ya kudaka shuti kali la Felician Lucas wa Mwanza. Penati nyingine kwa upande wa Songwe zilifungwa na Pascal Adriano, Joseph Shibanda, Michael kabuki pamoja na Justine Mwambungu huku penati ya Sekelo Kalinga ‘’kichuya mtoto’’ ikipanguliwa na golikipa wa mwanza. Waliofanikiwa kufunga magoli kwa upande wa timu ya Mwanza ni Nassoro Omary, Frank Faustino na Boniface Ernest huku waliokosa kwa upande wa Mwanza ni Mashinyali Maira, na Felician Lucas. Kocha wa Songwe, Mwalimu PrayGod Lugenge amesema kuwa amefurahia timu yake kuingia fainali kwani walijiandaa kwa muda mrefu baada ya kufanya mazoezi kwa muda mrefu. Alisema kuwa hashangazwi na timu yake kufika hatua hiyo kwani mwaka 2017 wakati wanashiriki mashindano hayo kwa mara ya kwanza walifanikiwa kushinda mechi zao na hatimaye walitwaa kombe hilo ikiwa ni mara yao ya kwanza kushiriki mashindano hayo. Lugenge alisema kuwa timu yake pamoja na kucheza vizuri kwenye mchezo huo ndani ya dakika 90 walilazimika kusubiri mchezo huo uamuliwe kwa penati baada ya timu yake kufanya mashambuzi mengi dhidi ya Mwanza. Mwalimu huyo kutoka shule ya sekondari J.K Nyerere iliyopo Tunduma aliwataka wadau wa soka nchini hususan TFF kutafuta vipaji katika maeneo mengi nchini badala ya kung’ang’ania wachezaji wa Dar es salaam peke yake. Amesema timu ya Songwe ina fursa ya kufanya vizuri kwani wachezaji wake wengi wanaundwa na timu nne za mkoa huo na hivyo wachezaji wake wengi wanafahamiana kwani wamecheza muda mrefu.Aidha Kocha huyo wa Songwe ameisifu kamati ya kuratibu mashindano ya UMISSETA na TAMISEMI kwa namna ilivyokuwa makini kuhakikisha kuwa mashindano ya mwaka huu hayatawaliwi na mamluki. Amesema mfumo wa kielektroniki uliotumiwa mwaka huu umerejesha msisimko uliokuwepo miaka ya nyuma ambapo wachezaji wanaoshiriki mashindano hayo ni wale wanaosoma katika shule za sekondari nchini. Kwa upande wake nahodha wa Songwe Joseph Shibanda naye ameipongeza serikali kwa usimamizi thabiti wa michezo hiyo ambapo amesema kuwa kutokana na namna usimamizi ulivyokuwa mzuri utawezesha kupatikana kwa bingwa wa kweli na pia kuwezesha mikoa mingine kama Simiyu, Geita na Njombe kuwa na nafasi ya kushinda kombe hilo. Wakati huo huo matokeo ya mpira wa kikapu yanaonyesha kuwa timu za kutoka mikoa ya Pwani na Shinyanga zitacheza hatua ya fainali kwa upande wa wavulana na timu za Mwanza na Dar es salaam zitakutana katika hatua hiyo kwa upande wa wasichana.Katika matokeo ya nusu fainali kwa kikapu wavulana Pwani iliwafunga Unguja kwa 66-32 na Tanga ilifungwa na Shinyanga kwa 47-55. Kwa upande wa kikapu wasichana Mwanza iliwafunga Kilimanjaro 38-18 na Dar es salaam iliwafunga Morogoro kwa 38-17. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/06/waziri-mwakyembe-azindua-kampeni-ya.html
null
null
null
null
null
null
Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (wa pili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya kampeni maalum ya kuichangia timu ya Taifa “Taifa Stars” inayoshiriki mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) nchini Misri. .......................................................... Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amezindua rasmi kampeni maalumu ya kuchangia timu ya Taifa “Taifa Stars” inayoshiriki mashindano ya Kombe la Maifa ya Afrika (AFCON) yanayotarajiwa kuanza Juni 21 nchini Misri. Waziri Mwakyembe amesema watanzania hawana budi kuchangia kiwango chochote na kwamba fedha hiyo itakuwa salama na itawafikia wachezaji hao bila ya mizengwe yoyote. "Watanzania kote nchini wanaweza kuichangia timu yao kupitia akaunti zifuatazo BMT N BC 011101000978, Sport Development Fund, CRDB 01J1019956700 na Voda *150*00#5595298. Ukichangia, ujumbe unaopata utume kwenda 0735 414043 jina litakuja Oscar Zabloni ambye ni mweka hazina ,'' amesema Dkt. Mwakyembe. Amesema wote watakaochangia watapewa cheti maalumu na kiongozi wa kitaifa ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wao katika kuhakikisha timu yetu ya Taifa inafanya vizuri katika mashindano hayo. Naye mwenyekiti wa kamati ya kusaidia Taifa Stars, Paul Makonda amesema siku ya Jumamosi Juni 22, 2019 mkoa wa Dar es Salaam utafanya maombi maalum kwa ajili ya kuiombea timu ya Taifa Stars ambayo inatarajia kushuka dimbani siku ya Jumapili Juni 22 dhidi ya timu ya Taifa ya Senegal. Pamoja na mambo mengine Makonda amezitaka kampuni 41 zilizoahidi kuchangia Taifa Stars kutoa michango hiyo. "Jumamosi ya Juni 22,2019 Mkoa wa Dar es Salaam tutafanya maombi maalum kuiombea timu ya Taifa Stars, na pia nitumie nafasi hii kuyakumbusha makampuni yaliyoahidi kuichangia Taifa Stars sasa wachangie kupitia akaunti hizo,'' amesema Makonda. Timu ya Taifa Stars iko kundi C, pamoja na timu za Senegal, Algeria na Kenya ambapo siku ya Jumapili inatarajia kutupa karata yake ya kwanza dhidi Senegal. Tayari Stars imeshacheza mechi mbili za kirafiki za kujipima nguvu, huku ikipoteza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Misri 1-0 na kutoka sare ya goli 1-1 dhidi ya Zimbabwe. Katibu wa Kamati ya kuisadia timu ya Taifa “Taifa Stars”, Mhandisi Hersi Said (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa harambee maalum ya kuichangia timu hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe na katikati ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Paul Makonda. Mwenyekiti wa Kamati ya kuisaidia timu ya Taifa “Taifa Stars”, Paul Mokonda akimkaribisha Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe wakati wa uzinduzi wa kampeni maalum ya kuichangia timu ya Taifa inayoshiriki mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) nchini Misri. Mbunifu wa mavazi akionesha kwa waandishi wa habari vazi maalum kwa ajili ya washangiliaji wa timu ya Taifa “Taifa Stars”, inayoshiriki mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) nchini Misri. Mwenyekiti wa Kamati ya kuisaidia timu ya Taifa “Taifa Stars”, Paul Mokonda (katikati) akijaribu vazi maalum kwa ajili ya washangiliaji na mashabiki wa timu ya Taifa “Taifa Stars”, inayoshiriki mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) nchini Misri. baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini uzinduzi wa kampeni maalum ya kuichangia timu ya Taifa “Taifa Stars” inayoshiriki mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) nchini Misri. Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (wa tatu toka kushoto) akimkabidhi cheti Mwenyekiti wa Kamati ya kuisaidia timu ya Taifa “Taifa Stars”, Paul Mokonda kwa kutambua mchango wake katika kufanikisha kufuzu kwa timu hiyo katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) nchini Misri. Picha na WHUSM – Dar es Salaam. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/sevilla-fc-ya-hispania-yatua-darkucheza.html
null
null
null
null
null
null
**Msafara wa wachezaji 18 na viongozi wa Klabu ya Sevilla FC umetua nchini usiku wa kumkia leo .** **Sevilla wametua nchini chini ya uratibu wa Kampuni ya Kubashiri Matokeo ya SportPesa pamoja na Laliga. Sevilla wakiwa hapa nchini watacheza mchezo mmoja wa kirafiki dhidi ya Simba kesho kutwa Alhamisi utakaopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.** **Mara baada ya Sevilla kutua, Mkurugenzi wa Utawala na Udhibiti wa SportPesa, Tarimba Abbas amesema kuwa anafurahia ujio wa Sevilla ambao utaongeza utalii nchini.** **Tarimba aliwatahadharisha Sevilla kwa kuwaambia kuwa wajiandae wanacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mabingwa wa Ligi Kuu Bara.** **“Ninawaambia kuwa jiandaeni kupambana na mabingwa wa ligi hapa nchini ambao ni Simba.” Ni timu nzuri iliyojiandaa kuhakikisha inapata ushindi kutokana na ubingwa walioupata,”amesema Tarimba.** **Lakini pia mara baada ya kuwasili nchini,kikosi hicho kililakiwa na burudani sana kabisa kabisa kutoka kwa kundi la Ngoma za asili linaloongozwa na Msanii mahiri wa kughani Mrisho Mpoto,ama kwa hakina walikunwa na uchezaji ngoma na kujikuta nao wakiinuka kujimwaya mwaya kwa pamoja.** ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2018/10/matukio-picha-matembezi-ya-uvccm_19.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani matukio picha MATUKIO PICHA: MATEMBEZI YA UVCCM KITAIFA YA KUMBUKIZI YA KUMUENZI BABA WA TAIFA MWL NYERERE MATUKIO PICHA: MATEMBEZI YA UVCCM KITAIFA YA KUMBUKIZI YA KUMUENZI BABA WA TAIFA MWL NYERERE Thobias Omega Ijumaa, Oktoba 19, 2018 IMETOLEWA NA: IDARA YA UHAMASISHAJI NA CHIPUKIZI UVCCM TAIFA Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/10/makala-kuhusu-hayati-baba-wa-taifa.html
null
null
null
null
null
null
**MWALIMU NYERERE KAMA NILIVYOMFAHAMU MIMI.** **Maelezo yanayotolewa hapa kuhusu Mwalimu Nyerere, yanatoka kwangu mimi binafsi. Yanatokana na vile nilivyomfahamu kiongozi huyo nilipokuwa ninafanya naye kazi karibu sana kwa muda mrefu wa miaka ishirini na mitano, nikiwa msaidizi wake wa karibu.** **Kabla ya kueleza sifa za Mwalimu Nyerere, ni vizuri kwanza kumkumbusha msomaji kwamba, mwalimu nyerere alikuwa ni binadamu kama walivyo binadamu wengine. Kwa hiyo bila shaka yeye pia alikuwa na mapungufu yale ya binadamu, kama vile hasira, amabazo kwa wakati mwingine zilimsababishia kufanya makossa katika uamuzi wake kutokana na hasira iliyompata ghafla. Ipo mifano kadhaa ya kuthibitisha hilo.** **Mifano ya uamuzi wake uliotokana na hasira** **Mfano mmoja ni ile siku alipowavurumisha wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam waliofanya maandamano ya kupinga mpango wa wanafunzi waliomaliza elimu ya Sekondari kulazimika kwenda kwenye mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT). Katika tukio hilo, baadhi yao walipayuka maneno ya ovyo kwa kusema “Heri wakati wa ukoloni” wakimaanisha kwamba hali ya nchi ilikuwa bora Zaidi wakati wa utawala wa Kikoloni. Maneno hayo yalimkasirisha Rais Nyerere kiasi cha kuamuru kuwafukuza Chuoni na kuamuru Chuo hicho kifungwe, wanafunzi wote walirudishwa makwao kwa likizo ya lazima ya miaka miwili, ili watumie muda huo kutafakari kosa waliolifanya wakiwa pamoja na wazazi wao.** **Mfano mwingine unaofanana na huo, ni wakati wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam walipofanya maandamano ya kupinga tukio la kulaani Sertikali ya Uingereza, wakati koloni lake la Rhodesia ya Kusini lilipojitangazia uhuru wake kinyemela mwezi Novemba 1965; na serikali ya Uingereza haikuchukua hatua yoyote dhidi ya viongozi waasi wa koloni hilo.** **Maandamano hayo yaliwafikisha kwenye jengo la Ubalozi wa Uingereza mjini Dar Es Salaam, ambapo waliharibu baadhi ya mali zilizokuwemo katika jengo hilo. Kutokana na kitendo hicho, vijana waliohusika walikamatwa na polisi na kuzuiliwa katika kituo Kikuu cha Polisi. Baada ya hapo, Mwalimu Nyerere aliagiza vijana hao wapelekwe Ikulu ili azungumze nao. Walipofika huko, aliwapokea vizuri na kuwaeleza ubaya wa kosa lao la kufanya maandamano bila kibali cha Polisi; pamoja na kosa jingine la kuharibu mali katika jengo la Ubalozi wa Uingereza.** **Hatimaye aliwataka waende kuomba radhi kwa Balozi wa Uingereza kwa kosa hilo la kuharibu mali ya Ubalozi huo. Baada ya kusema hivyo, Rais Nyerere aliuliza kama kulikuwa na yeyote miongoni mwao ambaye alikuwa anapinga wazo hillo la kwenda kuomba radhi. Mwanafunzi mmoja akajitokeza na kusema kuwa yeye analipinga. Papo hapo Rais Nyerere alimwamuru kamishina wa polisi amkamate kijana huyo na kumpeleka akachapwe viboko sita. Siku moja baada ya tukio hilo; Rais Nyerere alimwita kijana huyo aende Ikulu, ambapo alimweleza kwamba alikuwa ametoa adhabu hiyo kutokana na hasira iliyompanda ghafla, na kwamba hasira hiyo ilimrejesha kwenye hulka za ualimu wake wa darasani, ambapo wanafunzi hupewa adhabu za kuchapwa viboko. Kitendo hicho kinadhihirisha uungwana wa Mwalimu Nyerere alidhihirisha kuwa tayari kukiri kosa, bila kujali wadhifa mzito aliokuwa nao kama Raisi wa Nchi.** **Mfano mwingine ni pale alipomfukuza kazi ghafla aliyekuwa Waziri wa Fedha wakati huo. Hii ilitokana na waziri huyo kushindwa kutekeleza maagizo ya Rais ya kukataa shinikizo la kushusha thamani ya shilingi ya Tanzania; ambalo lilitolewa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) mwanzoni mwa mwaka 1981. Kilichotokea kwa Waziri huyo ni kwamba badala ya kutekeleza maagizo ya Rais, Yeye aliunga mkono shinikizo la IMF kwa kushabikia kushushwa kwa thamani ya shilingi ya Tanzania. Rais Nyerere alikasirika sana alipopata habari hizo. Alimwita Waziri huyo na kumtaka awasilishe kwake mara moja barua ya kujiuzulu wadhifa wa Waziri wa Fedha.** **Mfano mwingine ni siku alipoulizwa maswali ya kipuuzi na mwandishi mmoja wa habari wa Kenya, swali ambalo lilimpandisha hasira. Waandishi wa habari wa Kenya, walikuwa wamesikia maneno yaliyosemwa na mwanasiasa uchwara mmoja wa Tanzania, aliyelopoka kwamba eti Mwalimu Nyerere hakuwa Mtanzania wa kuzaliwa hapa, bali ni mtu aliyetoka Burundi. Upuuzi huo uliandikwa kwenye baadhi ya magazeti ya hapa nchini. Siku moja baadaye, Mwalimu Nyerere akiwa katika safari zake za kawaida, alipita katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi. Mwandishi mmoja wa habari wa Kenya aliyekuwepo hapo uwanjani akamuuliza Mwalimu Nyerere swali, “Mwalimu , tumesikia tuhuma kuwa wewe siyo Mtanzania, bali ni Mrundi. Je, tuhuma hizo zina ukweli?” swali hilo lilimuudhi sana Mwalimu Nyerere, akamjibu kwa hasira na kejeli, “Umesema kuwa umesikia tuhuma hizo. Je, ukisikia tuhuma nyingine kwmba mimi ndiye baba yako niliyezaa na mama yako, utakuja kuniuliza kama tuhuma hiuzo ni kweli?”Jibu hilo liliwafanya waandishi wenzake wote watambue kwamba swali la mwenzao huyo lilikuwa la kijinga na halikustahili kuulizwa, kwani jibu lake lilikuwa wazi kabisa kuwa siyo kweli.** **SIFA ZA MWALIMU NYERERE** **Ukiondoa mapungufu ya aina hiyo ambayo ni ya ;kila binadamu, mwonekano wa jumla wa tabia ya Mwalimu Nyerere kwa watu mbalimbali, ulikuwa ni wa kuheshimika sana, hususani katika maeneo yafuatayo:** **Alikuwa na ujasiri wa kukiri makosa aliyoyafanya** **Hapo juu tumetaja mfano mmojawapo wa sifa yake hii. Yaani sifa ya kuwa na ujasiri, pamoja na unyenyekevu wa kukiri makosa ambayo alifanya katika uongozi wake. Si viongozi wengi duniani walio na ujasiri wa aina hiyo.** **Kuna mifano mingine miwili ambayo inadhihirisha sifa yake hii. Kwanza, ni uamuzi wa kufuta Serikali za Mitaa mnamo mwaka 1975. Kama tutakavyoona baadaye, yeye mwnyewe baadaye alitoa kauli bungeni, ya kukiri kosa hilo. Alisema hivi: ‘kufikia mwaka 1982, tukatambua kwamba tulifanya kosa kubwa kwa kufuta Serikali za Mitaa. Kwa hiyo, tukaliomba Bunge kupitisha sheria ya kuzizindua tena wilayani na mijini”. Kosa la pili alilokiri ni kufutwa kwa vyama vya ushirika. Katika kukiri kosa hilo, Mwalimu Nyerere alisema “Vyama vya Ushirika vimeanzishwa tena. Kufutwa kwa vyama hivyo lilikuwa kosa jingine kubwa tulilolifanya katika miaka iliyopita”.** **Alitumia elimu yake kwa faida ya wote** **Sifa yake nyingine ni kwamba Mwalimu Nyerere alitumia elimu yake vizuri sana kulingana na ahadi ya mwanachama wa CCM, inayosema kuwa “Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu, na nitatumia elimu yangu kwa faida ya wote”.** **Kwa hakika Mwalimu Nyerere alitumia elimu yake kwa faida ya wote. Kila hotuba aliyoitoa, ilikuwa ni darasa tosha kwa wasikilizaji wake. Aidha, Makala zake nyingi na za aina mbalimbali alizoziandika, vilevile zilitosha kabisa kuwa ni Makala za kufundishia.** **Kwa bahati nzuri, hotuba zake nyingi zimechapishwa kwenye vitabu vyake vyenye majina ya : Uhuru na Umoja; Uhuru na Ujamaa; pamoja na vitabu vingine vingi alivyoviandika yeye mwenyewe, kama vile vya Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania** **Pia, Mwalimu Nyerere alikuwa na kipaji maalumu cha kubuni vidokezo vinavyoeleza jambo kubwa katika maneno machache . mifano yake ni kama vile , “Uhuru na Kazi” ; “Inawezekana, timiza wajibu wako” ; “We must run while others walk” (Sisi lazima tukimbie wakati wenzetu wanatembea); “Linalowezekana leo, lisingoje kesho”; “Kupanga ni kuchagua” n.k** **Alikuwa na kipaji cha kufundisha kwa kutumia mifano na methali** **Kwa mfano, katika moja ya hotuba zake za mwanzo baada ya kuzaliwa kwa CCM, Mwalimu Nyerere alizungumzia suala lililokuwa linamkera sana, la uchafu unaosababishwa na takataka nyingi zinazotupwa ovyo katika mitaa yetu. Katika kuwatahadharisha wananchi wasipuuzie kuwepo kwa tatizo hilo, kwani linaweza kuleta mlipuko wa magonjwa; alitumia methali ya Kizanaki, ambayo tafasiri yake ni, “Mfichaficha maradhi, kilio kitamuumbua”.** **Aidha katika utaratibu wake wa kusimamia maadili ya viongozi, mara nyingi alitumia methali hii, “Mtoto akichezea wembe, utamkata papo hapo”. Akimaanisha kwamba, Kiongozi anayekiuka maadili sharti achukuliwe hatua mara moja, bila kumchelewesha.** **Siku moja, Mwalimu Nyerere alipokuwa akisisitiza umuhimu wa mafunzo kwa viongozi na watendaji wa Chama cha Mapinduzi, aliamua kutumia hadithi ya mtoto wa jongoo, ambayo aliihadithia mwenyewe kama ifuatavyo:** **“Mama jongoo alizaa mtoto. Mtoto huyo alipojikuta ana miguu mingi sana, akamuuliza mamaye; Je, mama, katika miguu yote hii, nikitaka kutembea nitangulize mguu gani? Mama jongoo akamjibu: wewe tembea tu, miguu itajua yenyewe itakavyojipanga”.** **Alikuwa akizungumzia umuhimu wa kuandaa mafunzo ya mara kwa mara kwa ajili ya viongozi na watendaji wa chama chetu. Alisema kuwa mahitaji ya mafunzo kwao hayawezi kupewa majibu kama hayo ya mama jongoo; kwamba eti wakisha chaguliwa au kuteuliwa, tuwaambie tu. “fanyeni kazi mliyopewa. Jinsi mtakavyofanya mtajua wenyewe” (Mtajiju). Alituasa kuwa “Hiyo haifai kabisa”.** **Katika utaratibu wake huo wa kufundisha kwa kutumia mifano, alipochukua hatua ya kumwajibisha kiongozi kwa kosa ambalo angependa liwe ni mfano kwa viongozi wengine wote, aliwapelekea taarifa juu ya hatua aliyokuwa amemchukulia kiongozi aliyemwajibisha ili wajue.** **Siku moja katika miezi ya mwanzo yam waka 1981, Mwalimu Nyerere alikuwa katika ziara mkoani Mwanza. Kulikuwa na tukio moja la kujaribu kumdanganya, ambalo lilisababisha Mkuu wa Mkoa achukuliwe hatua ya kufutwa kazi. Mkuu huyo wa Mkoa alimpeleka Rais Nyerere kumwonesha shamba la mbogamboga, ambalo alidai kuwa ni shamba la Ujamaa, kwa madhumuni ya kumthibitishia Rais kuwa alikuwa msitari wa mbele katika kutekeleza Azimio la Arusha.** **Inasemekana kuwa Mwalimu Nyerere alidokezwa mapema na wasaidizi wake, kwamba shamba hilo lilikuwa limepandwa usiku wa kuamukia siku hiyo ya ziara yake, kwa madhumuni ya kumdanganya Rais. Kwa hiyo alipofika hapo shambani, alishika mmea mmojawapo na kuutikisa ili kuona uimara wake. Mmea huo uling’oka, kwa kuwa mizizi ilikuwa bado haijashika vizuri.** **Aliporejea Ikulu baada ya ziara hiyo, Rais Nyerere aliandika barua ya kumfukuza kazi mara moja Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, ili kumwajibisha kwa kosa hilo kubwa alilokuwa amelifanya. Lakini Rais Nyerere hakuishia hapo, bali aliandika maelezo marefu ya kufafanua kwanini alichukua hatua hiyo; na aliagiza maelezo hayo yakapelekwa kwa wakuu wote wa Mikoa yote, ili liwe ni fundisho kwao.** **Mfano mwingine ni mwaka 1977, Rais Nyerere alipowawajibisha mawaziri wawili wa Serikali yake na Wakuu wa Mikoa wawili, kwa kuwataka waandike barua mara moja za kujiuzulu nafasi zao za uongozi walizokuwa nazo.** **Sababu yake ya kuwachukulia hatua hiyo ilikuiwa ni kuwawajibisha kutokana na mauuaji yaliyokuwa yamefanywa na vyombo vya usalama vya Serikali katika mikoa ya Shinyanga na Mwanza. Mawaziri wawili waliowajibishwa ni Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi, wakati huo akiwa ndugu Ali Hassan Mwinyi pamoja na Waziri mwenye dhamana ya Usalama wa Taifa. Wakuu wa Mikoa waliohusika ni wa Mikoa ya Shinyanga na Mwanza.** **Kwa hiyo, aliagiza nakala za barua hiyo wapelekewe viongozi wote wa Serikali, hususan Mawaziri na Wakuu wote wa Mikoa na Wilaya, ili suala hili la Kiongozi kuwajibika kwa makosa yaliyofanywa na watendaji walio chini ya dhamana yake ya uongozi, liwe fundisho kwao, na wajifunze kuiga mfano huo wa ndugu Ali Hassan Mwinyi.** **Alihamasisha watu kwa kutumia “nguvu ya hoja”** **Mwalimu Nyerere alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuridhisha watu kwa kutumia nguvu ya hoja zake. Kwa kingereza uwezo huo unaitwa “power of persuasion”. Uwezo huo ndio uliomuwezesha kupata mafanikio makubwa katika malengo yake mengi ya kisiasa; kama inavyodhihirishwa na matukio yafuatayo:** **Kwanza, ni pale alipofanikiwa kuwaridhisha kwa nguvu za hoja zake, wanachama wa iliyokuwa asasi ya kupigania maslahi ya wafanyakazi wa Kiafrika katika Serikali ya Kikoloni, iliyokuwa inaitwa “Tanganyika African Association” (TAA). Alifanikiwa kuwashawishi wanachama wa asasi hiyo kukubali wenyewe kuvunja chama chao hicho, na badala yake kuunda chama kipya cha siasa cha “Tanganyika African National Union” (TANU), mnamo mwezi Julai, 1954, ili kiwe ni chombo cha kisiasa cha kupigania Uhuru wa Tanganyika.** **Mfano wa pili ni pale alipofanikiwa kuwaridhisha kwa kutumia nguvu ya hoja zake, wanachama wa chama hicho cha TANU, wakakubali kukivunja chama chao hicho na kukiunganisha na chama cha Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar, ili kuunda chama kipya, Chama cha Mapinduzi (CCM); ili kiwe ni chombo chenye uwezo na nguvu kubwa Zaidi ya kuongoza nchi yetu.Mfano wa tatu ni pale alipofanikiwa kuwaridhisha kwa kutumia nguvu ya hoja zake, wajumbe wa Mkutano Mkuu wa TANU uliofanyika Tabora mwaka 1958, wakakubali sheria ya, “kura tatu” iliyokuwa imetungwa na Serikali ya Kikoloni wakati huo. Nguvu ya hoja yake ilikuwa ni kwamba kama mkutano huo ungeamua kukataa sharia hiyo, chama cha TANU kisingeruhusiwa kushiriki katika uchaguzi uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi September mwaka huo; na matokeo yake yangekuwa ni kuchelesha kupatikana kwa Uhuru wa Tanganyika. Hali halisi iliyokuwepo ni kwamba wajumbe walio wengi katika mkutano huo, walikuwa wamejiandaa kuikataa sheria hiyo ya “kura tatu” Mwalimu Nyerere aliarifiwa mapema kabla ya mkutano kuhusu msimamo huo wa wajumbe, kwa hiyo yeye pia akaandaa mkakati wake mapema. Kwanza aliomba mkutano uchague mwenyekiti mwingine (wa muda) wa mkutano huo, ili yeye aweze kutoa hoja zake mkutanoni akiwa kama mjumbe wa kawaida, ili kuepuka kishawishi cha kutumia mamlaka ya “kiti” kulazimisha wajumbe kukubali mawazo yake.** **Kutokana na uwezo wake huo wa kuridhisha watu kwa kutumia “nguvu ya hoja” ulivyo mkubwa, ingawa katika mkutano huo kazi hiyo ilikuwa ngumu sana, lakini bado aliweza kuwaridhisha wajumbe, wakaikubali sheria hiyo. Uamuzi huo ulibadilisha kabisa historia ya Tanganyika , kwani ulisababisha Uhuru wa Tanganyika kupatikana katika muda mfupi sana wa miaka saba tu baada ya chama cha TANU kuundwa, mwaka 1954.** **Halikadhalika, ni uwezo wake wa kuridhisha watu kwa “nguvu ya hoja” zake, ndio uliofanikisha harakati zake za kuunganisha maelfu kwa maelfu ya wananchi wa Tanganyika katika kudai Uhuru wa Tanganyika. Alifanikiwa kufanya hivyo kwa hotuba zake zilizoweza kuwafanya wananchi wabaini ubaya na aibu ya kutawaliwa na wakoloni; na kuwafanya wawe tayari kujitolea na kujituma kushiriki katika harakati hizo. Ilibidi watu wajitole, kwa sababu TANU wakati huo haikuwa na vitendea kazi kama magari wala fedha za kufanyia kazi hiyo.** **Maoni ya watu wengine kuhusu sifa za Mwalimu Nyerere** **Sifa za Mwalimu Nyerere zimeelezwa kwa namna tofauti na watu wengi wengine waliomfahamu. Kwa mfano, katika kumkaribisha kuhutubia mkutano ulioandaliwa na “African American Institute” ya huko Marekani tarehe 10 Feburuari, 1960; mshehereshaji wa hafla hiyo alimtambulisha Mwalimu Nyerere kwa maneno yafuatayo:** **“Mr. Nyerere has won the confidence of all groups in Tanganyika by his wisdom, modesty and humour”.** **(Bwana Nyerere ameaminiwa na makundi yote ya huko Tanganyika kutokana na busara zake, unyenyekevu wake na ucheshi wake).** **Naye mwandishi Peter Haussler, katika kitabu chake kiitwacho, “Leadership for Democratic Development in Tanzania,” aliandika kuwa:** **“The leadership style of Nyerere is also referred to as “charismatic” and “visionary”. Charismatic leadership is the ability to influence followers based on supernatural gifts and attractive powers. Followers enjoy being with the charismatic leader because they fell inspired, correct and important”.** **(Uongozi wa Mwalimu Nyerere umeelezwa mara nyingi kuwa ni wenye haiba kubwa, wa mtu mwenye kuona mbali. Kiongozi mwenye haiba ni yule mwenye uwezo wa ajabu wa kuwawishi na kuvutia watu, aina ya uwezo ambao si wa dunia hii. Wafuasi wake wanafurahia kuwa karibu naye kwa sababu anawatia moyo, wanajiona kuwa wako sahihi, na ni watu wenye maana).** **Vilevile, katika kijitabu kinachoitwa, “Memories of Julius Nyerere”, kilichochapishwa mwaka 2009 kama sehemu ya maadhimisho ya miaka kumi ya kifo chake, ambacho kilichangiwa na waandishi kadhaa, mwandishi mmoja alimweleza kuwa:** **“Nyerere was an iconic leder, a man of principle, intelligence, and integrity”.** **(Nyerere alikuwa ni kiongozi mwenye taswira ya pekee, mwenye kusimamia misingi na maadili mema, na mwenye akili nyingi).** **Mwndishi mwingine alimweleza Mwalimu Nyerere kuwa:** **“He was considered a political prophet by many, and a man of intelligence, humour and honesty’** **(Wengi walimwona kuwa ni kama nabii wa kisiasa, na mtu mwenye maadili mema, mchangamfu mwenye ucheshi, na mkweli).** **Mimi mwenyewe vilevile nilipewa nafasi ya kuchangia Makala katika kijitabu hicho ambapo nilisema hivi:** **“Nyerere has been variously described as a humanist, politician, thinker, and statesman. Indeed, Nyerere was all of those things and much more. He was an ardent believer in peace, and a unque mobilizer of people. He was a devout catholic, but a strong believer in the separation of religion from politics. He was** **a modest man in his personal life, and hated pomposity in his official life”** **(Nyerere ameelezwa na watu wengi mbalimbali kwamba alikuwa ni mpenda watu, mwenye kufikiri sana, na mwanasiasa mweledi. Ni kweli kabisa kwamba, Nyerere alikuwa na sifa zote hizo, pamoja na nyingine Zaidi. Kwani alikuwa ni muumini mkubwa katika suala la Amani, na hodari sana wa kuandaa watu. Alikuwa ni mfuasi mwaminifu sana wa dini Katoliki, lakini hakupenda kabisa kuchanganya dini na mambo ya siasa. Alikuwa ni mtu mwenye staha katika maisha yake binafsi, na alichukia sana ufahari katika maisha yake kama kiongozi).** **Katika dondoo la kueleza sifa za Nyerere lililosomwa na Waziri Mkuu wa India, Bibi Indira Gandhi, katika sherehe za kumkabidhi tuzo ya, “Jawaharlal Nehru Award for International Understanding” tarehe 17 Januari, 1976, Mwalimu Nyerere alitajwa kuwa :** **“A man of vision, a man of action, and a man of compassion”.** **(Mtu mwenye kuona mbali, mtu wa vitendo, na mtu mwenye huruma).** **Kabla ya hapo, katika sherehe hiyohiyo, Rais wa India alimweleza Mwalimu Nyerere kuwa:** **“He is one of the foremost champions of human rights. He is a man of the people, gifted with great commonsense”** **(Mwalimu Nyerere ni mmoja wa watu walioko mstari wa mbele katika kupigania haki za binadamu. Ni mtu wa watu, na amejaliwa kuwa na kiwango kikubwa mno cha maarifa na busara za kawaida).** **Kwa ujumla, katika maisha yake yote, Mwalimu Nyerere alidhihirisha kwamba alikuwa na sifa zote hizo, kwani alitekeleza ipasavyo misingi yote ya maadili mema, siyo tu katika maisha yake binafsi, bali pia katika maisha yake ya uongozi. Na alifanya hivyo katika kipindi chote cha uhai wake, kama inavyobainishwa katika maelezo yanayofuatia hapa chini:** **MAISHA BINAFSI YA MWALIMU NYERERE** **Kuhusu maisha yake binafsi, Mwalimu Nyerere alikuwa na sifa zifuatazo:** **Alikuwa ni mtu mwadilifu sana, asiyekuwa na makuu, mtu mwenye staha, mtu aliyetosheka; na asuyekuwa n ahata chembe ya majivuno.** **Kwa mfano, alipoanza kushika wadhifa wa Rais, hakupenda hata kidogo kujihusisha na zile mbwembwe ambazo kwa kawaida huambatana na wadhifa huo. Ifuatavyo ni mifano michache inayothibitisha tabia yake hiyo:** **Baadhi ya watu waliomfahamu alipokuwa mwanafunzi katika shule ya sekondari Tabora, wameeleza kwamba hata wakati huo akiwa bado mwanafunzi, tayari alikwisha kujenga tabia ya kuchukia marupurupu ya upendeleo (privileges) yaliyokuwa yakitolewa kwa wanfunzi wenye nafasi za uongozi, yaani viranja. Hatimaye msimamo wake huo ulidhihirika wakati yeye mwenyewe alipochaguliwa kuwa kiranja, ambapo alitumia kipaji chake cha ushawishi, kupunguza marupurupu ya cheo hicho cha viranja wa wanafunzi katika shule hiyo.** **Mfano mwingine nilioushuhudia mimi mwenyewe, ni kwamba alipokwisha kuchaguliwa na kuapishwa kuwa Rais wa Tanganyika tarehe 9 Desemba, 1962, shughuli yake ya kwanza ilikuwa ni kulifungua na kulihutubia Bunge la Kwanza la Jamhuri ya Tanganyika siku ya kesho yake tarehe 10 Desemba, 1962. Mimi wakati huo nikiwa Katibu wa Bunge, ndiye nilikuwa mwandalizi wa ratiba ya shughuli hiyo kubwa.** Nilijaribu kuiga ratiba ambayo hutumika katika Bunge la Uingereza (House of Commons) wakati Malkia wao anapokwenda kuhutubia Bunge hilo mwanzoni mwa kila mwaka wa shughuli zake. Katika sherehe hizo huwa anasindikizwa na Afisa mmoja wa kike ambaye cheo chake kinaitwa, “Lady-in-Waiting”. Kwa kuwa nilikuwa nimesomeshwa kazi za Ukatibu wa Bunge katika Bunge hilo la Uingereza, niliamini kuwa huo ndio utaratibu unaofaa kutumiwa pia katika Bunge jipya la Tanganyika. Kwa hiyo nikapanga kuweka ndani ya ukumbi wa Bunge sambamba na kiti cha Rais mwenyewe, kiti cha mke wa Rais Mama Maria Nyerere, na kiti cha msindikizaji wake wa kike, ambaye nilimwonyesha katika ratiba yangu ya shughuli hiyo kwa cheo hicho nilichokijua cha “Lady-in- Waiting”. **Kumbe Rais Nyerere hakupendezwa na mbwembwe hizo. Aliziona kuwa ni za Kisultani, zinazofaa kwa Masultani tu. Kwa hiyo baada ya tukio hilo alituagiza tuachane kabisa na mbwembwe hizo, alizoziita ni za kijinga.** **Wakati huo, vilevile watu walikuwa wameanza kutumia maneno, “Mtukufu Rais” katika hotuba zilizomtaja yeye, au katika barua zilizokwenda kwake. Kuzuia hilo, aliandika waraka wa kuagiza kwamba asiitwe, “Mtukufu Rais” wakati wowote na mahali popote; iwe ni katika mazungumzo ya kawaida, ama katika hotuba, au hata katika maandishi yoyote. Akaelekeza kwamba, maneno rasimi katika mawasiliano ya aina hiyo yawe ni “Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa Tanganyika” na si vinginevyo. Aidha katika utaratibu wake wa kukataa mbwembwe, Rais Nyerere pia aliwaagiza polisi waache tabia yao ya kufunga kila barabara anayopita Rais, kwa muda usiojulikana, hadi hapo Rais atakapokuwa amepita. “Hii inanifanya niwe kero kubwa kwa watu wa Dar Es Salaam”, alisema.** **Alikuwa ni mtu asiyependa kujilimbikizia mali** **Hii ni tabia yake nyingine ambayo inamtofautisha na viongozi wengine wengi duniani wa ngazi hiyo kubwa katika Mataifa yao.** **Kwa mfano, Mwalimu Nyerere hakuwahi kununua gari lake mwenyewe binafsi na kwa ajili hiyo, hakuwahi hata kujifunza kuendesha gari.** **Wakati alipokuwa mwalimu katika shule ya sekondari Pugu, sisi wanafunzi tulishuhudia siku moja akipanda nyuma ya gari la shule aina ya pick-up single cabin. Alikuwa anakwenda mjini Dar Es Salaam, bila shaka kwenye shughuli zake za kisiasa alizokuwa amezianza wakati huo. Katika kiti cha mbele walikuwa wamekaa walimu wenzake Mapadre wawili Wazungu wa Shirika la “Holy Ghost Fathers”. Sisi wanafunzi tulidhani alikuwa amefanyiwa dharau ya ubaguzi wa rangi na Mapadre hao wazungu.** **Baadaye katika mazungumzo naye nje ya darasa, mwanafunzi mwenzetu mmoja allimweleza Mwalimu Nyerere hisia zetu hizo, tulipomwona akipanda nyuma ya gari la shule “kama mzigo”. Majibu ya Mwalimu Nyerere yalikuwa kwamba Mapadre walikuwa wamemwambia akae pamoja nao katika kiti cha mbele. Lakini yeye alikataa kwa sababu hakuona haja ya kubanana kwenye kiti hicho, wakati nyuma ya gari palikuwa na nafasi kubwa ya kukaa. Ndiyo sababu aliamua kukaa nyuma ya gari. Kwa hakika, Mwalimu Nyerere hakuwa na makuu.** **Mfano mwingine wa tabia yake ni kwamba mnamo mwezi Januari mwaka 1976, Mwalimu Nyerere alitunukiwa tuzo maarufu ya “Jawahrlal Nehru Award for International Understanding”. Tuzo hiyo inaambatana na zawadi ya kiasi kikubwa cha dola za Kimarekani, kama dola laki moja. Yeye baada ya kuzipokea fedha hizo alizikabidhi zote kwa Chuo cha TANU cha Kivukoni ili zitumike kanunulia vitabu vya maktaba ya chuo hicho. Ni Dhahiri kwamba hakuwa na tabia ya kujilimbikizia mali.** **Ukiacha mifano hiyo, Mwalimu Nyerere mwenyewe aliwahi kutusimulia hadithi moja, kwamba katika safari zake za kwenda kudai uhuru kwenye Umoja wa Mataifa huko New York – Marekani, safari moja alikutana na rafiki yake ambaye alikuwa anaishi huko. Rafiki yake huyo akamwambia kuwa angependa kumununulia zawadi ya viatu lakini kwa kuwa alikuwa hajui saizi yake ya viatu, akamshauri waende wote dukani ili akamnunulie viatu vya saizi inayomfaa.** **Mwalimu Nyerere akakubali kupokea zawadi hiyo, wakaenda duka la viatu ambako alichagua jozi moja ya viatu vya rangi nyeusi. Rafiki yake huyo akamshawishi achague jozi ya pili, lakini Mwalimu Nyerere alikataa. Rafiki yake akamuuliza kwanini hataki jozi ya pili, Mwalimu akamjibu hivi; si kwa sababu ninayo jozi moja tu ya miguu! (I have only one pair of feet!) kwa hakika hakutaka kujilimbikizia mali hata kama mali, hiyo ni viatu tu.** **Alikuwa ni mtu mwenye kumtegemea sana Mungu** **Jambo hilo lilikuja kudhihirika miaka kumi baada ya kifo chake, ambapo kanisa Katoliki Jimbo la Musoma, lilipoanzisha mchakato wa kumfanya hayati Mwalimu Nyerere kuwa ni “Mtakatifu wa Mungu”. Hatua ya kwanza muhimu katika safari ya kuelekea kwenye daraja la Mtakatifu wa Mungu ni kutangazwa kuwa “mtumishi wa Mungu”, ngazi ambayo Mwalimu Nyerere tayari amekwishaifikia. Baada ya kuanza kwa mchakato huo. Kanisa Katoliki nchini Uganda, lilishirikiana na Rais Museveni wan chi hiyo; limeshiriki kwa nguvu katika kuendeleza mchakato huo. Kwani kuanzia mwaka 2007, kanisa hilo la Uganda lilitenga tarehe 1 Juni ya kila mwaka kuwa ni siku ya kuombea mafanikio ya mchakato huo. Maadhimisho hayo hufanyika mahali panapoitwa “Namugongo” huko Kampala Uganda. Katika maadhimisho ya mwaka 2011, Rais Yoweri Museveni wa Uganda alitangaza kuwa;** **“We shall continue comimg back here every June 1 to pray for the beatification of our beloved father, which is the next stage. Then we will always pray for him to be canonized.”** **(Tutaendelea kuja hapa Namugongo kila tarehe 1 ya mwezi Juni, kuombea mafanikio ya mchakato huu wa kumfikisha baba yetu mpendwa kwenye Daraja la “Mwenye Heri” ambayo ndiyo hatua inayo fuatia baada ya hapo tutaendelea kumwombea afikishwe kwenye daraja la juu zaidi la Utakatifu).** **Kwa hakika Mwalimu Nyerere alikuwa ni mcha Mungu sana, kutokana na tabia yake ya kuhudhuria Ibada ya Misa Takatifu kila siku asubuhi, katika kanisa la Mt. Petro Oysterbay, ambalo lilikuwa la karibu Zaidi na nyumbani kwake Msasani. Lakini vilevile alikuwa na tabia nzuri ya kuomba uongozi na msaada wa Mwenyezi Mungu wa kumuwezesha kufikia uamuzi wa busara katika masuala yaliyokuwa nyeti na magumu kwake.** **Mfano mmoja ambao unadhihirisha tabia yake hiyo, ni jinsi alivyofikia uamuzi mgumu wa kuruhusu majeshi ya Tanzania yavuke mpaka na kwenda Kampala kumwadhibu vikali aliyekuwa Mtawala wa Uganda wakati huo, Iddi Amin Dada, aliyekuwa maefanya uvamizi wan chi yetu katika mkoa wa Kagera, Nitasimulia habari hii zaidi hapo baadaye.** **Hata alipokuwa Rais aliishi maisha ya mtu wa kawaida.** **Ingawa alikuwa na nafasi ya juu kabisa na yenye heshima kubwa katika jamii, ya kuwa ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania; lakini bado Mwalimu Nyerere alichagua kuishi maisha ya mwananchi wa kawaida. Kwani aliishi maisha yake yote kama wanavyoishi wananchi wa kawaida, wasiokuwa na uwezo mkubwa wa kifedha. Katika hilo, kaulimbiu yake ilikuwa ni “Kiongozi wa watu lazima afanane na watu anaowaongoza”.** **Kwa mfano nyumba yake aliyokuwa akiishi pale kijijini kwake Butiama, ni iliile aliyoijenga akiwa bado kijana, katika maandalizi ya kufunga ndoa na Mama Maria Nyerere. Lakini hata baada ya kuwa Rais wan chi, bado aliendelea kuishi katika nyumba hiyo ndogo ya chumba kimoja tu cha kulala. Kwa sababu hiyo, alipotangaza katika Mkutano Mkuu wa Tanu wa kumteua kuwa mgombea Urais mwezi September 1975, kwamba angestaafu kazi ya urais ifikapo mwaka 1980; chama cha Tanu kilipitisha azimio la kumpatia zawadi ya kumjengea nyumba bora Zaidi katika kijiji chake cha Butiama, ambayo ataitumia kama makazi yake baada ya kustaafu.** **Nyumba hiyo aliyohaidiwa ilianza kujengwa mwaka 1977, mara baada ya kuzaliwa kwa CCM, ujenzi ambao ulikamilika mwaka 1980. Mimi nikiwa Katibu Mtendaji Mkuu wa CCM wakati huo, ndiye niliyepewa heshima ya kuikabidhi nyumba hiyo mpya kwake na familia yake, katika sherehe fupi iliyofanyika hapo Butiama mwezi Desemba 1980.** **Aidha, kwa upande wa makazi yake ya Dar Es Salaam, Mwalimu Nyerere alijijengea mwenyewe nyumba hiyo alipokuwa tayari amekwisha kushika wadhifa wa Rais wan chi yetu, kwa kutumia mkopo wa Benki. Ujenzi wake ulipokamilika tu, alihama kutoka Ikulu na kwenda kuishi kwenye nyumba yake hiyo ya Msasani, ambako aliendelea kuishi hadi mwisho wa maisha yake hapa duniani.** **Mfano mwingine tena wa uadilifu wake, ni wakati alipopelekewa pendekezo la kujengewa barabara ya lami kutoka kijijini kwake Butiama hadi sehemu inayoitwa Makutano, ili kuiunganisha na barabara ya lami inayotoka Musoma kwenda Mwanza, kwa lengo la kufanya makazi ya Rais kule Butiama yaweze kufikika kwa barabara ya lami. Lakini Mwalimu Nyerere alikataa kuidhinisha pendekezo hilo, kwa maelezo kwamba hakutaka fedha za umma zitumike katika kumpendelea yeye kutokana na Urais wake, wakati mahitaji ya wananchi wengine yalikuwa ni makubwa Zaidi.** **Alikuwa ni msomi ambaye ni mfano wa kuigwa** **Mwalimu Nyerere alikuwa na tabia nzuri sana ya kusoma vitabu. Kwa ajili hiyo alikuwa na maktaba yake binafsi yenye vitabu vingi sana nyumbani kwake Msasani, na vilevile nyumbani kwake Butiama.** **Ni kutokana na kutambua tabia yake hiyo ya kupenda kusoma vitabu, ndiyo sababu alipostaafu wadhifa wa Urais wa nchi mwaka 1985, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania liliamua kumzawadia seti nzima ya vitabu 33, vinavyoitwa Encyclopaedia Britanica. Watu wengi wanakumbuka jinsi makundi mbalimbali ya wananchi wa Tanzania, pamoja na baadhi ya watu binafsi; walivyojipanga kumpatia Mwalimu Nyerere zawadi nyingi za aina mbalimbali wakati alipostaafu Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wengine walitoa zawadi ya ng’ombe, wengine walitoa matrekta ya kulimia na kadhalika. Zawadi ya Chama cha Mapinduzi ilikuwa ni kumjengea nyumba ya kuishi Kijijini kwake Butiama. Halikadhalika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), vilevile ilimjengea nyumba ya kuishi Butiama. Lakini Bunge liliamua kumuzawadia vitabu.** **Pamoja na kupenda kusoma vitabu, Mwalimu Nyerere pia alikuwa ni mwandishi hodari wa vitabu, pamoja na Makala fasaha za aina mbalimbali, zikielezea mambo tofautitofauti. Baadhi ya hizo aliziandika kwa lugha ya Kiswahili, na nyingine akiziandika kwa lugha ya Kingereza, hususani zile zilizolenga wasomaji wake wa Kimataifa. Miongoni mwa hizo ni, “Principles and development”; “Stability and Change in Africa”; “The Honour of Africa” na “The South-South Option”** **Lakini juhudi zake za kisomi zinazozoshangaza zaidi, ni pale alipofanya kazi ya kutafsiri vitabu maarufu vilivyoandikwa kwa kingereza, na kuviweka katika Lugha ya Kiswahili. Vitabu hivyo maarufu ni pamoja na sehemu ya Agano jipya la Biblia Takatifu, ambayo ni injili zote nne, kama zilivyoandikwa na watakatifu MATHAYO; MARKO; LUKA; YOHANA. Tafsiri yake inaitwa TENZI ZA BIBLIA, vitabu hivyo vilichapishwa na Peramiho Mission Press, Songea). Vitabu vingine alivyovitafsiri kwa Kiswahili ni vile vilivyoandikwa na mwandishi maarufu wa fasihi za kingereza Wiliam Shakespeare, ambavyo ni JILIUS CAESAR na THE MERCHANT OF VENICE** **Kuhusiana na juhudi zake hizo, jambo kubwa zaidi na la kushgangaza kabisa, ni je, alipata wapi muida wa lutosha kufanya kazi hiyo? Ikizingatiwa kwamba Toleo la kwanza la Tafsiri ya Julius Caeser ( kwa Kiswahili: Julias Kaizari) lililochapishwa na shirika la Oxford University Press, lilitoka mwaka 1967; miaka ambayo ni dhahiri mwalimu Nyerere alikuwa katika harakati nzito za kuijenga nchi yetu changa, mara baada ya kupatikana na uhuru mwishoni mwa mwaka 1961; pamoja na harakati nyingine za ukombozi wan chi zingine za Bara la Afrika kutoka katika kutawaliwa na wakoloni; inashangaza kuona kwamba mwalimu Nyerere, aliyekuwa mtumishi wa umma nambari moja, aliweza kupata muda wa kufanya hivyo, inakuwaje wengine, wenye majukumu madogo zaidi kuliko aliyokuwa nayo yeye, wanashindwa?** **Mchango wa mwalimu Nyerere katika kustawisha Kiswahili** **Juhudi za mwalimu Nyerere za kutafsiri vitabu hivyo na kuviweka katika lugha ya Kiswahili, zilikuwa na sababu nyingine kubwa ambayo yafaa pia kuifahamu. Sababu yake ilikuwa ni kuonesha utajiri wa lugha ya Kiswahili ulivyo mkubwa, kiasi kwamba kinayo maneno ya kutosha, sawa na fasihi za Lugha ya kingereza, kilichokuwa kinatumika mashuleni kama lugha ya kufundishia.** **Lakini siyo hilo tu. Jitihada za Mwalimu Nyerere za kutukuza Kiswahili zilianza mapema zaidi, mara tu baada ya kupatikana uhuru wa nchi yetu; ambapo Mwalimu Nyerere, (akiwa ndiye kiongozi Mkuu wa nchi), alitangaza Kiswahili kuwa ndiyo lugha rasmi ya taifa letu. Maana ya tanzazo hilo ilikuwa ni kwamba shughuli zote za serikali (ambazo ilikuwa inawezekana kuziendesha kwa kiswahili), ilibidi sasa ziendeshwe kwa lugha hiyo ya Taifa. Na papo hapo iliamliwa pia kwamba shughuli za mijadala ya Bunge zianze mara moja kuendeshwa kwa lugha ya Kiswahili. Na ndipo neno ‘Bunge’ lilipobuniwa, kutokana na neno la Kiganda “BULANGE”; lenye maana ya ‘Bunge la Buganda’ (inayotawaliwa na Mfalume Kabaka ndani ya Jamuhuri ya Uganda)** **Kwa upande wa Elimu yake ya darasani, mbali na shahada yake ya M.A. aliyotunukiwa baada ya kufaulu masomo katika chuo Kikuu cha Edinburgh, Uingereza; vile vile alitunukiwa shahada nyingine nyingi za heshima (honorary Degrees) na vyuo vikuu mbalimbali duaniani; ambavyo ni pamoja na Edinburgh (uingereza); Duquesne (marekani); Cairo (Misri); Nsukka (Nigeria); Ibadan (Nigeria); Harare (Zimbabwe); Monrovia (Liberia); Toronto (Canada); Howard (Marekani); Jawahral Nehru (India); Havana (Cuba); Lesotho (Lesotho); The Philipines (Ufilipino); na Fort Hare (Afrika Kusini).** **MAISHA YA MWALIMU NYERERE KAMA KIONGOZI** **Katika maisha yake kama kiongozi wa nchi, Mwalimu alitawaliwa kwa kiwango kikubwa sana na Imani thibiti aliyokuwa nayo; kwamba “binadamu wote ni sawa”, na kwamba “kila mtu anastahili kuheshimiwa na kuthaminiwa utu wake”.** **Mifano michache iliyotolewa hapo juu inasaidia kuthibitisha kwamba imani yake hiyo ndiyo ilikuwa msingi mkubwa wa uamuzi wake mwingi aliokuwa akiufanya katika kipindi cha uongozi wake. Vielelezo vya utekelezaji wa imani yake hiyo, ni kama ifuatavyo:-** **Alichukizwa sana na dhuluma, uonevu, na upendeleo** **Kuhusu juhudi zake za kupambana na dhuluma na uonevu katika jamii, ipo mifano kadhaa ya vitendo vyake vinavyodhihirisha mapambano hayo. Kwanza, mapema mwaka 1963, muda mfupi tu baada ya kushika madaraka ya Rais wa Tanganyika, Mwalimu Nyerere alitoa amri ya kufuta Kodi iliyokuwa inaitwa ‘kodi ya kichwa’. Kodi hii ilikuwa ikitozwa kwa kila mtu mzima, bila kujali uwezo wake wa kulipa. Alifuta kodi hiyo kutokana na kitendo kilichomuudhi sana cha kukamatwa kwa baadhi ya wananchi waliokuwa wameshindwa kuilipa. Walioswekwa ndani katika mahabusu moja katika kijiji cha ilemela, Karibu na mji wa Mwanza** **Kutokana na msongamano ulivyokuwa mkubwa katika mahabusu hiyo, baadhi ya watu hao walifariki dunia. Habari hizo zilipomfikia Rais Nyerere, aliamuru kufutwa kwa kodi hiyo mara moja, kwani aliona kuwa ilikuwa inasababisha dhuluma na uonevu kwa wananchi walio wengi** **Baadaye tutaona mifano mingine ya vitendo vyake vilivyotokana na tabia yake hiyo ya kuchukia dhuluma, unyanyasaji, ubaguzi, Uonevu, na hata upendeleo usiofaa.** **Alikuwa ni jasiri wa kufanya uamuzi mgumu na nyeti** **Ujasiri wake wa kufanya uamuzi mzito na mgumu, ulitokana na msimamo wake imara na usiotetereka wa kutetea misingi aliyokuwa anaiamini kwa dhati. Msimamo huo ulidhihirika tangu mwanzoni kabisa mwa kipindi cha uongozi wake, hata kabla ya kupata uhuru, Baadhi ya mifano ya vitendo vyake katika kipindi hicho ni hii ifuatayo:** **Kama sehemu ya mapambano aliyokuwa akiyaongoza dhidi ya ubaguzi wa rangi uliokuwa ukifanywa na Serikali za makaburu wa Afrika Kusini, pamoja na udhalimu wa serikali ya Ureno iliyokuwa inatawala Msumbiji, mara tu alipopata madaraka ya kumwezesha kufanya hivyo, alifanya uamuzi wa kijasiri sana unaoelezwa katika kifungu hiki. Ulikuwa uamuzi wa kijasiri kwa sababu, kwa kiasi Fulani, aliathiri uchumi wa Tanganyika. Bila shaka, Rais Nyerere alitambua kuwapo kwa athari hizo, lakini alitetea uamuzi wake huo kwa maelezo kwamba hizo zilikuwa ni gharama za kusimama kwenye misingi (the cost of principle); ambazo ilikuwa ni lazima kuzibeba kwa ajiri ya kutetea misingi hiyo:** **Alisusia bidhaa za Afrika Kusini** **kuhusu Afrika Kusini, Mwalimu Nyerere alifanya mambo yafuatayo:** **kwanza, alipiga marufuku uingizaji nchini Tanganyika wa bidhaa zozote kutoka Afrika Kusini.** **Pili, alitangazia ulimwengu kwamba endapo Afrika kusini itaendelea kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Madola, basi Tanganyika itakapopata uhuru wake haitajiunga na Jumuiya hiyo. Alieleza kuwa yeye, kama kiongozi wa Tanganyika huru, asingeweza kukaa meza moja na kiongozi wa serikali inayoendesha sera za ubaguzi kama hiyo ya Afika Kusini, katika vikao vya Jumuiya hiyo ya Madola.** **Alifanya hivyo akijua athari zake kwa uchumi wa Tanganyika, ambao zingetokana na kutojiunga na Jumuiya ya Madola, kwani nchi hii ingekosa nisaada kutoka katika mataifa kama Uingereza na Canada, pamoja na kukosa nafuu za kibiashara (trade preferences) zilizokuwa zikitolewa kwa wanachama wa jumuiya hiyo. Lakini bado akawa na ujasiri wa kutoa kauli hiyo nzito.** **Ilitokea bahati njema kwamba, kauli yake hiyo ilizaa matunda mazuri. Kwani tangazo lake hilo liligeuka kuwa shinikizo la kutosha kusababisha Serikali ya Afrika Kusini ijiondoe yenyewe katika uanachama wa Jumuiya hiyo. Baadaye Mwalimu Nyerere alitusimulia kuwa yeye mwenyewe hakuwa na matumaini kwamba kauli yake hiyo ingesikilizwa na wahusika, na kwamba yeye alikuwa hajapata habari ya matokeo hayo mpaka waziri wake Amir Jamal alipokwenda nyumbani kwake kumpasha habari hizo alizokuwa amezisikia kwenye matangazo ya BBC, kuwa serikali ya Afrika Kusini imejiondoa yenyewe katika Jumuiya ya Madola. Alituambia jinsi alivyopata mshangao wa furaha, kwani hakuwa ametegemea kupata matokeo mazuri na kwa haraka kiasi hicho.** **Alivunja uhusiano na Ureno** **Mwalimu nyerere alivunja uhusiano wa kibihashara na Ureno, kwa sababu ya vitendo vya udhalimu alivyokuwa vikifanywa na nchi hiyo katika koloni lake la Msumbiji. Alifanya hivyo huku akijua kwamba uhusiano huo ungeendelea kuwepo, pengine angeweza kusaidia katika kuweka msimao wa pamoja wa kibihashara katika Nyanja za kimataifa, hususan bei za korosho na Mkonge, mazao ambayo yanalimwa katika Nchi zote mbili. Lakini kwa msingi wa kupambna ma udhalimu, bado alikataa uhusiano huo usiwepo.** **Alijitolea kuunga mkono harakati za ukombozi wan chi za kusini mwa Afrika** **Msimamo wake wa kusaidia kwa hali na mali juhudi za ukombozi wa nchi za kusini mwa afrika, ziliiweka nchi yetu katika hatari kubwa ya kushambuliwa kijeshi na nchi ambazo wapigania uhuru wake walihifadhiwa na kulindwa katika kambi kadhaa zilizokuwepo hapa nchini. Hatari hiyo ilizidi kuwa kubwa baada ya kukubali nchi yetu kuwa mwenyeji wa kamati ya ukombozi ya umoja wa Afrika (OAU Liberation Committee), ambayo ofisi zake ziliwekwa mjini Dar es salaam. Huo ulikuwa ni mchango mahususi wa Mwalimu Nyerere katika jitihada zake za kupinga dhuluma ya nchi hizo kutawaliwa na wakoloni. Lakini ulikuwa ni uamuzi mgumu sana kuufanya katika mazingira ya wakati huo yalivyokuwa.** **Alikataa misaada ya Ujerumani** **Mara baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kulitokea mgogoro wa kidplomasia ambao ulimsababisha Mwalimu Nyerere kufanya uamuzi mwingine mgumu, wa kuikataa misaada yote ya Ujerumani iliyokuwa imepanga kuitoa kwa nchi yetu. Wakati huo, ujerumani ilikuwa ni nchi mbili tofauti: Ujerumani ya mashariki na Ujerumani ya Magharibi. Ujerumani ya magharibi peke yake ndiyo ilikuwa na uhusiano wa kibalozi na Tanganyika kabla ya Muungano, na ilikuwa ikitoa misaada mingi kwetu.** **Mara baada ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ujerumani ya Mashariki ilifungua uhusiano wa kibalozi na Zanzibar. Tukio hilo lilisababisha Ujerumani ya Magharibi kudai kwa nguvu, kwamba Tanzania isiruhusu kuwapo kwa ubalozi wa Ujerumani ya Mashariki hapa nchini, kwa maana ya Zanzibar. Mashinikizo hayo yalitokana na msimamo wao wakati huo, uliojikita kwenye dhana iliyojulikana kwa jina la ‘Halshtein Doctrine’, dhana ambayo haikuruhusu kuwapo kwa uwakilishi wan chi zote mbili za Ujerumani katika nchi moja yoyote ya kigeni. Sababu yake ilikuwa kwamba Ujerumani ya Magharibi ilikuwa haitambui kabisa kuwepo kwa nchi inayoitwa Ujerumani ya Mashariki.** **Katika kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo, Rais Nyerere, kwa kutumia utaratibu wake wa kushawishi kwa kutumia “nguvu ya huja”, alishauri Ujerumani ya magharibi ikubali utumike utaratibu ambao tayari ulikuwa umekubaliwa utumike katika nchi ya Misri, ambapo Ujerumani ya Magharibi ilikuwa Ubalozi kamili, na ujerumani Mashariki pia alikubaliwa kuwa na uwakilishi katika ngazi ndogo zaidi ya ‘Consulate –General’.** **Lakini Ujerumani ya Magharibi haikuuafiki ushauri huo, na wala haikuishia hapo; bali ilichukua hatua ya kuvunja mkataba wa miaka mitano uliokuwepo wa nchi hiyo kutoa msaada wa mafunzo ya kijeshi kwa wanajeshi wetu wa anga. Vilevile walitoa pia tishio kwamba hata misaada yao mingine vilevile itaondolewa kama Serikali ya Tanzania haitabadili msimamo wake juu ya suala hilo. Rais Nyerere hakuwa ni mtu wa kuyumbishwa kwa vitisho kama hivyo. Kwa hiyo, akaamuru Serikali ya Ujerumani Magharibi iondoe mara moja misaada yake mingine yote.** **Kwa hakika, alikuwa ni uamuzi mgumu, kwa sababu uliathiri nchi yetu kiuchumi. Kwa mfano, ulifuta kabisa uwezekano wa kupata msaada wa Ujerumani katika mpango wa kuendeleza Bonde la mto Kilombero, ambao tayari Serikali ya Ujerumani ilikwisha kuukubali pamoja na kusimamisha ujenzi wa jingo la Nkurumah Hall katika chuo kikuu cha Dar es Salaam** **Alivunja uhusiano wa kidiplomasia na Uingereza** **Mnamo mwaka 1965, koloni la Uingereza lililokuwa likiitwa ‘southern Rhodesia’, lilijitangazia uhuru wake, bila idhini ya mwenye koloni lake hilo, yaani Serikali ya Uingereza. Kufuatia tukio hilo, Mawaziri wa nchi zote ambazo ni wanachama wa OAU, walifanya mkutano wa dharura mjini Addis Ababa, kwa madhumuni ya kuzingatia tukio hilo, na kukubaliana juu ya hatua inayofaa kuchukuliwa na nchi za Afrika katika hali hiyo.** **Tarehe 2 desemba, 1965, mkutano huo ulipitisha azimio la kuipatia Serikali ya Uingereza muda maalumu wa kuchukua hatua za kuzima uasi huo wa koloni lake hilo la ‘Southern Rhodesia’. Azimio hilo lilisema wazi kwamba endapo hadi kufikia tarehe 15 ya mwezi huo, serikali ya Uingereza haitakuwa imechukua hatua zozote za dhati kufanya hivyo basi nchi zote za umoja wa Afrika zitavunja uhusiano wa kidplomasia na Uingereza siku hiyo.** **Serikali ya Uingereza haikuchukua hatua zozote zile. Kwa hiyo, bila kusita wala kuchelewa, ilipofika tarehe hiyo 15 Desemba, 1965, Rais Nyerere alitangaza kuvunjwa kwa uhusiano wa Kidiplomasia baina ya Tanzania na Uingereza, katika kutekeleza uamuzi huo OAU.** **Vilevile, huo ulikuwa ni uamuzi mgumu, kwa sababu uliathiri uchumi wetu. Kwa mfano, kulikuwa na makubaliano ambayo tayari yalikwisha kufikiwa, ingawa mkataba wake ulikuwa bado haujasainiwa, ya kupata mkopo usiokuwa na riba kutoka Serikali ya Uingereza, wa paundi za kiingereza milioni 7.5. Fedha ambazo zingetumika kutekeleza baadhi ya miradi iliyokuwa imewekwa katika mpango wa maendeleo wa miaka mitano, uliokuwa unaanza kutekelezwa mwaka huo. Kutokana na tukio hilo, fedha hizo zilisitishwa kutolewa (frozen) Ni vizuri kueleza hapa pia kwamba ulikuwa ni uamuzi mgumu kutokana na sababu nyingine, kwani ni nchi mbili tu jasiri za Tanzania na Ghana ndizo peke yake zilizochukua hatua ya kutekeleza uamuzi huo wa OAU. Nchi nyingine zote zilizobaki za Afrika hazikufanya hivyo, pamoja na kwamba zilikuwa zimeshiriki katika kupitisha Azimio hilo la Addis Ababa.** **Inawezekana kuwa Mwalimu Nyerere alikuwa amehisi kuwa usaliti huo ungetokea kwani jana yake tarehe 14 desemba, 1965, alikwenda kulihutubia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, tena alifanya hivyo kwa lugha ya Kiingereza badala ya Kiswahili, kuashirikisha kwamba alikusudia nchi hizo nyingine ziweze kumsikia moja kwa moja bila kusubiri tafsiri.** **Hotuba hiyo ya mwalimu Nyerere baadaye ilichapishwa katika kijitabu maalumu kilichopewa jina la, ‘The Honour of Africa’, (Heshima ya Afrika) ambacho kinaeleza umuhimu wa Afrika kuheshimu uamuzi wake mwenyewe. Miongoni mwa mambo mengi ya msingi aliyoyasema katika hotuba yake hiyo, ni pamoja na kuuliza maswali ya msingi kabisa yafuatayo:** **“Can Africa fail to implement its own resolution? Do Africa states meet in solemn conclave merely to make a noise? Or do they mean what they say? The purpose of that resolution was to show that, Africa requires action to be taken against smith. If that action is not taken, do we just shrug our shoulders and do nothing about it? Can we – the African states – honourably do nothing to implement our own resolution?”** **(Hivi kweli Afrika inaweza kushindwa kutekeleza uamuzi wake yenyewe? Nchi za Afrika zinaweza kweli kukaa katika kikao rasmi, kwa madhumuni ya kupiga kelele tu? Siyo kwamba yale watakayoyasema yana maana? Madhumuni ya azimio hilo yalikuwa ni kuonesha kwamba Afrika inadai hatua zichukuliwe dhidi ya Smith (Waziri Mkuu wa Rhodesia ya Kusini aliyejitangazia uhuru). Kama hatua hizo hazitachukuliwa, je, tunakunja mikono tu na kusema kwamba hatuna la kufanya? Hivi kweli nchi za Afrika zitakuwa zimelinda heshima yake kama hazitachukuwa hatua za kutekeleza azimio letu wenyewe?)** **Mifano yote hiyo inadhihirisha msimamo wake ulivyokuwa imara sana katika kusimamia na kutetea kwa gharama yoyote, misingi ambayo aliiamini kwa dhati.** **UAMUZI MWINGINE MGUMU WA MWALIMU NYERERE** **Uamuzi wa kuchelewesha Uhuru wa Tanganyika** **Katika kumsaidia msomaji wa kitabu hiki aweze kumwelewa vizuri zaidi Mwalimu Nyerere, pamoja na sababu halisi za baadhi ya Uamuzi mwingine alikuwa akiufanya, tunaongeza mifano mingine ifuatayo.** **Kwanza, ni uamuzi wake alioutangaza kwamba yuko tayari kuchelewesha uhuru wa Tanganyika kusubiri uhuru wa Kenya na Uganda, ili kuziwezesha nchi hizo tatu kuunda Shirikisho la Afrika Mashariki (East Africa Federation) baada ya zote kuwa zimepata uhuru. Ni wazi kwamba baadhi ya viongozi wenzake katika TANU, hawakupendezwa na uamuzi wake huo, na wangeweza kumletea matatizo makubwa kama nguvu yake ya kukubalika katika jamii isingekuwa ni kubwa kama ilivyokuwa.** **Uamuzi wa kuitambua Biafra** **Kutokana na imani yake kubwa kuhusu usawa wa binadamu, Mwalimu Nyerere alichukizwa sana kila alipoona binadamu Fulani wanaonewa au wanadhulumiwa na watawala wao.** **Ndiyo sababu alichukia sana utawala wa makaburu wa Afrika Kusini, kwa jinsi ulivyokuwa ukiwadhulumu na kuwanyanyasa watu weusi wa nchi hiyo. Ni sababu hiyo hiyo ya kuchukia dhuluma, ndiyo pia iliyomfanya atangaze kuitambua Biafra kama nchi inayopigania haki yake ya kujitawala wenyewe. Uamuzi huo ulikuwa ni mgumu kwa sababu Biafra ilikuwa ni sehemu ya Jamuhuri ya Shirikisho la Nigeria; pamoja na Umoja wa nchi huru za Afrika ulikuwa umepisha Azimio la kutambua mipaka ya nchi za Afrika iliyoachwa na wakoloni. Kwa hiyo, Biafra kupigania kujitenga kutoka shirikisho la Nigeria ilikuwa ni kitendo cha kukiuka azimio hilo la OAU.** **Lakini pamoja na hayo, baada ya kuona jinsi watu wa sehemu hiyo ya Biafra walivyokuwa wanaonewa na kudhulumiwa na utawala wa Shirikisho la Nchi hiyo, hali ambayo ilifanya waamue kuanzisha mapigano ya kutaka wajiondoe kwenye shirikisho hilo. Mwalimu Nyerere aliamua kuunga mkono juhudi zao hizo, ili waondokane na dhuluma zilizokuwa zinawakabili kutoka kwa watawala wa Shirikisho la Nigeria.** **Kwake yeye Mwalimu Nyerere, dhambi ya ubaguzi au dhuluma kwa watu kama ile iliyokuwa ikifanywa na makaburu wa Afrika kusini, inabaki kuwa ni dhambi ileile hata inapofanywa na watawala Nigeria, ambao ni wazawa. Ni lazima ilaaniwe** **Mimi nilibahatika kuwa miongoni mwa wageni waliokuwepo Ikulu kuhudhuria mkutano wake na waandishi wa habari wakati wa kuwatangazia uamuzi wake huo, na niliweza kushuhudia hisia zake zilivyokuwa kali dhidi ya uonevu wa serikali ya shirikisho la Nigeria kwa wananchi wa Biafra, wakati alipokuwa akitoa maelezo yake. Hata hivyo, hatimaye Biafra ilishindwa katika vita vyake hivyo vya kujitenga. Kwa hiyo, iliendelea kuwa ni sehemu ya Shirikisho la Nigeria. Lakini kwa kitendo chake hicho, yeye alikwisha kuonesha msimamo wake wa kupinga dhuluma na maonevu yanaofanywa na Serikali yoyote dhidi ya raia wake.** **MWISHO WA MAISHA YAKE.** **Ugonjwa na kifo cha Mwalimu Nyerere** **Kabla ya kifo chake, mimi, wakati huo nikiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndiye nilipewa jukumu la kumpelekea Mwalimu Nyerere nyumbani kwake Butiama, vile vitabu vya zawadi iliyotolewa kwake na Bunge, name nilifanya hivyo kwa heshima kubwa na taadhima.** **Zawadi hizo zilichelewa kupelekwa, kwa sababu vitabu hivyo vya Encyclopaedia Britanica, havikuweza kupatikana madukani vikiwa tayari vimekwisha kuchapishwa. Kwa hiyo, ilibidi vichapishwe upya huko Uingereza, na kusafirishwa kuletwa hapa nchini. Mchakato huo haukukamilika mapema. Hatimaye vilipowasili, ilikuwa ni wakati wa Mkutano wa Bunge bajeti ya mwaka 1999/2000; ndipo tukapanga utaratibu wa kuvipeleka Butiama baada ya kumalizika kwa Mkutano huo wa Bajeti.** **Ni bahati mbaya sana kwamba Mwalimu Nyerere hakupata nafasi ya kuvisoma na kuvitumia vitabu hivyo. Hii ni kwa sababu siku nilipofika Butiama kumkabidhi zawadi yake hiyo, nilimkuta akiwa tayari ni mgonjwa, amelala kitandani. Alikuwa ameanza kuumwa yale maradhi ambayo baadaye, mwezi huohuo, ilibidi apelekwe kutibiwa katika hospitali ya St. Thomas mjini London. Pamoja na jitihada kubwa za madaktari wa huko, bado hakuweza kupona. Mwenyezi Mungu alimwondoa duniani alfajiri ya tarehe 14 Oktoba, 1999.** **Nilipata bahati ya kumwona huko London kabla hajafariki.** **Mimi nilipata fursa ya kwenda kumjulia hali Mwalimu Nyerere wakati alipokuwa mgonjwa huko London. Ilikuwa ni tarehe 25 Septemba, 1999, nilipokuwa njiani nikirudi kutoka nchi ya Trinidad and Tobago iliyopo katika visiwa vya Carribean; ambako nilikuwa nimekwenda kuhudhuria mkutano wa kila mwaka wa Wabunge wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Parliamentary Association), nikiwa Spika wa Bunge la Tanzania. Katika mkutano huo, mimi nilipata bahati ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kamati ya utendaji (Executive Committee) ya chama hicho cha wabunge wa Jumuiya ya Madola; baada ya kuwashinda wagombea wenzangu wawili mmoja kutoka Canada na mwingine kutoka Cyprus.** **Kwa mujibu wa katiba yake, mwenyekiti wa Kamati hiyo ndiye kiongozi Mkuu wa Chama hicho. Kwa hiyo, nilitaka kumpelekea Mwalimu nyerere habari njema ya ushindi wangu huo, kwani ratiba ya ndege ilikuwa inanipitisha London ili kuunganisha na ndege zinazokuja Dar ES Salaam. Nilipangiwa na ubalozi wetu wa London utaratibu wa kumwona mahali alipokuwa amelazwa, na nikapata nafasi ya kuongea naye vizuri kwa muda usiopungua saa moja na nusu hivi, kuanzia saa sita mchana. Kutoka hapo nilikwenda moja kwa moja uwanja wa ndege wa Gatwick, kupanda ndege ya kurejea Dar Es Salaam.** **Nilivyopokea taarifa ya kifo chake.** **Kesho yake asubuhi, nilikwenda kwa Waziri Mkuu, Fredrick Sumaye, kwa lengo la kumpelekea habari njema za kuchaguliwa kwangu kuongoza chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola; pamoja na kumueleza nilivyopitia London kumjulia hali Mwalimu Nyerere, kwamba nilivyomwona na kuongea naye, alikuwa anaendelea vizuri na matibabu yake. Vilevile nilimjulisha Waziri Mkuu Mwalimu mwenyewe alivyokuwa ameniambia, kwamba alikuwa tayari amemwagiza Balozi wetu aliyepo London, amwandalie safari ya kurejea nyumbani wiki iliyokuwa inafuata; ili aweze kuja kukamilisha jukumu lake la kusuluhisha mgogoro wa Burundi. Lakini kumbe Mungu alikuwa na mpango tofauti kwake kwani baadaye siku hiyo hiyo, Balozi akaleta taarifa Serikalini kwamba hali ya Mwalimu Nyerere ilikuwa imebadilika ghafla jana yake jioni, na kwamba alikuwa amekata kauli, na hawezi tena kuongea. Taarifa za baadaye zilisema kwamba aliendelea katika hali hiyo ya kutoweza kuongea hadi alipoaga dunia, siku ya tano baadaye.** **Kumbe mimi ndiye niliyekuwa Kiongozi wa mwisho wa ngazi ya Taifa kuongea naye katika uhai wake! Kutokana na hali hiyo, ndiyo sababu mshituko wangu nilipopata taarifa ya kifo chake, ulikuwa ni mkubwa Zaidi.** **Hata hivyo nilifarijika nilipopewa heshima kubwa ya kuandika na baadaye kuusoma, wasifu (eulogy) wa marehemu Mwalimu Nyerere, katika mkusanyiko wa kitaifa wa maombolezo, uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam kabla mwili wake hujasafirishwa kwenda Butiama kwa mazishi.** **Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu Julius Nyerere,** **mahali pema peponi.** ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/09/ppra-yashiriki-maonesho-ya-wahandisi.html
null
null
null
null
null
null
**Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA, Mhandisi Leonard S. Kapongo akimsikiliza Meneja wa TANROADS Mkoa wa Manyara, Mhandisi Bashiri Rwesingisa, ambaye alitembelea banda la PPRA katika Maonesho ya Siku ya Wahandisi mwaka 2020** **Watumishi wa PPRA wakitoa elimu kwa wadau** **Watumishi wa PPRA wakiwa katika banda lao wakati wa maonesho ya Siku ya Wahandisi (Annual engineers day), 2020 yanayofanyika jijini Dodoma.** **. Kaimu Mkurugenzi wa Kujenga Uwezo na uduma za Ushauri - PPRA, Mhandisi Mary Swai, akitoa elimu kuhusu huduma zinazotolewa na PPRA kwa wadau waliotembelea banda la PPRA kwenye Maonesho ya Siku ya Wahandisi (Annual engineers day), 2020 yanayofanyika jijini Dodoma.** **Afisa Mtendaji mkuu wa PPRA, Mhandisi Leonard S. Kapongo akiwa pamoja na watumishi wa Mamlaka hiyo alipotembelea banda lao katika maonesho ya Siku ya Wahandisi (Annual engineers Day), 2020 kujionea namna zoezi la utoaji elimu kwa wadau linavyoendelea.** ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/07/polisi-wapongezwa-na-bodaboda-wananchi.html
null
null
null
null
null
null
Na Mwandishi wetu Mihambwe Waendesha Pikipiki almaarufu kama Bodaboda pamoja na Wananchi wamelipongeza Jeshi la Polisi kwa kudumisha urafiki, mshikamano na ushirikiano. Hayo yamejiri kwenye mkutano ulioitishwa na Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu uliofanyika katika kiwanja cha shule ya Msingi Kitama ambapo aliwakutanisha Polisi pamoja na Bodaboda ambapo kila pande imefurahia mshikamano huo na kuomba uzidi Kudumu na hali ya kuonana maadui iishe. "Nashukuru ujio wa Polisi uliotupa mwelekeo wa namna ya kushirikiana na kutukumbusha umuhimu wa kutii sheria bila shurti. Hili tukio la leo ni la kwanza kutokea, tunawahaidi ushirikiano." Alisema Kassim Mnyangula kiongozi wa Bodaboda Kata ya Kitama. Nae Haroun Rada amewashukuru Polisi kujenga mahusiano mapya na kutoa elimu kwa jamii ya kutii sheria ambapo ameomba iwe hivyo kwenye makundi yote. "Kipindi cha nyuma tulikuwa kama maadui na Polisi, ila leo tumeanza upya nao. Tunamshukuru sana Afisa Tarafa Mihambwe kwa kuleta tukio hili la kutuunganisha kati ya Polisi, Bodaboda na Wananchi. Ni tukio la kihistoria." Alisema Bashiru Ahmad mkazi wa Kijiji cha Mwenge kilichopo kata ya Kitama. Mkuu wa kituo cha Polisi Mathias Kipeta aliwasisitiza Wananchi kuwa na ushirikiano na urafiki na Jeshi la Polisi kwa kutii sheria bila shurti. Pia wadumishe amani na usalama nyakati zote hususani kipindi cha uchaguzi Mkuu wa kuwachagua Madiwani, Wabunge na Rais. Akizungumza mara baada ya mkutano huo Gavana Shilatu alisisitiza kila mmoja ana jukumu la kuhakikisha ni mlinzi wa amani na usalama, anatii sheria bila shurti ili kudumisha umoja na mshikamano. Mkutano huo ulihudhuliwa na Mkuu wa Kituo cha Polisi wilaya, Askari Mkuu upelelezi wilaya, Kamanda wa Polisi wilaya kikosi cha usalama barabarani, Afisa Tarafa Mihambwe, Polisi Kata Kitama, Serikali Halmashauri za vijiji, Bodaboda pamoja na Wananchi. Wakati huo huo, mara baada ya mkutano huo kumalizika ilichezwa mechi kali ya kirafiki kati ya timu ya Bodaboda na Polisi ambapo Polisi walishinda bao 3 kwa 2 dhidi ya Bodaboda. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/07/waziri-mhe-biteko-ashitukia-njama-za.html
null
null
null
null
null
null
| Waziri wa Madini Doto Biteko akijipaka kitakasa mikono baada ya kupimwa joto kwenye mgodi wa Williamson Diamond Limited alipokuwa kwenye ziara yake Mwadui wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga. | | Waziri wa Madini Doto Biteko akifafanua jambo kwenye kikao katika mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Mwadui wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga | | Add caption | Baadhi ya washiriki walioshiriki kikao cha Waziri wa Madini katika mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Mwadui wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga. Baadhi ya washiriki walioshiriki kikao wa Waziri wa Madini katika mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Mwadui wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga. Waziri wa Madini Doto Biteko akizungumza jambo kwenye kikao katika mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Mwadui wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga. Waziri wa Madini Doto Biteko kushoto akiwa ameongozana na Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila mara baada ya kikao katika mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Mwadui wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga. Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila akielekea kwenye gari mara baada ya kikao katika mgodi wa Williamsoni Diamond Limited uliopo Mwadui wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga. Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Nyabaganga Talaba akizungumza jambo kwenye kikao kilichofanyika katika mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Mwadui wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga. Muonekano wa mgodi wa madini ya Almasi wa Wiliamson Diamond Limited uliopo Mwadui wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga. Na Tito Mselem ,Shinyanga Waziri wa madini Doto Biteko amesikitishwa na kitendo walichokifanya uongozi wa mgodi wa madini ya Almasi wa Williamson Diamond Limited (WDL), uliopo Mwadui katika wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga cha kutaka kuuza kinyemela mgodi huo bila Serikali kupewa taarifa. Hayo yamesemwa Julai 5, 2020 na Waziri wa Madini Doto Biteko alipofanya ziara yake kwenye mgodi huo mara baada ya kuona matangazo ya kuuzwa kwa mgodi huo kwenye mitandao ya kijamii. Waziri Biteko, alisema Serikali inaubia wa asilimia 25 katika mgodi wa WDL, haiwezekani utakekuuzwa bila mmbia wake kufahamu kitendo hicho ni kukiuka taratbu na Sheria za nchi. “Serikali inaubia wa asilimia 25 kwenye mgodi huu kama mnataka kuuza mgodi lazima mtoe taarifa serikalini na mpate kibali, kwa mantiki hiyo serikali inapaswa kuwaadhibu kwa kutaka kuuza mgodi bila kibali huko ni kuhujumu nchi,hivi mlituuliza serikali hatuna uwezo wa kununua mgodi na kuuendesha?,” alisema Waziri Biteko. Kutokana na kitendo hicho, Waziri Biteko ameuagiza uongozi wa mgodi huo kufikia Julai 10 mwaka huu wawe wametoa maelezo kwa maandishi kueleza sababu za kutaka kuuza mgodi huo bila mmbia wake ambaye ni Serikali kujua na pia, kutoa taarifa ya kuwapunguza kazi wafanyakazi kisha kuwalipa nusu mshahara. Alisema wafanyakazi waliopunguzwa kazi kwa kutumia kigezo cha ugonjwa wa Corona utaratibu uliotumiwa haufai na wao kama Wizara ya Madini hawakubaliani nao kutokana na kulipwa mishahara nusu jambo ambalo linawapa wakati mgumu na kusababisha migogoro isiyo ya lazima. Aidha, Waziri Biteko, alisema sababu ambazo wanazitoa mgodi huo za kusitisha shughuli za uzalishaji na kutaka kuuza mgodi huo ni kushuka kwa bei ya almasi duniani iliyosababishwa na ugonjwa wa corona, ambapo alieleza kuwa sababu hizo hazina mashiko ila wawe wakweli kama wamefilisika ijulikane. Waziri Biteko alisema sababu kubwa ambayo ingefanya mgodi huo kufungwa ni kushuka kwa uzalishaji na siyo uendeshaji, huku akihoji kama mgodi hauna fedha za kujiendesha wangesema badala ya kuweka matangazo kwenye mitandao mgodi unauzwa wakati serikali haina taarifa kwenda mitandaoni. Kwa upande wake meneja mkuu wa mgodi huo Mhandisi Ayoub Mwenda, alikiri kuwa hawakutoa taarifa Serikalini juu ya kutaka kuuzwa kwa mgodi huo, huku akieleza kuwa walifunga mgodi huo April 8 mwaka huu kutokana na kushindwa kujiendesha na ameahidi kufuata maelekezo yote ambayo yametolewa na Waziri wa Madini. Mhandisi Mwenda alisema walikuwa wanazalisha vizuri kabla ya mlipuko wa ugonjwa wa Corona ambapo kwa mchanga waliokuwa wameuzalisha walikuwa mbele kwa asilimia tatu na almasi walizokuwa wamezikusanya walikuwa mbele kwa asilimia 9.1kulingana na bajeti yao waliyokuwa wameiweka. Alisema tatizo la Corona limeuathiri sana mgodi huo na kusimama kufanya shughuli za uzalishaji kutokana na kushuka bei ya masoko ya nje ambapo kabla ya Corona bei ilikuwa dola 246 kwa karati moja ambapo Machi mwaka huu waliuza karati moja dola 135 ambayo ilikuwa haiwezi kutosheleza gharama za uzalishaji. Mkuu wa wilaya ya Kishapu Nyabaganga Talaba ameipongeza Wizara ya Madini kwa kazi nzuri wanazozifanya ambapo wamesaidia nchi kuingia katika uchumi wa kati. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/07/waziri-lukuvi-ataka-wamiliki-wa-ardhi.html
null
null
null
null
null
null
*Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza huku akiwa amezungukwa na wananchi wa mkoa wa Mara walimfuata kutaka kutatuliwa kero zao za ardhi wakati wa uzinduzi wa ofisi* *ya ardhi mkoa wa Mara jana.* Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka wamiliki wa ardhi ambao hati zao za ardhi zinaishia miaka 33 kwenda ofisi za ardhi za mikoa zilizoanzishwa hivi karibuni kuzihuisha ili kupatiwa za miaka 99. Lukuvi ametoa kauli hiyo jana mkoani Mara wakati akizindua ofisi ya ardhi mkoa wa Mara ambayo ni ofisi ya kumi na mbili kuzinduliwa ikiwa ni mfululizo wa kuzindua ofisi za ardhi kwenye mikoa mbalimbali nchini. Alisema, kuna baadhi ya wamiliki wa ardhi kwenye mikoa mbalimbali ambao viwanja vyao vimepimwa na michoro kuidhinishwa lakini hati zao ni za miaka 33 na wamiliki hao watakapoenda kuzichukua wanatakiwa kuziangalia ili zibadilishwe na kupatiwa hati za miaka 99. ‘’ Hati nyingi za wale wamiliki ambao hawajazichukua zimekwisha muda wake, muende kwenye ofisi za ardhi za mikoa, huko mtaelekezwa na Wasajili Wasaidzi wa ardhi katika ofisi hizo namna ya kuzibadilisha ili mpatiwe za miaka 99’’ alisema Lukuvi. Kwa mujibu wa Lukuvi, zaidi ya wamiliki wa ardhi 50,000 kwenye mkoa Mara hawajachukua hati za ardhi wengi muda wa hati zao unaishia miaka 33 na kutaka kufika ofisi za ardhi mkoa wa Mara kurekebishiwa na kupatiwa za miaka 99 ili iwe rahisi kupata mikopo mikubwa . Akizungumzia uzinduzi ofisi ya ardhi mkoa wa Mara, Lukuvi alisema mkoa huo umekuwa na migogoro mingi ya ardhi na kubainisha kuwa uzinduzi wa ofisi hiyo utawawezesha wananchi wa Mara kumaliza migogoro kupitia ofisi hiyo badala ya kuipeleka migogoro kwake. Waziri Lukuvi aliongeza kuwa, pamoja na Wizara yake hapo awali kushughulikia kero na migogoro ya ardhi lakini tatizo la kimfumo lilikuwa kubwa na kuweka wazi kuwa uzinduzi wa ofisi za mikoa unakomesha kero ambapo sasa hakutakiwa na gharama yoyote kwa mmiliki wa ardhi zaidi ya ile atakayolipia wakati wa kuomba hati. ‘’Mgogoro wa kimfumo ulikuwa mkubwa zaidi na leo hii tumekomesha kero na hakuna gharama yoyote mmiliki wa ardhi ataingia kufuatilia hati zaidi ya ile aliyolipa wakati wa kuomba hati, serikali ya awamu ya tano imeondoa kero zote kwa wananchi kwenye utawala wa ardhi’’ alisema Lukuvi. Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Mara Adam Malima alisema, ofisi yake imekuwa ikipokea malalamiko na kero nyingi na kati ya malalamiko kumi na mbili anayopokea kwa siku sita yanahusiana na ardhi na kusisitiza kuwa, mingi ya migogoro ya wananchi lazima nguvu hutumika jambo alilolieleza kuwa linaongeza gharama za kiafya katika masuala ya matibabu na kubainisha kuwa uwepo ofisi ya ardhi katika mkoa huo utarahisisha huduma katika sekta ya ardhi.. ‘’ Kila malalamiko kumi na mbili ninayopata ofisini kwangu sita ni ya ardhi na mengi yana sura ya kijamii na hapa kuna neno la msamiati ukisikia vyesi ujue ni kesi’’ alisema Malima. Mmoja wa wakazi wa Musoma aliyepatiwa hati katika uzinduzi ofisi ya ardhi Bi. Mara Sophia Lugera alifurahishwa na usogezwaji huduma za ardhi mkoani Mara na kubainisha kuwa aliifuatilia kwa muda mrefu hati yake iliyokuwa ofisi ya Kanda Mwanza na kusema, baada ya kuipata hati ataitumia kuchukulia mkopo benki ili aendeleze biashara yake ya ujasiriamali. Katika hatua nyingine Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi alitembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara inayojulikana kama Mawalimu Nyerere Memorial Hospital iliyopo eneo la Kwangwa Musoma mkoa wa Mara. Akiwa katika mradi huo, Lukuvi aliagiza kukamilika kwa jengo ya Huduma ya Mama na Mtoto kufikia mwisho wa mwezi huu ili lianze kutumika kwa wananchi wa mkoa huo na Mikoa jirani. Alisema, ujenzi wa jengo hilo umechukua muda mrefu na anataka kuona sehemu ya jengo hilo inakamilika kufikia julai 31 mwaka huu na Agosti mosi 2020 atamuagiza Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula kwenda kuona kama agizo lake limetekelezwa kama alivyoahidiwa. Mhandisi na Msimamizi wa mradi wa ujenzi wa Hosiptarli ya Rufaa mkoa wa Mara Renald Kazyoba alisema, kimsingi sehemu ya ujenzi wa mradi huo sehemu ya Huduma ya Mama na Mtoto (Wing C) itakamilika kama alivyoagizwa kwa kuwa kazi kubwa imefanyika. Lukuvi ametoa kauli hiyo jana mkoani Mara wakati akizindua ofisi ya ardhi mkoa wa Mara ambayo ni ofisi ya kumi na mbili kuzinduliwa ikiwa ni mfululizo wa kuzindua ofisi za ardhi kwenye mikoa mbalimbali nchini. Alisema, kuna baadhi ya wamiliki wa ardhi kwenye mikoa mbalimbali ambao viwanja vyao vimepimwa na michoro kuidhinishwa lakini hati zao ni za miaka 33 na wamiliki hao watakapoenda kuzichukua wanatakiwa kuziangalia ili zibadilishwe na kupatiwa hati za miaka 99. ‘’ Hati nyingi za wale wamiliki ambao hawajazichukua zimekwisha muda wake, muende kwenye ofisi za ardhi za mikoa, huko mtaelekezwa na Wasajili Wasaidzi wa ardhi katika ofisi hizo namna ya kuzibadilisha ili mpatiwe za miaka 99’’ alisema Lukuvi. Kwa mujibu wa Lukuvi, zaidi ya wamiliki wa ardhi 50,000 kwenye mkoa Mara hawajachukua hati za ardhi wengi muda wa hati zao unaishia miaka 33 na kutaka kufika ofisi za ardhi mkoa wa Mara kurekebishiwa na kupatiwa za miaka 99 ili iwe rahisi kupata mikopo mikubwa . Akizungumzia uzinduzi ofisi ya ardhi mkoa wa Mara, Lukuvi alisema mkoa huo umekuwa na migogoro mingi ya ardhi na kubainisha kuwa uzinduzi wa ofisi hiyo utawawezesha wananchi wa Mara kumaliza migogoro kupitia ofisi hiyo badala ya kuipeleka migogoro kwake. Waziri Lukuvi aliongeza kuwa, pamoja na Wizara yake hapo awali kushughulikia kero na migogoro ya ardhi lakini tatizo la kimfumo lilikuwa kubwa na kuweka wazi kuwa uzinduzi wa ofisi za mikoa unakomesha kero ambapo sasa hakutakiwa na gharama yoyote kwa mmiliki wa ardhi zaidi ya ile atakayolipia wakati wa kuomba hati. ‘’Mgogoro wa kimfumo ulikuwa mkubwa zaidi na leo hii tumekomesha kero na hakuna gharama yoyote mmiliki wa ardhi ataingia kufuatilia hati zaidi ya ile aliyolipa wakati wa kuomba hati, serikali ya awamu ya tano imeondoa kero zote kwa wananchi kwenye utawala wa ardhi’’ alisema Lukuvi. Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Mara Adam Malima alisema, ofisi yake imekuwa ikipokea malalamiko na kero nyingi na kati ya malalamiko kumi na mbili anayopokea kwa siku sita yanahusiana na ardhi na kusisitiza kuwa, mingi ya migogoro ya wananchi lazima nguvu hutumika jambo alilolieleza kuwa linaongeza gharama za kiafya katika masuala ya matibabu na kubainisha kuwa uwepo ofisi ya ardhi katika mkoa huo utarahisisha huduma katika sekta ya ardhi.. ‘’ Kila malalamiko kumi na mbili ninayopata ofisini kwangu sita ni ya ardhi na mengi yana sura ya kijamii na hapa kuna neno la msamiati ukisikia vyesi ujue ni kesi’’ alisema Malima. Mmoja wa wakazi wa Musoma aliyepatiwa hati katika uzinduzi ofisi ya ardhi Bi. Mara Sophia Lugera alifurahishwa na usogezwaji huduma za ardhi mkoani Mara na kubainisha kuwa aliifuatilia kwa muda mrefu hati yake iliyokuwa ofisi ya Kanda Mwanza na kusema, baada ya kuipata hati ataitumia kuchukulia mkopo benki ili aendeleze biashara yake ya ujasiriamali. Katika hatua nyingine Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi alitembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara inayojulikana kama Mawalimu Nyerere Memorial Hospital iliyopo eneo la Kwangwa Musoma mkoa wa Mara. Akiwa katika mradi huo, Lukuvi aliagiza kukamilika kwa jengo ya Huduma ya Mama na Mtoto kufikia mwisho wa mwezi huu ili lianze kutumika kwa wananchi wa mkoa huo na Mikoa jirani. Alisema, ujenzi wa jengo hilo umechukua muda mrefu na anataka kuona sehemu ya jengo hilo inakamilika kufikia julai 31 mwaka huu na Agosti mosi 2020 atamuagiza Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula kwenda kuona kama agizo lake limetekelezwa kama alivyoahidiwa. Mhandisi na Msimamizi wa mradi wa ujenzi wa Hosiptarli ya Rufaa mkoa wa Mara Renald Kazyoba alisema, kimsingi sehemu ya ujenzi wa mradi huo sehemu ya Huduma ya Mama na Mtoto (Wing C) itakamilika kama alivyoagizwa kwa kuwa kazi kubwa imefanyika. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/06/rais-dkt-magufuli-akagua-ujenzi-reli-ya.html
null
null
null
null
null
null
*Rais Dk. John Magufuli akifurahia jambo ndani ya Behewa la Treni ya Uhandisi alipokuwa akienda Mlandizi mkoani Pwani wakati akikagua kazi za ujenzi wa kipande cha Reli ya Kisasa kutoka Dar es salaam hadi Morogoro, leo. Ujenzi huo umefikia asililimia 80.* **Na Mwandishi wa Ikulu** Rais Dk. John Magufuli leo 28 Juni 28, 2020 amekagua maendeleo ya ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (standard gauge) kwa sehemu ya kwanza ya Dar es Salaam – Morogoro na kuelezea kuridhishwa kwake na maendeleo ya ujenzi wa mradi huo mkubwa. Rais Magufuli amesafiri kwa gari kandokando ya reli hiyo kuanzia Kisarawe hado Soga Mkoani Pwani na kisha akapanda kiberenge kilichopita katika reli hiyo mpya kuanzia Soga hadi Kikongo kabla ya kuendelea na safari yake kwa gari kuelekea Morogoro. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Mhandisi Masanja Kadogosa amemueleza Mhe. Rais Magufuli kuwa kazi ya ujenzi wa sehemu ya kwanza ya reli hiyo imefikia asilimia 82 ambapo Watanzania 13,000 wamenufaika na ajira na inatarajiwa kukamilika mwisho wa mwaka huu (2020). Akizungumza na wananchi wa Soga na Kikongo, Rais Magufuli amewapongeza kwa kupata mradi huo na ametaka waendelee kuchapa kazi kwa juhudi na maarifa ili waweze kunufaika zaidi na mradi huo. Rais Magufuli amesikiliza kero za wananchi hao ambapo ameendesha harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya uboreshaji wa Shule ya Msingi Soga na kufanikiwa kukusanya sh. 68,535,000/- zikiwemo shilingi Milioni 5 alizochangia yeye mwenyewe, na amemtaka Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi kufika Kijijini hapo ili kutatua mgogoro wa ardhi kati ya wananchi na mmiliki wa shamba kubwa lililopo kijijini hapo ambalo halilimwi na pia kumuagiza Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa kuhakikisha anatatua tatizo la maji linalokikabili kijiji cha Soga. Ameeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imechukua hatua madhubuti za kutekeleza mradi huo ambao utagharimu shilingi Trilioni 7.02 kwa sehemu ya kuanzia Dar es Salaam hadi Makutupora Mkoani Dodoma, pamoja na kutekeleza mradi mkubwa wa uzalishaji wa megawati 2,115 za umeme katika Bwawa la Nyerere ili kukuza uchumi wa Watanzania na kuinua kipato cha wananchi na hivyo amewataka Watanzania wote kuunga mkono juhudi hizo. Akiwa Mlandizi, Rais Magufuli amesikiliza pia kero za wananchi na kumuagiza Naibu Waziri wa Maji Mhe. Juma Aweso kuhakikisha Wizara ya Maji inatatua tatizo la maji la Mitaa ya Mbwawa Shule na Mbwawa Mkoleni na pia amemuagiza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe kuanza mchakato wa ujenzi wa barabara ya lami ya Mafia – Mzenga – Vikumbulu ili kuunganisha Mlandizi na reli. Rais Magufuli amewasili Mjini Morogoro na kesho ataendelea na ziara yake Mkoani hapa ambapo ataweka jiwe la msingi la ujenzi wa mahandaki ya reli ya kisasa (standard gauge) sehemu ya Morogoro – Makutupora, kuzindua barabara ya lami ya Rudewa – Kilosa na atafanya mkutano wa hadhara katika eneo Mkadage Wilayani Kilosa. Rais Magufuli amewataka Watanzania wote kujiandaa kwa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu (2020) huku wakikumbuka kudumisha amani, umoja na mshikamano pamoja na kuwachagua viongozi watakaowafaa. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/06/ndege-za-abiria-zaid-ya-200-kuanza.html
null
null
null
null
null
null
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Leonard Chimagu, Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Dodoma, Bertha Bankwa (kulia), wakati Waziri huyo alipokagua maendeleo ya upanuzi wa kiwanja hicho mkoani Dodoma. Dodoma, Tanzania Kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kutaruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 aina ya Airbus kuruka na kutua kiwanjani hapo. Akizungumza mara baada ya kukagua maendeleo ya upanuzi huo Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, amesema lengo la upanuzi huo ni kuruhusu ndege nyingi zaidi kutoa huduma kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma na mikoa ya jirani. “Kiwanja hiki kiliongezwa urefu lakini mahitaji yaliyopo sasa ni makubwa, tumelazimika kuongeza tena urefu ili kukidhi mahitaji kwani idadi ya watu inaongezeka kila siku kwa kuwa Dodoma ni Makao Makuu sasa ya Serikali", amesema Waziri Mhandisi Kamwelwe. Waziri Mhandisi Kamwelwe amesema pamoja na upanuzi wa uwanja huo, Serikali imetangaza zabuni kwa ajili ya kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Msalato na zabuni hizo zitafunguliwa mwezi Julai ili kuendelea na taratibu za ujenzi. Aidha, Waziri Kamwelwe ameongeza kuwa pamoja na changamoto ya ugonjwa wa Corona (COVID 19) kuchangia ucheleweshaji wa ufunguaji na uchambuaji wa zabuni, Serikali inaendelea kuandaa mazingira ili mradi huo uanze. Katika hatua nyingine Waziri Mhandisi Kamwelewe amesema Serikali iko katika hatua za mwisho kukamilisha taratibu za ujenzi wa barabara za mzunguko jijini Dodoma (ringroad) zenye urefu wa kilometa 112 ambao utakuwa na wakandarasi watatu. Kwa upande wake Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Leonard Chimagu, amemuhakikishia Waziri kuwa ujenzi huo unakamilika kwa wakati, viwango na kuzingatia thamani ya fedha. Mhandisi Chimagu ameongeza kuwa pamoja na kuwa kulikuwa na changamoto ya maji mengi, lakini wahandisi walipambana na kukabiliana na maji hayo kwa kuanza na uwekaji wa mawe makubwa kabla ya tabaka la kwanza ili kuimarisha barabara ya kuruka na kutua ndege. Mradi wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Dodoma, unafanywa na Kampuni ya CHICCO, na unatarajiwa kukamilika mwezi Agosti mwaka huu na utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 3.5. Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/06/who-uongozi-imara-chanzo-cha-afrika.html
null
null
null
null
null
null
Shirika la Afya Duniani (WHO), limesema kuwa uongozi imara wa nchi ni moja kati ya sababu za Afrika kupata kiwango kidogo cha maambukizi ya virusi vipya vya corona (covid-19), tofauti na ilivyotarajiwa. Afrika ina 1.5% ya visa vyote vya corona vilivyoripotiwa duniai kote, na ina 0.1% ya vifo vya corona duniani kote, kwa mujibu wa WHO. Mkurugenzi wa WHO Ukanda wa Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti alitoa kauli hiyo alipozungumza na vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, kuhusu hali ya maambukizi barani Afrika. “Kwa kuwa na uongozi imara wa nchi zake na kutekeleza maelekezo ya wataalam wa afya kujikinga na virusi vya corona, visa vya corona barani Afrika vimebaki katika kiwango cha chini zaidi ya maeneo mengine duniani,” alisema Dkt. Moeti kwenye mkutano wa pamoja wa waandishi wa habari ulioandaliwa na WHO na Jukwaa la Uchumi la Dunia (World Economic Forum). Dkt. Moeti amesema kuwa WHO imewapa mafunzo wataalam 10,000 wa afya Afrika kwa ajili ya kusaidia kukinga na kudhibiti usambaaji wa covid-19, na kutoa huduma za matibabu. Hata hivyo, alisema kuwa hali hiyo haiwezi kuwa kigezo cha kuacha kuchukua tahadhari zaidi dhidi ya covid-19, na kwamba anazisihi nchi za Afrika kuongeza nguvu ya mapambano dhidi ya virusi hivyo. Jumla ya watu milioni 6.05 wameripotiwa kupata virusi vya corona barani Afrika, watu milioni 2.56 kati yao wamepona na 369 wamepoteza maisha. Tanzania ni moja kati ya nchi ambazo zimeripoti idadi ndogo ya visa vya corona Afrika, ikiwa imeripoti visa 509 na vifo 21. Rais John Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC), alikataa kutumia njia ya kuwafungia wananchi ndani (lockdown), badala yake akaongeza elimu na kuwataka wananchi kuchukua tahadhari zaidi na kuzingatia maelekezo ya Wizara ya Afya. Pia, aliwasihi kutumia tiba asili katika kupambana na virusi hivyo. Shughuli zote nchini Tanzania zinaendelea ikiwa ni pamoja na usafiri wa anga. Sekta ya utalii imefunguliwa na watalii kutoka nje ya nchi wanaingia bila masharti ya kuwekwa karantini kwa siku 14. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/05/waziri-wa-mambo-ya-nje-prof-kabudi.html
null
null
null
null
null
null
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Italia nchini Mhe. Roberto Mengoni katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge, ambapo walijadili masuala mbalimbali yanayohusu mahusiano baina ya Tanzania na Italia. Aidha, walitumia mazungumzo hayo kujadili hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali ya Tanzania pamoja na Serikali ya Italia katika kupambana na ugonjwa wa COVID-19. Mhe. Waziri alifahamisha kuwa hatua mbalimbali zilizochukuliwa na Serikali ya Tanzania kwenye mapambano ya ugonjwa huo zimezingatia mazingiria na hali halisi ya Tanzania pamoja na nchi jirani zinazozunguka Tanzania. Kwa upande wake Balozi Mengoni alipongeza juhudi hizo za Serikali ambapo alifahamisha kuwa Serikali yake ya Italia inaziunga mkono na kwamba ipo tayari kutoa ushirikiano pale itakapohitajika kufanya hivyo. Viongozi hao walikubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kihistoria baina ya Mataifa hayo mawili ambao umejikita katika sekta za elimu, afya, utalii pamoja na biashara na uwekezaji. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/05/ufaransa-yaipatia-serikali-tanzania.html
null
null
null
null
null
null
Na Farida Ramadhani, Dodoma SERIKALI ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) zimetiliana saini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu wa Euro milioni 70, sawa na takriban shilingi za Tanzania bilioni 175.6 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Maji Safi na Usafi wa Mazigira Mjini Morogoro (MORUWASA). Mkataba wa mkopo huo umesainiwa Jijini Dodoma na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James kwa upande wa Serikali na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa, Bi. Stephanie Mouen Essombe. Bw. James alisema mkopo huo utawezesha wakazi wa Mjini Morogoro wapatao 722,010 kupata maji safi na salama kupitia upanuzi wa mfumo wa usambazaji wa Maji kutoka Bwawa la Mindu. Alisema kukamilika kwa mradi huo kutawezesha upatikanaji wa Maji kutoka mita za ujazo 33,000 hadi kufikia mita za ujazo 108,000 kwa siku pamoja na kuwezesha Mji wa Morogoro kupata kiwango cha mahitaji ya maji safi kinachokadiriwa kuwa mita za ujazo 126,253 kwa siku, ifikapo mwaka 2035. “Mradi pia utaongeza upatikanaji wa huduma za majitaka kutoka kiwango cha sasa cha asilimia 5 hadi asilimia 15 kwa wakazi wa mjini Morogoro”, alifafanua. Bw. James alisema Tanzania imekuwa ikinufaika na ufadhili wa AFD hususan katika sekta za Nishati, Maji, Usafirishaji na Kilimo kupitia idadi ya miradi mbalimbali inayoendelea na ile inayotarajiwa kuanza hivi karibuni. Alisema miradi 7 inayoendelea kutekelezwa katika sekta mbalimbali hapa nchini kupitia misaada na mikopo inayotolewa wa Shirika hilo inafikia takriban Euro milioni 154.5 sawa na shilingi bilioni 387.6. “Miradi 6 yenye thamani ya Euro milioni 141.4 kupitia ufadhili wa AFD imekamilika na kuna miradi mingine 12 yenye thamani ya Euro milioni 1,021.7 ambayo tuko kwenye mazungumzo na AFD katika sekta ya Nishati, Maji, Kilimo Usafiri wa mwendokasi Jijini Dar es Salaam, miundombinu ya viwanja vya ndege na Usafi wa mazingira Jijini Dare salaam” alisema Bw. James. Aliishukuru Serikali ya Ufaransa kupitia Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) kwa ufadhili huo muhimu, ambao utachangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya nchi na kupunguza umaskini na kuahidi kuwa Serikali itafuatilia kwa karibu utekelezaji wa mradi huo ili kuhakikisha kwamba fedha zitakazotolewa zinatumika kama ilivyokusudiwa. Kwa upande wake Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD), Bi. Stephanie Mouen Essombe aliahidi kuwa shirika hilo litaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania ili kuhakikisha inafikia malengo yake katika kuboresha maisha ya wananchi hasa katika upatikanaji wa maji. “Ushirikiano wa Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) ulioanza miaka 20 iliyopita umezidi kuimarika ambapo katika kipindi cha miaka 10 iliyopita Shirika limewekeza kiasi cha Euro milioni 258 sawa na takriban Sh. bilioni za Tanzania 655” alisema Bi. Essombe. Alisema mradi huo umelenga kupanua Bwawa la Mindu linalochangia upatikanaji wa maji yanayotumika katika Mji wa Morogoro kwa asilimia 70 pamoja na kuboresha mfumo wa huduma ya maji taka katika mji huo. Naye Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Prof. Kitila Mkumbo alisema kuwa mkopo huo utatatua changamoto ya maji ambayo ilikuwa kilio cha muda mrefu kwa wananchi wa Morogoro. Alisema mkopo huu unafaida nyingi nchini ikiwemo kutoa ajira pamoja na kutoa fursa kwa viwanda vya ndani kwa sababu vifaa vitakavyotumika kutekeleza mradi huo wa kihistoria vitanunuliwa ndani ya nchi. Alisema hivi sasa Serikali inatekeleza miradi ya maji 1,423, miradi 792 imekamilika na miradi 631 inaendelea na kwamba mradi huo wa maji wa Mji wa Morogoro utakuwa mkombozi mkubwa wa wananchi wa mji huo. Alisema upatikanaji wa fedha hizo ambazo mjadala wa kupata mkopo umechukua zaidi ya miaka minne utawezesha kuongeza kiwango cha upatikanaji wa maji nchini ambapo hivi sasa kiwango cha upatikanaji wa maji vijijini kimefikia asilimia 85 ya lengo la asilimia 95 iliyoainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM huku katika miji kiwango kimefikia asilimia 70.1 kati ya lengo la asilimia 85 ifikapo mwishoni mwa mwaka 2020. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/05/waziri-prof-kabudi-afanya-mazungumzo-na.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani KIMATAIFA WAZIRI PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO) MHE. DKT. TEDROS A. GHEBREYESUS WAZIRI PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO) MHE. DKT. TEDROS A. GHEBREYESUS uvccmtz Jumamosi, Mei 23, 2020 Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/05/marekani-yaipa-tanzania-bilioni-5.html
null
null
null
null
null
null
# Marekani imetangaza kuipatia Tanzania nyongeza ya $2.4 milioni (TZS 5.6 bilioni) kwa ajili ya # kuwezesha mapambano dhidi ya maambukizi ya homa ya mapafu (COVID-19) inayosababishwa na virusi vya corona. Fedha hizo ambazo zinatolewa kupitia Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) zitaelekezwa katika masuala mbalimbali yakiwamo kuimarisha maabara, mawasiliano, maji na vitakatishi, kupambana na kudhibiti maambukizi, pamoja na kutoa elimu kwa umma. Taarifa iliyotolewa na ubalozi wa nchi hiyo Tanzania inaeleza kuwa fedha hizo ni sehemu ya ahadi ya $3.4 milioni (TZS 7.9 bilioni) ambazo nchini hiyo ilitangaza kutoa kwa ajili ya janga la corona, ambapo katika awamu ya kwanza ilitoa $1 milioni (TZS 2.3 bilioni). Aidha, Marekani imeelekeza kiasi kingine cha $1.9 milioni (TZS 4.4 bilioni), na hivyo kufanya jumla ya fedha ilizoipa Tanzania kukabiliana na COVID-19 kufikia $5.3 milioni (TZS 12.2 bilioni), taarifa hiyo imeeleza. Katika kipindi cha miaka 20 iliyopita Marekani imewekeza $7.5 bilioni (TZS 17.3 trilioni) nchini Tanzania, ambapo kati ya fedha hizo, $4.9 bilioni (TZS 11.3 trilioni) zimeelekezwa kwenye sekta ya afya. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/06/serikali-yatoa-maelekezo-ya-ulipaji-ada.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani KITAIFA SERIKALI YATOA MAELEKEZO YA ULIPAJI ADA KWA SHULE ZA BINAFSI SERIKALI YATOA MAELEKEZO YA ULIPAJI ADA KWA SHULE ZA BINAFSI uvccmtz Ijumaa, Juni 26, 2020 Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako Maelekezo ya Ulipaji Ada kwa shule zisizo za Serikali baada ya Janga la Corona. Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/06/mkuu-wa-mkoa-wa-tangarc-shigela.html
null
null
null
null
null
null
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo. Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martine Shigela amesema kampeni ya elimu kwa mlipakodi ambayo inaendeshwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) itawasaidia wafanyabiashara wanaokwepa kulipa kodi kuacha vitendo hivyo ambavyo huikosesha Serikali mapato. Mhe. Shigela alitoa kauli hiyo ofisini kwake wakati alipotembelewa na maafisa wa TRA wanaofanya kampeni hiyo mkoani hapa ambayo imelenga kuwaelimisha wafanyabiashara kuhusu masuala ya kodi ikiwa ni pamoja na kuwakumbusha kulipa kodi kwa wakati. Mhe. Shigela alitoa kauli hiyo ofisini kwake wakati alipotembelewa na maafisa wa TRA wanaofanya kampeni hiyo mkoani hapa ambayo imelenga kuwaelimisha wafanyabiashara kuhusu masuala ya kodi ikiwa ni pamoja na kuwakumbusha kulipa kodi kwa wakati. Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo. Mkuu huyo wa mkoa amesema kuwa, kuna baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakikwepa kulipa kodi pengine kwa kujua au kutokua, jambo ambalo linahitaji elimu ya uelewa ili kila mwananchi afahamu wajibu wake kwenye ulipaji wa kodi kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Akielezea kampeni hiyo, Mhe. Shigela ameipongeza TRA kwa kuendesha zoezi hilo katika mikoa mbalimbali na kusema litaongeza ukusanyaji wa mapato baada ya wafanyabiashara kuelimishwa na kufahamu kuwa maendeleo ya nchi yanasababishwa na ulipaji wa kodi kwa ajili ya kuboresha sekta mbalimbali ikiwemo afya, elimu, barabara, umeme na maji. Akielezea kampeni hiyo, Mhe. Shigela ameipongeza TRA kwa kuendesha zoezi hilo katika mikoa mbalimbali na kusema litaongeza ukusanyaji wa mapato baada ya wafanyabiashara kuelimishwa na kufahamu kuwa maendeleo ya nchi yanasababishwa na ulipaji wa kodi kwa ajili ya kuboresha sekta mbalimbali ikiwemo afya, elimu, barabara, umeme na maji. Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Ernesta Shirima akikagua taarifa ya mauzo ya siku kutoka kwenye Mashine ya Kielektroniki ya Kutolea Risiti (EFD) maarufu kama Z – Ripoti ya mfanyabiashara wa eneo la barabara za namba jijini Tanga wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo. Shigela amewataka wafanyabiashara kuhakikisha wanalipa kodi kwa hiari bila kusubiri kubugudhiwa na serikali, huku akieleza kuwa serikali itaendelea kupambana na wakwepa kodi wanaoingiza bidhaa za magendo nchini kwa kupitia bandari bubu zilizopo kandokando ya Bahari ya Hindi. “Nchi yoyote haiwezi kupiga hatua ya maendeleo bila wananchi wake kuwa na utamaduni wa kulipa kodi kwa sababu kodi ndio kila kitu huwezi kujenga barabara kama wafanyabiashara hawataki kulipa kodi, huwezi kuimarisha huduma za afya kama hakuna kodi na pia huwezi kuimarisha mifumo ya elimu bila kodi,” alisema Mhe. Shigela. Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mpato Tanzania (TRA) Bw. James Ntalika akimuelimisha mfanyabiashara wa eneo la barabara za namba jijini Tanga wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo. PICHA ZOTE NA VERONICA KAZIMOTO Na Mwandishi wetu,Tanga Kwa upande wake Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Mkoa wa Tanga, Bi. Specioza Owure alisema kuwa, maafisa hao wa TRA wanaofanya kampeni ya elimu kwa mlipakodi, watafika maeneo mbalimbali yenye wafanyabiashara katika mkoa wa Tanga na watawaelimisha kuhusu umuhimu wa kodi na kuwahamasisha kulipa kodi kwa wakati. “Maafisa hawa wanatumia jitihada zote kuwaelimisha wafanyabiashara, tunafanya hivi ili kila mmoja afahamu wajibu wake wa kulipa kodi sambamba na kusogeza huduma za TRA karibu na wateja,” alisema Owure. Kampeni ya elimu kwa mlipakodi mkoani Tanga itamalizika tarehe 30 Juni, 2020 ambapo lengo la kampeni hiyo ni kutoa elimu ya kodi kwa wafanyabiashara, kusikiliza maoni na changamoto zao ikiwa ni pamoja na kuwahamasisha kulipa kodi kwa wakati. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/06/makamu-wa-rais-mhe-samia-suluhu.html
null
null
null
null
null
null
Makamu wa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa TanzanIa Mhe Samia Suluhu Hassan amekua Mgeni rasmi katika Kongamano lililoandaliwa na Tawi la Chuo kikuu Cha UDSM la Kumpongeza Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015-2020. Wakizungumza Viongozi wa Tawi hilo wametoa Pongezi kwa Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kwa kuwasaidia watoto wa wanyonge na Masikini kupata mikopo ili kuweza kuendelea na Masomo yao. Pia Viongozi hao wametoa pongezi kwa Rais Magufuli kwa hatua mbalimbali alizochukua kutokana na Kulikabili gonjwa la Corona nchini. Akizungumza katika Kongamano hilo Mhe Mama Samia Suluhu ameupongeza Umoja wa Vijana Wa CCM kwa kazi ya kuijenga Jumuiya kwanzia katika matawi wanayoifanya ya kuendelea kuhamasisha Vijana Kuzidi kuunga Mkono Chama Cha Mapinduzi . Naye Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Taifa Komred Kheri Denis James (MCC) ametoa pongezi nyingi kwa namna vijana wanavyosimama imara na kuhakikisha wanakijengea chama na Taifa na kuwahasa kuelekea Uchaguzi huu kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za Ubunge na Udiwani sambamba na kuhakikisha kuwa Chama Kinashinda katika Ngazi zote. Kongamano hilo limehudhuliwa na viongozi na Wajumbe wa kamati za Siasa za Wilaya na Mkoa wa Dar es salaam wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar Es Salaam Bi Cathy Kamba. #TukutaneKazini ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/06/waziri-prof-ndalichako-atangaza-rasmi.html
null
null
null
null
null
null
Kutokana na Rais Dk John Magufuli jana kutangaza kufungua Shule zote ifikapo Juni 29, leo Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako ametangaza ratiba ya masomo na mitihani kwa ajili ya kukamilisha mwaka wa masomo. Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri Ndalichako amesema muhula wa kwanza wa masomo utamalizika Agosti 28 mwaka huu na kuanza kwa muhula mpya utakaoishia Desemba 18 mwaka huu. Prof Ndalichako amesema ili kukamilisha muhtasari wa masomo shule zitalazimika kuongeza saa mbili za masomo kwa siku ili kufidia muda uliopotea ambapo maelekezo ya kuongeza muda huo hayatahusisha madarasa ya awali. Kuhusu ulipaji wa ada kwa shule ya binafsi, Waziri Ndalichako ameshauri Bodi za shule kukaa kwa pamoja ili kuangalia njia nzuri ambayo haitoumiza wazazi na shule. Amesema kila mmoja ameona namna ambavyo janga la ugonjwa wa Corona lilivyotikisa hali za kiuchumi za wananchi hivyo kushauri busara itumike bila kuziumiza pande zote mbili. " Hili la ada nishauri tu Bodi za shule zikae na wazazi na kuangalia ulipaji wa ada bila kuumizana. Lakini nishauri tu kwamba kama Mzazi hajalipa ada ya awamu ya kwanza basi ni vema ailipe lakini pia hautokua uzalendo kama shule zitakataa kuwapokea watoto wa kitanzania kisa tu hajalipa ada," Amesema Prof Ndalichako. Waziri Ndalichako pia amezungumzia mihula ya wanafunzi wa kidato cha tano ambapo amesema wataripoti shuleni Juni 29 kama ilivyotangazwa na watasoma na kukamilisha muhtasari wa kidato cha tano na mitihani watafanya Julai 24 na wataanza masomo ya kidato cha sita Julai 27 mwaka huu. Ametangaza pia ratiba za mitihani ambapo mitihani ya Kidato cha Nne itaanza Novemba 23 hadi Desemba 11, Kidato cha Pili itaanza Novemba 9 hadi 20, Darasa la Saba Oktoba 7-8 na Darasa la Nne Novemba 9 hadi 20 mwaka huu. Waziri Ndalichako pia amezitaka shule zote kuzingatia maelekezo yaliyotolewa na Wizara ya Afya katika kujikinga na ugonjwa wa Corona wawapo shuleni. Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri Ndalichako amesema muhula wa kwanza wa masomo utamalizika Agosti 28 mwaka huu na kuanza kwa muhula mpya utakaoishia Desemba 18 mwaka huu. Prof Ndalichako amesema ili kukamilisha muhtasari wa masomo shule zitalazimika kuongeza saa mbili za masomo kwa siku ili kufidia muda uliopotea ambapo maelekezo ya kuongeza muda huo hayatahusisha madarasa ya awali. Kuhusu ulipaji wa ada kwa shule ya binafsi, Waziri Ndalichako ameshauri Bodi za shule kukaa kwa pamoja ili kuangalia njia nzuri ambayo haitoumiza wazazi na shule. Amesema kila mmoja ameona namna ambavyo janga la ugonjwa wa Corona lilivyotikisa hali za kiuchumi za wananchi hivyo kushauri busara itumike bila kuziumiza pande zote mbili. " Hili la ada nishauri tu Bodi za shule zikae na wazazi na kuangalia ulipaji wa ada bila kuumizana. Lakini nishauri tu kwamba kama Mzazi hajalipa ada ya awamu ya kwanza basi ni vema ailipe lakini pia hautokua uzalendo kama shule zitakataa kuwapokea watoto wa kitanzania kisa tu hajalipa ada," Amesema Prof Ndalichako. Waziri Ndalichako pia amezungumzia mihula ya wanafunzi wa kidato cha tano ambapo amesema wataripoti shuleni Juni 29 kama ilivyotangazwa na watasoma na kukamilisha muhtasari wa kidato cha tano na mitihani watafanya Julai 24 na wataanza masomo ya kidato cha sita Julai 27 mwaka huu. Ametangaza pia ratiba za mitihani ambapo mitihani ya Kidato cha Nne itaanza Novemba 23 hadi Desemba 11, Kidato cha Pili itaanza Novemba 9 hadi 20, Darasa la Saba Oktoba 7-8 na Darasa la Nne Novemba 9 hadi 20 mwaka huu. Waziri Ndalichako pia amezitaka shule zote kuzingatia maelekezo yaliyotolewa na Wizara ya Afya katika kujikinga na ugonjwa wa Corona wawapo shuleni. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma ambapo amesisitiza shule zote zifuate utaratibu wa tahadhari uliotolewa na Wizara ya Afya katika kujikinga na Ugonjwa wa Corona Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo kuhusiana na kurejea kwa wanafunzi na mihula ya masomo ifikapo Juni 29 mwaka huu. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake jijini Dodoma leo ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/05/mwongozo-wa-udhibiti-wa-maambukizi-ya.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani KITAIFA MWONGOZO WA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA (COVID 19) KATIKA SHULE, VYUO NA TAASISI ZA ELIMU NCHINI MWONGOZO WA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA (COVID 19) KATIKA SHULE, VYUO NA TAASISI ZA ELIMU NCHINI uvccmtz Alhamisi, Mei 28, 2020 Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/12/trc-kampeni-ya-uelewa-kwa-wananchi.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani KITAIFA TRC; KAMPENI YA UELEWA KWA WANANCHI YAENDELEA KUCHANJA MBUGA VIJIJINI WENGI WAJITOKEZA KWA WINGI TRC; KAMPENI YA UELEWA KWA WANANCHI YAENDELEA KUCHANJA MBUGA VIJIJINI WENGI WAJITOKEZA KWA WINGI uvccmtz Alhamisi, Desemba 12, 2019 Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/05/taarifa-kwa-umma-kuhusu-ajira-mpya-za.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani KITAIFA TAARIFA KWA UMMA KUHUSU AJIRA MPYA ZA MADAKTARI 1000 TAARIFA KWA UMMA KUHUSU AJIRA MPYA ZA MADAKTARI 1000 uvccmtz Jumapili, Mei 17, 2020 Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/05/waziri-jafo-atangaza-madaktari.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani KITAIFA WAZIRI JAFO ATANGAZA MADAKTARI WALIOAJIRIWA NA SERIKALI WAZIRI JAFO ATANGAZA MADAKTARI WALIOAJIRIWA NA SERIKALI uvccmtz Ijumaa, Mei 08, 2020 Leo May 8, 2020 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Seleman Jafo ametangaza majina ya waajiriwa wapya katika Wizara ya Afya. Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/09/waziri-mkuu-majaliwa-afafanua.html
null
null
null
null
null
null
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari juu ya utekelezaji wa Maagizo ya Mhe. Rais Dkt.John Pombe Magufuli kuhusu Mapendekezo ya kupata ufumbuzi wa Migogoro ya Matumizi ya Ardhi Nchini,Mkutano uliofanyika Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es salaam leo Septemba 23, 2019. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akiwa na Mawaziri nane wa Sekta zinazohusika na Matumizi ya Ardhi alipokuwa akizungumza na Wanahabari (hawapo pichani) juu ya utekelezaji wa Maagizo ya Mhe. Rais Dkt.John Pombe Magufuli kuhusu Mapendekezo ya kupata ufumbuzi wa Migogoro ya Matumizi ya Ardhi Nchini, Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es salaam Septemba 23, 2019. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri nane wa Sekta zinazohusika na Matumizi ya Ardhi mara baada ya kuzungumza na Wanahabari juu ya utekelezaji wa Maagizo ya Mhe. Rais Dkt.John Pombe Magufuli kuhusu Mapendekezo ya kupata ufumbuzi wa Migogoro ya Matumizi ya Ardhi Nchini. Mkutano uliofanyika katika Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es salaam Septemba 23, 2019. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungmza na Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya pamoja ya Mawaziri nane wa Sekta zinazohusika na Matumizi ya Ardhi iliyoundwa na Mhe. Rais Dkt.John Pombe Magufuli kuhusu Mapendekezo ya kupata ufumbuzi wa Migogoro ya Matumizi ya Ardhi Nchini. Mkutano uliofanika katika Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es salaam Septemba 23, 2019. Picha na Ikulu ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/01/naibu-waziri-wa-maji-mh-jumaa-aweso.html
null
null
null
null
null
null
**Naibu Waziri wa maji Mh. Jumaa Aweso akizungumza mara baada ya kukagua mradi wa Boga- Mengwa ambao umesimama baada ya mkadarasi kushindwa kuanza kazi kwa wakati kulia ni Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo.** **Naibu Waziri wa maji Mh. Jumaa Aweso na Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo wakimsikiliza Mhandisi wa maji wilaya ya Kisarawe Bw. Maggid Mtili alipokuwa akieleze kadhia hiyo kwa Naibu waziri.** **Mhandisi wa maji kutoka DAWASA Bw. Ishmael Kakwezi akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Maji Mh. Jumaa Aweso wakati alipokagua tanki la maji la Mnarani mradi mkubwa wa maji wa Kibamba -Kisarawe kulia ni Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo.** **Naibu Waziri wa maji Mh. Jumaa Aweso na Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo wakikagua ujenzi wa tanki la maji katika mradi mkubwa wa Kibamba -Kisarawe.** **Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo akitoa maelezo huku Naibu Waziri wa maji Mh. Jumaa Aweso akimsikiliza kulia ni Mhandisi wa Maji Kutoka DAWASA Bw. Ishmael Kakwezi.** **Naibu Waziri wa maji Mh. Jumaa Aweso na Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo wakimsikiliza Mhandisi wa Maji wilaya ya Kisarawe Bw. Maggid Mtili alipokuwa akisoma ripoti ya mradi wa maji wa Chole- Kwara.** **Chanzo cha maji Chole ambako limejengwa tuta kubwa.** **Naibu Waziri wa maji Mh. Jumaa Aweso na Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo wakikagua tuta la chanzo cha maji Chole-Kwala** **………………………………………………………………………** **Naibu Waziri wa maji Mh. Jumaa Aweso ameifukuza Kampuni ya Mazongela Building iliyopewa kazi ya kujenga mradi wa maji wa Boga -Mengwa wilayani Kisarawe wenye thamani ya shilingi Milioni 536, kutokana na kushindwa kuanza kazi kwa zaidi ya miezi mitano toka ilipopewa kandarasi hiyo.** **Mh. Jumaa Aweso akizungumza mara baada ya kukagua mradi huo wakati alipofanya ziara katika miradi mbalimbali ya maji inayotekelezwa wilayani humo, amesema serikali ya awamu ya tano imeweka malengo makubwa ya utekelezaji wa miradi ya maji nchini.** **Lakini tatizo kubwa katika maeneo mengi limekuwa ni wakandarasi kushindwa kutekeleza miradi hiyo kwa wakati na wengine kushindwa kabisa kuanza kazi yenyewe.** **Mh. Aweso ameziasa halmashauri mbalimbali nchini kuhakikisha wanawapa kazi wakandarasi wenye uwezo wa kufanya kazi na siyo wababaishaji kama ilivyotokea kwa kampuni ya Mazongela Building Company ambapo ameagiza kampuni hiyo isipewe kazi nyingine katika halmashauri ya Kisarawe.** **Awali Mhandisi wa maji katika Halmashauri hiyo Bw. Maggid Mtili alimueleza Naibu Waziri kuwa amejaribu mara kadhaa kumuandikia barua mkurugenzi wa kampuni hiyo Bw. Salum Suleiman Ally, lakini amekuwa akikaidi na hajawahi kufika ili kuanza kutekeleza mradi huu.** **“Mh. Waziri hata katika ziara hii alitakiwa kuja kwa sababu tulimuandikia barua tukamtaarifu kuhusu ujio wako lakini kama unavyoona haonekani kwenye ziara”. Amesema Mhandisi huyo.** **Naye Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo akizungumza katika ziara hiyo amesema “Tatizo kubwa kwa wananchi wa Kisarawe ni maji, na Mh, Rais Dk. John Pombe Magufuli amefanya kazi kubwa ambapo Tangu uhuru awamu hii ya tano Kisarawe kunatekelezwa miradi mikubwa sana ya maji”.** **Amemshukuru Mh. Rais John Magufuli kwa moyo wake wa kizalendo kwa wanakisarawe na kuwasihi watendaji wote wilayani humo kumuunga mkono Mh. Rais na kuhakikisha wanasimamia utekelezaji wa miradi hiyo kwa nguvu zote ili ikamilike na kuondoa tatizo la maji wilayani humo.** ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2018/11/serikali-yawapandisha-madaraja.html
null
null
null
null
null
null
**Serikali imewapandisha madaraja watumishi wa umma 113,520 walioajiriwa mwaka 2012 katika awamu tatu, ambapo ya kwanza walipandishwa vyeo Watumishi 28,049 waliokuwa wameidhinishiwa vyeo kabla ya zoezi la uhakiki wa watumishi hewa na uhakiki wa vyeti kuanzia mwezi Juni, 2016, awamu ya pili ilianza mwezi Novemba, 2017 na ilihusisha watumishi 59,967 ambao taarifa zao zilikuwa kwenye Mfumo Shirikishi wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) kabla ya zuio na awamu ya tatu ilianza mwezi Aprili, 2018 na ilihusisha Watumishi 25,504 ambao barua zao zilikuwa hazijaingizwa kwenye Mfumo.** **Ufafanuzi huo, umetolewa Bungeni jana na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Mary M. Mwanjelwa (Mb) wakati akijibu swali la Mhe. Joram Hongoli (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora lililohusu watumishi wa umma walioajiriwa 2012 kutopandishwa madaraja mpaka hivi sasa.** Dkt. Mwanjelwa alisema, watumishi walioajiriwa Mwaka 2012 walistahili kupandishwa madaraja kuanzia mwaka 2016/2017 kipindi ambacho Serikali ilikuwa ikifanya zoezi la uhakiki wa watumishi hewa na uhakiki wa vyeti, hivyo mara baada ya kukamilika kwa zoezi hilo Serikali ilianza kuwapandisha watumishi hao kwa awamu hizo tatu kwa kuzingatia vigezo stahiki na kuongeza kuwa watumishi wengine ambao wamekidhi vigezo wataendelea kukasimiwa katika bajeti ya mishahara ili waweze kupandishwa vyeo katika mwaka huu wa fedha 2018/2019. **Aidha, Dkt. Mwanjelwa aliainisha kuwa, watumishi 31,188 walioajiriwa na TAMISEMI mwaka 2012, kati ya hao watumishi 15,320 wamepandishwa vyeo na kubadilishiwa mishahara, na watumishi 3,349 waajiri wao wamewapandisha vyeo lakini majina yao yapo UTUMISHI kwa ajili ya kupitia taarifa zao kabla ya kuwabadilishia mishahara na watumishi 1,064 waliopandishwa vyeo wamebainika kuwa na hoja mbalimbali ambazo waajiri wanapaswa kuzikamilisha na kurejesha majina yao UTUMISHI kwa ajili ya kuwaidhinishia mishahara.Watumishi 4,552 hawapo tena katika Utumishi wa Umma na watumishi 6,903 bado hawajapandishwa vyeo ambapo Serikali inatarajia kuwapandishwa vyeo wakati wowote katika mwaka huu wa fedha 2018/19.** **Suala la upandishwaji vyeo kwa Watumishi wa Umma linazingatia vigezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na utendaji kazi mzuri, kukidhi sifa zilizoainishwa katika Miundo ya Maendeleo ya Utumishi, uwepo wa nafasi wazi na bajeti iliyotegwa.** **Kwa mujibu wa Miundo ya Maendeleo ya Utumishi, mtumishi anapaswa kutumikia cheo kimoja si chini ya miaka mitatu kabla hajafikiriwa kupandishwa cheo.** **Aidha, iwapo mtumishi ameajiriwa kwa mara ya kwanza atapaswa kumaliza mwaka mmoja wa kuthibitishwa kazini kisha ndipo atumikie cheo hicho si chini ya miaka mitatu, hivyo kwa kuzingatia sifa mtumishi anaweza kupandishwa cheo baada ya miaka 3, 4, 5 au hata saba kutegemea na kukidhi vigezo stahiki.** **Imetolewa Na:** Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini Ofisi Ya Rais (Utumishi) Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini Ofisi Ya Rais (Utumishi) ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2020/05/naibu-waziri-wa-afya-dk-ndugulile.html
null
null
null
null
null
null
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa waliofanyiwa upasuaji wa kupandikiza mishipa kwa wagonjwa wenye matatizo ya moyo. Dkt. Ndugulile amesema pamoja na kuwapo kwa maambukizi ya ugonjwa wa Corona, watu wenye matatizo ya moyo, kupumua, figo, kisukari pamoja na matatizo mengine wanapaswa kupatiwa matibabu. “Tunaweza tukawa tunapambana na Corona, tukawapoteza wagonjwa wengi kwa sababu tu hatujaweza kuwapatia huduma ya matibabu ya kisukari, figo, presha au moyo, hivyo nitoe rai kwa wahudumu wa afya wahakikishe wanaendelea kuwatibu watu wenye magonjwa haya pamoja na magonjwa mengine,” amesema Dkt. Ndugulile. Katika hatua nyingine, Dkt. Ndugulile amewapongeza wataalamu wa JKCI kwa kufanya upasuaji wa kupandikiza mishipa kwenye moyo kwa wagonjwa waliokuwa na matatizo ya moyo. “Sisi kama Wizara ya Afya, tunapata faraja sana, mambo kama haya ni mazuri na lazima tuseme kwa hiyo hii operesheni mliofanya ni kubwa na nje ya nchi ingetugharimu shilingi milioni 80 hadi 90 kwa mtu mmoja, lakini hapa tumefanya kwa shilingi milioni 29 kwa kutumia wataalamu wetu na wagonjwa wetu wanaendelea vizuri,” amesema Dkt. Ndugulile. Amesema awali wataalamu kutoka nje ya nchi walikuwa wanakuja kufanya upasuaji kama huo, lakini sasa Watanzania wazalendo wanafanya baada ya kutoa mishipa kwenye paja na kwenye kifua cha mgonjwa husika. “Leo nimekuja kuona kazi kubwa iliyofanywa na wataalamu wazalendo wa JKCI ya upasuaji wa kupandikiza mishipa kwenye moyo ili uweze kufanya kazi kwa wagonjwa waliokuwa wakikabiliwa na matatizo ya moyo,” amesema Dkt. Ndugulile. Naye Mkurugenzi wa Upasuaji wa JKCI, Dkt. Angella Muhozya amesema kuwa wagonjwa wote waliofanyiwa upasuaji na wataalamu wazalendo wanaendelea vizuri na kwamba wataruhusiwa muda wowote kuanzia sasa. Mmoja wa wagonjwa aliyefanyiwa upasuaji wa moyo, Bw. Hamid Nassoro amesema baada ya kufanyiwa upasuaji hivi sasa anaweza kuzungumza vizuri tofauti na awali alikuwa hawezi kuzungumza na kwamba tayari ameshaanza mazoezi. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akikagua taarifa za mgonjwa aliyefanyiwa upasuaji wa kupandikiza mshipa wa damu kwenye moyo (Coronary artery bypass grafting (CABG) na wataalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Dkt Ndugulile alitembelea Taasisi hiyo kwa ajili ya kuwajulia hali wagonjwa waliofanyiwa upasuaji mkubwa wa kusimamisha moyo. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akimjulia hali mgonjwa aliyefanyiwa upasuaji wa kupandikiza mshipa wa damu kwenye moyo (Coronary Artery Bypass Grafting-CABG) na wataalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Dkt Ndugulile alitembelea Taasisi hiyo kwa ajili ya kuwajulia hali wagonjwa waliofanyiwa upasuaji mkubwa wa kusimamisha moyo. Mkurugenzi wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angella Muhozya akimuonesha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile maendeleo ya afya ya mgonjwa aliyefanyiwa upasuaji wa kupandikiza mshipa wa damu kwenye moyo (Coronary Artery Bypass Grafting-CABG). Mgonjwa huyo alifanyiwa upasuaji na wataalamu wa Taasisi hiyo ambapo Dkt. Ndugulile aliwatembelea wagonjwa waliofanyiwa upasuaji mkubwa wa kusimamisha moyo kwa ajili ya kuwajulia hali. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa chumba cha wagonjwa walioko katika uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati alipotembelea Taasisi hiyo kwa ajili ya kuwajulia hali wagonjwa waliofanyiwa upasuaji mkubwa wa kusimamisha moyo. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Prof. Mohamed Janabi. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/12/serikali-yaagiza-hospitali-zote-nchini.html
null
null
null
null
null
null
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu akikata utepe ikiwa kama ishara ya uzinduzi wa Bodi mpya ya ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure, Kulia kwake ni Mwenyekiti mpya wa Bodi Prof. Abel Makubi, kushoto kwake ni Kaimu RMO Mkoa Mwanza Dkt. Silas Wambura. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu akiteta jambo na Mwenyekiti mpya wa Bodi ya ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure Prof. Abel Makubi wakati wa kikao cha kuzindua Bodi hiyo. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu akieleza jambo wakati wa kikao cha kuzindua Bodi ya ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure Baadhi ya Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou-Toure na Wajumbe wa Bodi ya zamani ya ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou-Toure, waliofika kushuhudia uzinduzi wa Bodi mpya ya ushauri ya Hospitali hiyo, uliofanywa na Waziri wa Afya Mhe.@umwalimu katika ukumbi wa RMO Mkoa wa Mwanza. Picha ya pamoja ikiongozwa na Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu , akiwa na wajumbe wa Bodi mpya ya ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou-Toure baada ya uzinduzi wa Bodi hiyo. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu na Mwenyekiti mpya wa Bodi ya ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure wakiwa wamebeba kitabu cha mwongozo wa Bodi ya ushauri, wakati wa kikao cha kuzindua Bodi hiyo. Baadhi ya Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou-Toure waliofika kushuhudia uzinduzi wa Bodi mpya ya ushauri ya Hospitali hiyo, uliofanywa na Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu katika ukumbi wa RMO Mkoa wa Mwanza. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu akimkabidhi mwongozo mmoja kati ya wajumbe wa Bodi mpya ya ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou-Toure, katikati ni Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Silas Wambura. *Na Rayson Mwaisemba, WAMJW- MWANZA* Serikali kupitia Wizara ya Afya imeagiza Waganga Wakuu wa Vituo vya Afya na Hospitali zote nchini kuanzisha mfuko wa fedha za Dawa kupitia makusanyo ya fedha za ndani, ili kuweza kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa dawa nchini. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu katika kikao cha uzinduzi wa Bodi mpya ya ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza. "Kuanzia Vituo vya Afya, Hospitali zote za Halmashauri, za Mikoa , kuanzisha mfuko wa fedha za dawa, na vyanzo vikuu vya mifuko hii ni mapato yatokanayo na mauzo ya dawa, huduma za Maabara, huduma za mionzi" alisema Waziri @umwalimu. Amesema, Bodi hiyo ya ushauri lengo lake kubwa ni kuhakikisha inaboresha huduma za kinga na tiba katika Hospitali, huku ikihakikisha huduma hizo zinaifikia wananchi kwa ubora na gharama nafua. Aliendelea kusema, Sera ya Afya nchini inawataka Wananchi kuchangia huduma kwa gharama nafuu isipokuwa kwa makundi yote ya msamaha, wakiwemo Wazee, Watoto walio chini ya miaka mitano na mama wajawazito, hivyo kuwataka kuweka mifumo mizuri ili kurahisisha utoaji huduma. Mbali na hayo, Waziri Ummy ameiagiza Bodi hiyo kuhakikisha inaboresha huduma za dharura na ajali, ili kuokoa vifo vitokanavyo weza kuepukika kupitia huduma za dharura, keisha kuwashauri kujenga jengo jipya la wagonjwa wa nje (OPD) ili kuboresha huduma kwa wananchi. "Watu wengi wanakufa wakiwa getini Mwa Hospitali, wakati utaalamu upo, kwamba mkiboresha huduma za dharura na ajari, tunaweza kuokoa maisha ya watu wengi " alisema Waziri @umwalimu. Aidha, Waziri Ummy ameeleza majukumu ya Bodi hiyo ni kushauri, kutengeneza, kusimamia na kupitisha miongozo, malengo na mipango mikakati ya Hospitali kulingana na Sera na miongozo ya Serikali. Nae Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sekou-Toure Dkt. Dkt. Graham Mtui ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kuendelea kuboresha huduma za Afya katika Hospitali hiyo kwa kuleta mashine ya uchunguzi wa figo na ini, mashine ya kusafisha figo ambazo zinatarajia kuanza kutoa huduma Januari 2020. Kwa upande mwingine amesema, Hospitali inatarajia kupokea mashine sita ikiwemo CT Scan, X- ray yakidigitali, vifaa vya mifupa na mashine zinazosaidia kupumulia kutoka MSD. Hata hivyo, amesema kuwa, idadi ya Wagonjwa wanaofika kupata huduma, kutoka wastani wa wagonjwa 350 kwa siku kwa mwaka 2015 hadi kufikia wagonjwa kati ya 500 mpaka 700 kwa Mwaka huu 2019, huku akiweka wazi kupunguza Rufaa za kwenda Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Bugando kwa asilimia 50. "Kutokana na mafanikio hayo, idadi ya wagonjwa wanaopata huduma katika Hospitali imeongezeka, kutoka wastani wa wagonjwa 350 kwa siku ambayo ilikuwa mwaka 2015, na kufikia wastani wa wagonjwa kati ya 500 hadi 700 kwa mwaka huu 2019", alisema Dkt. Graham MtuiSerikali kupitia Wizara ya Afya imeagiza Waganga Wakuu wa Vituo vya Afya na Hospitali zote nchini kuanzisha mfuko wa fedha za Dawa kupitia makusanyo ya fedha za ndani, ili kuweza kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa dawa nchini. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu katika kikao cha uzinduzi wa Bodi mpya ya ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza. "Kuanzia Vituo vya Afya, Hospitali zote za Halmashauri, za Mikoa , kuanzisha mfuko wa fedha za dawa, na vyanzo vikuu vya mifuko hii ni mapato yatokanayo na mauzo ya dawa, huduma za Maabara, huduma za mionzi" alisema Waziri @umwalimu. Amesema, Bodi hiyo ya ushauri lengo lake kubwa ni kuhakikisha inaboresha huduma za kinga na tiba katika Hospitali, huku ikihakikisha huduma hizo zinaifikia wananchi kwa ubora na gharama nafua. Aliendelea kusema, Sera ya Afya nchini inawataka Wananchi kuchangia huduma kwa gharama nafuu isipokuwa kwa makundi yote ya msamaha, wakiwemo Wazee, Watoto walio chini ya miaka mitano na mama wajawazito, hivyo kuwataka kuweka mifumo mizuri ili kurahisisha utoaji huduma. Mbali na hayo, Waziri Ummy ameiagiza Bodi hiyo kuhakikisha inaboresha huduma za dharura na ajali, ili kuokoa vifo vitokanavyo weza kuepukika kupitia huduma za dharura, keisha kuwashauri kujenga jengo jipya la wagonjwa wa nje (OPD) ili kuboresha huduma kwa wananchi. "Watu wengi wanakufa wakiwa getini Mwa Hospitali, wakati utaalamu upo, kwamba mkiboresha huduma za dharura na ajari, tunaweza kuokoa maisha ya watu wengi " alisema Waziri @umwalimu. Aidha, Waziri Ummy ameeleza majukumu ya Bodi hiyo ni kushauri, kutengeneza, kusimamia na kupitisha miongozo, malengo na mipango mikakati ya Hospitali kulingana na Sera na miongozo ya Serikali. Nae Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sekou-Toure Dkt. Dkt. Graham Mtui ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kuendelea kuboresha huduma za Afya katika Hospitali hiyo kwa kuleta mashine ya uchunguzi wa figo na ini, mashine ya kusafisha figo ambazo zinatarajia kuanza kutoa huduma Januari 2020. Kwa upande mwingine amesema, Hospitali inatarajia kupokea mashine sita ikiwemo CT Scan, X- ray yakidigitali, vifaa vya mifupa na mashine zinazosaidia kupumulia kutoka MSD. Hata hivyo, amesema kuwa, idadi ya Wagonjwa wanaofika kupata huduma, kutoka wastani wa wagonjwa 350 kwa siku kwa mwaka 2015 hadi kufikia wagonjwa kati ya 500 mpaka 700 kwa Mwaka huu 2019, huku akiweka wazi kupunguza Rufaa za kwenda Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Bugando kwa asilimia 50. "Kutokana na mafanikio hayo, idadi ya wagonjwa wanaopata huduma katika Hospitali imeongezeka, kutoka wastani wa wagonjwa 350 kwa siku ambayo ilikuwa mwaka 2015, na kufikia wastani wa wagonjwa kati ya 500 hadi 700 kwa mwaka huu 2019", alisema Dkt. Graham Mtui ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/06/serikali-kutoa-tamko-kuhusu-ugonjwa-wa.html
null
null
null
null
null
null
Serikali imeeleza kuwa inatarajia kuja na utaratibu mpya wa kutibu ugonjwa wa Dengue ambao umezuka katika baadhi ya mikoa nchini ikiwemo Dar es Salaam na kupelekea vifo kwa baadhi ya watu na wengine kuugua. Kauli hiyo ya Serikali imetolewa Bungeni jijini Dodoma na Waziri Ummy Mwalimu wakati akijibu swali la Mbunge wa Ilala Mussa Zungu ambaye alihoji juu ya Serikali kugawa dawa mpya zitakazomaliza mbu wa ugonjwa wa Dengue. Akiuliza swali hilo Bungeni, Mbunge Zungu amesema kuwa, "bado kuna changamoto kwenye upambanaji wa Dengue, Serikali itabadilisha dawa zinazotumika ili wananchi washiriki wazimwage kwenye maeneo yao, Mheshimiwa Naibu Spika ni kwamba sasa hivi Mbu wa Dengue wameanza kuingia kwenye daladala". Akijibu swali hilo Bungeni, Waziri Ummy amesema "suala hili limeanza kufanyiwa kazi na Serikali, ndani ya siku 2 tutatoa kauli rasmi jinsi gani tumechukua hatua za kupambana na Dengue". "Niwaambie pia wananchi hakuna njia nyingine ya kujikinga na ugonjwa Dengue zaidi ya kuwatokomeza mbu hao," ameongeza. ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/taarifa-ya-ufafanuzi-kuhusu-kuwepo-kwa.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani AFYA TAARIFA YA UFAFANUZI KUHUSU KUWEPO KWA DAWA ZA VIDONGE ZINAZODHANIWA KUTIBU HOMA YA DENGUE (DENGUE FEVER). TAARIFA YA UFAFANUZI KUHUSU KUWEPO KWA DAWA ZA VIDONGE ZINAZODHANIWA KUTIBU HOMA YA DENGUE (DENGUE FEVER). Thobias Omega Jumatatu, Mei 20, 2019 Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/serikali-kuendelea-kuimarisha.html
null
null
null
null
null
null
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kuimarisha upatikanaji wa vipimo vya ugonjwa wa Dengue kwa kununua vipimo 30,000 vya ugonjwa huo. Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa Serikali Profesa Mohhamad Bakari Kambi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mapema jana katika ofizi ndogo za Wizara Jijini Dar Es Salaam. Prof. Kambi amesema kuwa vipimo hivyo tayari vimeshanunuliwa na vitaingia nchini hivi karibuni na kusambazwa kwenye vituo vya umma Jijini Dar Es Salaam pamoja na mikoa mingine yenye athari za ugonjwa huo. Amesema kuwa ugonjwa wa dengue hauna chanjo wala tiba ya moja kwa moja na kuwataka wananchi kuacha kutoa taarifa za upotoshaji kuhusu tiba za ugonjwa huo. Mganga Mkuu amesema kuwa mpaka sasa vituo vinavyopima ugonjwa wa homa ya Dengue katika Mkoa wa Dar es Salaam ni Muhimbili, Maabara kuu Muhimbili, Amana, Temeke, Mwananyamala, Sinza, Vijibweni, Mnazi mmoja, Lugalo, Mbagala, FFU Ukonga. Katika mkoa wa Tanga; vituo vya Bombo na Horohoro, vituo vingine ni Tumbi Mkuranga, Utete Rufiji na Mafia, Morogoro na Manyara Aidha natambua vipo pia vituo binafsi vinavyotoa huduma za upimaji. Katika mikoa mingine ufuatiliaji unaendelea na hatujapa wagonjwa wenye dalili za Homa ya Dengue. Aidha Prof. Kambi amesema kuwa Wizara inatambua juhudi zinazofanywa na Mkoa wa Dar Es Salaam na kuwapongeza kwa kazi kubwa wanayofanya ya udhibitiwa ugonjwa huo kupitia zoezi la kunyunyizia dawa viuadudu (Biolarvicides) kwa ajili ya kuangamiza mazalia ya mbu sambamba na elimu ya kujikinga dhidi ya ugonjwa huo. Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Dkt. Yudas Ndungile amesema kuwa idadi kubwa ya wagonjwa wanaojitokeza katika vituo vya afya kupata vipimo ni kutokana na wananchi kupata uelewa wa ugonjwa huo baada ya kupatiwa elimu dhidi ya ugonjwa huo. “Tumepita kwenye maeneo ya kata zenu kufanya uelimishaji wa namna ya kujikinga na kutambua dalili za ugonjwa huu” amesema Dkt. Ndungile na kuendelea kusema kuwa vyombo vya habari vimetoa mchango mkubwa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa dengue. Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kuimarisha upatikanaji wa vipimo vya ugonjwa wa Dengue kwa kununua vipimo 30,000 vya ugonjwa huo. Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa Serikali Profesa Mohhamad Bakari Kambi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mapema jana katika ofizi ndogo za Wizara Jijini Dar Es Salaam. Prof. Kambi amesema kuwa vipimo hivyo tayari vimeshanunuliwa na vitaingia nchini hivi karibuni na kusambazwa kwenye vituo vya umma Jijini Dar Es Salaam pamoja na mikoa mingine yenye athari za ugonjwa huo. Amesema kuwa ugonjwa wa dengue hauna chanjo wala tiba ya moja kwa moja na kuwataka wananchi kuacha kutoa taarifa za upotoshaji kuhusu tiba za ugonjwa huo. Mganga Mkuu amesema kuwa mpaka sasa vituo vinavyopima ugonjwa wa homa ya Dengue katika Mkoa wa Dar es Salaam ni Muhimbili, Maabara kuu Muhimbili, Amana, Temeke, Mwananyamala, Sinza, Vijibweni, Mnazi mmoja, Lugalo, Mbagala, FFU Ukonga. Katika mkoa wa Tanga; vituo vya Bombo na Horohoro, vituo vingine ni Tumbi Mkuranga, Utete Rufiji na Mafia, Morogoro na Manyara Aidha natambua vipo pia vituo binafsi vinavyotoa huduma za upimaji. Katika mikoa mingine ufuatiliaji unaendelea na hatujapa wagonjwa wenye dalili za Homa ya Dengue. Aidha Prof. Kambi amesema kuwa Wizara inatambua juhudi zinazofanywa na Mkoa wa Dar Es Salaam na kuwapongeza kwa kazi kubwa wanayofanya ya udhibitiwa ugonjwa huo kupitia zoezi la kunyunyizia dawa viuadudu (Biolarvicides) kwa ajili ya kuangamiza mazalia ya mbu sambamba na elimu ya kujikinga dhidi ya ugonjwa huo. Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Dkt. Yudas Ndungile amesema kuwa idadi kubwa ya wagonjwa wanaojitokeza katika vituo vya afya kupata vipimo ni kutokana na wananchi kupata uelewa wa ugonjwa huo baada ya kupatiwa elimu dhidi ya ugonjwa huo. “Tumepita kwenye maeneo ya kata zenu kufanya uelimishaji wa namna ya kujikinga na kutambua dalili za ugonjwa huu” amesema Dkt. Ndungile na kuendelea kusema kuwa vyombo vya habari vimetoa mchango mkubwa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa dengue. ## 0 Maoni
https://www.facebook.com/sharer.php?u=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/11/ccm-yajifungia-siku-tatu-kuwapiga-msasa.html
null
null
null
null
null
null
Facebook Barua pepe au simu Nenosiri Umesahau akaunti? Jisajili Notice You must log in to continue. Ingia kwenye Facebook Ingia Umesahau akaunti? Fungua Akaunti Mpya Kiswahili English (US) हिन्दी ગુજરાતી العربية Deutsch Italiano Français (France) Português (Brasil) Español 中文(简体) Jisajili Ingia Messenger Facebook Lite Video Maeneo Michezo Marketplace Meta Pay Duka la Meta Meta Quest Ray-Ban Meta AI ya Meta Instagram Threads Uchangishaji Huduma Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura Kanuni ya Faragha Kituo cha Faragha Vikundi Kuhusu Unda Tangazo Unda Ukurasa Wasanidi programu Ajira Vidakuzi Chaguo za Matangazo Masharti Msaada Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji Mipangilio Kumbukumbu ya shughuli Meta © 2024
https://plus.google.com/share?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/11/ccm-yajifungia-siku-tatu-kuwapiga-msasa.html
null
null
null
null
null
null
Note: This blog post outlines upcoming changes to Google Currents for Workspace users. For information on the previous deprecation of Google+ for users with personal Google accounts, please see this post . What's Changing We are nearing the end of this transition. Beginning July 5, 2023, Currents will no longer be available. Workspace administrators can export Currents data using Takeout before August 8, 2023. Beginning August 8th, Currents data will no longer be available for download. Although we are saying goodbye to Currents, we continue to invest in new features for Google Chat , so teams can connect and collaborate with a shared sense of belonging. Over the last year, we've delivered features designed to support community engagement at scale, and will continue to deliver more. Here is a summary of the features with additional details below: This month, we’re enabling new ways for organizations to share information across the enterprise with announcements in Google Chat . This gives admin controls to limit permissions for posting in a space, while enabling all members to read and react, helping ensure that important updates stay visible and relevant. Later this year, we plan to simplify membership management by integrating Google Groups with spaces in Chat, enable post-level metrics for announcements, and provide tools for Workspace administrators to manage spaces across their domain. Announcements in Google Chat Managing space membership with Google Groups We’ve already rolled out new ways to make conversations more expressive and engaging such as in-line threading to enable rich exploration of a specific topic without overtaking the main conversation and custom emojis to enable fun, personal expression. In-line threaded conversations Discover and join communities with up to 8,000 members We’ve also made it easier for individuals to discover and join communities of shared interest . By searching in Gmail , users can explore a directory of available spaces covering topics of personal or professional interest such as gardening, pets, career development, fitness, cultural identity, and more, with the ability to invite others to join via link. Last year, we increased the size of communities supported by spaces in Chat to 8,000 members , and we are working to scale this in a meaningful way later this year. A directory of spaces in Google Chat for users to join. Our partner community is extending the power of Chat through integrations with essential third-party apps such as Jira, GitHub, Asana, PagerDuty , Zendesk and Salesforce . Many organizations have built custom workflow apps using low-code and no-code tools , and we anticipate that this number will continue to grow with the GA releases of the Chat API and AppSheet’s Chat app building capabilities later this year. For teams to thrive in this rapidly changing era of hybrid work, it’s essential to build authentic personal connections and a strong sense of belonging, no matter when or where individuals work. We will continue to make Google Chat the best option for Workspace customers seeking to build a community and culture for hybrid teams, with much more to come later this year. Who's impacted Admins and end users Why it’s important The transition from Currents to spaces in Google Chat removes a separate, siloed destination and provides organizations with a modern, enterprise-grade experience that reflects how the world is working today. Google Workspace customers use Google Chat to communicate about projects, share organizational updates, and build community. Recommended action Availability Spaces in Google Chat are available to all Google Workspace customers and users with personal Google Accounts. Resources
https://www.linkedin.com/shareArticle?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/11/ccm-yajifungia-siku-tatu-kuwapiga-msasa.html
null
null
null
null
null
null
# Sign in Stay updated on your professional world. ## We’ve emailed a one-time link to your primary email address Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account. New to LinkedIn? Join now Stay updated on your professional world. Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account.
https://web.whatsapp.com/send?text=CCM YAJIFUNGIA SIKU TATU KUWAPIGA MSASA WATENDAJI WAKE JIJINI DODOMA. | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/11/ccm-yajifungia-siku-tatu-kuwapiga-msasa.html
null
null
null
null
null
null
WhatsApp Web Browser not supported We recommend using WhatsApp with one of the following browsers: Google Chrome Mozilla Firefox Microsoft Edge WhatsApp also supports: Opera Safari (macOS 11+ Only)
https://api.whatsapp.com/send?text=CCM YAJIFUNGIA SIKU TATU KUWAPIGA MSASA WATENDAJI WAKE JIJINI DODOMA. | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/11/ccm-yajifungia-siku-tatu-kuwapiga-msasa.html
null
null
null
null
null
null
## Send the following on WhatsApp Continue to ChatCCM YAJIFUNGIA SIKU TATU KUWAPIGA MSASA WATENDAJI WAKE JIJINI DODOMA. | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/11/ccm-yajifungia-siku-tatu-kuwapiga-msasa.html CCM YAJIFUNGIA SIKU TATU KUWAPIGA MSASA WATENDAJI WAKE JIJINI DODOMA. | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/11/ccm-yajifungia-siku-tatu-kuwapiga-msasa.html
https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/8099842165990964404/3573302574941190814
null
null
null
null
null
null
# Comments on CCM YAJIFUNGIA SIKU TATU KUWAPIGA MSASA WATENDAJI WAKE JIJINI DODOMA. : UVCCM Blog Collapse all comments Expand all comments Load more To leave a comment, click the button on the top of this page to sign in with Google. To leave a comment, click the button on the top of this page to sign in with Google.
https://www.facebook.com/sharer.php?u=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/09/katibu-mkuu-wa-chama-cha-mapinduzi.html
null
null
null
null
null
null
Facebook Barua pepe au simu Nenosiri Umesahau akaunti? Jisajili Notice You must log in to continue. Ingia kwenye Facebook Ingia Umesahau akaunti? Fungua Akaunti Mpya Kiswahili English (US) हिन्दी ગુજરાતી العربية Deutsch Italiano Français (France) Português (Brasil) Español 中文(简体) Jisajili Ingia Messenger Facebook Lite Video Maeneo Michezo Marketplace Meta Pay Duka la Meta Meta Quest Ray-Ban Meta AI ya Meta Instagram Threads Uchangishaji Huduma Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura Kanuni ya Faragha Kituo cha Faragha Vikundi Kuhusu Unda Tangazo Unda Ukurasa Wasanidi programu Ajira Vidakuzi Chaguo za Matangazo Masharti Msaada Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji Mipangilio Kumbukumbu ya shughuli Meta © 2024
https://plus.google.com/share?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/09/katibu-mkuu-wa-chama-cha-mapinduzi.html
null
null
null
null
null
null
Note: This blog post outlines upcoming changes to Google Currents for Workspace users. For information on the previous deprecation of Google+ for users with personal Google accounts, please see this post . What's Changing We are nearing the end of this transition. Beginning July 5, 2023, Currents will no longer be available. Workspace administrators can export Currents data using Takeout before August 8, 2023. Beginning August 8th, Currents data will no longer be available for download. Although we are saying goodbye to Currents, we continue to invest in new features for Google Chat , so teams can connect and collaborate with a shared sense of belonging. Over the last year, we've delivered features designed to support community engagement at scale, and will continue to deliver more. Here is a summary of the features with additional details below: This month, we’re enabling new ways for organizations to share information across the enterprise with announcements in Google Chat . This gives admin controls to limit permissions for posting in a space, while enabling all members to read and react, helping ensure that important updates stay visible and relevant. Later this year, we plan to simplify membership management by integrating Google Groups with spaces in Chat, enable post-level metrics for announcements, and provide tools for Workspace administrators to manage spaces across their domain. Announcements in Google Chat Managing space membership with Google Groups We’ve already rolled out new ways to make conversations more expressive and engaging such as in-line threading to enable rich exploration of a specific topic without overtaking the main conversation and custom emojis to enable fun, personal expression. In-line threaded conversations Discover and join communities with up to 8,000 members We’ve also made it easier for individuals to discover and join communities of shared interest . By searching in Gmail , users can explore a directory of available spaces covering topics of personal or professional interest such as gardening, pets, career development, fitness, cultural identity, and more, with the ability to invite others to join via link. Last year, we increased the size of communities supported by spaces in Chat to 8,000 members , and we are working to scale this in a meaningful way later this year. A directory of spaces in Google Chat for users to join. Our partner community is extending the power of Chat through integrations with essential third-party apps such as Jira, GitHub, Asana, PagerDuty , Zendesk and Salesforce . Many organizations have built custom workflow apps using low-code and no-code tools , and we anticipate that this number will continue to grow with the GA releases of the Chat API and AppSheet’s Chat app building capabilities later this year. For teams to thrive in this rapidly changing era of hybrid work, it’s essential to build authentic personal connections and a strong sense of belonging, no matter when or where individuals work. We will continue to make Google Chat the best option for Workspace customers seeking to build a community and culture for hybrid teams, with much more to come later this year. Who's impacted Admins and end users Why it’s important The transition from Currents to spaces in Google Chat removes a separate, siloed destination and provides organizations with a modern, enterprise-grade experience that reflects how the world is working today. Google Workspace customers use Google Chat to communicate about projects, share organizational updates, and build community. Recommended action Availability Spaces in Google Chat are available to all Google Workspace customers and users with personal Google Accounts. Resources
https://www.linkedin.com/shareArticle?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/09/katibu-mkuu-wa-chama-cha-mapinduzi.html
null
null
null
null
null
null
# Sign in Stay updated on your professional world. ## We’ve emailed a one-time link to your primary email address Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account. New to LinkedIn? Join now Stay updated on your professional world. Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account.
https://web.whatsapp.com/send?text=KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI DANIEL CHONGOLO APOKEA UGENI WA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA FRELIMO PAMOJA NA WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA HICHO KWA ZIARA YA SIKU TANO YA KUIMARISHA MAHUSIANO KATIKA VYAMA HIVYO.. | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/09/katibu-mkuu-wa-chama-cha-mapinduzi.html
null
null
null
null
null
null
WhatsApp Web Browser not supported We recommend using WhatsApp with one of the following browsers: Google Chrome Mozilla Firefox Microsoft Edge WhatsApp also supports: Opera Safari (macOS 11+ Only)
https://api.whatsapp.com/send?text=KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI DANIEL CHONGOLO APOKEA UGENI WA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA FRELIMO PAMOJA NA WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA HICHO KWA ZIARA YA SIKU TANO YA KUIMARISHA MAHUSIANO KATIKA VYAMA HIVYO.. | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/09/katibu-mkuu-wa-chama-cha-mapinduzi.html
null
null
null
null
null
null
## Send the following on WhatsApp Continue to ChatKATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI DANIEL CHONGOLO APOKEA UGENI WA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA FRELIMO PAMOJA NA WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA HICHO KWA ZIARA YA SIKU TANO YA KUIMARISHA MAHUSIANO KATIKA VYAMA HIVYO.. | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/09/katibu-mkuu-wa-chama-cha-mapinduzi.html
https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/8099842165990964404/8918569793593532187
null
null
null
null
null
null
# Comments on KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI DANIEL CHONGOLO APOKEA UGENI WA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA FRELIMO PAMOJA NA WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA HICHO KWA ZIARA YA SIKU TANO YA KUIMARISHA MAHUSIANO KATIKA VYAMA HIVYO.. : UVCCM Blog Collapse all comments Expand all comments Load more To leave a comment, click the button on the top of this page to sign in with Google.
https://www.facebook.com/sharer.php?u=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/08/katibu-mkuu-ccm-daniel-chongolo-atoa.html
null
null
null
null
null
null
Facebook Barua pepe au simu Nenosiri Umesahau akaunti? Jisajili Notice You must log in to continue. Ingia kwenye Facebook Ingia Umesahau akaunti? Fungua Akaunti Mpya Kiswahili English (US) हिन्दी ગુજરાતી العربية Deutsch Italiano Français (France) Português (Brasil) Español 中文(简体) Jisajili Ingia Messenger Facebook Lite Video Maeneo Michezo Marketplace Meta Pay Duka la Meta Meta Quest Ray-Ban Meta AI ya Meta Instagram Threads Uchangishaji Huduma Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura Kanuni ya Faragha Kituo cha Faragha Vikundi Kuhusu Unda Tangazo Unda Ukurasa Wasanidi programu Ajira Vidakuzi Chaguo za Matangazo Masharti Msaada Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji Mipangilio Kumbukumbu ya shughuli Meta © 2024
https://plus.google.com/share?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/08/katibu-mkuu-ccm-daniel-chongolo-atoa.html
null
null
null
null
null
null
Note: This blog post outlines upcoming changes to Google Currents for Workspace users. For information on the previous deprecation of Google+ for users with personal Google accounts, please see this post . What's Changing We are nearing the end of this transition. Beginning July 5, 2023, Currents will no longer be available. Workspace administrators can export Currents data using Takeout before August 8, 2023. Beginning August 8th, Currents data will no longer be available for download. Although we are saying goodbye to Currents, we continue to invest in new features for Google Chat , so teams can connect and collaborate with a shared sense of belonging. Over the last year, we've delivered features designed to support community engagement at scale, and will continue to deliver more. Here is a summary of the features with additional details below: This month, we’re enabling new ways for organizations to share information across the enterprise with announcements in Google Chat . This gives admin controls to limit permissions for posting in a space, while enabling all members to read and react, helping ensure that important updates stay visible and relevant. Later this year, we plan to simplify membership management by integrating Google Groups with spaces in Chat, enable post-level metrics for announcements, and provide tools for Workspace administrators to manage spaces across their domain. Announcements in Google Chat Managing space membership with Google Groups We’ve already rolled out new ways to make conversations more expressive and engaging such as in-line threading to enable rich exploration of a specific topic without overtaking the main conversation and custom emojis to enable fun, personal expression. In-line threaded conversations Discover and join communities with up to 8,000 members We’ve also made it easier for individuals to discover and join communities of shared interest . By searching in Gmail , users can explore a directory of available spaces covering topics of personal or professional interest such as gardening, pets, career development, fitness, cultural identity, and more, with the ability to invite others to join via link. Last year, we increased the size of communities supported by spaces in Chat to 8,000 members , and we are working to scale this in a meaningful way later this year. A directory of spaces in Google Chat for users to join. Our partner community is extending the power of Chat through integrations with essential third-party apps such as Jira, GitHub, Asana, PagerDuty , Zendesk and Salesforce . Many organizations have built custom workflow apps using low-code and no-code tools , and we anticipate that this number will continue to grow with the GA releases of the Chat API and AppSheet’s Chat app building capabilities later this year. For teams to thrive in this rapidly changing era of hybrid work, it’s essential to build authentic personal connections and a strong sense of belonging, no matter when or where individuals work. We will continue to make Google Chat the best option for Workspace customers seeking to build a community and culture for hybrid teams, with much more to come later this year. Who's impacted Admins and end users Why it’s important The transition from Currents to spaces in Google Chat removes a separate, siloed destination and provides organizations with a modern, enterprise-grade experience that reflects how the world is working today. Google Workspace customers use Google Chat to communicate about projects, share organizational updates, and build community. Recommended action Availability Spaces in Google Chat are available to all Google Workspace customers and users with personal Google Accounts. Resources
https://www.linkedin.com/shareArticle?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/08/katibu-mkuu-ccm-daniel-chongolo-atoa.html
null
null
null
null
null
null
# Sign in Stay updated on your professional world. ## We’ve emailed a one-time link to your primary email address Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account. New to LinkedIn? Join now Stay updated on your professional world. Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account.
https://web.whatsapp.com/send?text=KATIBU MKUU CCM DANIEL CHONGOLO ATOA SIKU 14 KWA VIONGOZI NGAZI YA WILAYA NA MIKOA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI NA TAARIFA IWASILISHWE OFISINI KWAKE | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/08/katibu-mkuu-ccm-daniel-chongolo-atoa.html
null
null
null
null
null
null
WhatsApp Web Browser not supported We recommend using WhatsApp with one of the following browsers: Google Chrome Mozilla Firefox Microsoft Edge WhatsApp also supports: Opera Safari (macOS 11+ Only)
https://api.whatsapp.com/send?text=KATIBU MKUU CCM DANIEL CHONGOLO ATOA SIKU 14 KWA VIONGOZI NGAZI YA WILAYA NA MIKOA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI NA TAARIFA IWASILISHWE OFISINI KWAKE | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/08/katibu-mkuu-ccm-daniel-chongolo-atoa.html
null
null
null
null
null
null
## Send the following on WhatsApp Continue to ChatKATIBU MKUU CCM DANIEL CHONGOLO ATOA SIKU 14 KWA VIONGOZI NGAZI YA WILAYA NA MIKOA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI NA TAARIFA IWASILISHWE OFISINI KWAKE | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/08/katibu-mkuu-ccm-daniel-chongolo-atoa.html
https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/8099842165990964404/4032797546720231366
null
null
null
null
null
null
# Comments on KATIBU MKUU CCM DANIEL CHONGOLO ATOA SIKU 14 KWA VIONGOZI NGAZI YA WILAYA NA MIKOA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI NA TAARIFA IWASILISHWE OFISINI KWAKE : UVCCM Blog Collapse all comments Expand all comments Load more To leave a comment, click the button on the top of this page to sign in with Google.
https://www.facebook.com/sharer.php?u=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/07/chongolo-ahitimisha-ziara-ya-kikazi.html
null
null
null
null
null
null
Facebook Barua pepe au simu Nenosiri Umesahau akaunti? Jisajili Notice You must log in to continue. Ingia kwenye Facebook Ingia Umesahau akaunti? Fungua Akaunti Mpya Kiswahili English (US) हिन्दी ગુજરાતી العربية Deutsch Italiano Français (France) Português (Brasil) Español 中文(简体) Jisajili Ingia Messenger Facebook Lite Video Maeneo Michezo Marketplace Meta Pay Duka la Meta Meta Quest Ray-Ban Meta AI ya Meta Instagram Threads Uchangishaji Huduma Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura Kanuni ya Faragha Kituo cha Faragha Vikundi Kuhusu Unda Tangazo Unda Ukurasa Wasanidi programu Ajira Vidakuzi Chaguo za Matangazo Masharti Msaada Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji Mipangilio Kumbukumbu ya shughuli Meta © 2024
https://plus.google.com/share?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/07/chongolo-ahitimisha-ziara-ya-kikazi.html
null
null
null
null
null
null
Note: This blog post outlines upcoming changes to Google Currents for Workspace users. For information on the previous deprecation of Google+ for users with personal Google accounts, please see this post . What's Changing We are nearing the end of this transition. Beginning July 5, 2023, Currents will no longer be available. Workspace administrators can export Currents data using Takeout before August 8, 2023. Beginning August 8th, Currents data will no longer be available for download. Although we are saying goodbye to Currents, we continue to invest in new features for Google Chat , so teams can connect and collaborate with a shared sense of belonging. Over the last year, we've delivered features designed to support community engagement at scale, and will continue to deliver more. Here is a summary of the features with additional details below: This month, we’re enabling new ways for organizations to share information across the enterprise with announcements in Google Chat . This gives admin controls to limit permissions for posting in a space, while enabling all members to read and react, helping ensure that important updates stay visible and relevant. Later this year, we plan to simplify membership management by integrating Google Groups with spaces in Chat, enable post-level metrics for announcements, and provide tools for Workspace administrators to manage spaces across their domain. Announcements in Google Chat Managing space membership with Google Groups We’ve already rolled out new ways to make conversations more expressive and engaging such as in-line threading to enable rich exploration of a specific topic without overtaking the main conversation and custom emojis to enable fun, personal expression. In-line threaded conversations Discover and join communities with up to 8,000 members We’ve also made it easier for individuals to discover and join communities of shared interest . By searching in Gmail , users can explore a directory of available spaces covering topics of personal or professional interest such as gardening, pets, career development, fitness, cultural identity, and more, with the ability to invite others to join via link. Last year, we increased the size of communities supported by spaces in Chat to 8,000 members , and we are working to scale this in a meaningful way later this year. A directory of spaces in Google Chat for users to join. Our partner community is extending the power of Chat through integrations with essential third-party apps such as Jira, GitHub, Asana, PagerDuty , Zendesk and Salesforce . Many organizations have built custom workflow apps using low-code and no-code tools , and we anticipate that this number will continue to grow with the GA releases of the Chat API and AppSheet’s Chat app building capabilities later this year. For teams to thrive in this rapidly changing era of hybrid work, it’s essential to build authentic personal connections and a strong sense of belonging, no matter when or where individuals work. We will continue to make Google Chat the best option for Workspace customers seeking to build a community and culture for hybrid teams, with much more to come later this year. Who's impacted Admins and end users Why it’s important The transition from Currents to spaces in Google Chat removes a separate, siloed destination and provides organizations with a modern, enterprise-grade experience that reflects how the world is working today. Google Workspace customers use Google Chat to communicate about projects, share organizational updates, and build community. Recommended action Availability Spaces in Google Chat are available to all Google Workspace customers and users with personal Google Accounts. Resources
https://www.linkedin.com/shareArticle?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2021/07/chongolo-ahitimisha-ziara-ya-kikazi.html
null
null
null
null
null
null
# Sign in ## We’ve emailed a one-time link to your primary email address Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account. New to LinkedIn? Join now Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account.
https://web.whatsapp.com/send?text=CHONGOLO AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI WILAYA YA MBEYA MJINI KWA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA YA MBEYA ,LEO JULAI 13,2021. | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/07/chongolo-ahitimisha-ziara-ya-kikazi.html
null
null
null
null
null
null
WhatsApp Web Browser not supported We recommend using WhatsApp with one of the following browsers: Google Chrome Mozilla Firefox Microsoft Edge WhatsApp also supports: Opera Safari (macOS 11+ Only)
https://api.whatsapp.com/send?text=CHONGOLO AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI WILAYA YA MBEYA MJINI KWA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA YA MBEYA ,LEO JULAI 13,2021. | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/07/chongolo-ahitimisha-ziara-ya-kikazi.html
null
null
null
null
null
null
## Send the following on WhatsApp Continue to ChatCHONGOLO AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI WILAYA YA MBEYA MJINI KWA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA YA MBEYA ,LEO JULAI 13,2021. | https://uvccmtz.blogspot.com/2021/07/chongolo-ahitimisha-ziara-ya-kikazi.html
https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/8099842165990964404/5070483405289553348
null
null
null
null
null
null
# Comments on CHONGOLO AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI WILAYA YA MBEYA MJINI KWA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA YA MBEYA ,LEO JULAI 13,2021. : UVCCM Blog Collapse all comments Expand all comments Load more To leave a comment, click the button on the top of this page to sign in with Google.
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/MUSIC?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Listen to Christian_Bella_Ft_Ommy_Dimpoz_-_Nani_Kama_Mama |UVCCM TZ by UVCCM TZ on hearth… Endelea kusomaListen to HASANI MAKUNGANYA-CCM ni Daraja |UVCCM TZ by UVCCM TZ on hearthis.at Endelea kusomaListen to Mbaraka Mwinshehe-Makao Makuu Dodoma| UVCCM TZ by UVCCM TZ on hearthis.at Endelea kusomaListen to Dodoma - Dr. Remmy Ongala & Orchestre Super Matimila | UVCCM TZ by UVCCM TZ … Endelea kusomaListen to Peter Msechu – MAGUFULI JEMBE |UVCCM TZ by UVCCM TZ on hearthis.at Endelea kusomaListen to UBUNTU ft MODIZER - FIGO |UVCCM TZ by UVCCM TZ on hearthis.at Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://hearthis.at/uvccm-tz/tot-bandccm-mbele-kwa-mbele-uvccm-tz/
null
null
null
null
null
null
Live News Popular Featured Explore Explore main genres Acoustic Ambient Blues Classical Country Folk Funk / Soul Heavy Metal Indie Jazz Orchestral Rock Singer / Songwriter Soul Breakbeat Chillout Disco Drum & Bass Downtempo Dubstep / Bass Dub Hip Hop Industrial Jungle R&B Reggae / Dancehall Trap Urban Amapiano Bollywood Breakcore Clubs Deep-House Dub-Techno Electro Electronica EDM Hardcore Hardstyle House IDM Pop Progressive House Psytrance Tech-House Techno Trance Audiobook Experimental Indian Instrumental Music Festivals Podcast Radioshow Soundtrack Spiritual Field Recording, Art, Sound World Other Groups ··· Fan-Shop iPhone & iPad App Android App Developer API Wordpress Plugin Status Logo & Images on Facebook on Instagram FAQ / Support Legal Notice / Disclaimer Terms Privacy Reseller Program Upload Stream Live Sign in Track ID Playlist Other hearthis.at pause 0:04 1.324.286 7 56 9 Social Add to Set to Group to Playlist ··· Suggest Genre Report abuse 0:04 0:00 0 First Drop! 1:20 0 Break 1:58 1 Vocal start 3:00 2 Second Drop 3:20 3
https://hearthis.at/uvccm-tz/
null
null
null
null
null
null
Live News Popular Featured Explore Explore main genres Acoustic Ambient Blues Classical Country Folk Funk / Soul Heavy Metal Indie Jazz Orchestral Rock Singer / Songwriter Soul Breakbeat Chillout Disco Drum & Bass Downtempo Dubstep / Bass Dub Hip Hop Industrial Jungle R&B Reggae / Dancehall Trap Urban Amapiano Bollywood Breakcore Clubs Deep-House Dub-Techno Electro Electronica EDM Hardcore Hardstyle House IDM Pop Progressive House Psytrance Tech-House Techno Trance Audiobook Experimental Indian Instrumental Music Festivals Podcast Radioshow Soundtrack Spiritual Field Recording, Art, Sound World Other Groups ··· Fan-Shop iPhone & iPad App Android App Developer API Wordpress Plugin Status Logo & Images on Facebook on Instagram FAQ / Support Legal Notice / Disclaimer Terms Privacy Reseller Program Upload Stream Live Sign in Track ID Playlist Other hearthis.at pause 0:04 1.324.286 7 56 9 Social Add to Set to Group to Playlist ··· Suggest Genre Report abuse 0:04 0:00 0 First Drop! 1:20 0 Break 1:58 1 Vocal start 3:00 2 Second Drop 3:20 3
https://hearthis.at/
null
null
null
null
null
null
Live News Popular Featured Explore Explore main genres Acoustic Ambient Blues Classical Country Folk Funk / Soul Heavy Metal Indie Jazz Orchestral Rock Singer / Songwriter Soul Breakbeat Chillout Disco Drum & Bass Downtempo Dubstep / Bass Dub Hip Hop Industrial Jungle R&B Reggae / Dancehall Trap Urban Amapiano Bollywood Breakcore Clubs Deep-House Dub-Techno Electro Electronica EDM Hardcore Hardstyle House IDM Pop Progressive House Psytrance Tech-House Techno Trance Audiobook Experimental Indian Instrumental Music Festivals Podcast Radioshow Soundtrack Spiritual Field Recording, Art, Sound World Other Groups ··· Fan-Shop iPhone & iPad App Android App Developer API Wordpress Plugin Status Logo & Images on Facebook on Instagram FAQ / Support Legal Notice / Disclaimer Terms Privacy Reseller Program Upload Stream Live Sign in Track ID Playlist
https://www.facebook.com/sharer.php?u=https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-ccm-mbele-kwa-mbele-tot-band.html
null
null
null
null
null
null
Facebook Barua pepe au simu Nenosiri Umesahau akaunti? Jisajili Notice You must log in to continue. Ingia kwenye Facebook Ingia Umesahau akaunti? Fungua Akaunti Mpya Kiswahili English (US) हिन्दी ગુજરાતી العربية Deutsch Italiano Français (France) Português (Brasil) Español 中文(简体) Jisajili Ingia Messenger Facebook Lite Video Maeneo Michezo Marketplace Meta Pay Duka la Meta Meta Quest Ray-Ban Meta AI ya Meta Instagram Threads Uchangishaji Huduma Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura Kanuni ya Faragha Kituo cha Faragha Vikundi Kuhusu Unda Tangazo Unda Ukurasa Wasanidi programu Ajira Vidakuzi Chaguo za Matangazo Masharti Msaada Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji Mipangilio Kumbukumbu ya shughuli Meta © 2024
https://plus.google.com/share?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-ccm-mbele-kwa-mbele-tot-band.html
null
null
null
null
null
null
Note: This blog post outlines upcoming changes to Google Currents for Workspace users. For information on the previous deprecation of Google+ for users with personal Google accounts, please see this post . What's Changing We are nearing the end of this transition. Beginning July 5, 2023, Currents will no longer be available. Workspace administrators can export Currents data using Takeout before August 8, 2023. Beginning August 8th, Currents data will no longer be available for download. Although we are saying goodbye to Currents, we continue to invest in new features for Google Chat , so teams can connect and collaborate with a shared sense of belonging. Over the last year, we've delivered features designed to support community engagement at scale, and will continue to deliver more. Here is a summary of the features with additional details below: This month, we’re enabling new ways for organizations to share information across the enterprise with announcements in Google Chat . This gives admin controls to limit permissions for posting in a space, while enabling all members to read and react, helping ensure that important updates stay visible and relevant. Later this year, we plan to simplify membership management by integrating Google Groups with spaces in Chat, enable post-level metrics for announcements, and provide tools for Workspace administrators to manage spaces across their domain. Announcements in Google Chat Managing space membership with Google Groups We’ve already rolled out new ways to make conversations more expressive and engaging such as in-line threading to enable rich exploration of a specific topic without overtaking the main conversation and custom emojis to enable fun, personal expression. In-line threaded conversations Discover and join communities with up to 8,000 members We’ve also made it easier for individuals to discover and join communities of shared interest . By searching in Gmail , users can explore a directory of available spaces covering topics of personal or professional interest such as gardening, pets, career development, fitness, cultural identity, and more, with the ability to invite others to join via link. Last year, we increased the size of communities supported by spaces in Chat to 8,000 members , and we are working to scale this in a meaningful way later this year. A directory of spaces in Google Chat for users to join. Our partner community is extending the power of Chat through integrations with essential third-party apps such as Jira, GitHub, Asana, PagerDuty , Zendesk and Salesforce . Many organizations have built custom workflow apps using low-code and no-code tools , and we anticipate that this number will continue to grow with the GA releases of the Chat API and AppSheet’s Chat app building capabilities later this year. For teams to thrive in this rapidly changing era of hybrid work, it’s essential to build authentic personal connections and a strong sense of belonging, no matter when or where individuals work. We will continue to make Google Chat the best option for Workspace customers seeking to build a community and culture for hybrid teams, with much more to come later this year. Who's impacted Admins and end users Why it’s important The transition from Currents to spaces in Google Chat removes a separate, siloed destination and provides organizations with a modern, enterprise-grade experience that reflects how the world is working today. Google Workspace customers use Google Chat to communicate about projects, share organizational updates, and build community. Recommended action Availability Spaces in Google Chat are available to all Google Workspace customers and users with personal Google Accounts. Resources
https://www.linkedin.com/shareArticle?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-ccm-mbele-kwa-mbele-tot-band.html
null
null
null
null
null
null
# Sign in ## We’ve emailed a one-time link to your primary email address Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account. New to LinkedIn? Join now Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account.
https://web.whatsapp.com/send?text=Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) | https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-ccm-mbele-kwa-mbele-tot-band.html
null
null
null
null
null
null
WhatsApp Web Browser not supported We recommend using WhatsApp with one of the following browsers: Google Chrome Mozilla Firefox Microsoft Edge WhatsApp also supports: Opera Safari (macOS 11+ Only)
https://api.whatsapp.com/send?text=Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) | https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-ccm-mbele-kwa-mbele-tot-band.html
null
null
null
null
null
null
## Send the following on WhatsApp Continue to ChatDownload| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) | https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-ccm-mbele-kwa-mbele-tot-band.html Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) | https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-ccm-mbele-kwa-mbele-tot-band.html
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-christian-bella-feat-ommy.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani MUSIC Download | Christian Bella feat. Ommy Dimpoz - Nani kama Mama | (Official Audio) Download | Christian Bella feat. Ommy Dimpoz - Nani kama Mama | (Official Audio) Thobias Omega Jumatatu, Mei 20, 2019 Listen to Christian_Bella_Ft_Ommy_Dimpoz_-_Nani_Kama_Mama |UVCCM TZ by UVCCM TZ on hearthis.at Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-makao-makuu-dodoma-mbaraka.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani MUSIC Download |Makao Makuu Dodoma - Mbaraka Mwinshehe | (Official Audio) Download |Makao Makuu Dodoma - Mbaraka Mwinshehe | (Official Audio) Thobias Omega Jumatatu, Mei 20, 2019 Listen to Mbaraka Mwinshehe-Makao Makuu Dodoma| UVCCM TZ by UVCCM TZ on hearthis.at Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/8099842165990964404/2482081563136643148
null
null
null
null
null
null
# Comments on Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) : UVCCM Blog Collapse all comments Expand all comments Load more To leave a comment, click the button on the top of this page to sign in with Google. To leave a comment, click the button on the top of this page to sign in with Google.
https://hearthis.at/uvccm-tz/atomic-jazz-bandtanzania-yetu-ni-nchi-ya-furaha-official-audio-hearthisat1/
null
null
null
null
null
null
Live News Popular Featured Explore Explore main genres Acoustic Ambient Blues Classical Country Folk Funk / Soul Heavy Metal Indie Jazz Orchestral Rock Singer / Songwriter Soul Breakbeat Chillout Disco Drum & Bass Downtempo Dubstep / Bass Dub Hip Hop Industrial Jungle R&B Reggae / Dancehall Trap Urban Amapiano Bollywood Breakcore Clubs Deep-House Dub-Techno Electro Electronica EDM Hardcore Hardstyle House IDM Pop Progressive House Psytrance Tech-House Techno Trance Audiobook Experimental Indian Instrumental Music Festivals Podcast Radioshow Soundtrack Spiritual Field Recording, Art, Sound World Other Groups ··· Fan-Shop iPhone & iPad App Android App Developer API Wordpress Plugin Status Logo & Images on Facebook on Instagram FAQ / Support Legal Notice / Disclaimer Terms Privacy Reseller Program Upload Stream Live Sign in Track ID Playlist Other hearthis.at pause 0:04 1.324.286 7 56 9 Social Add to Set to Group to Playlist ··· Suggest Genre Report abuse 0:04 0:00 0 First Drop! 1:20 0 Break 1:58 1 Vocal start 3:00 2 Second Drop 3:20 3
https://www.facebook.com/sharer.php?u=https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-tanzania-yetu-ni-nchi-ya.html
null
null
null
null
null
null
Facebook Barua pepe au simu Nenosiri Umesahau akaunti? Jisajili Notice You must log in to continue. Ingia kwenye Facebook Ingia Umesahau akaunti? Fungua Akaunti Mpya Kiswahili English (US) हिन्दी ગુજરાતી العربية Deutsch Italiano Français (France) Português (Brasil) Español 中文(简体) Jisajili Ingia Messenger Facebook Lite Video Maeneo Michezo Marketplace Meta Pay Duka la Meta Meta Quest Ray-Ban Meta AI ya Meta Instagram Threads Uchangishaji Huduma Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura Kanuni ya Faragha Kituo cha Faragha Vikundi Kuhusu Unda Tangazo Unda Ukurasa Wasanidi programu Ajira Vidakuzi Chaguo za Matangazo Masharti Msaada Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji Mipangilio Kumbukumbu ya shughuli Meta © 2024
https://plus.google.com/share?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-tanzania-yetu-ni-nchi-ya.html
null
null
null
null
null
null
Note: This blog post outlines upcoming changes to Google Currents for Workspace users. For information on the previous deprecation of Google+ for users with personal Google accounts, please see this post . What's Changing We are nearing the end of this transition. Beginning July 5, 2023, Currents will no longer be available. Workspace administrators can export Currents data using Takeout before August 8, 2023. Beginning August 8th, Currents data will no longer be available for download. Although we are saying goodbye to Currents, we continue to invest in new features for Google Chat , so teams can connect and collaborate with a shared sense of belonging. Over the last year, we've delivered features designed to support community engagement at scale, and will continue to deliver more. Here is a summary of the features with additional details below: This month, we’re enabling new ways for organizations to share information across the enterprise with announcements in Google Chat . This gives admin controls to limit permissions for posting in a space, while enabling all members to read and react, helping ensure that important updates stay visible and relevant. Later this year, we plan to simplify membership management by integrating Google Groups with spaces in Chat, enable post-level metrics for announcements, and provide tools for Workspace administrators to manage spaces across their domain. Announcements in Google Chat Managing space membership with Google Groups We’ve already rolled out new ways to make conversations more expressive and engaging such as in-line threading to enable rich exploration of a specific topic without overtaking the main conversation and custom emojis to enable fun, personal expression. In-line threaded conversations Discover and join communities with up to 8,000 members We’ve also made it easier for individuals to discover and join communities of shared interest . By searching in Gmail , users can explore a directory of available spaces covering topics of personal or professional interest such as gardening, pets, career development, fitness, cultural identity, and more, with the ability to invite others to join via link. Last year, we increased the size of communities supported by spaces in Chat to 8,000 members , and we are working to scale this in a meaningful way later this year. A directory of spaces in Google Chat for users to join. Our partner community is extending the power of Chat through integrations with essential third-party apps such as Jira, GitHub, Asana, PagerDuty , Zendesk and Salesforce . Many organizations have built custom workflow apps using low-code and no-code tools , and we anticipate that this number will continue to grow with the GA releases of the Chat API and AppSheet’s Chat app building capabilities later this year. For teams to thrive in this rapidly changing era of hybrid work, it’s essential to build authentic personal connections and a strong sense of belonging, no matter when or where individuals work. We will continue to make Google Chat the best option for Workspace customers seeking to build a community and culture for hybrid teams, with much more to come later this year. Who's impacted Admins and end users Why it’s important The transition from Currents to spaces in Google Chat removes a separate, siloed destination and provides organizations with a modern, enterprise-grade experience that reflects how the world is working today. Google Workspace customers use Google Chat to communicate about projects, share organizational updates, and build community. Recommended action Availability Spaces in Google Chat are available to all Google Workspace customers and users with personal Google Accounts. Resources
https://www.linkedin.com/shareArticle?url=https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-tanzania-yetu-ni-nchi-ya.html
null
null
null
null
null
null
# Sign in Stay updated on your professional world. ## We’ve emailed a one-time link to your primary email address Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account. New to LinkedIn? Join now Stay updated on your professional world. Click on the link to sign in instantly to your LinkedIn account.
https://web.whatsapp.com/send?text=Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) | https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-tanzania-yetu-ni-nchi-ya.html
null
null
null
null
null
null
WhatsApp Web Browser not supported We recommend using WhatsApp with one of the following browsers: Google Chrome Mozilla Firefox Microsoft Edge WhatsApp also supports: Opera Safari (macOS 11+ Only)
https://api.whatsapp.com/send?text=Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) | https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-tanzania-yetu-ni-nchi-ya.html
null
null
null
null
null
null
## Send the following on WhatsApp Continue to ChatDownload| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) | https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-tanzania-yetu-ni-nchi-ya.html Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) | https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-tanzania-yetu-ni-nchi-ya.html
https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/8099842165990964404/6605020534025111191
null
null
null
null
null
null
# Comments on Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) : UVCCM Blog Collapse all comments Expand all comments Load more To leave a comment, click the button on the top of this page to sign in with Google. To leave a comment, click the button on the top of this page to sign in with Google.
https://hearthis.at/uvccm-tz/hasani-makunganya-ccm-ni-daraja-uvccm-tz/
null
null
null
null
null
null
Live News Popular Featured Explore Explore main genres Acoustic Ambient Blues Classical Country Folk Funk / Soul Heavy Metal Indie Jazz Orchestral Rock Singer / Songwriter Soul Breakbeat Chillout Disco Drum & Bass Downtempo Dubstep / Bass Dub Hip Hop Industrial Jungle R&B Reggae / Dancehall Trap Urban Amapiano Bollywood Breakcore Clubs Deep-House Dub-Techno Electro Electronica EDM Hardcore Hardstyle House IDM Pop Progressive House Psytrance Tech-House Techno Trance Audiobook Experimental Indian Instrumental Music Festivals Podcast Radioshow Soundtrack Spiritual Field Recording, Art, Sound World Other Groups ··· Fan-Shop iPhone & iPad App Android App Developer API Wordpress Plugin Status Logo & Images on Facebook on Instagram FAQ / Support Legal Notice / Disclaimer Terms Privacy Reseller Program Upload Stream Live Sign in Track ID Playlist Other hearthis.at pause 0:04 1.324.286 7 56 9 Social Add to Set to Group to Playlist ··· Suggest Genre Report abuse 0:04 0:00 0 First Drop! 1:20 0 Break 1:58 1 Vocal start 3:00 2 Second Drop 3:20 3
https://www.facebook.com/sharer.php?u=https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-ccm-ni-daraja-hassani.html
null
null
null
null
null
null
Facebook Barua pepe au simu Nenosiri Umesahau akaunti? Jisajili Notice You must log in to continue. Ingia kwenye Facebook Ingia Umesahau akaunti? Fungua Akaunti Mpya Kiswahili English (US) हिन्दी ગુજરાતી العربية Deutsch Italiano Français (France) Português (Brasil) Español 中文(简体) Jisajili Ingia Messenger Facebook Lite Video Maeneo Michezo Marketplace Meta Pay Duka la Meta Meta Quest Ray-Ban Meta AI ya Meta Instagram Threads Uchangishaji Huduma Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura Kanuni ya Faragha Kituo cha Faragha Vikundi Kuhusu Unda Tangazo Unda Ukurasa Wasanidi programu Ajira Vidakuzi Chaguo za Matangazo Masharti Msaada Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji Mipangilio Kumbukumbu ya shughuli Meta © 2024