text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
meshack maganga kinachoitatiza dunia kwa sasa kwa wahitimu wa elimu wavutiweeblycom
zao vijana wa kike na wa kiume waanze kujifunza ujasiriamali kwa vitendo wewe baba na wewe mama wahamasishe watoto wako wajifunze kuwekeza wakiwa wadogo udongo uwahi ungali mbichi na samaki mkunje angali mbichi
mwalimu wangu wa ujasiriamali na uwekezaji robert kiyosaki alipata kusema kwamba 'children do not know what hot means until they touch the stove ' na wewe mwalimu wa chuo ama shuleni wahamasishe wanafunzi wako wasitegemee ajira peke yake (na utakapo kuwa unawahamasisha wanafunzi wako ukumbuke kujihamasisha maana kuna idadi kubwa sana ya walimu wa ngazi zote wanao wafundisha wanafunzi ujasiriamali wakati wao wenyewe hata mabanda ya chips hawana unafundisha nini sasa unamfundisha mwanafunzi ufugaji wa ng'ombe marekani wakati wewe mwenyewe hata mbuzi huna mwanafunzi atapata wapi hamasa )
na wewe mwanasiasa acha kuwadanganya vijana waliopo masomoni kwamba ukiingia madarakani utazalisha ajira za kumwaga (hahahaha we mwenyewe umeajiriwa tena kwa muda na upo bize kuilinda hiyo ajira yako hizo za kumwaga utazitoa wapi think outside the box )
na wewe mwanafunzi unapokuwa chuo ama shuleni usibabaishwe na majina ya makampuni mabenki ama mashirika wengi wetu tunapokuwa chuo tukisikia jina la kampuni kubwa akili zetu zinawaza mishahara ukishaajiriwa hapo unaanza kuuza muda wako kumbuka hata wewe unaweza kuanzisha kampuni kubwa na ukaajiri watu (i believe you are born with the responsibility and the obligation to make a positive impact) uchumi wa dunia utayumba kabisa iwapo kila mtu atakuwa na ndoto ya kuajiriwa there's greatness in all of us
kwakua hatusomi na kujifunza na kuendelea kuwa na mawazo na utamaduni wa old stone age ama niite industrial age tumezalisha imani na mitazamo mingi iliyo hasi kuhusu fedha na maisha kwa ujumla
niliwahi kusoma makala moja ya albert sanga alisema kwamba kiukweli nchi hii imekuwa ikizalisha wasomi bandia kutokana na misukumo hasi wengi wanasoma fani ambazo sio za miito wala karama (talents) zao kwa sababu ya ama matarajio ya upatikanaji wa ajira ama upatikanaji wa mikopo ndio maana watu wanayumbishwa kila siku kwa sababu aliyetakiwa kuwa mfanyabiashara unamkuta kwenye udaktari aliyepewa kipaji cha ualimu unamkuta benki na hayumkini tuna rundo la walimu katika mifumo yetu ya elimu ambao walitakiwa kuwa wanajeshi (yale yale ya mwalimu kuripotiwa kucharaza viboko kwa kutumia waya)
fikra hizi za kusomesha watoto ama kusoma ili kuajiriwa ndizo zilizojaa katika fahamu za watanzania wengi kwa bahati mbaya sana kutokana na mabadiliko ya mifumo ya kisiasa na mabadiliko ya uchumi wa dunia matumaini ya kila anayehitimu masomo yake kuajiriwa yanazidi kuyeyuka siku hadi siku hapa nchini tanzania hadi sasa kuna nafasi chache sana za ajira ikilinganishwa na idadi ya wasomi inayotapishwa na rundo la vyuo vikuu na vile vya kati
ukiacha hilo la ajira kuwa chache bado kuna changamoto kwa wale wanaobahatika kuajiriwa changamoto hii ni kutotosheleza kwa mishahara (na marupurupu) inayotolewa ikilinganishwa na hali ya maisha pamoja na malengo anayokuwa nayo mwajiriwa suluhisho ni ujasiramali huku tukiendelea na ajira zetu
mawasiliano 0713 48 66 36 email meshackmaganga@gmailcom | 2017-10-16T21:56:53 | http://wavuti.weebly.com/news-blog/meshack-maganga-kinachoitatiza-dunia-kwa-sasa-kwa-wahitimu-wa-elimu |
my marriage is flourishing eddy kimani says after changing his cheating ways ⋆ latest kenya gossips today
my marriage is flourishing eddy kimani says after changing his cheating ways
tagged daniel peter harry kimani sanaipei tande
veteran media practitioner eddy kimani has confessed he played a major role in the near collapse of his marriage
in an interview with radio jambo on wednesday eddy said working away from home exposed him to all sorts of bad behaviour that made him stray from his marriage
he said niliweza kupata kazi nakuru ya mwelekezi wa mazungumzo wa kaunti ya nakurunikiwa katika kazi hiyo niliweza jiingiza kwa mambo ambayo hayakuelewekani mambo ambayo yalichangia ndoa yangu kusambaratika
i got a job offer in nakuru where i worked as the head of communications for the county while working there i involved myself in behaviour that played a major role amid my failed marriage
eddy who was born and raised in nakuru said while working in his home town he indulged in alcohol that blurred his decisionmaking and made him cheat on his wife
he said ilifika wakati ambapo niliona kitu cha maana katika maisha yangu ni kunywa pombe hapo ndio infidelity ikaingia pia niliweza kupatikana nikiwa nje ya ndoa na mke wangu ambapo iliwezesha ndoa yangu pia kusambaratika na kisha kuachana na mke wangu
i got to a point where the most important thing in my life was drinking and that is when infidility kicked in i cheated on my wife and this caused our separation
cheating in 2017 eddy lost his job and was forced to go back to living with his mother at the age of 39 because he had nowhere else to go
he said niliweza kurudi kuishi na mama yangu mzazi nikiwa na miaka 39hii ni baada ya kutengana na mke wangu na kila kitu kilikuwa kimeharibika kwa maana sikua na kazi wala pesa na wakati huo huo nilikuwa nimepoteza familia yangu
i went back to living with my mother at 39 years i had no job and money at that timethis was after separating with my wife
his bad behaviour also jeopardised his relationship with his wife and children whom he was separated from for 3 years
read more herehe said uhusiano wangu na familia yangu ulififia sana lakini changamoto nilizopitia zimenifunza kuwa familia ni kitu cha maana sana
my relationship with my family almost came to an end but the challenges i went through made me realise that family is the most important thing
eddy at work
eddy noted that he was blinded by his ego but turned his life around when he met peter a baker from mombasa who helped him turn his life around
he said lakini mtu mmoja aliweza nisaida peter baada ya muda usiokuwa mrefu tuliweza kujuanakumbe alikuwa mwenye duka hilo
nilimueleza nilichokuwa napitia kwa zaidi ya muda wa masaa mannena sikua namjua wala mtambua bali nilimfungulia moyo na kumuambia shida zangu
there is someone who helped me get back on my feet i met petera baker who i was able to open up and talk to him about what i was going through
eddy said peter pushed him to seek marriage counselling with his wife and that they are slowly rebuilding their relationship
our marriage is flourishing i had to change my ways and view about life priorities changed and right now my family comes first
eddy has been in the media industry for 12 years he has worked as a sports journalist at ntv then later went to kbc and capital fm
he said he is making a comeback to the media but did not reveal which company only saying he will will be back on friday
previous post youve been hooked up with 1 million bob what would you do
next post kantai a look back at the man and the music | 2019-05-24T16:49:57 | https://newspartner.net/2019/02/27/my-marriage-is-flourishing-eddy-kimani-says-after-changing-his-cheating-ways/ |
swahili na waswahili nawatakia j'pili njemaburudanibony mwaitege fungua moyowakosisi sote na nyingine
nawe pia uwe na jumapili njema sana na ahsante kwa neno la leo pia burudisho la leo
na wewe pia na leo j3 njema ndugu wa mimi
asanteni sana sana wapendwa | 2017-03-30T06:36:42 | http://swahilinawaswahili.blogspot.com/2012/09/natawakia-jpili-njemaburudanibony.html |
kweli innocent mnyuku 'chinga' amefariki fukuto la jamii
novemba 19 mwaka 2014 saa 511 asubuhi nikiwa ofisini kwangu katika chuo kikuu cha bagamoyo (ub) mikocheni dar es salaam nikiifungua page yangu ya facebook ndiyo nikakutana na taarifa ya tanzia ya kifo cha mwanahabari innocent mnyuku ambayo imewekwa kwenye ukurasa wa mwanadishi wa habari albert kawogo
nilishikwa na butwaa nisiamini mapema taarifa hiyo na kuishia kuchangia katika taarifa hiyo kwa kumwambia kawago kuwa sina utani naye lakini baada ya kuendelea kusoma maoni ya watu mbalimbali katika tanzia ile iliyokuwa na picha ya mnyuku ikabidi nikubali kuwa kweli mnyuku 'chinga' kafariki dunia
pole sote tulioguswa na msiba huu kwa njia yoyote ilepole pia familia yake na wazazi wake
binafsi ni miongoni mwa waandishi wa habari ambao tulifanyakazi na marehemu mnyuku kati ya mwaka 20002003 katika gazeti la mwananchi enzi hizo gazeti la mwananchi ofisi zake zikiwa katika jengo la ccm mkoa wa dar es salaam
mnyuku alikuwa ni mwanadishi wa habari za michezo pamoja na aliyekuwa mkuu wake wa kazi ambaye kwasasa ni marehemu conrad dastan 'kiona mbali ' au mzee wa kamachumu na charles mateso
mimi nikiwa mwandishi wa habari ngumu ' hard news' ambaye nilikuwa nawajibika kwa waliokuwa wahariri wangu revocuts makaranga ambaye kwasasa ni mhariri mwandamizi katika kampuni ya new habari na ambaye alinipachika mimi jina la nyambizi muhingo rweyemamu ambaye ni mkuu wa wilaya ya handeni danny mwakitereko theophil makunga
hata baada ya mimi na mnyuku kuama gazeti la mwananchi na kwenda kufanyakazi katika magazeti mengine tulikuwa tukiendelea kuwasiliana na mnyuku kupitia facebook na kutaniana
mnyuku kama mwandishi wa habari za michezo enzi hizo nitathamini mchango wake wa kazi ya uandishi wa habari kwani itakumbukwa mnyuku mi miongoni mwa waandishi wa habari za michezo wa mwanzo mwamzo kuanza kufanyiakazi gazeti la mwananchi na miongoni mwa waandishi wa habari wahasisi wa kuandisha makala katika gazeti la mwanasport
mnyuku licha alikuwa akiandikia gazeti la mwananchi michezo na lilipoanzishwa gazeti la mwanasport mhariri wa gazeti lile charles mateso pia alinipa koramu ambayo nikawa naandika makala zinazohusua masuala ya uhusiano wa kimapenzi
nitakumbuka vibweka vya mnyuku maana marehemu mnyuku yeye alikuwa ni mfupi basi alikuwa akipenda kutumia neno hili kwa kujiami nanina mjukuu msinione mfupi mkadhani siwezi kunaniii ' tukawa tunacheka
mnyuku alilitumikia taifa hili kupitia karamu yake na hakuna ubishi katika hilo
sina mengi ya kumuelezea mnyuku zaidi ya kusema hivi ' kazi ya mungu haina makosa na uamuzi wa mungu haukatiwi rufaa' hivyo basi mungu ndiye aliyemuumba mnyuku na akamleta hapa duniani na mungu huyo huyo ndiyo ameamua kumchukua mtu wake kwa muda alioutaka yeye licha sisi wanadamu hatujapenda'
mbele wewe mnyuku'chinga' nyuma yako sisi mungu aiweke roho ya marehemu mnyuku sehemu inayostahiliamina | 2017-07-27T16:34:28 | https://katabazihappy.blogspot.com/2014/11/kweli-innocent-mnyuku-chinga-amefariki.html |
kenya @ tumia saraka internet nyobjectoriented page 8 ya 3295
kuunda & haki ya kuzidisha 20102018 wwwtumiaorg lamp kutoa sahifa 0062800 sekunde tribute to mama & nduku | 2020-07-09T20:08:05 | http://www.tumia.org/sw/saraka/en/kitu.php?tiname=Kenya&relationship=All&drsid=0&pisid=0&page=8 |
je ninapataje kuondoa picha ya mungu kuwa wa lazimisho na hasira kutoka kwa akili yangu
swali je ninapataje kuondoa picha ya mungu kuwa wa lazimisho na hasira kutoka kwa akili yangu
jibu labda itasaidia tukizingatia mojawapo ya taarifa nyingi sana katika biblia mungu ni upendo (1 yohana 4 8) hakujawahi kuwa tamko muhimu zaidi kuliko hilimungu ni upendo hii ni taarifa ya kina mungu hapendi tu yeye ni upendo hali yake na kiini ni upendo upendo unazidi uhai wake na huathiri sifa zake zote hata ghadhabu na hasira yake tunapomwona mungu akiwa na hasira inaweza kusaidia kutambua kwamba hasira yake inachujwa kupitia upendo wake mkubwa
inaweza pia kusaidia kuelewa kwamba mungu hajawahi kuwa na hasira na watoto wake wale ambao wamekuja kwa kristo kwa imani kwa msamaha wa dhambi hasira zake zote zilielekezwa juu ya mwanawe mwenyewe msalabani na hatakuwa na hasira tena kwa wale ambao kristo alikufia biblia inatuambia kwamba mungu hukasiririka na waovu kila siku (zaburi 711) lakini sisi ambao ni wa kristo sio waovu sisi ni mkamilifu machoni pa mungu kwa sababu wakati anatuangalia yeye anamwona yesu kristo hakuwa na dhambi lakini mungu alimfanya ahusike na dhambi kwa ajili yetu ili sisi kwa kuungana naye tupate kuushiriki uadilifu wake mungu (2 wakorintho 521) hasira zote za mungu dhidi ya dhambi zetu zilimwagika juu ya yesu msalabani na yeye hawezi kuwa na hasira juu yetu tena kama tumeweka imani yetu katika kristo alifanya hivyo kutokana na upendo wake mkubwa kwa ajili ya walio wake
ukweli kwamba mungu ni upendo hauondoi mahitaji yake matakatifu ya ukamilifu hata hivyo kwa sababu yeye ni upendo alimtuma kristo kufa msalabani mahali petu na hii inatimiza kabisa mahitaji ya mungu ya ukamilifu kwa sababu yeye ni mwenye upendo mungu alitoa njia kwa mwanadamu ili tusitengwa tena na yeye kwa dhambi bali tuweze kuingia katika uhusiano na yeye kama sehemu ya ukaribisho wa familia ya mungu iliyowekwa katika familia hiyo kwa sababu ya kazi ya kristo iliyo kamilika msalabani (yohana 112 524)
ikiwa hata kama tunajua mambo haya bado tunaona mungu kuwa wa hasira na mlazimishi kuna uwezekano kuwa hatujui uhusiano wetu na yeye biblia inatuhimiza jichunguzeni nyinyi wenyewe mpate kujua kama kweli mnayo imani (2 wakorintho 13 5) ikiwa tuna shaka kwamba sisi kwa kweli ni wa kristo tunahitaji tu kutubu na kumwomba kutuokoa atatusamehe dhambi zetu na kutupa roho wake mtakatifu ambaye ataishi ndani ya mioyo yetu na kutuhakikishia kuwa sisi ni watoto wake mara tunapohakikishiwa kwamba sisi ni wake tunaweza kumkaribia kwa kusoma na kusoma neno lake na kwa kumwomba ajidhihirishe kwetu jinzi yeye alivyo mungu anapenda kila mmoja wetu na anatamani kujua kila mmoja wetu katika uhusiano wa kibinafsi yeye ametuhakikishia kwamba ikiwa tunamtafuta kwa mioyo yetu yote tutamwona (yeremia 2913 mathayo 7 78) halafu tutamjua kweli sio kama wa kulazimisha na hasira bali kama baba mwenye upendo na mwenye huruma | 2018-11-20T17:23:16 | https://www.gotquestions.org/Kiswahili/Mungu-analazimisha.html |
fao na kaulimbiu samaki safi maisha bora
uvuvi wa kupindukia ni moja ya tishio kubwa kwa utunzaji wa rasilimali za mabahari na usalama endelevu wa chakula shirika la chakula na kilimo duniani
ni miezi miwili sasa tangu azimio nambari 2319 la baraza la usalama la umoja wa mataifa kupitishwa kuhusu syria lakini bado hali ni mbaya nchini humo amesema valerie amos mkuu wa masuala ya usaidizi wa binadamu kwenye umoja wa mataifa katika sentensi yake ya ufunguzi alipozungumza na waandishi w
lazima mtambue umuhimu wa kushirikiana
nchi za eneo la kaskazini na asia ya kati zimepaswa kutambua kuwa zinawajibu wa kukubali kushirikiana kwani bila kufanya hivyo agenda ya kuwa na maendeleo endeleo inaweza ikawa ndoto kufikiwa
katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban kimoon ametoa wito akitaka kukomeshwa kwa matukio ya mauaji ya raia yanayojiri huko sudan kusin na kusisitiza pia hatua zinazopaswa kuchukuliwa na serikali ili kuwanusuru wananchi wanaendelea kupoteza maisha kutokana na machafuko ya kisiasa yanayoendelea
() remove aprili 2014 filter aprili 2014 | 2020-08-10T16:47:53 | https://news.un.org/sw/tags/economic-development/date/2014/date/2014-04 |
kuba ubuhinzi bwa kawa bwiganjemo abakuze biragabanya icyizere cyahazaza habwo || nonahacom
mineduc ihamya ko icyo kujyana abana mu mashuri yagikemuye
harasabwa izindi ngufu zongera abakobwa biga siyansi
u rwanda rugomba gushingira ku musingi wubumenyi dr munyakazi
published saturday on 11 august 2018 121445 by christophe hitayezu
abahinzi ba kawa barasaba ko leta yagira icyo ikora urubyiruko rugakangurirwa kujya no mu buhinzi bwayo kuko abenshi baburimo ari abakuze bikaba bidatanga icyizere cyo guteza kawa imbere kuko ititabirwa cyane na ba rwanda rwejo
ibi byagarutsweho kuri uyu wa gatanu tariki 10 kanama 2018 mu marushanwa yubwiza bwa kawa ihingwa mu rwanda amaze kumenyerwa ku izina rya cup of excellence awards
hakizimana frederic uhagarariye abahinzi ba kawa mu rwanda avuga ko leta ikwiye gushyiraho gahunda zishishikariza urubyiruko gukora ubuhinzi bwa kawa ati iyo urebye usanga abahinzi ba kawa ari abakuze birakwiye ko nurubyiruko rubikangurirwa kugirango mu bihe bizaza intambwe imaze guterwa ku bwinshi nubwiza bwa kawa yu rwanda itazasubira inyuma
hakizimana frederic uhagarariye abahinzi ba kawa
umunyamabanga wa leta muri minisiteri yubuhinzi nubworozi nsengiyumva fulgence avuga ko ikibazo cyo kuba urubyiruko rutitabira ubuhinzi kizwi agira ati mu rwego rwubuhinzi muri rusange tuzi ko mu bantu bakora mu gihugu 70 bari mu buhinzi tuzi ko abenshi bakuze ari nayo mpamvu tugira gahunda nyinshi zituma urubyiruko rwinjira mu buhinzi twatangiriye ku birayi tujya ku myumbatitujya mu mboga no mu rutoki ariko twari twavuganye nikigo naeb ko no muri kawa hajyamo abana barangije ibintu byubuhinzi nibijyanye na bwo iwabo mu mirenge bagafasha abahinzi aho mu makoperative nibigo bikora ibijyanye nubuhinzi
kawa ni igihingwa ngengabukungu kinjiriza atari make leta uyu mwaka kawa yinjirije u rwanda miliyoni 66 zamadolari ya amerika mu gihe umwaka ushize yari yinjije miliyoni 58 bivuze ko kuva muri nyakanga 2017 kugera muri kamena 2018 hiyongereyeho miliyoni 8 zamadolari ku yo kawa yari yinjije umwaka ushize
hahembwe kawa zihiga izindi
ibirori byo guhemba kawa nziza byabanjirijwe namarushanwa yabategurira abakiriya ikawa yo kunywa aho zicururizwa uwa mbere yabaye aiden miller ufite inzu icuruza ikawa itunganyije mu karere ka musanze
mukamana leoncie wo mu karere ka nyaruguru avuga ko yari azi ko kawa nubwo ayihinga ari iyabanyamahanga ashimishwa no kubona aho bayitunganya ndetse akayinywaho bwa mbere
nyuma hakurikiyeho guhemba abatsinze mu marushanwa ya cup of excellence nyiri izina mu barushanyijwe bagera kuri 26 abambere babaye twumba coffee yi karongi cooperative mayogi yi gicumbi iba iya kabiri naho murundo cws yi nyamasheke itsindira umwanya wa gatatu
aba mbere aba kabiri naba gatatu mu ifoto rusange nabayobozi
amarushanwa ya cup of excellence aba buri mwaka ubu ni ku nshuro ya 10 yari abaye mu rwanda ni amarushanwa afite intego yo guteza imbere kawa cyane cyane mu bwiza ndetse no gukangurira abanyarwanda kuyinywa
aba ni bamwe mu bahinzi ba kawa ariko iyi ni inshuro ya mbere bayisomyeho
kuwa 12/11/2018
kuwa 11/11/2018
kuwa 9/11/2018
kuwa 8/11/2018
rweru ahari hateganyirijwe ibigori hatewe ibishyimbo kubera kubura imvura
cladho irifuza impinduka ku cyuho kikigaragara muri gahunda zubuhinzi nubworozi
kuwa 7/11/2018 | 2018-11-14T03:03:52 | http://nonaha.com/kuba-ubuhinzi-bwa-kawa-bwiganjemo-abakuze-biragabanya-icyizere-cy-ahazaza-habwo |
kupanda na kushuka kwa yondani mwananchi
baada ya kutamba katika soka la tanzania kwa takribani miaka 13 ni wazi kwamba zama za nyota wa yanga na timu ya taifa taifa stars zinaelekea ukingoni
uamuzi wa benchi la ufundi la yanga kumuanzisha benchi beki huyo mwenye umri wa miaka 36 katika mchezo wa mechi ya watani wa jadi dhidi ya simba uliochezwa machi 8 uwanja wa taifa dar es salaam inaweza kuwa ishara ya hitimisho la enzi kwa beki huyo mzaliwa wa jijini mwanza | 2020-04-03T10:29:21 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/Makala/spoti-mikiki/Kupanda-na-kushuka-kwa-Yondani/1597446-5501702-jy95fu/index.html |
afisa tarafa elerai aagiza wezi wa mboga wakamatwe msumba news blog
afisa tarafa wa elerai titho cholobi ameagiza wezi walioba mboga mboga katika bustani ambazo ni mradi unaofadhiliwa na tasaf katika eneo la shule ya msingi lemara wakamatwe na kuchukuliwa hatua kwani wamehujumu fedha za serikali zinazotolewa kwa ajili ya kusaidia kaya masikini ziweze kujikwamua kiuchumi
akizungumza katika ziara yake ya kutembelea miradi inayotekelezwa na serikali ikiwemo mradi wa ujenzi wa nyumba ya walimu katika shule ya msingi lemara ambayo bado haijakamilika pamoja na mradi wa kilimo cha mboga mboga unaofadhiliwa na tasafafisa huyo ameshangazwa na kitendo hicho ambacho kinawakatisha tama kinamama wanaolima bustani hizo pamoja na wawezeshaji wa mradi huo
titho amesema kuwa mradi huo hauna haja ya kuwekewa mlinzi maalumu kwani utaongeza gharama za utekelezaji hivyo polisi jamii wanapaswa kuulinda mradi kwa kushirikiana na wananchi kwani fedha hizo ni za serikali pamoja na wadau wa maendeleo
hata hivyo ameuagiza uongozi wa kata kukutana na kujadili juu ya namna ya kuwashirikisha wadau wa maendeleo katika kumalizia miradi ambayo bado haijakamilika ili iweze kukamilika ikiwemo ujenzi wa nyumba ya walimu katika shule hiyo ya msingi
mwantumu jumanne ni moja kati ya kinamama wanaolima bustani hizo kati ya wanawake 26 ameeleza kuwa usiku wa kuamkia leo wameamka na kukuta tuta moja la mboga limevunwa kabla ya muda wake majira ya saa tisa usiku jambo ambalo linawaumiza na kuwakatisha tamaa ya kuendelea na mradi huo
mtendaji wa kata ya lemara johari kitara amesema kuwa mradi huo ulianzishwa na tasaf kwa lengo la kuwakomboa kinamama ili wapate kipato na kujiendeleza hivyo changamoto hiyo itashughulikiwa
hadi tunaondoka eneo la tukio tayari watu wawili wamekamatwa na polisi na wamefikishwa kituo cha polisi kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu tuhuma za wizi wa mboga | 2019-09-23T07:23:30 | http://www.msumbanews.co.tz/2019/08/afisa-tarafa-elerai-aagiza-wezi-wa.html |
buy full of glory online at best prices sweets bikanerwala
about full of glory
this gift hamper includes bikano bikaneri bhujia bikano cornflakes mixture bikanervala kaju dhoda bikano chocolate cookies and chocolates
bikano bikaneri bhujia(200 gm) bikano cornflakes mixture(200gm) bikanervala kaju dhoda(500 gm) bikano chocolate cookies(400 gm) and chocolates(70gm)
1080gm | 2017-12-15T23:35:09 | http://www.bikanervala.com/full-of-glory-596.html |
tupeane mawazo wapendwa | jamiiforums | the home of great thinkers
tupeane mawazo wapendwa
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by maty apr 21 2011
huwa najiuliza mara nyingi lakini nakosa jibu zuri naomba nipate mawazo tofauti tofauti inaweza kutusaidia wengi wetu
wanandoa wengi hasa wa miaka ya sasa wakikorofishana korofishana baada ya muda wanachoamua ni tuachane bwana kila mtu ataanza nataka niishi kwa amani nahitaji furaha mimi maisha yenyewe mafupi haya ukute hiyo ndoa baba msomi ana kazi nzuri na mama vile vile ndio balaa kila mtu anasema usinibabaishe ninaweza kumudu maisha
hapo kuna watoto mmezaa lakini kila mtu utamsikia napenda kuishi kwa amani ni vipi kuhusu watoto je hao hawatakiwi kuishi kwa furaha na amani wakiwa na baba na mama hivi hamuwezi kukaa mkazungumza na kuelewana ili mlee watoto pamoja badala yake mnafikiria kuachana
hivi kuachana ni suluhisho la matatizo yako na je ukiachana na mwenzio ndio kusema hutaki kuoa/kuolewa tena na je ukioa/olewa halafu huyo mwingine akawa na matatizo pia pengine kuliko uliyoyakimbia mwanzo utaachana nae pia au utavumilia
tushirikiane kupeana mawazo wandugu
usipoachana utakuwa na nyumba ndogo
usipoachana utakuwa na nyumba ndogoclick to expand
mmmh kazi ipo
mmmh kazi ipoclick to expand
tena kubwa si mchezo
tushirikiane kupeana mawazo wanduguclick to expand
kama umegundua mwenzio sio chaguo lako sahihi mnaachana tu kila abebe chake kuliko kukaa mnasoneneka
maisha mtu inabidi aishi kwa fraha na amani tele sio kuishi kama digi digi
ukiona umepata mme anakula bwibwi na wewe hupendezewi na tabia hizo piga chini tafuta chaguo lako sahihi
nyumba ndogo inahusika kushape nyumba kubwa kwa taarifa yako
mie naungana na wanotaka kuachana mambo yanapokuwa magumu kwani maisha ya kuteseka c mazuri wakati unaweza kuishi kwa furaha
kuhusu watoto hiyo itakuwa ndio historia yao but as long as nitataka kuishi maisha yanayo rizisha na wanagu ntajitahidi waishi hivyoamen
siyo suluhishonmnazungumzayanaisha
degree ya uvumilivu kwenye ndoa ni ndogo sana kwa maisha ya sasa
ukizingatia wana ndoa wengi wana'jua' haki zao na hakuna anayetaka kujiweka chini
haya yote nadhani yameletwa na utandawazina hii kitu equality wanawake tunaililia pia i think inachangia kwa namna moja au nyingine
hakuna mwanamke wa siku hizi anataka kunyenyekea wote wana/tuna penda kujilinganisha na wanaume
mbaya zaidi ukikuta mdada kasoma ndo kabisaa hapo ni maswala ya 'nini nini usinichoshe nisikuchoshe nataka amani'
tofauti na mama zetu walikuwa ni wanyenyekevu wazuri sana na wao pia walikuwa wanaangalia consequences za kuachana kwa watoto
lifestyle imebadilika generation hii ni selfish haiangalii watoto
in a nutshell anayeweza kuifanya ndoa iendelee kuwepo ni mwanamke na mwanamke wa sasa si mvumilivu
ukute hiyo ndoa baba msomi ana kazi nzuri na mama vile vile ndio balaa kila mtu anasema usinibabaishe ninaweza kumudu maisha
ndoa nyingi za wasomi ndio huwa zina matatizo na matatizo mengi kwa kiasi kikubwa huwa yanasababishwa na akina mama tena kama mama ana elimu kubwa au ana uwezo mkubwa wa kipesa kuliko baba hapo tena ndo balaa ule ubaba unakuwa hauna maana kabisa mama ndo atataka kutawala nyumba ukisema hiki jibu lake usinibabaishe na visa kedekede jaribu kufanya kautafiti kadogo tu hata viongozi na wasomi wengi wanawake aidha huwa hawana waume au ndoa zao huwa zina migogoro mikubwa sana ninayo mifano mingi sana ambayo nimeishuhudia mimi mwenyewe ya wanandoa ambao mama aidha ana uwezo na elimu kubwa kuliko baba au wako sawa wengine huwa wanafikia hata hatua ya kulala vitanda tofauti asubuhi kila mtu anaondoka na gari yake japo wanafanya kazi ofisi moja basi ilimradi vurumai akina mama/dada jirekebisheni (siwatuhumu) fedha na elimu haviwezi kununua mapenzi
tunarudi kulee
je mlioana kwa ajili gani
pesamlilazimishwa matatizo upendo wa kweli etc
na kitu kingine kinacho changia
ni uhuru na sheria zinazotulinda
ni ile unaniletea uzushi na mwita lawyer wangu
system ziko hapo kutulinda lakini cheki tunavyo chukua advantage
sababu nyingine ni kuwa mroho/selfish
mmezaa mnafamilia lakini bado unataka
kuishi maisha ya mtu singo nimesema
selfish sababu watu hawataki ku comprise vitu
fulani maishani na anajua hichi kitu kinaweza kusambaratisha
ndoa yangu
kuna sababu nyingi tu
dahh ndoa nyingi usanii +show off
nyumba ndogo inahusika kushape nyumba kubwa kwa taarifa yako[/quote
jamani jamani jamanihivi wewe fidel180 upo over 18 kweli
hili jibu laweza kuwa jibu tata la kwanza kwangu kwa mwaka huu
kivipi
ila bado nina mashaka sana na age yako
nahisi bado upo kwenye ile age ileeeeeeeeee
wakubwa wezangu nahisi mtanielewalolclick to expand
nyumba ndogo inahusika kushape nyumba kubwa kwa taarifa yakoclick to expand
jamani fidel umeanza ae
kaniletee fimbo ukileta nyembamba
wajia nini kitatokea mmmhhh
haisaidii kabisa nikwambie hata nyumba kubwa nayo siku hizi imekosa masters ya uvumilivu
mapenzi ya siku hizi uongo/udanganyifu mwingi
tamaa imetawala kuliko upendo wa kweli
mke/mume mnajaribu kuongea haisaidi hakuna mabadiliko
unavumilia miaka na miaka mwishowe unapata
matatizo ya kiafya kwa nini usubiri upate ugonjwa wa moyo
bora kila mtu kuchukua hamsini zake
maty nimependa mawazo yakoivi mtu anapokupa psychological abuse kila wakati ina maana kweli kuendelea kukaa na mtu huyo sababu ya watoto tu mpaka siku utakapokuwa kichaa usemee unavumilia
nilidhani lbd ndoa za kilokole zinaweza kuwa na unafuu
hivi juzi tu hata mwezi haujaisha dada mmoja mpiganaji kweli kweli na mwanamaombi aliolewa na kk mmoja mlokole mwenzie kweli harusi ilikuwa nzuri wiki ile niliyofiwa akaja kunipa pole akiwa na mama mmoja mchungaji rafiki yangu baada ya kuona muda umeenda sana nilimuuliza nawewe unakesha akasema ndio nikamuuliza shemeji vipi hata kasirika akasema tumeshaachana nilishika mdomo
kumbe nasikia walitengana baada ya week 2 tu yule mama mchungaji aliniambia kuwa baada ya tu ya siku 2 za ndoa akaanza kusuluhisha kesi zao mpaka mwisho amechoka
nikasema duh kwakweli kuna haja ya kuendelea kuwa single mpaka kieleweke
dah mawazo yenu niliyoyapata hapa inaonyesha ndoa ni ngumu sana asee
nikasema duh kwakweli kuna haja ya kuendelea kuwa single mpaka kielewekeclick to expand
hapa ndio nimechoka kabisa lol | 2017-07-25T21:04:35 | https://www.jamiiforums.com/threads/tupeane-mawazo-wapendwa.128699/ |
ofisi ya rais tume ya mipango yakagua mradi wa makaa ya mawe ngaka ~ machellah blog ' if(imglength>=1) { imgtag = '
ofisi ya rais tume ya mipango yakagua mradi wa makaa ya mawe ngaka
posted by michael machellah on 609 am
mtaalam wa kudhibiti ubora bw boscow r mabena akitoa maelezo namna ambavyo coal briquett machine (pichani) hutumika kubadili makaa ya mawe kutoka hali yake ya mwanzo baada ya kuchimbwa na kutengenezwa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani
viongozi na maofisa kutoka ofisi ya rais tume ya mipango na ndc wakiwa katika picha ya pamoja na wataalam wa kampuni ya tancoal ndani ya mgodi wa makaa ya mawe kampuni ya tancoal ndiyo inayohusika nauchimbaji wa makaa ya mawe katika mradi wa mkaa ya mawe ngaka picha na thomas nyindo ofisi ya rais tume ya mipango | 2018-02-19T07:53:19 | http://machellah.blogspot.com/2014/07/ofisi-ya-rais-tume-ya-mipango-yakagua.html |
bomba la gesi martin vrijland
tag bomba la gesi
mjumbe wa nato uturuki anafunga mikataba na urusi na vyombo vya habari kubaki kimya kama kaburi
filed katika maelezo ya news by martin vrijland mnamo 10 oktoba 2016 • 7 maoni
haina maana kabisa kwa vyombo vya habari vya kawaida kwa jina la ujumbe mkuu wa kirusi ambao ulikwenda istanbul leo kukamilisha mpango wa gesi wa turkstream pia walikubaliana kuwa uhusiano na urusi haraka iwezekanavyo katika kiwango cha kabla ya mgogoro na ndege ya mpiganaji kirusi aliyepigwa na uturuki []
uturuki vita nchini syria dhamana ya upya na russia na uhusiano unaosababishwa na nato
filed katika maelezo ya news by martin vrijland mnamo 10 agosti 2016 • 2 maoni
ilikuwa ya ajabu kuona jinsi usiku jana newsuur alijaribu kupungua kwa ziara ya rais wa kituruki erdogan kwenda urusi ilibidi kuonyeshwa lakini haikuwa kitu kuu ilikuwa muhimu zaidi kuonyesha wachache mark rutte ambaye alitembelea baghdad anastahili nani mark rutte ambaye anaruhusu []
bomba la gesi la turkstream linatoa uturuki nguvu zaidi juu ya ulaya
filed katika maelezo ya news by martin vrijland mnamo 10 agosti 2016 • 0 maoni
wakati vyombo vya habari tawala kuwa kutokana na kwamba uhusiano kati ya urusi na uturuki walikuwa waliohifadhiwa baada ya kupigwa risasi ya mpiganaji urusi katika novemba 2015 inaonekana kwenye tovuti ya ujenzi wa gesi turk stream kuwa kuchelewa hisia ingawa vyombo vya habari vinasema kuwa warusi hujenga []
ziara zote 4085331
maandamano juni 21 willem engel maumivu ya mordechay kris siasa ya jeroen upuuzi wa virusi na nini kitatokea
martin vrijland op kitabu kipya martin vrijland kilichoitwa 'coronavirus covid19 hii inaishia wapi' inapatikana sasa
harald pfeiffer op kitabu kipya martin vrijland kilichoitwa 'coronavirus covid19 hii inaishia wapi' inapatikana sasa
marianne op kitabu kipya martin vrijland kilichoitwa 'coronavirus covid19 hii inaishia wapi' inapatikana sasa
mshikamano op jumapili juni 28 maandamano malieveld upendo uvumilivu na imani wavu wa usalama wa wazimu virusi | 2020-07-02T15:26:40 | https://www.martinvrijland.nl/sw/tag/bomba-la-gesi/ |
upole august 2012
the great inspirators tuwasifu wakiwa hai bado
mzee ambepwile mwakapasa aka mfugaji kijiji cha isange tukuyu
they inspired me to love community development
ni katika kutafakari misimamo na mitazamo ya wazee hawa nikajiwa na falsafa ya ing'eng'eesi kimombo bamboo bee hana sifa sana za kuweza kuruka lakini anaruka sana tu
ndipo nilipopata picha kwamba kazi za kujiolea ni sawa na bomba la majihaliyanywi maji hayo lakini hupoozwa nayo
it is from them that i learnt to love community development work god bless these great men of isange village tukuyu mbeya tanzania (shukrani nyingi kwa hezekia mwalugaja wa hocet kwa picha hizi) la sivyo nisingeweza kupata kuwashukuru wazee wangu hawa wangali haipamoja na hawa katika kundi hili yuko john mwalugaja mwasakujonga na ben mwakanyamale(hawako pichani) mungu awabariki
mzee ahadi lufingo mwakibete (tshirt nyeusi) isange tukuyu
mzee robert mwakasendo aka mwenyekiti (kushoto) isange
dar na miji mingine ingekuwa yatima leo hii sensa njema
utaratibu wa sensa usingebadilika dar na miji mingine ingekuwa yatima leo hii
siku zile amri ilitoka kwa kaisari augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote (sensa) wa ulimwengu (nchini mwake) orodha hii ndiyo ya kwanza iliyoandikwa hapo kirenio alipokuwa liwali wa shamu watu wakaenda kuandikwa kila mtu mjini kwao yusufu naye aliondoka galilaya toka mji wa nazareti akapanda kwenda uyahudi mpaka mji wa daudi uitwao bethlehemu kwa kuwa yeye ni wa ukoo na jamaa ya daudi ili aandikwe pamoja na mariamu mkewe ambaye amemposa naye ana mimba ikawa katika kukaa huko siku zake za kuzaa zikatimia akamzaa mwanawe kifungua mimba akamvika nguo za kitoto akamlaza katika hori la kulia ngombe kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni luka mtakatifu 2 1 7
haya wandugu hesabiweni enzi za wenzetu ingebidi dar es salaam kwa mfano ibaki na watu wachache tu
jikumbushe kuhusu sense nchini
sensa ya kwanza tanzania ilifanyika mwaka 1910 sensa nne za mwisho zilifanyika baada ya uhuru katika miaka ya 1967 1978 1988 na 2002
kulingana na sensa ya mwisho iliyofanyika mwezi agosti 2002 idadi ya watu nchini tanzania ilikuwa 34443603
waziri mkuu pinda alipozindua uhamasishaji wa sensa ya watu na makazi 2012
matokeo ya sensa ya watu 19672002 na makadirio kati ya mwaka 20032025 mwaka idadi mwaka idadi
1967 12313469
1978 17512610
1988 23095885
2002 34443603
2003 34859582
2004 35944015
2006 38250927
2009 41915880
2010 43187823
2012 45798475
2015 49861768
2020 57102896
2005 37083346
2025 65337918
rais kikwete alipohutubia taifa kuhamasisha ushiriki katika sensa jana picha kutoka twita ya haki ngowi
kinjekitile ngware wa majimaji atiwa nguvuni na wajerumani
ni leo (agosti 24) katika historia yetu
rais kikwete lipozindua mnara wa kumbukumbu ya mashujaa wa maji maji agosti 2010 huko kilwa
mwaka 1905 wajerumani walimkamata mtanzania aliyekuwa chimbuko la ujasiri wa wana wan chi katika kuukabili uvamizi wa wageni toka ujerumani huko kusini mwa tanzania enzi hizo huyu si mwingine bali kinjekitile ngware hatimaye madhalimu haya yalimnyonga shujaa na mwanafalsafa wa kitanzania kinjekitile ngware tena yalimnyonga hadharani huko muhoro rufiji
jikumbushe baadhi ya matukio muhimu kuhusu vita vya maji maji
agosti mosi 1905 vita ya maji maji dhidi ya wajerumani iliyokuwa imeanza mwaka huo ilienea na kuyahusisha maeneo ya songea masasi mtwara lindi rufiji na maeneo mengine ya ukanda wa pwani ya bahari ya hindi nchini
baadhi ya mashujaa wa maji maji wakiwa wametekwa na madhalimu ya kijerumani
agosti 5 1905 wapiganaji wa maji maji walishambulia misheni ya kanisa katoliki nachingwea na kumwua askofu cassian speiss huyu alikuwa askofu wa kwanza wa kanisa katoliki jijini dar es salaam kifo kilimfika askoofu huyo akiwa safarini kueneza dini huku mukukunumbu nachingwea
agosti 14 vita kali na vilivyoua watu wengi vilipiganwa huko liwale nachingwea kati ya wapiganaji wa maji maji na majeshi ya wajerumani vita hiyo ilipiganwa kufuatia kushambuliwa kwa boma ya wajerumani ya liwale
septemba mosi kitete kiliwapanda wajerumani maana mashambulizi ya wazalendo yalikuwa makli san asana sana hivyo wajerumani walipiga simu nyumbani kwao ujerumani wakiomba majeshi ya ziada ili kuzatiti mapambano yaliyokuwa yakiendelea
chanzo kikuu mwanahistoria j e makaidi | 2017-12-18T12:32:25 | http://upolesana.blogspot.com/2012/08/ |
> katibu mkuu chadema sharti la kuripoti kwa rpc ni gumu msumba news blog
home siasa katibu mkuu chadema sharti la kuripoti kwa rpc ni gumu
katibu mkuu chadema sharti la kuripoti kwa rpc ni gumu
katibu mkuu wa chadema dr vincent mashinji amesema sharti la kuripoti kituo kikuu cha polisi central ni gumu kulingana na kazi wanazozifanya
dr mashinji ameyasema hayo leo april 20 2018 baada ya yeye na viongozi wenzake wa chama hicho kuripoti kituoni hapo ikiwa ni sehemu ya sharti la dhamana walilopewa na mahakama ya hakimu mkazi kisutu
akizungumza na waandishi wa habari dr mashinji amesema iliamuriwa na mahakama kila siku ya ijumaa turipoti kwa rpc hapa central polisi ikiwa kama sehemu ya sharti la dhamana tulilopewa mahakamani kwenye ile kesi yetu inayojumuisha watu 9
kimsingi ukiangalia ni sharti gumu kwani nature ya kazi zetu inatutaka kusafiri kwenda kujenga chama hivyo tunashindwa ila kwa vile ni amri ya mahakama lazima tutekeleze kwani ndio inatenda haki dr mashinji
pia dr mashinji amesema kama mahakama itaridhia kuwaondolea sharti hilo itawasaidia sana | 2018-11-21T12:27:40 | http://www.msumbanews.co.tz/2018/04/katibu-mkuu-chadema-sharti-la-kuripoti.html |
vatican rasilimali watu na maliasili afrika itumike kwa maendeleo endelevu | vatican news
idhaa ya kiswahili (14/09/2019 1800)
vatican rasilimali na utajiri wa afrika viwe ni kwa ajili ya maendeleo fungamani ya binadamu (afp or licensors)
vatican rasilimali watu na maliasili afrika itumike kwa maendeleo endelevu
leo hii bara la afrika limegeuka kuwa uwanja wa mapambano ya vita mahali ambapo makampuni makubwa yanakwapua utajiri wa nchi za kiafrika pasi na huruma hata kidogo na matokeo yake ujinga umaskini na magonjwa yanaendelea kuwaandama watu wa afrika
bara la afrika limebahatika kuwa na utajiri mkubwa wa mali asili lakini kwa bahati mbaya utajiri wa madini barani afrika umekuwa ni chanjo kikuu cha majanga vita na umaskini kwa familia ya mungu barani afrika utajiri huu kama ungetumika vyema ungeweza kuwa ni kichocheo kikuu cha maendeleo endelevu na fungamani barani afrika leo hii bara la afrika limegeuka kuwa uwanja wa mapambano ya vita mahali ambapo makampuni makubwa yanakwapua utajiri wa nchi za kiafrika pasi na huruma hata kidogo na matokeo yake ujinga umaskini na magonjwa yanaendelea kuwaandama watu wa afrika
hii ni changamoto ambayo imetolewa hivi karibuni na askofu mkuu bernardito auza mwakilishi wa kudumu wa vatican kwenye umoja wa mataifa wakati baraza la usalama la umoja wa mataifa lilipokuwa linajadili kuhusu amani na usalama uimarishaji wa vikosi vya kulinda amani vya umoja wa mataifa ambavyo kati yao saba vinatekeleza dhamana hii katika nchi za kiafrika vikosi hivi vinapaswa kuimarishwa ili kusaidia mchakato wa kudumisha amani kuwalinda raia na mali zao pamoja na kusaidia jitihada za upatanisho na umoja wa kitaifa ili amani iweze kutawala wanawake wanapaswa pia kushirikishwa kikamilifu katika harakati za kulinda na kudumisha amani kwani wao wanao uwezo wa kujenga madaraja yanayowakutanisha watu
wanajeshi wa vikosi vya kulinda amani vya umoja wa mataifa ni watu wanaotekeleza wajibu wao katika mazingira magumu kiasi hata cha kuhatarisha usalama wa maisha yao hawa ni watu wanaojisadaka na wanapaswa kutambuliwa na jumuiya ya kimataifa licha ya changamoto mbali mbali wanazokumbana nazo katika operesheni za kulinda amani sehemu mbali mbali za dunia umoja wa mataifa hauna budi kuongeza rasilimali fedha na vitu ili kuzuia vita na kuimarisha amani na maridhiano kati ya watu jumuiya ya kimataifa haina budi kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kukabiliana kwa pamoja na changamoto hizi
askofu mkuu bernardito auza anasema bara la afrika linahitaji maboresho makubwa katika sekta ya elimu ili kuendeleza karama na vipaji vya watu wa mungu kutoka afrika ili hatimaye waweze kujengewa uwezo wa kupambana na hali pamoja na mazingira yao bila elimu makini bara la afrika litaendelea kunyonywa na kugeuka kuwa ni uwanja wa vita na majanga baba mtakatifu francisko aliwahi kusema kuna mataifa na makampuni makubwa yanayokwapua utajiri wa afrika na wala hayana nia hata kidogo ya kuweza kuliendeleza bara la afrika
22 november 2018 1352 | 2019-09-16T10:04:23 | https://www.vaticannews.va/sw/vatican-city/news/2018-11/bernardito-auza-ulinzi-usalama-barani-afrika-umoja-mataifa.html |
is sex addiction real | jamiiforums | the home of great thinkers
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by kikungu oct 25 2012
does sex addiction exist mie sio medical doctor wala sio psychologist lakini uzoefu wangu katika maisha nimekutana na watu ambao wako addicted na sexila kwa ukweli sijui kama kuna solid diagnostic criterion that exists with regard to sex addiction na wala sijui kama ni mental health disorders or just behaviourila tunajua kwamba kuna watu wanatabia zao tofautizaweza kuwa tabia nzuri au mbaya sex addiction yawezakuwa moja ya tabia hizo lakini kusema sex addiction ni tabia nzuri au mbaya ni kitu ambacho naomba tukiongelee hapa kama greater thinkers
nilibahatika kuwa close na bibi mzaa baba(rip) na tulikuwa tuna ongea mambo mengi na kwa ufupi naweza sema bibi yangu alinipeleka jando kwa busara zake kuhusu maisha kwa jinsi alivyomuona mumewe(rip) na tabia zakena moja ya mambo ambayo bibi sijui kama alikuwa anasifia au anabeza ni tabia ya mumewe kupenda sex kupita kiasiyaani bibi anasema alikuwa anachezea mpododo hata mara tano kwa siku kama babu akiwepo nyumbani siku nzimampaka ilifikia bibi alikimbia kurudi kwao kwa muda kwani ilikuwa too much
to be honestam not creating an idea that if you seek out too much sexual pleasure you are doing something unhealthy or even wrong but also depends on someones backgroundbeliefsvalues etc or multiple cheating while in commited relationship or having multiple partners can constitute an addiction too
wana jf hebu naomba tushare uzoefuinawezekana partners/bfs/gfs/husbands/wives wana seek out too much sexual pleasure kutoka kwako na je unaenjoy hiyo hali na je ni addiction kwako wewe ambae unafanya au wewe upande wa pili wa shilling
nawatakia idd alhajj njema kesho
kuna watu wanapenda ngono kuliko hata oxygen
kuna mwanamme mmoja sasa ni mzee lakini tangu nimfahamu kwa mwaka alikuwa anabadili wanawake si chini ya 400 sasa ukipigia na umri wake wa kungonoka labda miaka 30 utaisoma namba
hata kama madaktari hawajachunguza nina uhakika kuna kitu katika hawa watu
haiwezekani mtu ashindwe kujizuia kabisa
siku zingine hadi analala na wanawake wawili chumba kimoja hii si kawaida aisee
kuna watu wanapenda ngono kuliko hata oxygenkuna mwanamme mmoja sasa ni mzee lakini tangu nimfahamu kwa mwaka alikuwa anabadili wanawake si chini ya 400 sasa ukipigia na umri wake wa kungonoka labda miaka 30 utaisoma nambahata kama madaktari hawajachunguza nina uhakika kuna kitu katika hawa watuhaiwezekani mtu ashindwe kujizuia kabisasiku zingine hadi analala na wanawake wawili chumba kimoja hii si kawaida aiseeclick to expand
yah kuna watu wako adicted na ile kitu usipime
yah kuna watu wako adicted na ile kitu usipimeclick to expand
hiyo kitu ni noma mkuu
hata malaya alizaliwa na bikra
kweli maana utamu ni balaaaa
rais miaka ile alisema hiv/aids imeangukia pabayawaliooa wengi addicted wasiooa wanatamani waoena mkipendana kila siku mnadunguana hadi siku zetu zileeee mnapumzika
kama ilivyo bia kwa wachangia mapatolazima wanywe mvua inyeshe jua kali nk hata sex pia ni kawaida sana kuwa addicted kwa ke na me lakini zinatofautiana kutokana na tabia
alafu sex adiction ni inverse propotional to alcoholism yaani watu wasikunywa wanapenda kudinyana haoooo coz ndo starehe yao kubwa haswaa watu wa dini wasiopenda ya dunia basi akikuoa ujue kazi umepataaa kutwa mara 3 kama dozi ya dawa (ni mtazamo binafsi sio msimamo wa jf wadau hamkawii kunipa za uso)
sie wanywaji na walevi shurti utafute stimu kwanza ndo zile mambo zikoleeee mahali yake ( oooooopppppps nilisahau kama mimi ni unused the boss)
sie wanywaji na walevi shurti utafute stimu kwanza ndo zile mambo zikoleeee mahali yake ( oooooopppppps nilisahau kama mimi ni unused the boss)click to expand
hehehe nilimwambia wife naacha pombe jioni kurudi nakuta fridge limejaa kesto kucheki store kuna kama kreti na nusu hivi mbichiiii hazijaguswa kuingia bafuni kutoka nakutana na mug inatoa jasho imejaa kesto iko mezani chumbani alafu yeye hayuko sikuiacha niliipiga fastakabla sijapoa nikakamata ya pili alafu ya tatu ndo nikavalia nguo sasa
kumuuliza akasema alinipenda nikiwa nakunywa hivyo shurti niendeleee akasema kama naacha basi kuna kilevi kingine nimegundua
adje all status k2 kutiana nkubudulishana nakupeana maradha flan mwilin ila icwe kelo kwampenz wako yang hayo
mungu niepushie mbali huu ulevi
mi natamani kiu yangu iwe mara moja kwa mwaka
unanena
maana sijakuelewa unaongea kiyunani au kigalatia
nyangario said
adje all status k2 kutiana nkubudulishana nakupeana maradha flan mwilin ila icwe kelo kwampenz wako yang hayoclick to expand
hata malaya alizaliwa na bikraclick to expand
khaaa misemo gani hii jamani
siku zingine hadi analala na wanawake wawili chumba kimoja hii si kawaida aiseeclick to expand
umesema kweli kongosho kuna watu yaani kabisa hawezi kupitisha siku bila kugonoka lakini sasa sio tabia mbaya kama anaegonoka nae ni mke wake kwa mtazamo wa kidinina hata sio tabia mbaya kama anagonoka na mtu yoyote kwa mtazomo usio wa kidiniila swali is this wrong or unhealthy kwake mwenyewe na kwa watu wanaomzungukawalimu gfsonwin na snowhite hebu njoni mtupe uzoefu wenu kwenye hili
mi natamani kiu yangu iwe mara moja kwa mwakaclick to expand
hehehe smilesasa na shemeji si atakukimbiaalafu kama avatar yeko inavyojieleza hapo ni ngumu sana yeye kukuvumilia
wapo kuna mwanaume namjua anaweza fanya asubuhi mchana jioni kwenye gari kichochoroni na yoyote yule hachagui habaguimwanzoni tulimshangaa baadae tukaja hundua ni ugonjwayaani addicted
ingekuwa pombe zinaruhusiwa kazini ofisi nyingi zingekuwa na grocery
huyo mtu bado yuko hai kweli
kweli maana utamu ni balaaaaclick to expand
mzabzabsasa huu utamu tunaoupata ukizidi kuutafuta au wingi wakeis it unhealthy or wrong kwa mtazamo wowote ulehebu tupe uzoefu wako | 2016-12-05T10:39:40 | http://www.jamiiforums.com/threads/is-sex-addiction-real.344313/ |
lowassa usihutubie kumbukumbu ya nyerere wilaya ya mwanga | jamiiforums | the home of great thinkers
lowassa usihutubie kumbukumbu ya nyerere wilaya ya mwanga
discussion in 'jukwaa la siasa' started by mwikimbi oct 12 2012
kuna habari ndani ya gazeti la mwananchi kuwa lowasa waziri aliyejiuzulu kwa ajili ya kashfa atahutubia katika kumbukumbu ya miaka 13 ya kifo cha mwalimu huko lambo islamic high school wilayani mwanga tuaambiwa kuwa atatoa mada kuhusu elimu na ajira
ninamshauri lowasa asishiriki kabisa kwenye hafla hii ya kumkumbuka mtu ambaye watanzania walimliilia sana kwa sababu zifuatazo
1 mwalimu mwenyewe hakuridhika na uadilifu wa mtu huyu lowasa tangu akiwa hai alimkataa kata kata asiwe mmojawapo wa wagombea kiti cha urais wakati ule wakati huo lowasa hakuwa na ukwasi wa kutisha kama alivyo nao leo lakini jitihada za kujimbilikizia mali mwalimu aliziona dhidi ya mtu huyu
2 wakati huu wa kuelekea kumalizika kwa chaguzi ndani ya ccm lowasa amekuwa gulio kubwa la kununua kura kuangusha wale ambao ni tishio kwake mbaya zaidi wale ambao anadhani wanajua uchafu wake huu lowasa amemaliza safari ya kununua wananchama wake wa ccm sasa ameanza safari ya kuandaa mtaji wa kununua watazania wote pesa anazo kupitia symbions anakovuma 145m kwa siku acha vodacom kupitia alphatel na wizi mwingine kupitia wapambe wake akina rostam nk
3 kwa uadilifu wa mwalimu mtu huyu asingethubutu kamwe hata kulisogelea kaburi lake mbaya zaidi kuhutubia kuhusu mwalimu iltakuwa sawa na wale wahubiri maarufu wanaohubiri ubora wa kunywa maji wakati wao wanakunywa divai
ninazo sababu nyingi lakini naomba watanzania wote kwa ujumla wetu tuukatae unafiki wa mtu huyu hatari
alitakiwa atumie siku hii nzima kucheza na wajukuu si kuongea na watz kwa mgongo wa mwalimu
hakuna hata milimita moja ambapo anafanana na mwalimu
hakuna matatizo lowassa akihutubia siku hiyo ya nyerere daysidhani kama kuna mtu yoyote katika familia ya nyerere atapinga
lowassa wakati wa miaka 50 ya uhuru alikua anaongea tbci utafikiria siku ile ilikuwa birthday yake
hakuna tatizo kwa lowassa kuongea katika hiyo siku [from the point of view of the family kwa sababu ile siku ni national holiday]
hakuna hata milimita moja ambapo anafanana na mwalimuclick to expand
ahsante mkuu wangu watu kama nyie tunawategemea sana ukienda pale udsm utakutana na maprofesa fulani wenye akili fupi wanampa kichwa mtu huyu eti tunahitaji kuwa na dikteta rais ajayehata kama kiongozi angekuwa mzuri kias gani hata kama akihutubia masaa 10 bado mna hamu ya kumsikiliza hata kama tb joshua amemtabiri rushwaaaa peke yake wizi wa kununua kura mtandao wa weziunamwondolea sifa zote hizi na hatufai
tumekuelewa tunaheshimu sana demokrasia aliyoijenga mwalimu katika nchi na hata katika familia yake tulitaka tu lowasa apewe muda wa kutubu pia asitumie mgongo wa mwalimu kuendelea kudanganya watanzania ndo maana nikasema asije akahubiri ubora wa kunywa maji wakati yeye anakunywa divai kama alivyozoea lowassa na mwalimu ni kama mlima na bonde au giza na mwanga
zoote ni mbinu za kusafishana kaitwa na prof maghembe
nyerere alimkataa lowassa 1995alimwambia wewe kijana mdogo umejilimbikizia maliumetoa wapi halafu unataka kwenda ikuluikulu kuna biashara gani alisema tumuogope kama ukoma
jamani na mimi nawakilisha kwa kutokuwa na mawazo kama ya msomi mmoja ambaye ni kiongozi ktk nchi hii ikitokea ukihoji utendaji wake kwa umma jibu lake hana muda wa kujibizana na watoa hoja kwani ni darasa la saba sasa mimi napenda kushauri umma wa watanzania wenzangu tukazanie tuilinde na tuitekeleze dhana ya kusikilizana na kujadiliana kwa hoja mwl nyerere ni kiongozi wa wote si wa watu wa chache na ni kiongozi aliyekuwa na falsafa zake pindi anapoamua jambo lake lifanikiwe 1995 nani asiyejua kuwa chaguo la mwl lilikuwa mh ben mkapa ili apite kuwa mgombea wa ccm kifanyike nini kikwazo ninini hapo mwl alijipanga kwa hoja kuwapangua wagombea wote tishio kwa mgombea wake haina ubishi nyota ya lowassa ilikuwa kali akatumia mbinu kumzima kama unavyojua huwezi kubishana na baba wa taifa kijana akapoa na kuelekeza nguvu zake kwa swaiba wake kikwete naye alipanguliwa kwa hoja za mzee nawakumbusha mzee hakusema na tusimsemee maneno ambayo hakuwahi kuyasema juu ya lowassa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni ni mchapa kazi tegemeo kwa taifa kafanya mengi mazuri kwa taifa nawakilisha'
kimsingi nyerere ni binadamu kama binadam awaye yote na kila jambo na wakati wake wakati wa mwalimu ni kipindi tofauti na sasa japo kuna ya kuigwa kwa sasa vilevile haki ya kimsingi ya kidemokrasia haimnyimi mtu kugombea au kumchagua yeyote ampendae zaidi sana haimnyimi mtu yeyote kutoa aoni au kuzungumza chochote pasipo kuvunja sheria pasipo shaka lowasa nae anastahili haki hizi natambua kuwa 2015 ndiyo shida na sii lowassa nitampongeza mh lowassa endapo ana nia hii na yeyote mwenye nia hii ajitokeze bila kuogopa ili wawe wengibtupate fursa ya kuchagua kwani kuna ule usemi usemao nothing is good or bad but by cmparison mwsho wosia wangu ni kuwa let democracy lead the way tuachevdemocrasia ituonyeshe njia
sifa kuu ya mtu yeyote anayetaka kuwa kiongozi wa nchi ni kuwa muadilifu kiongozi muadilifu anakuwa mstari wa mbele kutatua kero zinazowakabili wananchi je lowassa ana sifa hizo wengi wanamsifia kuwa ni mchapa kazi na mtoa maamuzi inawezekana ni kweli lakini hayo maamuzi na uchapa kazi huo ni kwa faida ya wanannchi walio wengi au kwa kikundi cha watu wachache
tukiangalia utendaji wake wa kazi kabla ya kulazimishwa kuachia ngazi kwa kashfa tunaona kwamba kweli alihusika na uanzishwaji wa sekondari za kata shule hizi ndizo hizo zinazotoa wanafunzi wanaohitimu wakiwa na elimu duni kwa kukosa waalimu na nyenzo nyingine za kujifunzia alitoa maamuzi juu ya uzalishaji wa umeme kwa kushinikiza kampuni ya richmond ipewe tenda ya kuzalisha umeme ambayo haikustahili na ikagundulika kuwa yeye binafsi alikuwa mnufaika katika tenda ile
sasa kwa mifano na vigezo vyote hivyo je taifa letu linamhitaji mtu kama huyu kuliongoza baada ya kupata dhiki ya utawala wa kifisadi wa kikwete wa miaka kumi jibu lake ni hapana tunahitaji kiongozi atakayetuletea maendeleo kwa kuwa na zero tolerance on corruption badala ya kiongozi wa kuwalinda wala rushwa na lowassa hana qualificatios hizo | 2017-07-22T11:03:46 | https://www.jamiiforums.com/threads/lowassa-usihutubie-kumbukumbu-ya-nyerere-wilaya-ya-mwanga.337013/ |
vijimambo mkuu wa mkoa wa kilimanjaro azindua siku 16 za kupinga ukatili kanda ya kaskazini
washiriki kutoka asasi mbalimbali wakipita mbele na mabango yakiwa na ujumbe mbalimbali katika uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kanda ya kaskazini baadhi ya viongozi wa taasisi mablimbali wakiwa wameketi meza kuu na mgeni rasmi wa uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili kanda ya kaskazini said mecky sadiki mwenyekiti wa kamati ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsiaelizabeth mushi akisoma taarifa mbele ya mgeni rasmi (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatli wa kijinsia mwenyekiti wa kamati ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia elizabeth mushi akipeana mkono na mgeni rasmi katika unzinduzi huomkuu wa mkoa wa kilimanjaro said mecky sadiki mara baada ya kutoa taarifa juu ya ukatili mkuu wa wilaya ya moshi kippi warioba akizungumza kabla ya kumkaribisha mkuu wa mkoa wa kilimanjaro said mecky sadiki kutoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa siku 16 za kupina ukatili wa kijinsia mkuu wa mkoa wa kilimanjaro said mecky sadiki akizungumza wakati wa uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uzinduzi iliofanyika katika viwanja wa vya kituo kikuu cha mabasi mjini moshi baadhi ya washiriki katika uzinduzi huo wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi mwenyekiti wa mtandao wa polisi katika shule ya polisi theresia nyangasa akisoma taarifa juu ya vitendo vya kuutali na njia zilizoanza kuchukuliwa katika kukabiliana navyo wakati wa uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili kanda ya kaskazini mkuu wa mkoa wa kilimanjaro said mecky sadiki pamoja na mkuu wa wilaya ya moshi kippi warioba wakifuatilia taarifa juu ya ukatili wa kijinsia iliyokuwa ikitolewa na viongozi wa asasi mbalimbali mkuu wa mkoa wa kilimanjaro akitoa cheti kwa kaimu kamnada wa polisi mkoa wa kilimanjaro koka moita cha kutambua mchango wa jeshi la polisi katika kupamban vita dhidi ya ukatili wa kijinsia mkuu wa mkoa wa kilimanjaro said mecky sadiki akipena mkono kabla ya kumkabidhi cheti mwenyekiti wa mtandao wa polisi wanawake (tpf network) grace lyimo kutambua mchango wake katika vita dhidi ya ukatili wa kijinsia
mkuu wa mkoa wa kilimanjaro said mecky sadiki akipeana mkono na mwenyekiti wa dawati la jinsia la jeshi la polisi wilaya ya moshielina maro kabla ya kumkabidhi cheti kutambua mchango wake katika vita dhidi ya ukatili wa kijinsia mkuu wa wilaya ya moshikippi warioba akipata maelezo kutoka kwa baadhi ya washiriki alipopita kugagua mabanda ya maonesho ya shughuli zinazofanywa na taaisisi zinazopambana na ukatili wa kijinsia mwenyekiti wa tawref dafrosa itemba akitoa taarifa juu ya vitendo vya ukatili wa kijinsia wakati wa uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwa kanda ya kaskazini uliofanyika katika viwanja vya kituo kikuu cha mabasi mjini moshi | 2017-04-24T13:15:33 | http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/11/mkuu-wa-mkoa-wa-kilimanjaro-azindua.html |
yah kiswahili ni bidhaa ya kuuza nje walimu changamkeni | gazeti la jamhuri
yah kiswahili ni bidhaa ya kuuza nje walimu changamkeni
nimeamka nikiwa na furaha sana baada ya kusikia kumbe tunatembea na bidhaa bila kujijua ni wachache ambao walikuwa wanajua kwamba kiswahili ni fedha hasa ni wale wenzetu ambao wanatumia mitandao ya kuzunguka duniani wakiwa wamekaa katika viti vyao sisi huku kipatimo ni kama tunashangaa unawezaje kuuza lugha yako unayoitumia utabakiwa na nini
kuna mtu anatangaza hapa kipatimo kuwa walimu wa kiswahili wamepata shavu la kwenda kufundisha kiswahili nje ya nchi inaweza ikawa afrika kusini sudan kusini rwanda congo ya mobutu sese seko kuku wa zabanga na kwingine ikipendeza basi watapaa zaidi hadi nje ya afrika walimu wanaonekana kufurahia taaluma yao kwa kuwa wengi wako nje ya ajira na sasa ajira zimekuwa bwerere
sisi huku kipatimo naamini na sehemu zingine za nchi hii huko chekeleni bado hawaelewi nini maana ya kuuza lugha kabla sijazungumzia maana leo niwakumbushe kizazi hiki kipya na hata mbumbumbu wenzangu juu ya umuhimu wa lugha yetu hii lugha ndiyo iliyotufanya tukawa wamoja miaka ile ya kutafuta uhuru ilitumika nguvu ya ziada sana kutufanya tuzungumze wote na tuache hivi vijikabila vyetu japo vina umuhimu sana na hatuwezi kuviacha
baada ya kuona tunazungumza lugha moja tukajiona wamoja na ndugu katika mapigano ya kudai uhuru hii ndiyo ilikuwa nguzo ya kupata uhuru kwa amani bila kumwaga damu tuliongea lugha moja tanzania ilijulikana kwa kuwa na kabila moja kubwa la waswahili baadhi waliamua kuiga ili nao wapate nguvu ya pamoja lakini ukabila kwao halikuwa jambo dogo kuliacha bado walipopata uhuru waliendelea kumeguka na kuchinjana wao kwa wao
wapo waliopitia hapa kwetu na kujifunza mambo mengi ya kutafuta uhuru wakiwemo wenzetu wa afrika kusini ambao wengi walikuwa huko morogoro na mikoa mingine walipata mafunzo ya kijeshi na umoja walipata nafasi ya kutangaza mipango yao ya kudai uhuru kupitia redio zetu za idhaa ya nje (external service) wakati huo kuwahamasisha katika mataifa yao kwa lugha mbalimbali lakini si lugha moja ndio ukawa mwanzo wa kupata uhuru kwa mataifa hayo
hii ni historia kubwa sana kwa taifa letu ni jambo tunalojivunia mpaka leo bila kujali malipo kutoka katika mataifa hayo ambayo kimsingi yalitumia ardhi yetu kufanya mambo mengi kwa manufaa ya mataifa yao lazima wajue historia na ikiwezekana wakumbushwe walichokifanya katika nchi yetu nadhani hatuhitaji fadhila ya malipo bali tunahitaji heshima tulichohitaji wakati huo ilikuwa ni amani kusini mwa jangwa la sahara ili nasi tuwe salama na tufanye maendeleo
wiki iliyopita mwanzoni kupitia televisheni ya jirani yangu nimemuona rais wetu akizungumza na rais mpya wa afrika kusini alizungumzia kuhusu kuwafundisha kiswahili na kwamba nchi hiyo imeomba walimu wa kwenda kufundisha kiswahili hii ni dhahiri kuwa wamejua umuhimu wa lugha moja na ambayo inaweza kuwaunganisha kiswahili si lugha ya kubeza na si lugha ya kukurupuka ukasema unaweza kufundisha hasa lugha mwanana wapo waliojinadi kuwa wameingia mkataba na hao tunawajua kuwa ni wepesi wa kudandia meli
nilifurahia kauli ya rais kwa sababu kubwa chache mosi atakuwa ametengeneza ajira za kutosha kwa vijana wetu ambao ni mahiri katika lugha hii kwenda kufanya kazi huko hao watalipwa lakini pia watakuwa wameweza kuuza lugha kwa njia ya machapisho na kusomesha
pili bila kuumauma maneno atakuwa amekata kilimilimi cha wale jamaa ambao siku zote hujinadi kwa vitu ambavyo si vyao kwa maana ya kuwahi fursa ni jambo jema kwa kuwa limetamkwa na mamlaka ya juu kabisa naamini vijana hawatapata taabu kabisa katika kupata fursa hizo kutokana na baadhi kuwa na ukiritimba wa wivu
nichukue fursa hii kumshukuru kiongozi wetu lakini nitoe rai kwa mamlaka zinazohusika fursa hizi ni kwa ajili ya wanyonge wa tanzania naamini walimu wa kiswahili waliopo hapa kipatimo wakipopoa vidaka pia watapata nafasi
lugha ni bidhaa kama ambavyo tuliuziwa kiingereza kwa muda mrefu na kutuletea tabia zake sasa tuuze kiswahili na tabia zake tuone ambavyo ustaarabu wa mswahili utakavyotutoa kimasomaso
previous tujali polisi na mahakama
next sasa iwe zamu ya chainsaw
nyalandu kama si leo kesho yatatimia
tunawapongeza wafanyakazi | 2019-06-25T22:00:09 | http://www.jamhurimedia.co.tz/yah-kiswahili-ni-bidhaa-ya-kuuza-nje-walimu-changamkeni/ |
simba sc kucheza mechi ya kirafiki na sevilla ya hispania mei 23 uwanja wa taifa bin zubeiry sports online simba sc kucheza mechi ya kirafiki na sevilla ya hispania mei 23 uwanja wa taifa bin zubeiry sports online
mwanzo > simba > simba sc kucheza mechi ya kirafiki na sevilla ya hispania mei 23 uwanja wa taifa
simba sc kucheza mechi ya kirafiki na sevilla ya hispania mei 23 uwanja wa taifa
shirikisho la soka tanzania (tff) limetangaza timu ya simba ya tanzania kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na sevilla ya hispania mei 232019 uwanja wa taifa
afisa habari na mawasiliano wa tff clifford mario ndimbo amesema kwamba simba imetajwa kucheza mchezo huo dhidi ya sevilla kwa kigezo cha klabu ya tanzania iliyofanya vizuri katika mashindano ya sportpesa cup kwa timu zinazodhaminiwa na sportpesa
sevilla waliopo kwenye ligi kuu ya hispania la liga wataingia tanzania mei 212019 tayari kwa mchezo huo
katibu mkuu wa tff kidao wilfred amesema kigezo kikubwa kilichotumika kuchagua timu ya kucheza mchezo huo ni timu ya tanzania iliyofanya vizuri katika mashindano ya sportpesa ambapo simba ilifikia hatua ya nusu fainali
mkurugenzi wa utawala na udhibiti wa sportpesa tarimba abas awali kulikuwa na wazo la kuzikutanisha simba na young africans ili kupatikana timu moja lakini ratiba imekuwa ngumu kuzikutanisha timu hizo au kuchezwa michezo mawili
ameongeza kuwa kigezo cha kutumia mashindano ya sportpesa kinaondoa ugumu wa kupatikana timu ya kucheza na sevilla tayari maandalizi kwaajili ya mchezo huo yanaendelea
item reviewed simba sc kucheza mechi ya kirafiki na sevilla ya hispania mei 23 uwanja wa taifa rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
waziri wa afya akutana na ujumbe kutoka jimbo la xuzhou nchini china *waziri wa afya zanzibar hamad rashid mohamed akizungumza na ujumbe kutoka mji wa xuzhou nchini china uliokuja kufanya tathmini ya madaktari wa nchi hiy | 2019-05-22T04:51:41 | http://www.binzubeiry.co.tz/2019/05/simba-sc-kucheza-mechi-ya-kirafiki-na.html |
waziri mahiga apokea nakala za hati za utambulisho za mabolozi wa cuba zambia na burundi pamoja blog
home > balozi > dkt augustine mahiga > matukio > waziri mahiga apokea nakala za hati za utambulisho za mabolozi wa cuba zambia na burundi
2/07/2017 090800 pm balozi dkt augustine mahiga matukio | 2018-06-24T04:56:52 | http://www.pamoja.co.tz/2017/02/waziri-mahiga-apokea-nakala-za-hati-za_7.html |
bajeti ya zanzibar hadharani mzalendonet
wapotofu wa historia wasikili hii
mauaji ya padri mushi upelelezi haujakamilika
mziki wa lowassa matumbo joto ccm hofu yazidi kutanda | 2019-08-18T20:13:04 | https://www.mzalendo.net/habari/bajeti-ya-zanzibar-hadharani.html |
aguero na messi wanatisha hadi wanaboa shaffih dauda | presstz your number 1 source of aggregated online content
mshambuliaji wa manchester city sergio aguero ametimiza hatrick tisa na kuwa sawa na robbie fowler mwenye hatrick 9 pia allan shearer peke yake ndiye anashikilia rekodi ya hatrick 11 kwenye ligi kuu ya uingereza
aguero sergio kun ametajwa kuwa mchezaji bora wa mechi
mashuti 9
amelenga 4
kukimbia na mpira 2
pasi muhimu 1
david silva kwenye ligi kuu ya uingereza tangu ajiunge na manchester city
250 michezo
167 ushindi
75 asisti
49 magoli
3 makombe
messi aliifungia barcelona bao la 5000 la liga mwaka 2009 lionel messi jana aliifungia barcona bao la 6000 amechangaia mabao 462 kwenye mabao 1000
• 337 mabao
• 125 asisti
washambuliaji wa everton waliofunga magoli mawili katika mechi zao mbili za kwanza katika liigi kuu ya uingereza
richarlison august 2018
winga wa klabu ya bayern leverkusen bailey leon amesaini mkataba mpya na klabu yake utakaomfanya abaki hapo mwaka 2023
beki wa kulia continue reading > | 2018-11-17T03:24:02 | http://presstz.net/aguero-na-messi-wanatisha-hadi-wanaboa-40453297 |
imeunganishwa cplds (vifaa vya complex vinavyopa mchanganyiko wa vyombo vya elektroniki | infiniteelectronichk ukurasa 3
epm2210gf256c5n altera (intel® programmable solutions group) maelezoic cpld 1700mc 7ns 256fbga
5m570zt144c5n altera (intel® programmable solutions group) maelezoic cpld 440mc 9ns 144tqfp
epm240f100c4n altera (intel® programmable solutions group) maelezoic cpld 192mc 47ns 100fbga
epm2210f256c3n altera (intel® programmable solutions group) maelezoic cpld 1700mc 7ns 256fbga
xc2c51210fgg324c xilinx maelezoic cpld 512mc 92ns 324bga
xcr3256xl10tqg144i xilinx maelezoic cpld 256mc 9ns 144tqfp
xcr3128xl10tqg144i xilinx maelezoic cpld 128mc 91ns 144tqfp
xcr3256xl12pqg208c xilinx maelezoic cpld 256mc 108ns 208qfp
m4a364/327vnc lattice semiconductor maelezoic cpld 64mc 75ns 44tqfp
m4a596/4810vnc lattice semiconductor maelezoic cpld 96mc 10ns 100tqfp
lc4256v75ftn256ac lattice semiconductor maelezoic cpld 256mc 75ns 256ftbga
lc4064ze5tn48c lattice semiconductor maelezoic cpld 64mc 58ns 48tqfp
atf1504asv15au44 micrel / microchip technology maelezoic cpld 64mc 15ns 44tqfp
atf1504as10au44 micrel / microchip technology maelezoic cpld 64mc 10ns 44tqfp
atf750c7px micrel / microchip technology maelezoic cpld 10mc 75ns 24dip
atf1508as10ju84 micrel / microchip technology maelezoic cpld 128mc 10ns 84plcc
maelezo ic cpld 1700mc 7ns 256fbga
katika hisa 2215 pcs
pakua epm2210gf256c5npdf
5m570zt144c5n
maelezo ic cpld 440mc 9ns 144tqfp
katika hisa 10495 pcs
pakua 5m570zt144c5npdf
maelezo ic cpld 512mc 92ns 324bga
katika hisa 1159 pcs
pakua xc2c51210fgg324cpdf
m4a364/327vnc
katika hisa 24178 pcs
pakua m4a364/327vncpdf
maelezo ic cpld 256mc 9ns 144tqfp
katika hisa 2766 pcs
pakua xcr3256xl10tqg144ipdf
epm240f100c4n
maelezo ic cpld 192mc 47ns 100fbga
katika hisa 9977 pcs
pakua epm240f100c4npdf
xcr3128xl10tqg144i
maelezo ic cpld 128mc 91ns 144tqfp
katika hisa 5417 pcs
pakua xcr3128xl10tqg144ipdf
maelezo ic cpld 96mc 10ns 100tqfp
katika hisa 8574 pcs
pakua m4a596/4810vncpdf
katika hisa 1337 pcs
pakua epm2210f256c3npdf
lc4256v75ftn256ac
maelezo ic cpld 256mc 75ns 256ftbga
katika hisa 4490 pcs
pakua lc4256v75ftn256acpdf
atf1504asv15au44
maelezo ic cpld 64mc 15ns 44tqfp
katika hisa 34103 pcs
pakua atf1504asv15au44pdf
katika hisa 1225 pcs
pakua epm2210f256c3pdf
katika hisa 37868 pcs
pakua 5m80ze64c4npdf
xcr3256xl12pqg208c
maelezo ic cpld 256mc 108ns 208qfp
katika hisa 4944 pcs
pakua xcr3256xl12pqg208cpdf
maelezo ic cpld 64mc 58ns 48tqfp
katika hisa 38260 pcs
pakua lc4064ze5tn48cpdf
katika hisa 24808 pcs
pakua atf1504as10au44pdf
lc4128v5tn128c
maelezo ic cpld 128mc 5ns 128tqfp
katika hisa 5236 pcs
pakua lc4128v5tn128cpdf
lc4512v75tn176c
maelezo ic cpld 512mc 75ns 176tqfp
katika hisa 1560 pcs
pakua lc4512v75tn176cpdf
katika hisa 7588 pcs
pakua 5m1270zt144c4npdf
m4a3256/12810fanc
maelezo ic cpld 256mc 10ns 256fbga
katika hisa 3124 pcs
pakua m4a3256/12810fancpdf
lc4128ze7umn132i
maelezo ic cpld 128mc 75ns 132ucbga
katika hisa 14381 pcs
pakua lc4128ze7umn132ipdf
5m80ze64a5n
katika hisa 38727 pcs
pakua 5m80ze64a5npdf
xc2c51210fgg324i
maelezo ic cpld 512mc 92ns 324fbga
katika hisa 1043 pcs
pakua xc2c51210fgg324ipdf
epm7128eqi10020
maelezo ic cpld 128mc 20ns 100qfp
katika hisa 1084 pcs
pakua epm7128eqi10020pdf
katika hisa 2189 pcs
pakua xc95288xl6tqg144cpdf
lc4384v10tn176i
maelezo ic cpld 384mc 10ns 176tqfp
katika hisa 2691 pcs
pakua lc4384v10tn176ipdf
katika hisa 5740 pcs
pakua 5m1270zf256i5npdf
pakua epm2210f256c5npdf
lc4064v5tn48c
maelezo ic cpld 64mc 5ns 48tqfp
katika hisa 16541 pcs
pakua lc4064v5tn48cpdf
maelezo ic cpld 384mc 92ns 144tqfp
katika hisa 2410 pcs
pakua xc2c38410tqg144cpdf
lc4256v10tn144i
maelezo ic cpld 256mc 10ns 144tqfp
katika hisa 4322 pcs
pakua lc4256v10tn144ipdf
5m80zm64i5n
maelezo ic cpld 64mc 75ns 64mbga
katika hisa 37097 pcs
pakua 5m80zm64i5npdf
lc4256v75tn176i
katika hisa 3212 pcs
pakua lc4256v75tn176ipdf
maelezo ic cpld 10mc 75ns 24dip
katika hisa 36999 pcs
pakua atf750c7pxpdf
maelezo ic cpld 32mc 10ns 44tqfp
katika hisa 33258 pcs
pakua epm7032aetc4410pdf
katika hisa 3395 pcs
pakua epm1270t144c5npdf
epm7128aetc1007n
pakua epm7128aetc1007npdf
maelezo ic cpld 440mc 54ns 100fbga
katika hisa 3628 pcs
pakua epm570gf100i5npdf
maelezo ic cpld 192mc 10ns 144tqfp
katika hisa 3573 pcs
pakua m4a5192/9610vncpdf
lc4064v75tn44c
katika hisa 30145 pcs
pakua lc4064v75tn44cpdf
lc4064v25tn48c
maelezo ic cpld 64mc 25ns 48tqfp
katika hisa 11869 pcs
pakua lc4064v25tn48cpdf
lc4512v10tn176i
maelezo ic cpld 512mc 10ns 176tqfp
pakua lc4512v10tn176ipdf
lc4512v75ftn256c
maelezo ic cpld 512mc 75ns 256ftbga
katika hisa 1691 pcs
pakua lc4512v75ftn256cpdf
xc95144xl10tqg144c
maelezo ic cpld 144mc 10ns 144tqfp
katika hisa 8547 pcs
pakua xc95144xl10tqg144cpdf
maelezo ic cpld 128mc 10ns 84plcc
katika hisa 9462 pcs
pakua atf1508as10ju84pdf
lc4256v75t100e
katika hisa 3226 pcs
pakua lc4256v75t100epdf
maelezo ic cpld 64mc 6ns 44tqfp
katika hisa 1947 pcs
pakua epm7064stc446pdf
lamxo640c3tn144e
maelezo ic cpld 320mc 49ns 144tqfp
katika hisa 7220 pcs
pakua lamxo640c3tn144epdf | 2019-11-18T11:06:43 | https://tz.infinite-electronic.hk/Integrated-Circuits(ICs)/Embedded-CPLDs(Complex-Programmable-Logic-Devic_page3.aspx |
preview youtube video wakandarasi watakiwa kuzingatia uadilifu
wakandarasi watakiwa kuzingatia uadilifu
preview youtube video waziri mkuu akagua ujenzi wa barabara ya sakina tengeru
waziri mkuu akagua ujenzi wa barabara ya sakina tengeru
preview youtube video operesheni ya kukata umeme kwa wadaiwa sugu dsm
operesheni ya kukata umeme kwa wadaiwa sugu dsm
preview youtube video rais magufuli afanya uteuzi mwingine
preview youtube video wasomi washauri suala la vyeti feki
wasomi washauri suala la vyeti feki
preview youtube video serikali kuboresha mazingira ya elimu
serikali kuboresha mazingira ya elimu
preview youtube video ukosefu wa huduma za afya wilaya ya nanyumbu
ukosefu wa huduma za afya wilaya ya nanyumbu
preview youtube video familia yaingia mgogoro wa nyumba na msikiti
familia yaingia mgogoro wa nyumba na msikiti
preview youtube video watanzania washauriwa kuwekeza katika ununuaji wa hisa
watanzania washauriwa kuwekeza katika ununuaji wa hisa
preview youtube video wajasiriamali wapongeza kulegezewa masharti ya mikopo
wajasiriamali wapongeza kulegezewa masharti ya mikopo
preview youtube video tff yasaini makubaliano na world aid tanzania
tff yasaini makubaliano na world aid tanzania
preview youtube video serengeti boys wakamilisha michezo ya kirafiki
serengeti boys wakamilisha michezo ya kirafiki
preview youtube video celta vigo kuikabili man united usiku huu
celta vigo kuikabili man united usiku huu | 2017-10-17T03:52:47 | http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2017/05/habari-kutoka-televisheni_5.html |
urais na ccmsitta asema kamwe hawezi kumnadi lowasa jukwaani habari24
home / uncategories / urais na ccmsitta asema kamwe hawezi kumnadi lowasa jukwaani
urais na ccmsitta asema kamwe hawezi kumnadi lowasa jukwaani
habari24 tv 51700 am
waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki samweli sitta ametangaza msimamo wake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 na kusema kamwe awezi kumnadi jukwaani waziri mkuu aliyejiuzuluedward lowassa endapo atapitishwa na ccm kuwa mgombea wa urais
endelea
msimamo huu wa sitta umekuja kipindi ambacho hali ya kisiasa ndani ya ccm ikiwa imefika katika hatua ya kutisha kutokana na vita hiyo ya urais
katika kuonyesha hali si swali ndani ya ccm sitta alisema nitakuwa mwendawazimu kumnadi lowassa jukwaani wakati muda wote msimamo wangu dhidi yake unajulikanasita alitoa msimamo wake wakati alipokuwa anazungumza na chazo chetu cha habari
sitta ambaye pia ni mbunge wa urambo mashariki kupitia ccm alisema kama chama cha ccm kinataka kuvuka salama uchaguzi mkuu 2015 ni vema ni vema kikajitathimini na kusimamia misingi iliyoachwa wazi na baba wa taifamwalimu nyerere
haiwezekani kishindwe kuchukua hatuamtu anamwaga pesa kanisani msikitini na kwengine halafu anaangaliwa tualihoji sitta
kwa mujibu wa sitta kitendo cha lowassa kutumia pesa nyingi za harambee ni ishara tosha kwamba ameanza kampeni kabla ya wakati na taratibu za chama
hadi sasa hvi amrfanya harambeeza sh7bilionihizi pesa nyingi hanazitoa wapi lakini piawatu wajiulize kwa nini anatumia fedha hizializidi kuhoji sitta
uchunguzi zaidi
lakiniduru za uchunguzi wa mtandao huu umebaini lowassa alipaswa kukutana na kamati ya maadili ya chama hicho mnamo tarehe 16
hata hivyo duru hizo zinasema lowassa hakutokea ofisi ndogo za chama hizo zilizopo lumumba jijini dar ws salaam lakini alikutana na katibu mkuu wa chama hicho abdulrahaman kinana katika chakula cha usiku badala ya kumuita ofisini ili akutane na kamati hiyo
jambo la ajabu la ajabukinana badala ya kumuita lowassa ofisini ili ahojiwe kwanini ameanza kampeni mapema yeye alimuita katika chakula cha jioni kufanya nae mazungumzo kwa kumbembelezakilisema chanzo hicho
kwa mujibu wa duru hizo zinasema katika kikao hicho cha kinana na lowassa inasemekana lowassa alikuwa anamuomba katibu mkuu huyo apewe nafasi ya mwisho ya kufanya harambee
kikwete akemea
akihutubia katika mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa sokoine mbeya jana rais kikwete ambaye pia ni mwenyekiti wa ccm alisema kutoa fedha kunaharibu taswira ya chama hicho na kukiweka katika hatari ya kupoteza ushindi katika chaguzi zinazokuja
agizo la ccm la miaka mingi iliyopita ni kwamba kila ngazi kuwa na shughuli za kuwaingizia mapato sambamba na kuwa na mfuko wa uchaguzi agizo hili bado halijatekelezwa na ndiyo linakiathiri chama alisema rais kikwete
alisema hali hiyo imekiathiri ccm hivi sasa viongozi wanachukua fedha chafu kutoka kwa watu wenye sifa mbaya na nia chafu hata wanaotoa rushwa hupokewa kishujaa
alisisitiza wanaotoa fedha chafu kwa ajili ya kuimarisha chama lazima wahojiwe akisema wema huo wameutoa wapi ilhali walikuwapo siku zote alisema taswira ya chama hicho ikiwa nzuri kitaungwa mkono na ikiwa mbaya kitachukiwa na watu
aliwataka viongozi na wanachama wa ccm kulipa uzito unaostahili suala la uadilifu na kwamba bila kufanya hivyo chama kinaweza kuwa imara na kutekeleza majukumu yake lakini kisiungwe mkono na wananchi
tusipoungwa mkono na wananchi tunaweza kupoteza ushindi ndiyo maana chama kikaunda kamati ya usalama na maadili kufanya kazi ya kuwabana watu wanaokiuka maadili naomba kamati hizo zifanye kazi yake ipasavyo alisema
alisema kamati hizo zisipokuwa makini zitaathiri hadhi na kukubalika kwa ccm katika jamii
vitendo hivi vibaya lazima tuvikatae na tuvipige vita kwa nguvu zetu zote tusiwaache watu wachache wanaotaka uongozi wa gharama yoyote waharibu sifa nzuri ya ccm
alisema watu hao wakiachwa itajengeka dhana potofu kwamba uongozi ndani ya ccm ni wa kununua
wanaolumbana na lowassa
malumbano kuhusu safari ya lowassa yalianza kwa baadhi ya wenyeviti wa ccm wakiongozwa na mwenyekiti wa mkoa wa geita joseph kasheku `msukuma kukana kauli ya mwenyekiti wa ccm wa singida mgana msindai kuwa wenyeviti wote wa ccm wa mikoa walikuwa wanamuunga mkono lowassa hata hivyo msindai alikanusha suala hilo
makamu mwenyekiti wa zamani wa ccm john malecela na mkuu wa uhamasishaji na chipukizi wa umoja wa vijana wa ccm paul makonda pia walimtuhumu lowassa kwamba anakivuruga chama hicho kwa kuanza kampeni mapema za urais
hata hivyo kauli zao zilipingwa vikali na makada wengine wa chama hicho akiwamo mgeja mwenyekiti wa zamani wa ccm wa dar es salaam john guninita na viongozi wa umoja wa vijana wa ccm wa morogoro
urais na ccmsitta asema kamwe hawezi kumnadi lowasa jukwaani reviewed by habari24 tv on 51700 am rating 5 | 2018-04-20T10:25:53 | http://habari24.blogspot.com/2014/02/urais-na-ccm-sitta-asema-kamwe-hawezi.html |
hapa kwetu dunia bila uislam
wakati mwingine vichwa vya habari huwekwa kwa minajili y akuvutia hisia za watu maana kiukweli hicho kichwa cha habari tu kinaweka hisia ya kujiuliza na kama umdadidi na unataka kuelewa utakisoma hicho kitabu
kiujumla lengo la dini zote ni `nia njema' ya kumjua mungu japokuwa huyo mungu katafsiriwa kwa kila mtu na imani yake
lakini sio kumjua tu hapana ni kujua kwanini katuumba na kama yeye ni muumbaji ina maana yeye ni mwenye mamlaka kwahiyo atakuwa katuagiza tuishije
mimi nilichogundua ni kuwa `tafsiri' na `utashi' wa watu ndio umekuja kuharibu maana halisi na nia njema ya dini
mtu anaangalia vipi atalichafua shati la mwenzake ambalo kaliona ni safihuenda akalirushia matope ili liharibike na kuanza kutangaza mitaani `unaona lile shati sio jeupe lina mdoa ni chafu
profesa tunashukuru kwa juhudi zako za kuiweka jamiikatika mstari kwa kupitia kwenye vitabu tatizo siku hizi wasomaji wanapungua
siku hizi watu wanapenda sana kuangalia na kusikiliza kuliko kusoma na kuchanganua bongo zao na madhara ya hizi hisia mbili(kuangalia na kusikiliza tu) tunayajua
ni hayo kwa leo profesa | 2018-03-18T08:02:37 | http://hapakwetu.blogspot.com/2013/03/dunia-bila-u-islam.html |
wilaya ya serengeti yapania kuwa na sifuri tatu kuhusu ukimwi shommi b 'if(findexof(imgyoutubecom)=1){w=' '}z=w+''+titlex+'
home » »unlabelled » wilaya ya serengeti yapania kuwa na sifuri tatu kuhusu ukimwi
wilaya ya serengeti yapania kuwa na sifuri tatu kuhusu ukimwi
mkurugenzi wa halimashauri akitoa taarifa
mwenyekiti wa halimashauri kulia akisikiliza kwa makini
mkrugenzi wa halimashauri akifafanua jambo
diwani akitafakari jambo baada ya kuchangia
madiwani serengeti kwenye kikao cha bajeti
kuweka kumbukumbu sawa
halimashauri ya wilaya ya serengeti imepanga kufikia sifuri tatu katika mapambano dhidi ya maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi kwa kutoa elimu ya kutosha ambayo itamfikia kila mwananchi kuhusiana na athari za ugonjwa huo
katika taarifa yake kwenye kikao cha baraza la madiwani cha kupokeakujadili na kupitisha mapendekezo ya mpango wa bajeti ya mwaka 20142015mratibu wa mpango wa kudhibiti ukimwi wilaya ya serengeti elly msamisa alisema wamepanga kutoa elimu kwa njia mbalimbali ili kufikia mipango hiyo
alisema elimu kuhusiana na masuala ya ukimwi kwa jamii itatolewa kupitia sinemavikundi vya uelimishajikusimamia kwa karibu kamati za kudhibiti ukimwi ngazi ya kata na vijiji pamoja na kushirikiana na wadau wa mapambano dhidi ya ukimwi wilayani serengeti
msamisa alisema matarajio ni kufikia sifuri tatu ambazo ni maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi sifurivifi vitokanavyo na ukimwi sifuri pamoja na ubaguzi na unyanyapaa wa waathirika wa ukimwi kufikia asilimia sifuri
alisema kitengo cha kudhibiti ukimwi wilayani kimepanga kuimalisha mwitikio wa jamii katika mapambano dhidi ya ukimwikupunguza hatari ya maambukizi mapya katika sehemu hatarishi pamoja na kuimalisha uwezo wa kiuchumi kwa makundi yanayoishi na virusi vya ukimwi na ukimwi
alidai katika kipindi cha bajeti ya mwaka 20122013 kulikuwepo na changamoto mbalimbali juu ya utekelezaji wa shughuli za mapambano dhidi ya ukimwi kwenye kitengo cha kuratibu shughuli za ukimwi na kufanya kazi kutokufanyika kwa usahihi
mratibu huyo wa ukimwi wilaya ya serengeti alisema baadhi ya changamoto hizo ni ni idara za halimashauri kutokuweka katika bajeti zao masuala ya ukimwi na hata za kusaidia watumishi wanaoishi na virusi vya ukimwi katika idara zao
akichangia taarifa hiyodiwani wa kata ya manchila michael shaweshi alisema ili wilaya ya serengeti itoke kwenye asilimia 4 ya maambukizi kimkoa inapaswa kila diwani kuwa na mipango ya kupambana na ukimwi wilayani serengeti
madiwani wa halimashauri hiyo kwa pamoja walipitisha bajeti ya mwaka 20142015 kiasi cha shilingi bilioni 31 ikiwa ni ongezeko kutoka bilioni 23 zilizopitishwa katika kipindi cha mwaka 20122013 ambazo zitafanya kazi mbalimbali za kimaendeleo na miradi ikiwemo mapambano dhidi ya ukimwi | 2018-07-16T22:05:32 | http://shommibinda.blogspot.com/2014/01/wilaya-ya-serengeti-yapania-kuwa-na.html |
matibabu hospitalini | the beehive kenya
ingia au ujisajilishe nyumbanipesa[afya]kazielimuukulima nyumbaniafyaugonjwa na magonjwamagonjwa ya kawaidayote kuhusu magonjwa ya zinaaukimwimatibabu hospitalini
katika sehemu hii video | virusi vya ukimwi magonjwa ya zinaa na wewevideo | kukabiliana na maisha ukiwa na ukimwi na kifua kikuuje unajua hali yako ya hivjihusishe na vita dhidi ya ukimwikuishi vyema na hiv na ukimwimarps waliomo katika hatari ya kushikwa na ukimwimagonjwa tegemezi yanayosababishwa na kuwa na virusi vya ukimwimatibabu hospitalinivideo | kufichua hali yako ya ukimwivideo | unatambua hali yako ya ukimwivideo | utunzaji na usaidizi kwa watu walio na virusi vya ukimwi chapishamatibabu hospitalini kuna mambo machache ambayo unatakikana kuyafanya na machache ambayo hutakikani kuyafanya
kwa watu wengi ukimwi ni ugonjwa ambao hauwezi kutibiwa hata hivyo ni hali inayoweza kudhibitiwa kama magonjwa mengine yoyote ya kudumu ambayo hayana tiba watabibu wanajua kuna dawa za kudhibiti haya maradhi (antiretrovirals arvs) ya kusaidia watu kuishi maisha ya kawaida na kwa mda mrefu wakiwa na virusi vya ugonjwa huu hata hivyo unachohitaji kujua ni kuwa ni muhimu uanze kutumia hizi dawa za arv za kudhibiti ugonjwa hasa unapo ambukizwa na maambukizi yanayoambatana na magonjwa haya (yanayojulikana kama magonjwa yanayotumia nafasi au hali ya mwili wako ya kuwa umeambukizwa) ama wakati ambao chembechembe zako za cd4 ni chini 350 kwa watu wengi walio na virusi vya ukimwi haya hutokea kwa kati ya miaka 8 10 baada ya maambukizi hata hivyo kuna hali fulani ambazo hazifuati hali hii
kuna ushahidi wa kuaminika kuwa ukitumia tembe badala ya vitamini kila siku kidogo unapunguza makali ya ukimwi na haukuporomoshi haraka jaribu utumie tembe badala zilizo na vitamini b c na e vituo vya afya vya umma vinafaa kuwapa wagonjwa bure bila malipo hizi tembe tambua kuwa kuna madai mengi ya uongo kuhusu hizi tembe badala ya vitamini haya madai huwa yametiwa chumvi na poroja kali haijathibitishwa bado iwapo mtu anakula virutubishi vyote vya mwili kwa chakula anastahili pia kutumia tembe hizi ili ziwe za manufaa kwake | 2017-06-22T14:23:47 | http://kenya.thebeehive.org/content/177/870 |
palestina haitaki marekani iwe mpatanishi wa mzozo na israel | matukio ya kisiasa | dw | 21022018
abbas pia ameondoa uwezekano wa marekani kuwa mpatanishi katika mzozo wake na israel
katika hotuba yake ya kwanza kwenye baraza hilo tangu mwaka 2009 rais huyo ametaka kuandaliwe mkutano wa kimataifa wa amani utakaohudhuriwa na mataifa mbali mbali ifikiapo katikati ya mwaka huu wa 2018 na lifuatie suala la kukubaliwa kwa palestina kama mwanachama wa umoja wa mataifa baraza kuu la umoja la umoja wa mataifa liliitambua palestina kama mwanachama muangalizi katika baraza hilo mwaka 2012 licha ya marekani kupinga palestina na vatican ndio wenye hadhi ya wanachama waangalizi pekee katika baraza kuu
abbas amekanusha kwamba palestina ilikataa fursa ya mazungumzo
marekani na washirika wake walizuia jaribio la awali la abbas kupata uanachama kamili wa palestina mwaka 2011 abbas pia ameelezea kutoridhishwa kwake na hatua ya marekani mwezi desemba kuitambua jerusalem kama mji mkuu wa israel na mpango wake wa kuuondoa ubalozi wake kutoka tel aviv akisema mpango huo unastahili kubadilishwa ili utoe nafasi ya suluhu la mataifa mawili
rais huyo pia amekanusha madai kwamba upande wake ulikataa fursa ya mazungumzo ya kutafuta amani kwa kuwa mwakilishi wa kudumu wa israel katika umoja wa mataifa danny danon amemtuhumu abbas kwa kutokuwa mkweli akisema kiongozi huyo wa palestina alikataa kukutana hata mara moja na waziri mkuu wa israel benjamin netanyahu wakati alipofanya ziara saba katika umoja wa mataifa
hatujawahi kukataa mwaliko wowote wa kushiriki majadiliano tafadhali usiseme kwamba tumekataa mazungumzo alisema abbas tunaamini kwamba majadiliano ndiyo njia ya pekee ya kupata amani kwa hiyo tuyakatae mazungumzo kivipi kwa hiyo amini huu sio ukweli aliongeza rais huyo wa palestina
antonio guterres asema hakuna njia nyengine ya suluhu la mataifa mawili
abbas alizungumza wakati ambapo wajumbe wawili kutoka katika serikali ya trump kuhusu mchakato wa amani juu ya mzozo huo wa mashariki ya kati jared kushner na jason greenblatt walikuwa wamekaa katika baraza hilo la usalama wakimsikiliza
lakini aliondoka bila ya kuzungumza nao au hata kumsikiliza balozi wa marekani katika umoja wa mataifa nikki haley akisema marekani iko tayari kufanya kazi na utawala wa palestina
katibu mkuu wa umoja wa mataifa antonio guterres amesisitiza kwamba hakuna njia nyengine katika kutafuta suluhisho la kupatikana mataifa mawili kwenye mzozo huo amepinga suala la suluhu la taifa moja akisema haiwezekani kutokana na masuala ya haki ya kitaifa kihistoria na kidemokrasia waliyo nayo waisraeli na wapalestina
maneno muhimu palestina israel marekani baraza la usalama la umoja wa mataifa
kiungo https//pdwcom/p/2t2qv | 2018-08-20T06:42:54 | https://www.dw.com/sw/palestina-haitaki-marekani-iwe-mpatanishi-wa-mzozo-na-israel/a-42671655 |
kwa mwana ccm changia hapa | jamiiforums | the home of great thinkers
kwa mwana ccm changia hapa
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by innocent j apr 6 2012
habari zenu wana jf wenzangu well ninatakiwa kutoa speech yenye kichwa cha habari tutarudisha vipi imani ya wananchi kwa ccm so kama mwana ccm mwenzangu mwenye mapenzi mema na chama chetu plz ushauri wako ni muhimu no jokes heremungu ibariki tanzania
hebu tuondolee thread za kijinga nenda kamuulize nape kwasababu alisema mta tawala milele kwavile mahakama ni zenu na tumeshaanza kuyaona
tutarudisha imani kwa wananchi kwa kufanya yafuatayo
1kwa kurudisha malizote na fedha zilizotwaliwa kifisadi na waliozitwa washitakiwe kwa mujibu wa sheria za nchi
2kusimamia vizuri sheria na katiba ya nchi bila kukiuka sheria na katibamfano kula rushwawizi nk
3uzalendo kwa kuweka maslai ya taifa mbelemfanokuingia mikataba yenye maslai kwa taifa zaidi
bila hivyo tusubirie kuwa chama pinzani tena tutakua chama pinzani ambacho ni dhaifumanake chama cha kwanza kinaweza kuwa cdm ikafuata cuftlp na ccm tukawa wa mwisho huku
hamuwezi kurudisha imani kwa sababu hamko tayari kufanya mambo ambayo yatarudisha imani kwa wananchi mmeshindwa kuvua hata gamba mtaweza nini
timizeni ahadi ya kujivua gamba kwanza
ngoksi
mkiwa wapinzani
fukuzeni el kwanza
ili kurudisha imani kwa wananchi achieni madaraka kwanza vitawale vyama vingine hapo imani itarudi
we will execute all fisadiswe will make sure all government property retuned to the governmentand we will make sure wear resambled as tanganyika
ccm inalaanainaelekea kufa na sikio la kufa halisikii dawa hata mfanye nn hamuwezi kuinusuru
we will execute all fisadiswe will make sure all government property retuned to the governmentand we will make sure wear resambled as tanganyikaclick to expand
mmh kaaazi kweli kweli
nina wasi wasi wewe siyo mwana ccm
we mleta mada ni mjinga sana huwa watu kama wewe ni vigumu sana kubadilika coz ipo kama haujui nn tatizo la ccm unataka watu wakwambie mpaka hapo unaangukia kwenye kundi moja la watu wa hatari sana anayeitwahajui na hajui kama hajui ni matumain yangu unafaidika sana ndani ya ccm na hujui faida hyo unaipata kwa gharama za wa kodi za walala hoi na raslimali ambazo zingewanufaisha wengi
mchadema said
we mleta mada ni mjinga sana huwa watu kama wewe ni vigumu sana kubadilika coz ipo kama haujui nn tatizo la ccm unataka watu wakwambie mpaka hapo unaangukia kwenye kundi moja la watu wa hatari sana anayeitwahajui na hajui kama hajui ni matumain yangu unafaidika sana ndani ya ccm na hujui faida hyo unaipata kwa gharama za wa kodi za walala hoi na raslimali ambazo zingewanufaisha wengiclick to expand
hajui na hajui kama hajui
usitake nikulusinde asubuhi subuhi
safari ya ukombozi ilianza zamani
wengine walikufa wengine walipoteza
viungo vyao lakini safari inaendelea
msiogope ninyi mlio wengi maana
mkiogopa mimi nitaogopa zaidi lakini
nawatia moyo msiogope kuweni jasiri
haki haiwezi kudhalilishwa lema
kaombe ushauri sio hapa jamvini mnashika dola alafu hamna kitu kichwani
ureni said
bila hivyo tusubirie kuwa chama pinzani tena tutakua chama pinzani ambacho ni dhaifumanake chama cha kwanza kinaweza kuwa cdm ikafuata cuftlp na ccm tukawa wa mwisho hukuclick to expand
4na muache uongoz wa kuachia kama uchif na ufalme
5na mkubali kuachia madaraka 6na mwisho waliotoa hukum arusha wajiuzuru
mangu shadrack
umekosa kazi ya kufanyaacha upuuzi
innocent j said
habari zenu wana jf wenzangu well ninatakiwa kutoa speech yenye kichwa cha habari tutarudisha vipi imani ya wananchi kwa ccm so kama mwana ccm mwenzangu mwenye mapenzi mema na chama chetu plz ushauri wako ni muhimu no jokes heremungu ibariki tanzaniaclick to expand
ccm aka sikio la kufa mna kazi ya ziada
1040654
22228457 | 2017-07-27T00:52:41 | https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-mwana-ccm-changia-hapa.245953/ |
srimad bhagavatam canto 09 audio lectures in hindi by vishwarup prabhu | iskcon leaders
vishwarup prabhu sb 090214 hindi 20120228 iskcon mira roadmp3 129 mb | 2020-08-03T09:28:14 | http://iskconleaders.com/srimad-bhagavatam-canto-09-audio-lectures-in-hindi-by-vishwarup-prabhu/ |
naunga mkono mia kwa mialakini | jamiiforums | the home of great thinkers
naunga mkono mia kwa mialakini
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by negligible jun 17 2011
habari wana jamvihivi wabunge wote wanaochangia bajeti na kudai kuwa wanaiunga mkono bajeti mia kwa mia tena kwa msisitizo halafu wanaikosoa ni kwamba hawajui hesabu au wasiposema hivyo wataonekana wanaipinga serikalinadhani umefika wakati wabunge wanapaswa kujua kazi zaoambazo ni pamoja na kuisimamia serikali na sio vinginevyo
wanaiogopa kura ya maoni itawamaliza wasiposema kumbe ndiyo wana haribu kabisa wewe ukitaka usionekane mpinzani ndani ya ccm msifie jk msifei spika halafu kandia sana upinzani lakini ukiruhusu tu akili yako ifanye kazi vizuri ni lazima utaona mengi ya kuongea na ndipo kura ya maoni itakapokuwa inakusubiri mlangoni wewe chunguza utakuta mbunge wa ccm anaanza kwa utangulizi kama huu hapa chini
mheshima spika nashukuru kwa kunipa nafasi hii ya kuchangia lakini awali ya yote napenda niwashukuru marais wote wa awamu nne (04) kwa jinsi walivyojitahidi kuleta amani maendeleo nchi yetu zaidi ya yote rais wetu jakaya mrisho kikwete kwa kushinda ushindi wa kishindo na kuwaacha wapinzani wakilalamikia tume sijui kama wangekuwa wao wameshinda wangelalamika au hapo anapigiwa makofi na wenzake mbunge wa namna hii utafikiri hakuwepo kikao cha bunge kilichopita ambacho angalau hayo ndiyo yalikuwa mahali pake anaendelea
mheshima spika pia nikupongeze wewe mwenyewe binafsi kwa jinsi unavyoliendesha bunge kwa hekima na busara kubwa licha ya kuwepo miongozo mingi toka kwa wenzetu ambao ni sasa imekuwa ni kama jadi yao nikuombe uendelee kuwa na moyo huo huo wa kuwachukuliwa wenzetu cdm kwa jinsi walivyo wabunge wa ccm hapo ndiyo wanafurahi na kuona hizo ndizo point bado anaendelea
mheshima spika siku hizi bungeni kumezuka mtindo wa wenzetu kupinga na kuuhadaa umma tabia hii ni mbaya inalenga kuichafua serikali dhidi ya wapiga kura wake mfano mzuri ni mauaji ya nyamongo inatia aibu wabunge wenzetu kwenda kugomesha watu kuzika maiti kwa kejeli eti wameuawa na serikali (amesahau serikali ni organ na polisi wakimemo) anaendelea tabia hii si nzuri hata kidogo na inalishushia hadhi bunge
atendelea na porojo sizizo na msingi mpaka akikumbuka yupo kwenye bajeti anarudi
mheshima spika kiukweli bajeti iliyowasilishwa juzi na waziri wa fedha ndg mkulo ni bajeti inahitaji kupongezwa na wadau wote kwani imelenga kutokomeza umaskini wa mtanzania bajeti hii imeanisha vipaumbele vingi ambavyo vikitelezwa vinalenga kumsaidia kabisa mtanzania wa leo kwa mf punguzo la tozo ya mafuta (amesahau mafuta yanaagizwa kwa usd na tshs inazidi kushuka hivyo itaendelea kuwacost wafanyabiashara kuagiza mafuta) anaendelea
mheshimiwa spika mimi nashangaa serikali yetu kunendekeza tabia hii ya kila kitu kutumia dollar katika malipo ya nchi (amesahau tshs imeshuka thamani) na hoja zinafanana na ujuha ujuha
mwisho anaambiwa na spika mh mbunge muda wako umekwisha anaishia kumalizia mh spika naunga hoja 100
lakini akisimama mbunge wa upinzani wa upinzaini akasema
mheshimiwa spika napenda kuwasilisha mchango wangu wa bajeti iliyoakilishwa kama ifuatavyo
mh spika bajeti ilisomwa na waziri wa fedha mh mkulo nadhani kila mbunge ameisikia lakini napenda nitoe baadhi ya mapungufu kadhaa ambayo yanaonyesha kuwa bado haijalenga kumukomboa mwananchi wa kawaida bajeti yenyewe ikisoma uk wa katika kitabu cha bajeti utaona kuwa tshs trill zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo ya nchi fedha hizi nyingi ni fedha kutoka kwa wahisani tabia hii ya kutegemea wahisani imekuwa ikizolotesha maendeleo sana hapa nchini licha ya kila mwaka kupitisha bajeti za maendeleo kwani kutegemea wahisani kumekuwa na kasumba ya baadhi ya wahisani kutotoa fedha hizo kwa wakati au wakati mwingine kutotoa kabisa licha ya ahadi iliyokuwepo hii hupelekea miradi mingi kukwamia njiani au kutokwisha kwa wakati hivyo ni bora serikali sasa ikaacha kasumba ya kutegemea wahisani katika miradi ya maendeleo yake
mh spika suala lingine ni bajeti ya kawaida kwa miaka mingi nadadiriki kusema kuwa tangu tupate uhuru hakuna bajeti ya serikali iliwasilishwa ikiwa imebalance yaani matumizi na mapato kwa hili ni aibu kwa serikali licha ya kuwa na amani na utulivu yaani tumeshindwa kufikia hatua ya kujitegemea kwa bajeti yetu wenyewe hii ni hatari hata kwa rais kwani hata kuwa na muda mwingi wa kutulia ikulu kufanya kazi za wananchi zaidi ya kukuimbilia nchi wahisani kwenda kuomba misaada na hii inathibitishwa na kauli ya rais kipindi fulani kuwa kama mnalaumu safari zangu basi mjue tusingesaidiwa na nchi ingekuwa na hali mbaya mh spika ifikie wakati nchi iwe na mikakati ya kueleweka ya kujitegemea kiuchumi kulingana na rasilimali tulizonazo ni aibu kwa taifa kama hili kuendelea kuwa tegemezi kwa miaka dahali na dahali licha ya kujaliwa rasilimali nyingi tu na tuachane na tabia ya kusema kuwekeza kunahitaji mtaji mkubwa hii inafanana na ile kauli if you think education is expensive then try igrorance hivyo nasi kama tunafikiri kuwekeza ni gharama basi tusitegemee kabisa kuachana na umaskini uliotopea
mh spika mimi nadhani suala la posho za wabunge ifikie mahali tuwaonee huruma wananchi kwa nchi maskini kama tanzania kuendelea kuwalimbilizia wabunge na baadhi ya viongozi w serikali miposho mingi ni kama kuwahonga indirect vile ili waione na wasiikosoe serikali yao rai yangu nashauri mishahara iimarishwe kwa sekta zote ili ilete impact kubwa kuliko ilivyo sasa na hii itaondoa hata umaskini kiasi fulani
ataendelea na blalah blalah zake mwisho atamalizia siungi mkono hoja
unafiki unakuwepo kwenye kuunga mkono hoja tu na kusahau point zote ambazo mpinzani ametoa
niliyoandika ni reflection ya baadi ya uchangiaji wa wabunge wa ccm na wapinzani wafanyavyo bungeni na hayo ni maneno yangu ya kubuni tu sijamnukuu mtu yoyote
ukoko sawia kabisa nilisikia wabunge wakiwasilisha maoni yao yalifanana hivi hivi tena kwa ujinga ule ule wa wabunge wa ccm **** fulani wakati anawasilisha akitamka tu hizi ndizo sera nzuri za ccm utasikia meza zinapigwa kwa kushangila umaskini wote huu kwa miaka 50 without economic significant changes fools are apprising nonesence kwa ujumla kinachowatia hasira watnzania waelewa ni kuwa kwa ujumla hatua ya maendeleo tuliyopiga hailingani na miaka 50 ya uhuru kwa rasilimali tulizonazo full stop
sasa hivi tungekuwa kama botswana tusingekuwa tunazungumzia shule za kata ujenzi wa barabara za taifa na mikoa zahanati za kata njaa mauaji ya wananchi posho za wabunge nk
all these shame on ccm government | 2016-12-06T10:27:40 | http://www.jamiiforums.com/threads/naunga-mkono-mia-kwa-mia-lakini.146696/ |
hadubini myoscope maonyesho ya kimataifa ya biashara kigali rwanda 2010
posted by chib at 8910
na nukuu ``bidhaa za tanzania kwenye soko la huku ni ghali kwani zinaheshimika ya kuwa na ubora wa hali ya juu´´ mwisho wa nukuu
watanzania wenyewe wangekuwa wanaheshimu bidhaa za tanzania ndani ya tanzania ingekuwa bomba sana
paragrafu ya mwisho imeniacha hoi maana kuna watu wakivua kiatu ni balaa maana mpaka mbu wanakufa na inzi wanatoka baruti kisa harufu imezidi)
9/09/2010 112200 am
mhhhhh soxi za chib zinanukaaaaa
9/09/2010 032100 pm
simon na kamala ha ha haaa mimi nafikiri waliokuwa na matatizo ya miguu wamesimama hapo nje ya kibanda
9/09/2010 055600 pm
inawezekana ni aina ya siment sio kama wanaiheshimu ila haipatikani nyingine kuna aina ya simenti haifai kujengea majengo makubwa makubwa kwa mfano hapa mbeya kuna kiwanja cha ndenge cha kimataifa kinajengwa kinapojengwa ni upenuni mwa kiwanda cha tembo simenti lakini simenti inayotumika kujengea ni ya kiwanda cha wazo cha dar es salaam tembo simenti inatengenezwa kwa madini yaitwayo pozolana hii inafaa kwa hizi nyumba zetu na vitu visivyo vikubwa sidhani kama hao wajenzi wanatumia simenti yoyote kutoka tanzania lazima watakuwa wanatumia ya dar au ya tanga zote zinafaaa kwa maujenzi makubwa makubwa
9/11/2010 045100 pm
@ mwaipopo nashukuru kwa ufafanuzi | 2018-03-21T12:37:41 | http://ebchib.blogspot.com/2010/09/maonyesho-ya-kimataifa-ya-biashara.html |
mosulidadi ya waliokufa kwenye shambulio la nineveh yaongezeka | habari za ulimwengu | dw | 15082007
mosulidadi ya waliokufa kwenye shambulio la nineveh yaongezeka
wakati huohuo iraq inajiandaa kuunda kundi la wataalam watakaoshughulikia masuala ya ugaidi na kuimarisha usalama katika eneo la mpaka na nchi ya jordankwa mujibu wa mshauri wa usalama wa kitaifa wa iraq muwaffaq al rubaie kundi la wataalam watakaoshirikiana katika masuala ya usalama na ujasusi linapangwa kuundwakiongozi huyo aliyasema hayo baada ya kumaliza mkutano wa siku mbili na maafisa wa ngazi za juu wa jordan uliofanyika mjini amman
kulingana na bwana rubaie iraq inakabiliwa na matatizo ya kiusalama yanayozonga ufalme wa jordanjordan imeimarisha mpaka wake na iraq kufuatia shambulio la mwaka 2005
kiungo http//pdwcom/p/cbyq | 2017-11-17T22:44:38 | http://www.dw.com/sw/mosulidadi-ya-waliokufa-kwenye-shambulio-la-nineveh-yaongezeka/a-2904380 |
rehema msanjila 💨
niki💨
pili rajabu omary📝
emmanuel timoth tonola📝
hassan mmasa 📝
amazingweekendjokes read
kipindupindu chaota mizizi dar morogoro read
njoo kwangu maria mwema read
mostamazingjokesfortoday read
mwanaume anachofanya mbele ya wadada warembo read
masomoyakikristo read
really hilarious pictures for you fiancé read
categorically funny pictures for your classmates read
81 read
jinsi ya kupika visheti vyeupe na vya kaukau read
umepokewa kwa shangwe read
freshpostsever read
unamkabidhi moyo kibaka wa mapenzi unategemea nini read
maswali ya kweli ya dini read
mtanange wa paka na nyoka nani zaidi read
videosonline read
vitukovyajumatatu preview 05 apr 2018 1811 (vichekeshobomba) vitukovyajumatatu
worthy entertaining pictures of a month preview 18 apr 2018 0528 (funnypictures) worthy entertaining pictures of a month
top hilarious pictures of a day preview 18 apr 2018 0402 (funnypictures) top hilarious pictures of a day
funnygagsforyou preview 11 may 2018 1124 (featuredjokes) funnygagsforyou
top hilarious pictures for your fiancée preview 18 apr 2018 0408 (funnypictures) top hilarious pictures for your fiancée
mostamazinggagsforyou preview 12 may 2018 1609 (featuredjokes) mostamazinggagsforyou
hottestshortposts preview 13 may 2018 0704 (featuredjokes) hottestshortposts
entertainingtalesfortoday preview 12 may 2018 0707 (featuredjokes) entertainingtalesfortoday
worthy enjoyable pictures for her preview 18 apr 2018 1744 (funnypictures) worthy enjoyable pictures for her
humorousmondayposts preview 11 may 2018 1230 (featuredjokes) humorousmondayposts
good hilarious pictures for your husband preview 17 apr 2018 1609 (funnypictures) good hilarious pictures for your husband
ujumbe wa leo wa imani katoliki preview 28 sep 2017 0137 (featuredkatoliki) ujumbe wa leo wa imani katoliki
latestnewposts preview 13 may 2018 0620 (featuredjokes) latestnewposts
amazinggagsever preview 12 may 2018 0547 (featuredjokes) amazinggagsever
entertainingnewposts preview 12 may 2018 0704 (featuredjokes) entertainingnewposts
vichekeshovyakileo preview 05 apr 2018 1648 (vichekeshobomba) vichekeshovyakileo
posti muhimu za kanisa katoliki view 25 sep 2017 2325 (featuredkatoliki) posti muhimu za kanisa katoliki
currentpostsforyou view 12 may 2018 0600 (featuredjokes) currentpostsforyou
nukuu za leo za mkristu view 26 sep 2017 2325 (featuredkatoliki) nukuu za leo za mkristu
truly entertaining pictures for this month view 18 apr 2018 0454 (funnypictures) truly entertaining pictures for this month
categorically funny pictures for him view 17 apr 2018 1210 (funnypictures) categorically funny pictures for him
really funny pictures for your father view 17 apr 2018 1125 (funnypictures) really funny pictures for your father
enjoykitukokwamhenga view 19 aug 2017 1403 (vichekeshonapicha) enjoykitukokwamhenga
definitely hilarious pictures of a month view 18 apr 2018 0339 (funnypictures) definitely hilarious pictures of a month
modernmondayposts view 12 may 2018 1810 (featuredjokes) modernmondayposts
vichekeshovyajionihii view 08 apr 2018 1309 (vichekeshonapicha) vichekeshovyajionihii
entertainingjokesever view 12 may 2018 0655 (featuredjokes) entertainingjokesever
currentgagsforall view 12 may 2018 0601 (featuredjokes) currentgagsforall
hilarioustalesfortoday view 12 may 2018 0540 (featuredjokes) hilarioustalesfortoday
makala za sasa za kikristu view 21 sep 2017 2146 (featuredkatoliki) makala za sasa za kikristu
amazingtalesforyou view 12 may 2018 0553 (featuredjokes) amazingtalesforyou
best humorous pictures forever ever view 18 apr 2018 1807 (funnypictures) best humorous pictures forever ever
top enjoyable pictures for funny view 18 apr 2018 1800 (funnypictures) top enjoyable pictures for funny
best entertaining pictures to change your mood follow 18 apr 2018 0424 (funnypictures) best entertaining pictures to change your mood
visavyakukubadilishamood follow 05 apr 2018 2010 (vichekeshobomba) visavyakukubadilishamood
really enjoyable pictures on the internet follow 18 apr 2018 1546 (funnypictures) really enjoyable pictures on the internet
chunguza follow 26 nov 2016 0440 (pichanzuri) chunguza
definitely entertaining pictures for your husband follow 18 apr 2018 0522 (funnypictures) definitely entertaining pictures for your husband
entertainingtalesforever follow 12 may 2018 0707 (featuredjokes) entertainingtalesforever
worthy hilarious pictures on the internet follow 18 apr 2018 0355 (funnypictures) worthy hilarious pictures on the internet
worthshortjokes follow 12 may 2018 1626 (featuredjokes) worthshortjokes
good enjoyable pictures for her follow 18 apr 2018 1528 (funnypictures) good enjoyable pictures for her
visavyakukupamudimpya follow 08 apr 2018 1258 (vichekeshonapicha) visavyakukupamudimpya
truly entertaining pictures for this month follow 18 apr 2018 0454 (funnypictures) truly entertaining pictures for this month
best entertaining pictures on the internet follow 18 apr 2018 0419 (funnypictures) best entertaining pictures on the internet
freshmondaytales follow 13 may 2018 0649 (featuredjokes) freshmondaytales
really funny pictures for you fiancé follow 17 apr 2018 1125 (funnypictures) really funny pictures for you fiancé
videomapema follow 21 jan 2017 1151 (videoskali) videomapema
goodtalesforyou follow 12 may 2018 0633 (featuredjokes) goodtalesforyou
worthy entertaining pictures for him follow 18 apr 2018 0534 (funnypictures) worthy entertaining pictures for him
definitely entertaining pictures forever ever open 18 apr 2018 0516 (funnypictures) definitely entertaining pictures forever ever
vichekeshovyajumatatu open 08 apr 2018 1313 (vichekeshonapicha) vichekeshovyajumatatu
goodshortjokes open 12 may 2018 0622 (featuredjokes) goodshortjokes
jinsiyakukutananamarafiki open 10 oct 2017 1312 (featuredmarafiki) jinsiyakukutananamarafiki
best hilarious pictures for her open 17 apr 2018 1603 (funnypictures) best hilarious pictures for her
freshmondaytales open 13 may 2018 0649 (featuredjokes) freshmondaytales
mostpopularnewposts open 12 may 2018 1344 (featuredjokes) mostpopularnewposts
mostamazingjokesever open 12 may 2018 1601 (featuredjokes) mostamazingjokesever
interestingjokesforever open 11 may 2018 1144 (featuredjokes) interestingjokesforever
mafundisho ya kipekee ya mkristu open 08 aug 2017 1610 (featuredkatoliki) mafundisho ya kipekee ya mkristu
page 1 of 143391231433814339next »
• chekakidogohapa 15 oct 2016 0702 (vichekeshonapicha ) chekakidogohapa
• bikira maria na mtoto yesu 18 nov 2016 0745 (adssdcat ) bikira maria na mtoto yesu
• 01 feb 2017 1526 (file ) [http//wwwackyshinecom/filemaishanisafari ]
• postizakikristu 21 aug 2017 2311 (katolikif ) postizakikristu
• vitukovyadisemba 05 apr 2018 1825 (vichekeshobomba ) vitukovyadisemba
• tafuta mliopotezana 18 may 2018 0949 (kutafutana ) tafuta mliopotezana
• 12 apr 2018 1750 (file ) [http//wwwackyshinecom/filewhenyouwanttobeuniqueinselfie ]
• tafuta marafiki ndugu jamaa na mliosoma pamoja 21 jan 2018 2045 (kutafutana ) tafuta marafiki ndugu jamaa na mliosoma pamoja
• tafuta marafiki wa zamani 07 nov 2017 0435 (kutafutana ) tafuta marafiki wa zamani
• tafuta rafiki wa utotoni 21 nov 2017 1609 (kutafutana ) tafuta rafiki wa utotoni
• tafuta marafiki ndugu jamaa na mliosoma pamoja 19 nov 2017 1608 (kutafutana ) tafuta marafiki ndugu jamaa na mliosoma pamoja
• tafuta marafiki kwenye mtandao moja kwa moja 17 feb 2018 1826 (kutafutana ) tafuta marafiki kwenye mtandao moja kwa moja
• visavyajumahili 05 apr 2018 1958 (vichekeshobomba ) visavyajumahili
• tafuta mabesti wa shule mliosoma pamoja 21 mar 2018 1941 (kutafutana ) tafuta mabesti wa shule mliosoma pamoja
• tafuta rafiki uliyesoma pamoja 04 mar 2018 2019 (kutafutana ) tafuta rafiki uliyesoma pamoja
• visavyakatikatiyawiki 08 apr 2018 1253 (vichekeshonapicha ) visavyakatikatiyawiki
• tafuta mliopotezana 20 apr 2018 0055 (kutafutana ) tafuta mliopotezana
• chekapichanawahenga 06 aug 2017 0304 (pichanzuri ) chekapichanawahenga
• 02 aug 2016 1912 (file ) [http//wwwackyshinecom/fileimg20160101112232 ]
• tafuta marafiki ndugu jamaa na mliosoma pamoja 09 nov 2017 1204 (kutafutana ) tafuta marafiki ndugu jamaa na mliosoma pamoja
• mataifa yaliyotokana na noa 18 jun 2015 1408 (bibhath biblia hadithi kale mataifa mwanzo noa) mataifa yaliyotokana na noa
• kumtafuta mungu 06 jun 2017 1006 (katolikicotent ) kumtafuta mungu
• kupata marafiki wa zamani 22 jan 2018 0846 (kutafutana ) kupata marafiki wa zamani
• tafuta rafiki mliopotezana 04 mar 2018 1653 (kutafutana ) tafuta rafiki mliopotezana
• beent masanga namtafuta sauco pilula timoth
• mateso juma shija namtafuta fabiani luhanya
• joseph salu kiyupi namtafuta budagala
• songoi luvanga namtafuta
• abdallah amri makota namtafuta hussen juma
• nuhu mabena namtafuta frola luhwago
• emma gibere namtafuta
• tafuta mabesti wako wa utotoni 01 dec 2017 1841 (kutafutana ) tafuta mabesti wako wa utotoni
• 12 feb 2017 1145 (file ) [http//wwwackyshinecom/filevideo6367 ]
• tafuta rafiki wa udogoni mliopotezana 15 sep 2017 1757 (kutafutana ) tafuta rafiki wa udogoni mliopotezana
• kupata marafiki wa zamani 16 nov 2017 1753 (kutafutana ) kupata marafiki wa zamani
• tafuta marafiki ndugu jamaa na mliosoma pamoja 29 jan 2018 0931 (kutafutana ) tafuta marafiki ndugu jamaa na mliosoma pamoja | 2018-05-21T18:40:27 | http://www.ackyshine.com/kutafutana:1530 |
teknolojia kipindi cha reggae time pride fm sept 17 2016mahojiano na innocent galinoma wazalendo 25 blog
home habari maisha matukio teknolojia teknolojia kipindi cha reggae time pride fm sept 17 2016mahojiano na innocent galinoma
teknolojia kipindi cha reggae time pride fm sept 17 2016mahojiano na innocent galinoma
gadiola emanuel september 18 2016 habari maisha matukio teknolojia | 2017-12-13T03:14:07 | https://wazalendo25.blogspot.com/2016/09/teknolojia-kipindi-cha-reggae-time.html |
kupunguza umaskini tujifunze kutoka thailand | jamiiforums | the home of great thinkers
kupunguza umaskini tujifunze kutoka thailand
kilimo kina nafasi kubwa katika kupunguza umaskini hasa kwa nchi maskini kama tanzania ambayo idadi kubwa ya watu wake hutegemea kilimo katika kuendesha maisha yao ya kila siku
kuongezeka kwa thamani ya mazao ya kilimo kulisaidia sana kupunguza umaskini barani asia hasa nchini thailand katika miaka ya 1970 na 1980 hata hivyo kilimo kikiachwa nyuma (bila kuendelezwa) kinaweza kuwa mtego wa umaskini
hicho ndicho kinachotokea katika nchi nyingi maskini za kusini mwa jangwa la sahara barani afrika ambako sekta ya kilimo imeachwa nyuma
tanzania haina uwekezaji wa kutosha katika miundombinu ya vijijini teknolojia ya kilimo zana au vitendea kazi vya msingi
kwa matokeo hayo mafanikio ya kilimo aidha hudumaa au huongezeka kwa taratibu kama si kuanguka kabisa
hapa nchini kilimo kimekuwa kikikua kwa asilimia nne katika muongo mmoja uliopita wakati ongezeko la watu likiwa karibu asilimia tatu kwa mwaka katika mikoa mingi na katika mikoa mingine ni zaidi ya hapo hivyo si rahisi kuamini kuwa kilimo kinaweza kusaidia kupunguza umaskini kwa uwiano huu wa uongezeko la watu
sambamba na hilo hakutakuwa na ongezeko lolote la kipato cha wananchi hii ndiyo sababu umaskini umeendelea kutamalaki miongoni mwa wananchi hapa tanzania
ni kwa namna gani katika hali hii mtu anaweza kusema kuwa kilimo kitapunguza umaskini miongoni mwa wananchi
baadhi ya nchi zinazo majibu ya kueleweka hasa za asia nchi ya thailand ni mfano maalumu ambao tunaweza kuutumia kujipima na kupata somo zuri ambalo tanzania inaweza kulitumia
thailand imepunguza kwa hakika umaskini tangu miaka ya 1960 kwa sasa ni msafirishaji mkubwa wa bidhaa za chakula ikiwamo vyakula vilivyosindikwa mchele wa thailand unanunuliwa sana katika soko la dunia
ubora na bei ndogo hufanya bidhaa za chakula za thailand kuwa bora katika masoko ya dunia wanafanikiwaje utafiti katika kilimo ndio umewaletea mafanikio makubwa
mafanikio ya thailand kutokana na kilimo hayakuja kwa siku moja ni baada ya miongo mingi ya uwekezaji katika kilimo ambako kumezaa matunda thailand kwa sasa imekwisha kufikia malengo ya maendeleo ya milenia ikiwamo kupunguza umaskini miongoni mwa wanachi wake kwa kiasi kikubwa
katika robo ya mwisho ya karne iliyopita miundombinu ya vijijini nchini thailand ilikuwa tayari imeimarishwa kwa kiasi kikubwa ambapo uchumi wa vijiji tayari ulikuwa umeunganishwa katika masoko
urefu wa barabara za vijijini uliongezeka kwa wastani wa asilimia 11 kwa mwaka njia za simu vijijini zimeongezeka kwa asilimia 23 kwa mwaka
aidha thailand usambazaji wa umeme katika vijiji umekuwa ukiongezeka kwa asilimia 17 kwa mwaka mwaka 2000 asilimia 97 ya watu wanaoishi vijijini tayari walikuwa wakipata huduma ya umeme mafanikio hayo yametokana na kuongezeka kwa bidhaa za kilimo
upatikanaji mdogo wa umeme katika maeneo ya vijijni hudumaza ukuaji wa kilimo
hali ya umeme thailand tunaweza kuilinganishaje na tanzania
hali yetu ya umeme vijijini bado inatisha kwani ni vijiji vichache sana vinavyopata huduma hii
kuhusu zana za kilimo thailand zana za kilimo zimeongezeka kwa kiasi kikubwa kulinganisha na tanzania ambako upatikanaji wake umekuwa ukidorora mwaka hadi mwaka
idadi ya matrekta kwa kila km 100 za mraba za ardhi inayolimika imeshuka kutoka 32 mwaka 1961 hadi 23 mwaka 2005 hata hivyo wastani wa matrekta yanayomilikiwa na kaya mbalimbali umedorora kutoka asilimia 02 mwaka 2000/01 hadi asilimia 01 mwaka 2007
tangu mwanzoni mwa miaka ya 1980 thailand iliizidi tanzania katika pembejeo za kilimo idadi ya matrekta kwa kilometa za mraba 100 kwa ardhi inayolimika yaliongezeka kutoka matano tu (dhidi ya 32 ya tanzania) mwaka 1961 hadi 261 mwaka 2005
katika pato la kila mwananchi wa tanzania kwa sasa linalingana na ilivyokuwa thailand mwaka 1963 ikiwa na maana kwamba pato la mwananchi wa tanzania kwa sasa ni sawa na pato la mwananchi wa thailand miaka 49 iliyopita
aidha matumizi ya mbolea pia kimekuwa kikwazo kikubwa miongoni mwa wakulima wengi hapa nchini matumizi ya mbolea miongoni mwa mambo mengine ni muhimu sana kwa ongezeko la mazao ya kilimo
matumizi ya mbolea nchini thailand yameongezeka kutoka kilo 17 kwa hekta moja mwaka 1961 hadi kilo 1207 mwaka 2005
hapa nchini matumizi ya mbolea yameongezeka kutoka kilo 05 mwaka 1961 hadi kilo 58 mwaka 2004 kabla ya kufikia kilo 108 mwaka 2005 | 2017-07-25T08:55:55 | https://www.jamiiforums.com/threads/kupunguza-umaskini-tujifunze-kutoka-thailand.239821/ |
unboundaries news mkuu wa mkoa wa kilimanjaro awaagiza polisi wamkamate meneja wa kiwanda
mkuu wa mkoa wa kilimanjaro awaagiza polisi wamkamate meneja wa kiwanda
serikali imeliagiza jeshi la polisi mkoani kilimanjaro kumkamata mara moja na kumfikisha mahakamaini meneja wa kiwanda cha kukoboa kahawa cha tanganyika coffee curing company ltd cha mjini moshi andrew kleruu kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa magunia 36 yenye uzito wa kilogramu 1764 za kahawa kutoka kwa wanaushirika wa chama cha g32 kilichopo mkoani humo
agizo la mkuu wa mkoa wa kilimanjaro amos makalla likielekezwa kukamatwa kwa meneja wa kiwanda cha kukoboa kahawa cha tanganyika coffee curing company ltd andrew kleruu akituhumiwa kuhusika na upotevu wa magunia 36 katika ukoboaji wa kahawa kwa msimu uliopita
pamoja na mambo mengine makala ameagiza kuchunguzwa kwa madai ya mishahara ya wafanyakazi kiwandani hapo yanayofikia kiasi cha shilingi milioni 77pamoja na kodi inazodaiwa na mamlaka ya mapao nchini tra mkoani kilimanjaro kiasi cha shmilioni 390
kauli ya makala imenilazimu kuutafuta uongozi wa chama cha g32 ili kujua ni namna gani hali hiyo imekuwa ikikatisha tamaa wakulima wa kahawa kuendelea na kilimo cha zao hili
tuhuma za ubadhirifu wa fedha zimeendelea kuukumba mkoa wa kilimanjaro katika miezi ya hiv karibuni huku watumishi wa idara mbalimbali wakihusishwa na tuhuma hizo
posted by santos chuwa at 122 pm | 2018-10-18T13:27:12 | http://santoschuwa.blogspot.com/2015/12/mkuu-wa-mkoa-wa-kilimanjaro-awaagiza.html |
ht 26 set | jackzcosmetics
ht 26 set may 23 2012may 23 2012jackzcosmetics am
ht 26 set ni sauni serum pamoja na fade cream
← kumbe kuwa na chunusi kupendakwetu tuna dawa za kila aina ya ngozi toka marekaniwai uje ujitibie kabla hujagewa taraka kwasababu ya chunusi na madoa usonisabuni hii ya ht pamoja na fade cream yake huondoa vipele vidogovidogo usoni na kufanya sura yako kuwa nyororoooooo na kungaaaaaa → leave a reply cancel reply enter your comment here | 2016-12-03T13:37:52 | https://jackzcosmetics.wordpress.com/2012/05/23/ht-26-set/ |
bilionea iptl apelekwa muhimbili habari | gazeti la kiswahili linaloongoza tanzania
46 minutes ago kiwango cha kane kusajiliwa timu vigogo
50 minutes ago joshua atafuta kulipa kisasi kwa joseph parker
takukuru yatekeleza amri ya mahakama kumpeleka sethi muhimbili
dar es salaam taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) imetekeleza amri za mahakama ya hakimu mkazi kisutu kwa kumpeleka mshtakiwa katika kesi ya uhujumu uchumi harbinder sethi katika hospitali ya taifa ya muhimbili kwa ajili ya kufanyiwa vipimo
soma puto tumboni lamtesa bilionea sethi wa iptl | 2017-12-12T13:48:21 | http://www.mwananchi.co.tz/habari/Bilionea--IPTL--apelekwa--Muhimbili/1597578-4137966-srdj95/index.html |
ujumbe wa ufunuo sura ya 2
ujumbe wa ufunuo sura ya 2
ujumbe kwa efeso
ujumbe kwa smirna
ujumbe kwa pergamo
ujumbe kwa thiatira
katika sura mbili zifuatazo kuna ujumbe kwa makanisa saba ujumbe huo inatuhusu sisi pia tungeweza kuchunguza kila kanisa na ujumbe wake na kutafuta mafundisho kwa ajili ya wakati wetu na makanisa yetu tungepata mafundisho mazuri na maonyo makali kukaripia na shukrani
lakini uchunguzi huo ungechukua muda mrefu hata sasa hatutachunguza ujumbe kwa makanisa saba kwa upande huo bali tunachunguza kwa upande wa unabii yaani kwa mpangilio wa muda kwa njia nyingine kila kanisa inawakilisha muda wake kikristo tangu wakati wa mitume hadi mwisho wa kipindi cha makanisa wakati wa yohana ujumbe kwa makanisa ulikuwa ni unabii wa mambo yajayo kwamba wokovu na ukristo na kukua vitakuwaje sasa tunaweza kuangalia nyuma lakini kipindi hicho waliangalia mbele sasa tunaweza kwanza kusoma unabii ndani ya ufunuo na kisha tuangalie katika historia ya makanisa kama mambo hayo ni kweli kadri ya ufunuo wa yohana tukichunguza mambo kwa njia hii tutagundua ni kweli kwa kadri ya ufunuo
efeso (miaka 30100)
wakati wa makanisa kanisa la efeso lilikuwa kanisa la kwanza kanisa la efeso ni mfano nzuri wa makanisa wakati wa mitume yale mambo yaliyokuwa efeso yalipatikana hata katika makanisa mengine ya wakati huo matatizo ya efeso yalikuwapo hata sehemu zingine na shukrani zilizopatikana efeso zilikuwa faida kwa makanisa mengine efeso inawakilisha wakati wa mitume tangu mwaka wa thelathini hadi mwaka wa mia moja baada ya kristo
1 kwa malaika wa kanisa lililoko efeso andika haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu 2 nayajua matendo yako na taabu yako na subira yako na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya tena umewajaribu wale wajiitao mitume nao sio ukawaona kuwa waongo 3 tena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya jina langu wala hukuchoka 4 lakini nina neno juu yako ya kwamba umeuacha upendo wako wa kwanza 5 basi kumbuka ni wapi ulikoanguka ukatubu ukayafanye matendo ya kwanza lakini usipofanya hivyo naja kwako nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake usipotubu 6 lakini unalo neno hili kwamba wayachukia matendo ya wanikolai ambayo na mimi nayachukia 7 yeye aliye na sikio na alisikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa yeye ashindaye nitampa kula matunda ya mti wa uzima ulio katika bustani ya mungu (ufu 217)
makanisa ya wakati huo yalikuwa pungufu na kupungukiwa kama siku hizi pia tulisoma mstari wa kwanza kwamba yesu alitembelea kati ya vinara yaani katikati ya makanisa alipenda kukaa ndani ya makanisa yale yote saba katika ufunuo kwa sababu yesu kristo ni yeye yule jana na leo na hata milele (ebr 138) hata leo anatembelea makanisani ni vizuri tukikaa ndani ya makanisa yetu sababu yesu anatembelea makanisani
wakati wa mitume makanisa yalikuwa na matukio mengi kazi nyingi na uvumilivu wakati huo uliangaliwa sana kwamba dhambi isikubaliwe maishani wale mitume wa uongo walijaribu kujiingiza miongoni mwao lakini waliteswa na waliojifanya walitengwa kando wakristo waliudhiwa sana kwa ajili ya jina la yesu lakini hawakuchoka baadaye upendo wao kwa yesu ulipoa na uamusho ukaanza kupoa miujiza haikutokea kama hapo awali labda haikutafutwa tena pole pole hata kazi ya roho mtakatifu makanisani ilipungua na kazi za watu ziliongezeka
yesu aliahidi kutoa kinara mahali pake iwapo upendo hautarejea ndani ya wachungaji na wahubiri hema ya kukutania ni mfano mkubwa katika agano la kale katika hema ya kukutania kilikuwamo kinara pia kazi ya kinara na zile taa ilikuwa kumulika ile meza ya mikate iliyokuwa kule mbele mifano hiyo inamaana ya vyakula vya rohoni ambavyo mungu anataka kutugawia makanisani mungu anataka kwamba katika makanisa kuwe na chakula cha rohoni lakini kama upendo wa waalimu umepoa kwa yesu waalimu na wahubiri hawaioni tena ile meza ya chakula na hawawezi kuwagawia wakristo chakula cha rohoni hapo waalimu na wachungaji na wakristo watapata njaa ya kiroho hayo yote yanasababishwa na upendo wa yesu kupoa ndani ya wachungaji
historia ya makanisa inatuelewesha kwamba pole pole makanisa yalianza kujitoa hawakutunza ile nguvu waliyokuwa nayo yaani hawakutubu
hivyo uamsho ulianza kupungua moto katika karne zilizopita na makanisa mengi yalianza kwenda pembeni na uongozi wa roho mtakatifu kinara kilitolewa mahali pake chakula cha kiroho kilipungua makanisani kama chemchemi ya rohoni ilienda pembeni na kukauka mungu alifungua zingine na uamsho wa kiroho mpya kila mara kuna makanisa yenye nguvu na yale yaliyokauka
wachunguzi wa biblia wanafikiri kwamba shemasi mmoja wa yerusalemu kwa jina nikolao (mdo 65) baadaye alianguka na kuleta mafundisho ya uzushi lakini hatujui wala si muhimu kujua pia watu walifundishwa kwamba kazi za utumishi walipewa baadhi ya watu wakristo wa kawaida walikatazwa kufanya kazi ya mungu na kushuhudia mafundisho hayo yalileta maisha ya ukahaba na uhuru wa mwili waliambiwa kwamba tumewekwa huru kutoka utumwa wa dhambi tunaishi tunavyotaka dhambi haitatuangamiza walisema upatanisho unatosha hivyo mwili ulipewa uhuru wa kuishi unavyotaka katika uchafu
ni kawaida kwamba wengi walipoteza imani yao kwa sababu ya mafundisho ya aina hiyo
mawazo ya aina hii na uhuru wa mwili ulichukiwa mwanzoni huko efeso na hata yesu alichukia kama tulivyosoma yesu alikataa ukuhani tofauti bali wote ni watendakazi wake siyo makuhani peke yake hivyo kila mmoja ana wajibu wa kutangaza injili na siyo watumishi tu baada ya mafundisho ya wanikolai kuenea walitokea mababa wa kanisa na majengo ya wakatoliki
kutokea kwa kanisa la katoliki kulisababisha kanisa la efeso kwenda pembeni yesu anaelekeza somo hili kwa mtu mmoja mmoja akisema kwamba yeye aliye na sikio na alisikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa (ufu 27a) yeye ashindaye nitampa kula matunda ya mti wa uzima ulio katika bustani ya mungu (ufu 27b)
ushindi haupatikani bila mapambano yeye atakayepambana na kushinda kuna ahadi nzuri kwa ajili yake yeye asiangalie wakristo wengine bali apambane mbele za mungu wake hata wengine wakianguka wewe usianguke usiwaige wengine kama siyo wazuri
efeso inatupa mfano wa wakati wa kiroho ambayo ilikuwa wakati wa yohana mwaka wa thelathini hadi mia moja baada ya kristo
smirna (miaka 100313)
baada ya kanisa la efeso barua ilikuja kwa kanisa la smirna kanisa la smirna linawakilisha wakati na maisha ya kiroho kuanzia mwaka wa mia moja baada ya kristo na kuendelea kama miaka mia mbili mbele kutukaribia sisi kwa usahihi hadi mwaka wa mia tatu kumi na tatu baada ya kristo
smirna ni sawa na mirha yaani manemane manemane ni mfano wa mateso kanisa la smirna ni la wakati wa mateso ilipata dhiki nyingi kwa ajili ya imani yake
8 na kwa malaika wa kanisa lililoko smirna andika haya ndiyo aneneyo yeye aliye wa kwanza na wa mwisho aliyekuwa amekufa kisha akawa hai 9 naijua dhiki yako na umaskini wako (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni wayahudi nao sio bali ni sinagogi la shetani 10 usiogope mambo yatakayokupata tazama huyo ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi uwe mwaminifu hata kufa nami nitakupa taji ya uzima 11 yeye aliye na sikio na alisikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili (ufu 2811)
karne ya kwanza sehemu nyingi wayahudi na wanasariti yaani wafuasi wa yesu walikutanika ndani ya sinagogi moja mara nyingine wayahudi waliwapinga wafuasi wa yesu na mara zingine waliwakubali baadaye wayahudi sehemu zote walianza kuwapinga na kuwachukia wafuasi wa yesu hata makaisari wa rumi waliwapinga na kuwatesa
tulisoma kwamba kanisa liliambiwa kwamba nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi (ufu 210b) tungeweza kusoma katika historia kwamba kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi mwaka wa mia tatu kumi na mbili tunaona kwamba muda wa dhiki uligawanywa vipindi kumi yaani siku kumi
kanisa halikukemewa tu bali watu walitiwa moyo pia matezo yalimalizika baada ya kaisari konstantino kukiri dini ya kikristo kuwa dini ya kiserikali mateso yaliisha na wakati huo wakristo walifikiri kwamba utawala wa mungu wa miaka elfu moja umefika sababu hawateswi tena la hasha wakati wake ulikuwa bado
smirna inawaelezea wafia kristo waliopeleka kanisa mbele kanisa linawakilisha muda baada ya efeso yaani mwaka wa mia moja hadi mwaka wa mia tatu kumi na tatu baada ya kristo
pergamo (miaka 313500)
12 na kwa malaika wa kanisa lililoko pergamo andika haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali wenye makali kuwili 13 napajua ukaapo ndipo penye kiti cha enzi cha shetani nawe walishika sana jina langu wala hukuikana imani yangu hata katika siku za antipa shahidi wangu mwaminifu wangu aliyeuawa kati yenu hapo akaapo shetani 14 lakini ninayo maneno machache juu yako kwa kuwa unao huko watu washikao mafundisho ya balaamu yeye aliyemfundisha balaki atie ukwazo mbele ya waisraeli kwamba wavile vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu na kuzini 15 vivyo hivyo wewe nawe unao watu wayashikao mafundisho ya wanikolai vile vile 16 basi tubu na usipotubu naja kwako upesi nami nitafanya vita juu yao kwa huo upanga wa kinywa changu 17 yeye aliye na sikio na alisikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa nami nitampa jiwe jeupe na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea (ufu 21217)
huko tunapata kanisa jingine linalofuata mwaka wa mia tatu kumi na tatu hadi mia tano baada ya kristo kanisa la tatu ni pergamo maana ya jina la pergamo ni maisha ya ndoa siyo ndoa halali yaani aina ile tunaoelezwa kwenye biblia bali isiyo halali yaani kuishi kama ndoa halali lakini kihalali siyo ndoa ndoa ambayo hajafungwa kihalali biblia inaita maisha haya ni uasherati huo siyo mpango wa mungu kama ndoa
wakati wa pergamo ulikuja baada ya wakati wa smirna wakati wa pergamo uliendelea kama miaka mia mbili hivi mpaka mwaka wa mia tano
mateso yaliisha baada ya dini ya kikristo kuanzishwa kama dini ya kiserikali katika mataifa mengi serikali inatetea dini fulani na wakuu wa serikali wanaamua mambo ya makanisa pia wale viongozi si lazima wawe na wokovu wanaweza kuwa wenye dhihaka
mateso yaliisha na wakristo wa pergamo walifurahi na kusema sasa utawala wa mungu wa miaka elfu umeanza furaha yao haikudumu muda mrefu kwani kilicho gunduliwa kilikuwa ndoa isiyohalali historia inaeleza wapagani walianza kuingia makanisani wao walikuwa wengi na kwa sababu mambo yalifanyika kwa kupiga kura wao waliokuwa wengi walishinda
pole pole wale wasiookoka walianza kuwatesa wale wakristo waliokuwa kanisani
katika mstari wa kumi na tatu unatuambia kwamba ukaapo ndipo penye kiti cha enzi cha shetani wapergamo wasiookoka waliabudu sana miungu mingine madhabahu ya sanamu zeu ya ilikuwapo huko na hekalu la asklepios zeu alikuwa sanamu aliyeabudiwa kama mungu wa mbingu na mwanga pia alikuwa mungu wa sanamu kwa wale wote watu waliamini hivi asklepios alikuwa akasimamia matibabu ishara yake ilikuwa nyoka aliye hai
mji huu mdogo uliongozwa kwa ibada za sanamu yenye nguvu kwa sababu watu waliobudu sana sanamu hiyo ilimaanisha adha na mateso kwa wakristo walio wa yesu walipata shida lakini hawakumkana
tulisoma kuhusu mtu moja antipa historia ya kikatoliki inatueleza kwamba antipa alibatizwa akiwa na miaka kumi na tatu alikufa akitetea wokovu akiwa na miaka tisini na tisa
mafundisho ya balaamu yaliingia kanisani (mstari 14) yaani mtu anaweza kuwa wa dini fulani ingawa hana toba ya kweli hii siyo sahihi hii ilikuwa uhuru wa mwili kanisa lilikubali uasherati na mialiko yake pia mafundisho ya wanikolai yalikubaliwa hayo yalichukiwa huko efeso watu waliishi kwa njia ya ukahaba na walitegemea kwamba neema yatosha yesu alichukia na kukataa mambo haya hata wachungaji walikuja juu ya wakristo zamani wachungaji waliwahudumia wakristo lakini sasa walitawala
tusome petro wa kwanza sura ya tano mistari ya pili na tatu
2 lichugeni kundi la mungu lililo kwenu na kulisimamia si kwa kulazimishwa bali kwa hiari kama mungu atakavyo si kwa kutaka fedha ya aibu bali kwa moyo 3 wala si kama wajifanyao mabwana juu ya mitaa yao bali kwa kujifanya vielelezo kwa lile kundi
siyo kama wajifanyao mabwana bali kwa kujifanya vielelezo kwa lile kundi hata sisi tunasumbuliwa na mafundisho ya wanikolai sisi tena siyo watumishi wa kanisa na wakristo bali tunataka kuwatawala wachungaji wanahudumia kanisa kwa kuwagawia mazuri maarifa ya rohoni na chakula cha rohoni mafundisho ya wanikolai yalileta utawala mbaya kanisani ambayo yesu aliyachukia na anachukia siku hizi pia wapergamo walikemewa kwa kukubali mambo hayo
kanisa lilikuwa hivyo wakati wa pergamo yaani wakati wa mia tatu hadi mia tano kanisa katoliki lilianza hivi taratibu
thiatira (miaka 5001500)
kanisa la nne ni la thiatira hii ilikuwa baada ya wakati wa pergamo muda wa thiatira ulichukuwa miaka elfu moja muda wa thiatira ulichukua wakati wa kanisa la katoliki kuanzia mwaka wa mia tano mpaka wakati wa lutheri kama miaka elfu na mia tano
18 na kwa malaika wa kanisa lililoko thiatira andika haya ndiyo anenayo mwana wa mungu yeye aliye na macho yake kama mwali wa moto na miguu yake mfano wa shaba iliyosuguliwa sana 19 nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza 20 lakini nina neno juu yako ya kwamba wamridhia yule mwanamke yezebeli yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu 21 nami nimempa muda ili atubu wala hataki kuutubia uzinzi wake 22 tazama nitamtupa juu ya kitanda na hao wazinio pamoja naye wapate dhiki kubwa wasipotubia matendo yake 23 nami nitawaua watoto wake kwa mauti na makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye achunguzaye viuno na mioyo nami nitampa kila mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yake 24 lakini nawaambia ninyi wengine mlioko thiatira wo wote wasio na mafundisho hayo wasiozijua fumbo za shetani kama vile wasemavyo sitaweka juu yenu mzigo mwingine 25 ila mlicho nacho kishikeni sana hata nitakapokuja 26 na yeye ashindaye na kuyatunza matendo yangu hata mwisho nitampa mamalaka juu ya mataifa 27 naye atawachunga kwa fimbo ya chuma kama vyombo vya mfinyanzi vipondwavyo kama mimi nami nilivyopokea kwa baba yangu 28 nami nitampa ile nyota ya asubuhi 29 yeye aliye na sikio na alisikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa (ufu 21829)
baadhi ya wakristo wa thiatira walipata sifa na wengine walikemewa historia inaeleza kwamba uamusho ulitokea sehemu mbali mbali na makanisa mengine yalizaliwa makanisa ya macahche yalipotea zaidi na mafundisho ya biblia na hata roho mtakatifu makanisa hayo yalikufa kiroho ndiyo maana baada hayo baadhi walipata shukrani na wengine kukemewa uamsho ulileta watu kwa yesu na uliongoza watu kwenda mbinguni na uamsho ulishukuriwa yale makanisa yaliyokufa yaliyopotosha watu upotevuni yalikemewa
thiatira alikuwa na mpotoshaji jina lake ni yezebeli yeye alikuwa mwanamke aliyejiita nabii wengi walimfuata yeye na waliangamia pia yezebeli ni mfano wa dini ya kikatoliki aliyeleta kule kanisani kuabudu maria kanisa katoliki linawafundisha watu kwa mafundisho ya maria
thiatira walikuwepo wakristo wengi wale waliopewa ahadi nzuri za ushindi ukatoliki ulikuwa mkubwa na ulikuwa ni kanisa lililopotoka watu wengi walipotea pia lakini watu wachache hawakupotea tena mungu alikuwa pamoja na wale waliotaka kumfuata historia inaeleza kwamba uamusho ulitokea sehemu mbali mbali
mambo ya kanisa la thiatira yalikuwa na unabii wa kuzaliwa kwa katoliki ufunuo huo ulikuwa kamili
turudie kwa ufupi
kanisa la efeso linawakilisha historia ya wakati wa mitume yaani mpaka mwaka wa mia moja baada ya kristo smirna tokea mwaka mia moja hadi mia tatu kumi na tatu la tatu ni pergamo inawakilisha miaka ya mia tatu kumi na tatu hadi mia tano ya nne ni thiatira matukio yake yalibashiri dunia ya ukiristo itakuaje miaka ya mia tano hadi elfu moja mia tano sasa tunaona kwamba ufunuo ulitimia kimaandiko | 2019-08-24T18:55:30 | http://www.kopra.info/ufunuo.htm |
16559 2000
biashara yoyote kabla hujaifanya lazima ufanye research (marketing 4ps / 7ps lazma zihusike)
hata kuku ukifuga bila kujua utamuuzia nani na kwa bei gani lazma watadoda tu
hakuna mteja maalumu wa nyanya za greenhouse/ mteja ni yuleyule anayenunua nyanya zitokazo shamba za kawaida
chamuhimu kwenye kilimo kama cha nyanya ni uelewa wa soko na timing ya soko( unalima wakati gani na unavuna wakati gani) demand and suply na mahusiano na wateja
wakazi wengi wa dar wanalima kwa fashion yani mtu ni muajiliwa then anajenga greenhouse analima mazao lakin anakuwa hana commitment kwenye kilimo why mwisho wa mwezi mshahara unaingia
anakuwa hata ule moto wa kutafuta masoko hana matokea yake mazao yanamdodea
daah umesema kweli mzee babamimi kilimo nitafanya labda cha kulima mahindi kwa ajili ya mifugo yangu lkn cha kibiashara aisee hapana yaani bora kua dalali wa hayo mazao kuliko kulima
btw mzee baba hebu achana na haya mambo ya kilimo utapasuka kichwa rudi kule kwny mambo yetu ya autoshahah
huko kwenye timing tuseme tulishatoka hawa wanaovuna sasa hv wanapata faida nyembamba sana ndyo nakubalilakini narudia tena hata upeleke maofisinj nyanya za gh bado ni kwikwi tumaan sado ya gh inafikaga had 12000/=anywys ni changamoto bado
mtaji wa shilingi ngapi
wewe kweli ni mkulima
huyo jamaa analeta story za kukopeshana sijui nini
mkuu naomba uzoefu wako ktk kilimo cha hoho
kule kwenye autos ndio nyumbani huku tunaibia ibia
na kweli kilimo ni pasua kichwa
wenyewe wanakwambia kilimo siyo parttime job ni fulltime job ukijiona una kazi nyingine unaifanya basi achana na kilimo
nami naona kasimuliwa kwamba kilimo kinalipa kama kuwasha na kuzima umeme kilimo ni kuingia shambani hata kwa jirani fuatilia msimu mzima mpaka mwisho utapata majibu akiulizia nyuma ya keyboard na kulima kwa whatsapp tegemea kilio
thotholitho
ningependa kujiingiza kwenye kilimo lakini bado sijawa na maamuzi sahihi kuhusu mazao nitakayo lima
hapo kabla nilikuwa natamani nilime mpunga lakini moyo unasita pia niliwahi kufikiria kuhusu ufugaji wa samaki
wakuu naomba mnijuze ni kilimo gani kinaweza kunitoa kimaisha kwa sasa
ningepata na mchanganuo ingekuwa vizuri zaidi
zao lolote lile ambalo likitumiwa na binadamu linaongeza nguvu za kiume na cd4
hoho dec zina bei nzuri
thotholitho said
likitumiwa na binadamu au likitumiwa na mwanaume
btw mkuu nimekuelewa
kuna vitu viwili hapo ndgnguvu za kiume na cd4 na unapozungumzia binadamu ni mwanaume na mwanamke
fikicha akili ndio utajua usahihi wa sentensi yangu mkuu vipi hiyo btw ndio nini tena
aisee mimi nilipenda kulima vitunguu kule dodoma gharama zake ni chini ya milioni mbili kwa ekari moja maji yapo ya uhakika
jirani yangu analima pia na ameniambia ni uhakika
na tayari nimeshajifunza online pia nilienda kule mwanga kuwauliza wakulima kuhusu changamoto
ila mpaka saivi nipo njiapanda
by the waybtw
kakae huko fanya kazi za shamba ht km hulipwiuangalie chamgamoto zao zote na masokohoho hazina gharama
mnatutesa tuliosoma memkwa by the way ni zao gani kwa kiswahili na soko lake linalipa
ningekuwa mm ww ningetafuta mwenzangi mmoja mtafte masoko ya njewalau rwanda au sudanfikiria kwa picha kubwa kidg achana na presha za shamba hubby aliwah lima na mtaalam m1 hv wakashea eka 5 kitunguu kilitoka kikubwa sanasokoni vikasumbua balaa mavtunguu yakitoka makubwa sana yanasumbua sana sokonjeish
ni zao jipyaingizo jipya
sio zao mkuu
amezengua hapohana lolote
posts 32490486 | 2019-09-18T04:57:42 | https://www.jamiiforums.com/threads/kilimo-gani-kina-asilimia-kubwa-ya-kufanikiwa.1616836/page-4 |
liverpool yashinda 10 mchezo wa kirafiki england bin zubeiry sports online liverpool yashinda 10 mchezo wa kirafiki england bin zubeiry sports online
mwanzo > habari za ulaya > liverpool yashinda 10 mchezo wa kirafiki england
liverpool yashinda 10 mchezo wa kirafiki england
danny ings (kushioto) akishangilia na trent alexanderarnold aliyempa pasi kuifungia bao pekee liverpool katika ushindi wa 10 dhidi ya tranmere jana kwenye mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya picha zaidi gonga hapa
princezub@hotmailcom bin zubeiry sports online at 0714 saturday july 09 2016
item reviewed liverpool yashinda 10 mchezo wa kirafiki england rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
jeremy lin suffers apparent knee injury in season opener vs pacers brooklyn nets guard jeremy lin exited the team's game against the indiana pacers after suffering an apparent knee injury on a drive to the basket adrian | 2017-10-19T03:33:47 | http://www.binzubeiry.co.tz/2016/07/liverpool-yashinda-1-0-mchezo-wa.html |
levhitika 2 tso89 loko munhu a humesela hosi bible search
levhitika 1 levhitika 3
levhitika 2
ta magandzelo ya swa le masin'wini
1loko munhu a humesela hosi xikwembu magandzelo ya swa le masin'wini ú fanele ku humesa mapa lamanene a ma chela mafurha a ma n'wan'wasela ni murhi wa risuna 2kutani a ya na swona eka vaprista va nga vana va aroni a fika a nusa mapa lama nga ni mafurha a tata xandla kutani muprista ú ta swi hisa alitarini ni murhi hinkwawo wa risuna swi va swo suma ha swona hi yona mhamba leyi hiseriwaka hosi xikwembu leyi ku nun'hwela ka yona ku nga ta xi tsakisa 3mapa lama saleke eka magandzelo lawa ma ta va ya aroni ni vana va yena ma hlawulekile swinene hikuva hi lawa ma saleke eka mhamba leyi hiseriwaka hosi xikwembu
4loko mi humesa magandzelo ya swa le masin'wini hi leswi swekiweke kunene humesani swimbhundzwa leswokecomela leswi endliweke hi mapa lamanene lama cheriweke mafurha kumbe mi humesa xinkwa xo oma lexokecomela lexi totiweke mafurha 5loko mi humesa magandzelo hi xinkwa lexi oxiweke kunene a xi ve xa mapa lamanene lama cheriweke mafurha ku nga ri comela 6mi ta xi phemelela mi xi chela mafurha lawa hi wona magandzelo ya swa le masin'wini 7loko mi humesa magandzelo ya swa le masin'wini hi xinkwa lexi katingiweke kunene a xi ve xa mapa lamanene lama cheriweke mafurha 8magandzelo ya swa le masin'wini lama endliweke hi swilo leswi ma endleriwa hosi xikwembu mi ta ma yisa eka muprista kutani yena a ya na wona alitarini 9a fika a pambula swo suma ha swona a swi hisa alitarini yi va mhamba leyi hiseriwaka hosi xikwembu leyi ku nun'hwela ka yona ku nga ta xi tsakisa 10swakudya leswi saleke eka magandzelo lawa swi ta va swa aroni ni vana va yena swi hlawulekile swinene hikuva hi leswi saleke eka mhamba leyi hiseriwaka hosi xikwembu
11magandzelo hinkwawo ya swa le masin'wini lawa mi ma humeselaka hosi xikwembu ma nga tshuki ma cheriwa comela hikuva a ma cheriwi comela kumbe vulombe loko mi hisela hosi xikwembu emhamba 12mi nga chela loko mi humesela hosi xikwembu emagandzelo ya ntshovelo wo sungula kambe mi nga tshuki mi swi hisa alitarini leswaku swi va mhamba yo nun'hwela 13magandzelo ya n'wina hinkwawo ya swa le masin'wini ma cheleni munyu mi nga tshuki mi rivala ku wu chela hikuva munyu wu fanisa ntwanano wa n'wina ni xikwembu xa n'wina hikokwalaho wu cheleni minkarhi hinkwayo
14loko mi humesela hosi xikwembu magandzelo ya swa le masin'wini hi swa ntshovelo wa n'wina wo sungula mi fanele ku humesa tindzhoho leti katingiweke loko ta ha tsakama kutani ti khuvutiwa 15ehenhla ka tindzhoho leti mi ta chela mafurha mi n'wan'wasela ni murhi wa risuna lawa hi wona magandzelo ya swa le masin'wini 16kutani muprista ú ta nusa tindzhoho leti ni mafurha ya kona a ti hisa ni mirhi ya risuna hinkwato a suma ha swona leyi hi yona mhamba leyi hiseriwaka hosi xikwembu | 2019-03-22T13:59:55 | http://bibles.org/tso-TSO89/Lev/2 |
> waziri mkuu apiga marufuku kupandisha bei msumba news blog
home matukio waziri mkuu apiga marufuku kupandisha bei
waziri mkuu kassim majaliwa amewapiga marufuku wafanyabiashara wote nchini kupandisha bei ya sukari pamoja na bidhaa nyingine katika kipindi ambacho waumini wa kiislamu wanakuwa katika ibada ya kufunga mwezi wa ramadhani unaotarajiwa kuanza siku si nyingi kutoka sasa ndani ya mwezi huu mei | 2019-03-21T18:26:35 | http://www.msumbanews.co.tz/2018/05/waziri-mkuu-apiga-marufuku-kupandisha.html |
afrika | weyani media | page 2
posted on august 28 2019 by weyani media leave a comment
posted on august 26 2019 by weyani media leave a comment
posted on august 22 2019 by weyani media leave a comment
image captionabdalla hamdok alikuwa anafanya kazi umoja wa mataifa
sudan imemteua waziri mkuu mpya ikiwa nchi hiyo ikiwa kwenye utawala wa mpito wa miaka mitatu chini ya uongozi wa jeshi
posted on august 20 2019 by weyani media leave a comment
posted on august 19 2019 by weyani media leave a comment
posted on august 17 2019 by weyani media leave a comment | 2020-01-29T17:57:53 | https://weyanimedia.com/category/afrika/page/2/ |
prince masaai january 2009
magufuli alia na wavuvi haramu
waziri wa mifugo na manendeleo ya uvuvi john mgufuli akitoa tamko juu ya kuanza kwa operesheni ya miezi sita ya kupambana na uvuvi haramu na uvushaji wa mazao ya samaki mipakani operesheni hiyo inaanza januari 30 mwaka huu picha na jube tranquilino
posted by jubetranquilino at 113000 am
mzindakaya amlipua bomu jingine
mbunge wa kwela (ccm) dk christant mzindaka akiwasilisha hoja binafsi bungeni mjini dodoma jana juu ya kuingiliwa kwa mamlaka ya bunge kulikofanywa na serikali kupitia wizara ya maliasili na utalalii
mzindakaye ameeleza kusikitishwa na uzembe uliofanywa na waziri wa maliasili shamsa mwangunga kwa kuwaongezea muda wamiliki wa vitalu vya uwindaji katika hifadhi za taifa kinyume na maagizo ya bunge
akitoa maeleo hayo kupitia hoja yake binafsi mzindakaya alisema kuwa waziri alikiuka agizo la bunge la kufuta vibali vya uwindajidhidi katika maazimio ya bunge yaliyomtaka kusitisha umiliki wa vitalu vya uwindaji wa kitalii mwishoni mwa mwaka jana na badala yake akawaongezea muda wawindaji hadi mwaka 2012
hoja ya dk mzindakaya ambayo iliungwa mkono na wabunge wengi ilikuwa inaweka wazi kuwa bunge liliamuru vibali vilivyokuwa vinatumika viishie 2009 ili kuanzia 2010 taratibu mpya zisizo za kuiba mapato ya serikali zitumike
mzindakaya alilieleza bunge kuwa kwa waziri mwangunga alipuuza maazimio ya bunge na kusikiliza ushawishi wa matajiri hao wa kigeni wanaofanya biashara na raslimali za nchi kupitia vitalu walivyomilikishwa na hatimaye akawaongezea miaka miwili hadi 2012
mwangunga aliamriwa kusimamisha vibali vilivyotolewa na wizara yake kwa wawindaji badala ya kuisha mwaka 2012 vifikie ukomo 2010 ili kuanzia hapotaratibu mpya za uwindaji zianze kutekelezwa
posted by jubetranquilino at 112200 am
mramba ndani ya bunge
mbunge wa jimbo la rombo mkoani kilimanjaro ambae anatuhumiwa kwa kesi ya kutumia vibaya madaraka yake akiwa waziri wa fedha basili mramba jana aliingia katika ukumbi wa bunge kwa mbwembwe huku wabunge wakionekana kumpa pole na kumkumbatia kila wakati
hata hivyo haikuweza kufahamika mara moja iwapo amri ya mahakama iliyomruhusu kwenda kutembelea jimbo lake pia inampa nafasi ya kuhudhuria bungeni
mramba aliingia katika ukumbi wa bunge majira ya saa 246 asubuhi akiongozana na waziri wa fedha mustafa mkulo aliingia huku baadhi ya wabunge walipomuona walianza kumfuata na kukumbatiana katika hali iliyoonyesha kuwa walikuwa wakimpa pole kwa masahibu yaliyomkuta
alipoingia katika ukumbi huo alisimama kwa muda mrefu mlangoni ikwa ndani akizungumza na benedict olenangoro ambae ni mbunge wa kiteto (ccm) huku baadhi ya wabunge wengi wa ccm wakipita na kusalimiana nae na kukumbatiana kwa kila mtu
katika hali hiyo haikuweza kufahamika mara moja mramba na olenangoro walikuwa wakizungumza kitu gani kwa muda mrefu mlangoni hapo hadi mazungumzo yao yalipokatizwa na sauti iliyoashiria kuwa spika wa bunge alikuwa anaingia katika ukumbi huo
olenangoro ni mmoja wa wabunge walioingia katika bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania kwa kuziba nafasi za wazi baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo la kiteto benedict losulutya mwishoni mwa mwaka 2007 na hivyo sio mbunge wa siku nyingi katika bunge hilo
mbunge huyo wa rombo inasemekana alipewa kibali na mahakama kwa kutembelea jimbo lake na hata kuhudhuria vikao vya bunge akiwa bado ni mbunge halali wa jimbo hilo ingawa kesi yake bado iko mahakamani
haikuweza kufahamika mara moja ni kwa nini mbunge huyo aliweza kufuatwa na wabunge wengi kutoka katika chama chake (ccm) na kusalimiana nae ingawa dalili zilionyesha kuwa kulikuwa na hali ya kupeana pole na kumuweka katika hali ya ujasiri zaidi katika kesi inayomkabili
wakati wa mchana mbunge huyo alitoka katika ukumbi wa bunge mnamo saa 703 akiwa amefuatana na naibu spika wa bunge la jamhuri ya muungano anna makinda huku hali ya kumfuata na kusalimiana nae mramba ikiwa ni ileile kama aliyoingia nayo asubuhi
mramba anatuhumiwa kutumia vibaya madaraka yake akiwa waziri wa fedha wakati wa utawala wa awamu ya tatu chini ya rais benjamini mkapa na kwamba alifikishwa mahakamani pamoja na aliyekuwa waziri wa nishati na madini kwa wakati huo daniel yona ambae pia amewahi kuwa waziri wa fedha
posted by jubetranquilino at 44600 pm
usafiri reli ya kati
baadhi ya wasafiri wakiwahi kupanda katika sehemu ya injini(kichwa) cha treni katika stesheni ya dodoma wakielekea mikoa ya tabora kigoma na mwanza
wengine hawakuwa na pakuweka mizigo yao zaidi ya kuipachika katika maungio ya mabehewa
ndani kumejaa kinoma inabidi wengine waning'inie katika milango
kujaza abiria kupita kiasi ndio mtindo wa kila siku lakini kwa wasafiri nao wanaona bora kufika salama tu
kero hii imekuwa ni kubwa na ya muda mrefu ijapokuwa imepigiwa kelele na wadau mbalimbali wakiwemo wabunge mambo haya yataisha lini
chuo kikuu cha dodomasi mchezo
sura ya mbele ya jengo la utawala la chuo kikuu cha dodoma ambacho ujenzi wake ukikamilika kitakuwa ni mojawapo ya vyuo vikuu vikubwa katika ukanda wa afrika
jengo hili zamani lilijulikana kama ukumbi wa mikutano wa chimwaga
mojawapo kati ya maeneo ambapo vitivo vinaendelea kujengwa hadi sasa kuna vitivo sita ambavyo kila kimoja kitajitegemea kwa kila kitu
baadhi ya mabweni hili pichani ni la kitivo cha sayansi ya jamii
posted by jubetranquilino at 111300 am
ajali mingine bwana
sura ya lori ikiwa imekunja ndita baada ya kugonga nguzo ya umeme eneo la bahi road
kitara kimeingia nyuma ya lori hilo hakuna mtu aliyejeruhiwa katika ajali hiyo
posted by jubetranquilino at 25800 pm
uzembe wakati mwingine soo
kontena likiwa limeanguka katika kipleft kwenye barabara ya darisalam rodi ingawa halikuleta madhara inaonyesha kuwa halikuwa limefungwa ipasavyo katika lori lilimokuwa hata hivyo baaada ya kuangakua hapo lilikaa kwa takriban siku tatu jambo ambalo lingeweza kusababisha ajali nyingine lakini nadhani wahusika waliona kuwa ni sawa tuu
watoto wa mitaani ni tatizo kichizi dom
kijana aishie katika mazingira magumu akiwa amelala katika bustani ya nyerere mjini dodoma idadi ya watoto kama hawa inazidi kuongezeka mkoani dodoma ambapo takwimu zinaonyesha kuwa kuna zaidi ya watoto elfu 14 wanaoishi katika mazingira magumu mkoani humu ambapo asilimia 62 ya idadi hiyo bado wapo mitaani
posted by jubetranquilino at 21900 pm
gari za minadani
jamaa akiwa maeneo ya kikuyu katika barabara ya domiringa akielekea kwenye minada vijijini akiendelea kusubiri abiria zaidi wakati ambapo ngoma yenyewe ishakula mgizo wa kutosha kwa mtaji huu hivi kweli tutafika
posted by jubetranquilino at 70100 pm
mambo ya tekelinalokujia
mafunzo hayo ya jinsi ya kutumia kompyuta kwa hawa nduguzetu picha hii imeorijineti toka sabmiller
mambo ya habari
mambo ya mawasiliano ya habari yamesaidia kwa kweli kuwakip intach wakazi wa vijijini na dunia jinsi inavyokwenda hii dish ni katika kijiji kimoja kinaitwa mpwayungukilometa mingi tu kutoka dom manispaa
posted by jubetranquilino at 62300 pm
polisi dom vs mtibwa sukari ya moro
mlinda mlango wa mtibwa sugar ya morogoro mkiruka juu kuwania mpira na mshambuliaji wa polisi dodoma salim gilla wakati wa mchezo wa ligi kuu duru la pili iliyochezwa katika uwanja wa jamhuri mjini dodoma timu hizo zimetoka sare 11
mshambuliaji wa polisi dodoma bantu admin (kulia) akiwania mpira na beki wa mtibwa sugar ya morogoro idrisa rajabu wakati wa mchezo wa ligi kuu duru la pili iliyochezwa katika uwanja wa jamhuri mjini dodoma timu hizo zimetoka sare 11
posted by jubetranquilino at 72100 pm
nani kakwambia kuwa jk hakasirikagi
samtaim mtu ukiwa siriaz kidogo inafaa
wadau naombeni kapsheni katika
posted by jubetranquilino at 83100 pm
matokeo uwt
mke wa rais mama salma kikwete (kushoto) akimsalimia mjane wa mwl nyerere maria
mwenyekiti mpya wa jumuiya ya wanawake tanzania ya ccm (uwt) sophia simba akifurahia ushindi
hivi kweli tumeshinda mwenyekiti mpya wa jumuiya ya wanawake tanzania ya ccm (uwt) sophia simba na makamu wake asha bakari makame(kushoto)
posted by jubetranquilino at 63100 pm
kampeni uwt zilianza longi
wengine walitumia vilongavonga
katika kampeni lazima uwe na timu yako bwana
kabla ya mkutano mikakati bado ilikuwa ikiendelea
posted by jubetranquilino at 61800 pm | 2018-07-16T02:42:16 | http://jube-tranquilino.blogspot.com/2009/01/ |
yemen rushwa rank
urahisi wa kufanya biashara 18700 18600 18700 9400 [+]
ushindani ripoti 3640 3553 3640 295 pointi [+]
ushindani rank 13900 13500 14500 13500 [+]
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi yemen rushwa rank | 2019-09-20T16:37:30 | https://sw.tradingeconomics.com/yemen/corruption-rank |
tff ilianza na dk ndumbaro sasa muro jiulize wewe utasalimikaje saleh jembe
» tff ilianza na dk ndumbaro sasa muro jiulize wewe utasalimikaje july 29 2016
tff ilianza na dk ndumbaro sasa muro jiulize wewe utasalimikaje muro
methali inayonivutia katika zile za kiswahili ni ile ya simbiko haisimbuki ila kwa msukosuko
yaani chombo huchakaa kutokana na matumizi yake hakuna anayeweza kukataa tena kwamba mpira wetu umechakaa kwa kuwa matumizi yake ni mabaya na yamekuwa matumizi binafsi zaidi
matumizi ya soka nchini ni kwa ajili ya watu wachache wanaoturudisha nyuma katika zile enzi za akina muhidini ndolanga na ismail aden rage kila kukicha ni migogoro na hakukuwa na faida ya soka uwanjani badala yake mezani
wakati chama cha soka tanzania (fat) kinahama ilikuwa ni faraja kwa wapenda soka maana kila mmoja alitamani kiende zake walichoka kwa kuwa kilikuwa ni chama cha migogoro na faida za wachache
wakati ameingia leodegar tenga na kuwa mtu wa kwanza kuongoza shirikisho la soka tanzania (tff) kukawa na matumaini makubwa na mwenendo wake ukaonyesha nafuu soka likarejea uwanjani na malumbano yakapungua kwa asilimia kubwa huenda hata ugombeaji wake wa madaraka ulikuwa rahisi wengi walimkubali ndiyo maana akapita mihula miwili kwa ulaini kabisa kama ilivyokuwa kwa barack obama wa marekani
inawezekana kabisa tenga atabaki kuwa mgombea pekee wa tff aliyeonekana angalau angegombea hata mhula wa tatu kwa kuwa waliokuwa wakigombea mhula huo hakuna aliyeonekana ana uwezo wa kuvaa viatu vyake vizuri na kuendeleza mambo ukweli haujifichi angalia sasa mambo yanavyokwenda
ninaamini sana methali hii adui shujaa ni bora kuliko rafiki mwoga kinachoiua tff ni kwa kuwa uongozi wake umekubali kuwakumbatia marafiki wao marafiki ambao hawawezi kusema ukweli pale uongozi huo unapoyumba au kukosea na wako tayari kushiriki katika kila udhaifu wao kama sehemu ya kuwaridhisha mabosi na kulinda nafasi zao
uongozi wa tff hautaki maadui mashujaa wanaoweza kusema kweli kuwa suala la kufungia watu kwa visasi ili mradi au kuwakomoa kwa kuwa wanaonekana ni tatizo kwa uongozi wa shirikisho hilo ni kujirudisha nyuma
nilizungumza awali kwamba mdau wa soka nchini dk damas daniel ndumbaro alifungiwa akizitetea klabu dhidi ya ubabe wa tff wadau na waliokuwa wanatetewa wakawa waoga na kunyamaza kimya
nikasema hivi mmekaa kimya lakini aliyezoa vya kunyonga vya kuchinja hamviwezi tff wataendelea na hili ili kuwatisha wengine na wao wajitengenezee njia ya kupita tena waendelee kufanya wanavyotaka na kuudidimiza kabisa mpira nchini
sasa ni jerry muro hakuna sababu ya msingi inayoainishwa inaweza kugonga kwenye masikio ya mtu mwenye akili timamu ili aamini kweli alikuwa na kosa la kufungiwa na kupigwa faini mimi ninaona ni dhuluma ya uhuru wa kuongea na dhuluma ya wazi ya riziki ya mtu
mnayezuia asifanye kazi na kumpiga faini ya fedha ni ujinga wa hali ya juu muro hakutukana alipambana akiwakilisha klabu yake katika suala la uamuzi wao wa kuingiza watu bure hakuwahi kusababisha jambo lolote baya wala kusema maneno ya kashfa kwa tff amefungiwa akiwa nje ya kikao akiwa mapumzikoni na kama unakumbuka dk ndumbaro alifungiwa kwa kuwa siku aliyoitwa alikuwa safarini marekani ambako alialikwa na moja ya vyuo vikuu kufundisha kumbuka yeye ni mwalimu wa chuo kikuu huria (out) na chuo kikuu dar es salaam (udsm)
muro amefungiwa na kamati ya nidhamu ya tff ambayo inaundwa na watu walioteuliwa na rais wa tff jamal malinzi ambaye ndiyo mkuu wa shirikisho lililokuwa likiandamwa naye akipinga mambo kadhaa ambayo hayakuwa sahihi
hakuna anayesema serikali haiwezi kuingilia yanga inaonekana haina njia ya kujitetea au kumtetea lakini hadi sasa hukumu kuitoa pia imekuwa shida ili kuweka wazi makosa yake nimeambiwa hadi yanga wameandika barua kuiomba hii si sawa
baraza la michezo la taifa (bmt) lipo kimya hakuna linachokifanya na huenda wamekaa wakisubiri kukabidhiwa kwa bendera timu ikiwa inaondoka
ukimya maana yake baada ya muro anayeuawa kitaaluma kikazi na kadhalika maana yake tff imdungue mwingine naye afe kwa kuwa hakuna wa kuizuia mwingine ajiandae soon itaelekeza mtutu wake msipopajua hasa kwa wale wanaotaka kupunguza kasi yake ya kuingia madarakani
inaonekana kamati zake ndiyo mitutu ya kuwamaliza wasemakweli wote inawezekana simba watasherekea lakini siku atafungiwa haji manara na itakuwa rahisi kufanya hivyo kwa kuwa tff itakuwa imeishazoea vya kunyonga mwisho hakuna atakayesema tena
simameni semeni ukweli na muache uoga usiokuwa na sababu tff haikuwa na sababu za msingi za kumfungia mwanahabari muro acheni ushabiki simamieni kwenye haki hatuhitaji tff hodari ya kuziba watu midomo wasiseme ukweli wakati imefeli kupita kiasi katika kuleta maendeleo | 2016-10-22T13:25:46 | http://salehjembe.blogspot.com/2016/07/tff-ilianza-na-dk-ndumbaro-sasa-muro.html |
polisi adaiwa kuibiwa bunduki na kahaba | batatv nigeria
home african news polisi adaiwa kuibiwa bunduki na kahaba
kelvin karani 15th jan 2020 183935 gmt +0300
mshukiwa jackson vuti muthangya akiwa mahakamani baada ya kudaiwa kuiba bunduki na rununu ya afisa wa polisi amezuiliwa kwa siku 15 hadi polisi wakamilishe uchunguzi wao dhidi yake picha kelvin karan
afisa wa polisi ambaye alipoteza bunduki yake anadaiwa kuibiwa bunduki hiyo na kahaba kisha kumsingizia mhudumu wa bodaboda afisa huyo ambaye hakutajwa kwenye nakala za kuomba mahakama kumzuilia mhudumu huyo wa bodaboda anaaminika kuchukua kahaba ambaye alimwibia bunduki pamoja na simu yake ya mkono kisha kudai kuwa mhudumu huyo alijua kahaba huyo maafisa wa polisi walitaka mahakama kupitia hakimu mkuu edna nyaloti kumzuilia jackson vuti muthanya kwa siku ishirini ili kukamilisha uchunguzi wa wizi huo dhidi yake
kulingana na kiongozi wa mashtaka eric masila mshukiwa alikamatwa baada ya kubainika kuwa alikuwa amepokea shilingi 1 450 kutoka kwa simu ya afisa huyo wa polisi na kuwa kuzuiliwa kwake kutasaidia sana katika uchunguzi hata hivyo mhudumu huyo wa bodaboda ameambia mahakama kuwa yeye hausiki na wizi wowote na kuwa huenda afisa huyo aliibiwa na kahaba mhudumu huyo ameambia mahakama kuwa afisa huyo alipopigiwa simu na wenzake wakati walipokuwa wakimkamata alidai kuwa walikuwa na bibiye katika makao ya polisi na kuwa walilala naye kasha bibiye akamwibia alipokuwa amelala
kula uroda
polisi walipokuja kunikamata walimpigia polisi mwenzao ambaye anadai kupoteza bunduki na akawa akisema kuwa walilala na bibi yangu katika kambi ya polisi baada ya kufika na kumtazama bibi yangu alidai kuwa siye mwanamke ambaye walikuwa na yeye usiku ambao bunduki yake ilipotea mhudumu huyo wa bodaboda aliambia mahakama
alisema kuwa yeye alibeba abiria kama kawaida ambaye alidai kuwa hakuwa na hela mfukoni na kutaka mahali ambapo angeweza kutoa pesa kupitia mpesa na abiria huyo akamtumia pesa ili atoa na kumkabidhi malipo yake akisema kuwa hawezi kuwakumbuka abiria wote ambao huwa anawabeba hakimu mkuu bi nyaloti alikataa ombila upande wa mashtaka kutaka maafisa wa polisi kumzuilia mhudumu huyo kwa siku ishirini mshukiwa atazuiliwa kwa siku kumi na tano ili maafisa wa polisi wakamilishe uchunguzi wao na mshukiwa atarudishwa tena hapa mahakamani tarehe 27 mwezi huu asema bi nyaloti akitoa uamuzi wa mahakama
kahababundukiafisa wa polisi
adaiwa
previous articlehow nigerian armed forces celebrated 2020 remembrance day download here
next articleefcc arraigns exscholarship board chairperson two others for alleged bursary fraud | 2020-01-18T17:19:55 | https://batatv.com/2020/01/15/polisi-adaiwa-kuibiwa-bunduki-na-kahaba/ |
tupeane mbinu mbalimbali za kuwanasa mademu kirahisi bila kutumia nguvu nyingi sana
hahahahaaaaaaaaaaaaaaa sent from my ipad using jamiiforums
taratibu za kupata passport ya kusafiri zipoje
hizi information ni more than accurate hakika utakuwa afisa wa pasipoti la sivyo basi wewe ni kishoka mbobezi japo kwa sasa vishoka hawatakiwi nami wakati nafuatilia yangu niliekezwa vivyo hivyo nikafuata maelekezo kwa ufasaha wala siku stack pahala ila suala la siku 7 hapo sina
wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)
where is edge ddp cena rock and others
yuko wapi dppdiamond dallas page
medium primary school yenye ada nafuu
bei nafuu ndio shingapi kwangu mm nimempeleka mwanangu feza kwangu ndio bei nafuu jaribu feza na ist
kwa huu wizi mtandaoni hatari
umeingia mjini ukiwa premature/njiti ulitakiwa uendelee kuwepo kijijini bado hadi fikra zako zikomae wewe ukaamua kuforce kuja mjini subiria hilo ni trailer picha laja kama bado una wasi wasi rudi kwanza kijijini hadi pale utakapo komaa kuja kuishi mjini huo ndio ushauri wangu
siasa maji taka sura ya nne mstari wa 80 120
aiseee hii ni latest political bible edition ya king jimmy version very interesting
tetesi wakishamaliza kumuangamiza january makamba wanahamia kwa selemani jafo
umenivunja mbavu zote wewe kiboko
ukomo wa miaka 10 urais ni miaka michache jamani
tutalazimika kwanza kuibadili katiba ili hilo unalolifikiria liweze kutekelezeka
dar kigamboni khamis luongo amuua mke wake naomi orest marijani na kumchoma moto majivu akafanya mbolea ya mgomba
muvi ambalo halina dairekta lazima ligome njiani kila kitu alifanya yeye mwenyewe mwanzo mwisho hakuna editor wala movie dairector ndio maana mwisho wa siku mambo yote yamekuwa hadharani alishindwa kujua kuwa laini ya simu inasoma hadi imei na location yake kuutoa uhai wa mtu sio jambo
spotify tanzania haipo
yes inawezekana
must watch these thriller movies pitia huu uzi kama nawe ni mpenzi wa movies hizi movie
hallo binafsi huwa napenda sana kuangalia hizi thriller movies tena ukutane na wale madairekta wajuzi wa kucheza na scripts kila tukio linafuata unatamani kujua nini kitachofuata huku ukiwa umeshikilia moyo wako usijedondoka kwa kihoro horo kwa namna picha ilivyo dairektiwa na kuleta
is there any scamm out there to join right now
kila kitu unachopaswa kujua kuhusu cryptocurrency na bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa
i strongly blv in crypto i also invest 30 of my monthly earnings in crypto hoping that this world will one day be cryptosphere
does localbitcoinscom sell ether
wale wazee wa forex wangap tunalikumbuka hili jengo
crypto ndio kila kitu
mbeya mbaroni kwa kukutwa na laini 141 za simu
hata mm hii sms ya mm mwenye nyumba wako ile kodi yangu itume kwenye hii namba nikamjibu kuwa anakungutwa na kufakamiwa na popobawa kama kila mtu anaweza kuwa mpangaji wake
tumia vpn nakula kiboga/mzigo kama kawa wa spotify
nnatafuta hii power board ya samsung tv 40 led
hallo kama unayo tv iliyokufa spare nyingine njoo niuzie hiyo power board yake bei isizidi elfu 35 njoo pm haraka
jipatie tv smart kwa bei nafuu
tolea la mwaka gani | 2020-04-04T01:56:41 | https://www.jamiiforums.com/search/6254245/ |
matunzio ya richard mackney ivfbabble
tag richard mackney
kitabu cha kitabu mtu uzazi nyumbani akili
rosie na richard vidokezo kumi kukusaidia katika safari yako ya ivf
miaka minne kliniki tatu vipimo viwili chanya upungufu wa damu moja kisha ujauzito uliofanikiwa rosie
ivfbabblenet septemba 20 2017
kitabu cha kitabu hadithi zetu bidhaa tunazipenda
pata maisha ndio mwongozo kamili chini ya ardhi kwa kila mtu anayefikiria kuanza uzazi
ivfbabblenet huenda 13 2017
kitabu cha kitabu mtaalam ushauri wa mtaalam
rosie bray na richard mackney waandishi na ivfers
waandishi wa 'pata maisha mwongozo wa uokoaji wake na hers kwa ivf richard mackney | 2020-05-25T07:27:41 | https://sw.ivfbabble.com/tag/richard-mackney/ |
viongozi wa chama cha mapinduzi watakiwa kuwa karibu na wananchi | chimbuko letu
home » habari za mikoani na siasa » viongozi wa chama cha mapinduzi watakiwa kuwa karibu na wananchi
viongozi wa chama cha mapinduzi watakiwa kuwa karibu na wananchi
mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ccm dr jakaya kikwete akiinua jembe na nyundu kwa maana ya nembo ya chama hicho mara baada ya kuingia uwanjani
jakaya kikwete alipokuwa akianza kutoa hotuba mara baada ya kuingia katika uwanja huo
baadhi ya viongozi wa chama hicho wakimshangilia mwenyekiti jakaya kikwete alipokuwa akiingia uwanjani
raisi kikwete alipokuwa akiingia katika uwanja wa kumbukumbu ya sokoine kwaajili ya maadhimisho hayo
mwenyekiti wa chama cha mapinduzi dr jakaya mrisho kikwete amewataka viongozi na wanachama wa chama hicho kuwa karibu na wananchi kwa lengo la kusikiliza matatizo ya wananchi na kuyatatua kwakufanya hivyo itakuwa chachu ya wananchi kukiamini chama
kikwete ameyasema hayo alipokuwa katika sherehe za maadhimisho ya miaka 37 tangu kuanzishwa kwake yaliyofanyika leo katika uwanja wa kumbukumbu ya sokoine jijini mbeya
kikwete amesema kumekuwa na tabia kwabaadhi ya viongozi wa chama hicho kutotatua matatizo ya wananchi pindi wanapopewa taarifa kuhusu kero hizo
aidha kikwete amempongeza katibu mkuu wa chama cha mapinduzi abdulrahman kinana kwakufanya ziara katika mikoa ya nyanda za juu kusini iliyoleta mafanikio makubwa katika cha hicho
amesema kinana katika ziara yake alikuwa akisikiliza matatizo ya wananchi na kuyatafutia ufumbuzi pia amekuwa nao wananchi bega kwa bega katika nyanja mbali mbali
pia kikwete amesema mpango wa chama cha mapinduzi ni kuboresha maisha ya watanzania katika sekta mbali mbali ikiwa pamoja na maji umeme elimu afya na miundombinu | 2018-10-21T15:35:56 | http://www.chimbukoletu.com/2014/02/viongozi-wa-chama-cha-mapinduzi.html |
ukraine matumizi ya matumizi
matumizi ya kujiamini 9750 9560 10730 4110 indexpointi [+]
rejareja sale (mwezi) 330 340 2220 3340 asilimia [+]
rejareja sale (mwaka) 860 670 3290 3130 asilimia [+]
benki ya kuwakopesha rate 1678 1820 5340 1200 asilimia [+]
matumizi ya mikopo 16991187 16872445 18608837 3331047 uah milioni [+]
petroli bei 112 115 135 037 usd / lita [+]
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi ukraine matumizi ya matumizi | 2019-11-15T07:35:49 | https://sw.tradingeconomics.com/ukraine/consumer-spending |
kilimanjaro official blog chadema yaikoroga polisi
chadema yaikoroga polisi
uamuzi wa kamati kuu ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kukataa kuwasilisha ushahidi wa mauji ya mlipuko wa bomu uliotokea jijini arusha umeliweka njia panda jeshi la polisi na hivyo kushindwa kuchukua hatua
licha ya jeshi hilo kumhoji mwenyekiti wa chadema freeman mbowe na kumtaka awasilishe ushahidi huo kiongozi huyo amekataa agizo hilo akisema kuwa wamekubaliana kuutoa ushahidi huo kwa tume huru ya majaji endapo rais jakaya kikwete ataiunda kama walivyomuomba
chanzo chetu ndani ya jeshi hilo kimedokeza kuwa msimamo huo wa chadema
umeliweka njia panda na hivyo kushindwa kuchukua hatua za kuwabaini watuhumiwa wa tukio hilo na kuwafungulia mashtaka kutokana na mkanganyiko wa taarifa zinazotolewa
jeshi hilo linadaiwa kuwa awali lilitaka kujiegemeza kwenye kauli za kisiasa za baadhi ya viongozi wa chama cha mapinduzi (ccm) na serikali ili kuonyesha kuwa chadema ilisababisha mlipuko huo yenyewe kwa ajili ya
kuwahadaa wafuasi na kujitafutia umaarufu
hata hivyo mbinu hiyo ya kutaka kuwasakama baadhi ya viongozi na wafuasi wa chadema inadaiwa kufifishwa na tamko la mbowe pamoja na mbunge wa arusha mjini godbless lema kwamba chama kina ushahidi unaoonyesha kuwa tukio hilo lilifanywa na polisi
hapa kuna mkanganyiko hasa baada ya mbowe kudai wanao ushahidi wa video
ya tukio hilo wakubwa wetu wamegawanyika na kujikuta wakitoa kauli za kukinzana maana wanahofia wakiwafungulia kesi watu wengine mashtaka halafu chadema ikaonyesha ushahidi tofauti itakuwa ni aibu kilisema chanzo chetu
kwa mujibu wa chanzo hicho jeshi hilo mkoani arusha lilikuwa limewakamata watu wawili raia wa kigeni likiwatuhumu kuhusika na mlipuko
huo lakini baada ya mbowe kugoma kupeleka ushahidi huo watuhumiwa hao hawakuweza kufunguliwa mashtaka
pia katika hali ya kushangaza mkuu wa mkoa wa arusha magesa mulongo alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa makachero wa taasisi ya uchunguzi ya marekani (fbi) wamefika mkoani arusha kuchunguza jambo hilo
hata hivyo taarifa kutoka ubalozi wa marekani zilikana fbi kuingia nchini kuchunguza jambo hilo hivyo kusababisha mkanganyiko wa tukio hilo
lililovuta hisia kubwa ndani na nje ya nchi
chadema mara kwa mara imekuwa ikilituhumu jeshi la polisi na makada wa ccm kuendesha harakati za kukidhoofisha kwa kutumia matukio mbalimbali yanayofanywa na chama hicho cha upinzani
mmoja wa viongozi wa chadema ameliambia tanzania daima kuwa polisi walikuwa wamepanga kuwatumia fbi kuuhabarisha umma kuwa chadema ilihusika na ulipuaji huo bomu lakini kutokana na mazingira yaliyopo wameshindwa kutekeleza uovu huo
unajua hila za polisi na ccm kila siku zinabadilika lakini kwa bahati mbaya hawajui kuwa wananchi wanajua kinachofanyika kuna askari hawaridhiki na uovu unaofanywa na wenzao alisema kiongozi huyo
tanzania daima iliwasiliana na mkurugenzi wa makosa ya jinai (dci) robert manumba kuhusu sakata hilo ambapo alikataa kulizungumzia akidai msemaji wa jeshi hilo advera senso anayo majibu
hata hivyo senso hakuwa tayari kulizungumzia akisema kuwa alikuwa eneo baya na akitoka eneo hilo angelijulisha gazeti hili lakini mpaka tunakwenda mitamboni hakutimiza ahadi hiyo
mlipuko huo ambao ulisababisha vifo vya watu wanne na wengine zaidi ya 60 kujeruhiwa ulitokea juni 15 mwaka huu wakati wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani jijini humo zikiwa zimepita dakika chache
baada ya mbowe kumaliza kuhutubia na kutelemka katika jukwaa lililokokuwa limeelekezwa bomu hilo
siku moja baada ya tukio hilo serikali kupitia kwa waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (sera uratibu na bunge) william lukuvi ilitoa taarifa tata bungeni ikionyesha kulikingia kifua jeshi la polisi na kuwatwisha lawama viongozi wa chadema
lukuvi alisema kuwa mkutano wa chadema ulikuwa na ulinzi wa polisi wenye
magari mawili waliosimama upande wa kaskazini ya uwanja na mrushaji wa mlipuko huo akiwa upande wa mashariki ya uwanja huo na kurusha kuelekea magharibi
jaribio la askari kutaka kumfuata aliyerusha mlipuko huo zilizuiliwa na
makundi ya wananchi ambao walianza kuwashambulia askari kwa mawe na kuwazomea na hivyo polisi kulazimika kuanza kujiokoa badala ya kumsaka mhalifu huyo
hivi karibuni zimekuwepo jitihada za makusudi za baadhi ya vyama vya siasa makundi ya kijamii na watu binafsi kupandikiza chuki ya raia dhidi ya vijana wetu wa polisi kuwafanya raia wawachukie wasiwaamini wasiwape ushirikiano na kuifanya nchi isitawalike alisema lukuvi
aliliongeza kuwa kufanikiwa kutoroka kwa mhalifu wa tukio hilo ni matokeo ya uchochezi unaofanywa kwa makusudi na baadhi ya wanasiasa dhidi ya serikali na polisi na hivyo kuwafanya wananchi wajenge chuki dhidi ya polisi
siku chache baadaye viongozi wa ccm pamoja na baadhi ya mawaziri kana kwamba wanafahamu mlipuaji wa bomu hilo waliitwisha lawama chadema wakidai ilihusika na tukio hilo ingawa hadi leo hakuna aliyehojiwa na polisi kati yao kuthibitisha tuhuma hizo badala yake mbowe pekee ndiye anaandamwa awapelekee ushahidi
makada hao ni naibu katibu mkuu (tanzania bara) mwigulu nchemba na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) hawa ghasia ambao walidai kuwa chadema ndiyo imekuwa ikihusika na vurugu zote zinazohusisha mauaji nchini
kauli za viongozi hao zilitplewa baada ya katibu wa halmashauri kuu (nec) ya chama cha mapinduzi (ccm) itikadi na uenezi nape nnauye kudai kuwa wanao ushahidi wa kutosha kuwa chadema iliandaa na kuratibu shambulio hilo
ni lazima tuwaze na kuvuka mipaka kuna mambo ambayo yanawezekana kabisa yakawa yamejificha pale watu wanaangalia wanaojitoa ufahamu wanafikiria ccm inaweza kushiriki
mimi niwaambie ccm hata bila kushiriki ni moja kwa moja inawekwa kwenye
lawama jambo kama hilo likitokea ila ccm haina ushiriki katika jambo kama hili kwa sababu ndio watu wake kupitia serikali yake wanatakiwa kuwahakikishia usalama alisema
mwigulu ambaye pia ni mbunge wa iramba magharibi aliongeza kuwa hata video ya mauji ya arusha iliyowekwa kwenye mtando wa you tube inaonesha wazi kuwa yalipangwa
yule aliyekuwa anachukua video eti hakushtushwa kabisa na lile bomu aliendelea kufuatilia kama vile ni mkanda wa harusi iliwahi kutokea wapi mchukua video kwenye mkutano wa hadhara kitu ambacho hakikupangwa kimelipuka kinaua watu yeye anendelea kama anachukua send off alihoji
ghasia naye alidai kuwa chadema wamechochea vurugu mtwara mwanza mbeya morogoro na sasa arusha ili maeneo hayo yasipate maendeleo
kutokana na mlipuko huo chadema ilitangaza kuanza mpango wa kutoa mafunzo kwa vijana wake kwa ajili ya kulinda mikutano na viongozi wake lakini ccm polisi na msajili wa vyama vya siasa john tendwa walikionya chama hicho wakidai kuwa hatua hiyo ni kinyume cha sheria za nchi katiba na sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992
hata hivyo hoja zao zilipingwa vikali na baadhi ya wadau wa siasa na wananchi wakihoji walikuwa wapi kwa kutoionya ccm ambayo ina kikundi cha
vijana cha green guard ambacho kinapewa mafunzo ya kijeshi na matumizi ya silaha za moto
julai 17 mwaka huu mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai nchini alimwandikia mbowe barua na kumwamuru awasilishe ushahidi wa video aliyodai kuwa nayo ikiwaonesha baadhi yao walivyoshiriki kwenye tukio la
mlipuko wa bomu arusha kabla ya julai 23 mchana saa nane
katika hatua ya kuchanganyana jeshi hilo juni 20 mwaka huu kupitia kwa
mkuu wa mafunzo na operesheni paul chagonja aliwaeleza wanahabari kuwa mbowe anapaswa kuwa mkweli na kuacha kuuchezea umma kwa alichowaeleza polisi ni tofauti kwani hana ushahidi huo
lakini katika hatua ya kushangaza chagonja huyo huyo ndiye amemwamuru mbowe kupeleka tena ushahidi huo polisi akitamba kuwa baada ya kukaidi kufanya hivyo polisi inao makachero wake wanaojua jinsi gani ya kuendelea na kazi hiyo
pamoja na polisi kudai mbowe hana ushahidi julai 10 mwaka huu usiku wa manane askari kadhaa wakiwa na silaha walifika nyumbani kwake wamkisaka bila mafanikio wakitaka awapatie video hiyo
hata hivyo kesho yake kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni camilius wambura alidai hana taarifa za askari wake kufika nyumbani kwa mbowe
muda aliopewa mbowe umemalizika bila kuwasilisha ushahidi huo akidai kuwa hawezi kwenda kinyume na msimamo wa chama kwani jeshi hilo ni watuhumiwa kwenye tukio hilo la arusha
juzi jeshi hilo lilimtaka mbowe kuwasilisha msimamo huo wa utetezi wake kwa maandishi leo ambapo kiongozi huyo wa upinzani alisema mwanasheria wa chama hicho ataandaa maelezo hayo
chanzo tanzania daima | 2017-06-26T10:31:13 | http://kingjofa.blogspot.com/2013/07/chadema-yaikoroga-polisi.html |
inafaa kutumia vyombo vya dhahabu na fedha | alhidaayacom
ukurasa wa kwanza /inafaa kutumia vyombo vya dhahabu na fedha
ama baada ya salamu natumai mnaendelea vema kwa uwezo wa allah karim swali langu ni kama ifuatavyo je inafaa kutumia vyombo vya silver (fedha) na gold (dhahabu) kwa mfano kikombe au glasi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani tafadhali naomba mnifahamishe nawatakia kheri nyingi kutoka kwa allah na awafanyie wepesi katika kila jambo jema mnalolikusudia wa hadha assalam alaykum warahmatullah wabarakat
ama kiislamu utumiaji wa vyombo vya dhahabu na fedha haikubaliwi kabisa dalili ya hiyo ni hadiyth zifuatazo
1rasuli wa allaah (swalla allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) amesema anayekunywa katika chombo cha fedha anaangushia moto tumboni mwake [albukhaariy na muslim]
2rasuli wa allaah (swalla allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) amesema na ametukataza kuvaa pete za dhahabu na kunywa katika chombo cha fedha [albukhaariy na muslim]
3hudhayfah (radhwiya allaahu 'anhu) amesema kuwa amemsikia rasuli wa allaah (swalla allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) akisema na msinywe katika chombo cha dhahabu na fedha na msile katika sahani zake kwani hivyo ni vyao duniani na ni vyetu aakhirah [albukhaariy na muslim]
kwa hiyo vyombo hivyo havifai kutumiwa na waislamu kishariyah | 2019-09-18T20:36:26 | http://www.alhidaaya.com/sw/node/4248 |
kalulunga blog tpdc gesi asili imepunguza adha ya kukatika umeme tanzania
tpdc gesi asili imepunguza adha ya kukatika umeme tanzania
shirika la maendeleo ya petroli tanzania (tpdc) limesema kuwa gesi asili iliyogundulika na kuanza kuchimbwa mkoani mtwara kusini mwa tanzania imepunguza adha ya kukatika kwa umeme kwa kiasi kikubwa
hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na mjiofizikia wa shirika hilo kutoka idara ya mkondo wa juu fausta kayombo alipokuwa akitoa elimu ya gesi hiyo kwa waandishi wa habari wanaofanya kazi katika mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini walipokutanika katika ukumbi wa mikutano wa mkapa jijini mbeya
alisema watanzania wengi wanahoji faida ya gesi hiyo kutokana na kutonufaika moja kwa moja lakini ukweli ni kwamba faida ipo kubwa na zaidi ya asilimia 50 gesi hiyo inatumika katika kuzalisha umeme
awali tulikuwa tunategemea maji kuzalisha nishati ya umeme lakini kwa sasa zaidi ya asilimia 50 tunatumia gesi kuzalisha nishati hiyo ndiyo maana tatizo la kukatikakatika kwa umeme siku hizo kumepungua sana alisema kayombo
alisema gesi hiyo inatumika pia kwa kupikia lakini kupitia mfumo wa mabomba tofauti na gesi ambayo inatoka nje ya nchi ambayo inasindikwa kwenye mitungi inayotumika kwa sasa na kwamba watakaoweza kufikiwa na gesi asili majumbani mwao watatumia kwa bei nafuu kuliko gesi iliyopo sasa
kwa upande wake mkuu wa wilaya ya mbeya william ntinika alisema ili jamii iweze kupata uelewa juu ya masuala ya gesi asili ni vema waandishi wa habari wakaeleweshwa vema ili nao waweze kuufikishia umma taarifa sahihi
hata hivyo katika majadiliano na waandishi wa habari baadhi ya waandishi wa habari walisema ipo haja ya elimu waliyoipata iwafikie pia wakuu wa wilaya wakuu wa idara katika halmashauti na wanasiasa kwasababu baadhi yao wanakataza wananchi kutumia mkaa kwa madai kuwa gesi asili ipo jambo ambalo ni upotoshaji kwasababu mpaka sasa watanzania wasiozidi 200 kati ya watanzania zaidi ya milioni 40 pekee ndiyo waliofikishiwa mabomba ya gesi hiyo asili kwa ajili ya matumizi ya kupikia
imechapishwa na gordon kalulunga at 143 pm | 2018-03-17T22:09:50 | http://kalulunga.blogspot.com/2017/03/tpdc-gesi-asili-imepunguza-adha-ya.html |
mahakama yabariki kuvunjika kwa ndoa ya flora mbasha na mumewesasa kugawana mali boss ngasa official website
home burudani mahakama yabariki kuvunjika kwa ndoa ya flora mbasha na mumewesasa kugawana mali
mahakama yabariki kuvunjika kwa ndoa ya flora mbasha na mumewesasa kugawana mali
baada ya msuguano wa miezi kadhaa hatimaye mahakama ya wilaya ya kinondoni imeridhia kuvunja ndoa ya mwanamuziki wa injili flora na mumewe emmanuel mbasha kisha kugawana mali walizochuma pamoja chanzo makini kimefunguka kuwa flora aliyekuwa akiidai talaka hiyo ili aweze kuolewa na mwanaume wake mpya alifanikiwa azma yake hiyo hivi karibuni baada ya mahakama kuridhia
si unajua flora ameshapata bwana mpya yule daud kusekwa na vikao nasikia vimepamba moto hivyo alikuwa anapambana kwelikweli kuhakikisha anapewa talaka na mimi ninayo nakala yake kama vipi niwatumie
sasa amefanikiwa wamegawana mali na mahakama imewapa masharti juu ya malezi ya mtoto wao aitwaye eliza kwamba flora ndiye atakayempa mahitaji yote ya msingi kilisema chanzo hicho na kuongeza
si unajua wale kuna mali walichuma pamoja basi zote wamezipiga pasu kuanzia zile zilizokuwa kwenya akaunti ya pamoja na hata ile nyumba yao iliyopo tabata kimanga
risasi jumamosi baada ya kuipata nakala ya hukumu hiyo ya talaka lilimvutia waya flora ili kumsikia anazungumziaje hatua hiyo lakini simu yake haikupatikana hewani
kwa upande wake mbasha alikiri ndoa yao kuvunjika mahakamani na kusema hayuko tayari kuzungumzia mgawanyo wa mali zao wewe elewa tu tumeshaachana talaka imetoka mahakamani
hayo mambo mengine mimi siwezi kuyazungumzia alisema mbasha wawili hao kwa sasa kila mmoja ameshampata mwenzi flora anatarajia kuolewa aprili 30 mwaka huu wakati mbasha bado haijajulikana kama atamuoa mchumba wake wa sasa au la
mahakama yabariki kuvunjika kwa ndoa ya flora mbasha na mumewesasa kugawana mali reviewed by boss ngasa on saturday february 25 2017 rating 5 | 2018-03-20T21:21:34 | http://www.bossngasatz.com/2017/02/mahakama-yabariki-kuvunjika-kwa-ndoa-ya.html |
somalia yafungua ukurasa mpya | idhaa ya redio ya um umoja wa mataifa
08/05/2013 somalia yafungua ukurasa mpya
nina furahi kwamba mkutano wa london unaendelea na tunatarajia matokeo mazuri iwapo dunia itaendelea kubaki kuwa mwaminiifu kwetu
abdillahi
(sauti) natumaini kwamba mkutano wa london utasaidia kuimarisha usalama uchumi na maisha ya kila siku ya watu wetuwasomali wanatakiwa kufanya kazi pamoja kuijenga nchi yetu hakuna mwingine atakaye fanya hivyo
mkutano wa london pekee hauwezi kutatua matatizo yetu wasomali tunahitaji kushirikiana na kukubaliana njia za kushirikiana madaraka na kumaliza tofauti zetu | 2016-04-30T22:09:26 | http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/05/186602/ |
last updated on 20140424t0714+0300
abdallah ulega alisema kama kiongozi nitaendelea kuhamasisha uchangiaji damu kwani natambua thamani ya wenzetu waliopata ajali hiyo na ili wapate nafuu na kurejea kwenye majukumu yao ya kila siku ni lazima kila mtu aguswe kwa nafasi yake
abdallah ulega alisema magonjwa ni kikwazo kwa wafugaji wadogo tumetazama tatizo la maradhi na kusema tupambane nalo tunazalisha chanjo ya kideri na ukinunua ya shilingi 4500 unawahudumia kuku 200 na kuwaokoa
abdallah ulega amesema mafanikio haya yanatokana na kudhibiti uvuvi haramu hasa wa mabomu na tumefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 90 na nawapongeza wavuvi wote hasa wa ukanda wa pwani walishirikiana na serikali na wananchi kuhakikisha tunapambana na uvuvi huo
mwananchi monday august 5 2019 70700 pm eat
abdallah ulega amesema wale soko lao kubwa ni nje ya nchi na vilevile hapa ndani wanauza na vipo viwanda vingine baada ya uhakika wa malighafi na mkakati wetu wa kuhakikisha malighafi zinalindwa ni endelevu lakini ni shirikishi kwa sisi serikali kushirikiana na wananchi ili kukuza uchumi
abdallah ulega alisema makubaliano haya yanalenga kuhamasisha ulaji wa samaki na kuku ambao upo chini sana miongoni mwa watanzania wengi
mtanzania thursday july 11 2019 121100 pm eat
abdallah ulega amesema kitambi ni dalili mojawapo ya uzito kupita kiasi hii si dalili njema hupelekea magonjwa yasiyoambukiza
jamiiforums wednesday may 29 2019 32900 pm eat
abdallah ulega amesema katika kupambana na kitambi nikujikinga kupunguza chakula cha wanga sukari chumvi mafuta kwenye chakula kunywa maji lita 1 na nusu na kupunguza unywaji wa pombe uliopitiliza
abdallah ulega amesema utoaji wa elimu kwa jamii kuhusu magonjwa haya kwa kutumia njia mbalimbali ikiwemo vipeperushi redio runinga mitandao ya kijamii na nyinginezo ili kuongeza uelewa kwa jamii
abdallah ulega amesema naomba niwahakishie wabunge kazi inaendelea na sisi hatutarudi nyuma sisi kama wanadamu maoni yenu tutayafanyia kazi
abdallah ulega alisema wavuvi serikali imesikia kilio chenu cha muda mrefu hivyo imeruhusu uvuaji wa samaki kuanzia sentimita 85 na kuendelea lakini bado mchakato unaendelea wa kuangalia namna gani ya kuruhusu samaki aina ya ngele gogogo na furu na kuwekwa kwenye utaratibu wa sheria na kanuni
jamiiforums monday may 13 2019 125000 pm eat
abdallah ulega amesema sera ya uvuvi inaelekeza ushirikishwaji wa wananchi katika kusimamia rasilimali za uvuvi ambapo vimeanzishwa vikundi vya usimamizi shirikishi wa rasilimali za uvuvi
mwananchi wednesday may 8 2019 45700 pm eat
abdallah ulega amesema tumeweka mikakati kwanza kudhibiti mnyororo wa thamani kuanzia kumuandaa ngombe hadi kumchakata kuna viwanda pwani morogoro na tupo katika maridhiano na serikali ya misri na tutakuwa na kiwanda pale ruvu
mwananchi tuesday april 9 2019 23900 pm eat
abdallah ulega alisema nendeni mkafanye kazi za uvuvi bila kuwa na wasiwasi ila sheria kanuni na taratibu zifuate hakutokuwa na kiongozi wa aina yeyote ile atakayewasumbua
habarileo thursday february 21 2019 100300 am eat
abdallah ulega said completion of the assessment will give us a clear picture of the stock of fish in the lake research findings will help us make decisions on whether to allow large scale commercial fishing in our waters
newtimesrw saturday february 2 2019 24300 am eat
abdallah ulega said completion of the assessment will give us a clear picture of the stock of fish in the lake research findings will help us make decisions on whether to allow large scale commercial fishing in our waters
xinhuanet_en friday february 1 2019 45800 pm eat
abdallah ulega said fisheries officers must allow them to fish as the government has extended the licence renewal time for 2019
abdallah ulega amesema kwa kuzingatia hilo kila mtu anayeshughulika na shughuli za uvuvi anatakiwa kuwa na leseni halali ya uvuvi na leseni ya chombo anachotumia kwa ajili ya uvuvi
habarileo thursday january 17 2019 104600 am eat
abdallah ulega anasema ( about rais magufuli ) tumefanya mambo mengi lazima nimshukuru sana mheshimiwa rais nimempelekea mambo kadhaa amenisaidia
habarileo wednesday january 9 2019 113200 am eat
abdallah ulega anasema tumepata watoto wengi sana wanaoingia kidato cha kwanza tofauti na uwezo wa shule lakini hili ni jambo jema sana na tutazisidi kujenga shule mpya na kuboresha zilizopo kwa mfano mwaka 2018 tulijenga shule mpya tatu za sekondari katika wilaya yetu na kuboresha zilizopo tumejenga pia shule ya msingi kipala
abdallah ulega anasema tuna zaidi ya sh bilioni tatu ambazo zimetengwa kwa ajili ya mradi mkubwa wa maji katika wilaya ya mkuranga
abdallah ulega amesema naagiza waliovamia na kufanya shughuli za kilimo na uwekezaji na kushindwa kufuga waondolewe nakuomba mkuu wa wilaya (alhaj adam mgoi) weka siasa pembeni
mwananchi tuesday december 11 2018 82600 pm eat
abdallah ulega said the declining fish catches could even be worse as the number of fishermen getting the licenses has risen to over 66000 in 2016 from 56000 in 2012
coastweek friday december 1 2017 51400 pm eat
abdallah ulega alisema papai si haramu ila kinachotokana na papai ndicho haramu ambayo ni pombe ya gongo sasa kama mtu katoa ardhi yake bure tupambane kupata viwanda maana ajira hakuna tupate sido kubwa na siyo kuwaza mtu aliyetoa ardhi hiyo
mwananchi wednesday february 22 2017 20300 pm eat
abdallah ulega alisema katika hili naomba tuondoe itikadi zetu wasiokuwa wana ccm na wanachama wa vyama vingine vya siasa tuwe kitu kimoja ili tuweze kupata maendeleo kwa haraka
mtanzania monday october 10 2016 114000 am eat
abdallah ulega alisema kwa kuwa leo umekuja nimefarijika na ujio wako na naomba hatua za haraka zichukuliwe ili kuokoa vijana hawa
mtanzania tuesday august 2 2016 20700 pm eat
abdallah ulega said i believe that a patriotic tanzanian is one who pays tax but it's important to provide education so that the public can comprehend the importance of paying taxes
allafrica friday june 24 2016 92700 am eat
mbunge wa mkuranga 1250 sw 10/10/201610/10/2016
mp 2500 en 10/07/201607/10/2016
legislator 2500 en 07/15/201615/07/2016
lawmaker 1250 en 06/24/201624/06/2016
kilwa district commissioner 1250 en 04/09/201409/04/2014
mwenyekiti 1250 sw 02/19/201419/02/2014
abdallah ulega sw 5625
abdallah ulega en 4375
john magufuli 605
rais magufuli 320
kassim majaliwa 214
waziri mkuu 214
zitto kabwe 178
cosa nostra 178
hussein of jordan 178
paul makonda 142
subira mgalu 142
mkuu wizara 142
mkuu kiongozi 107
john kijazi 107
january makamba 107
jakaya kikwete 107
daily news 107
eac 107
chama cha mapinduzi 107
regina chonjo 071
karen yunus 071
richard mbeho 071
ahmed 071
baraka konisaga 071
betty mkwasa 071
leticia warioba 071
alfred msovella 071
rodrick mpogolo 071
cyprian luhemeja 005
ahmed kipozi 00357
martha umbulla 00317
baraka konisaga 00312
betty mkwasa 00312
regina chonjo 00274
geoffrey kirenga 00227
martha mlata 00213
rosemary senyamule 00204
crispin meela 00189
joseph mkirikiti 00185
subira mgalu 00184
rodrick mpogolo 00179
rehema madusa 00175
john magufuli 00165
cecilia paresso 00154
emmanuel herman 00109
phillip mpango 00089
rais magufuli 00088
adam kimbisa 00071
alexander mnyeti 00071
shukuru kawambwa 00071
christine mndeme 00069
mkuu ofisi 00066
julius kalanga 00065
anthony mtaka 00063
kassim majaliwa 00059
waziri mkuu 00057
abdallah bulembo 00056 | 2019-08-26T02:33:06 | https://cews.africa-union.org/AfricaBrief/entityedition/en/2047845.html |
> rais magufuli awataja wanaochonganisha nchi msumba news blog
home kitaifa rais magufuli awataja wanaochonganisha nchi
rais magufuli awataja wanaochonganisha nchi
in kitaifa published on april 06 2018 leave a reply
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli ameweka wazi kuwa hatua inazopiga serikali kudhibiti uchumi waliokuwa na tabia za kutuibia rasilimali hawawezi kufurahia hivyo watatumia njia yoyote kukwamisha ikiwemo kuchonganisha
rais magufuli ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akihutubia umma wakati wa uzinduzi wa ukuta uliojengwa kuzunguka eneo lenye madini ya tanzanite ambayo yanapatikana tanzania pekee
rais magufuli amesema watu hao wakiwemo wale waliokuwa wanaiba wanyama na kuwasafirisha kwa ndege ili miaka ya baadaye wasiwe na sababu ya kuja tanzania kutalii watatumia mbinu yoyote kuhakikisha tanzania haifanikiwi kujikwamua kiuchumi ili waje watawale tena
awamu ya tano inapambana vita ya uchumi vita ya uchumi ni ngumu inapambana na mabeberu ya kila aina tunaowazuia wizi hawawezi wakafurahi tunapowazuia wizi wa dhahabu hawawezi wakafurahi waliokuwa wanasafirisha wanyama wetu kwenye ndege wakiwa hai ili miaka ijayo wasije hapa kutalii hawawezi wakafurahi na ni watu wenye uwezo mkubwa mengine ni mataifa makubwa kutoka nje wataleta vitimbwi vya kila aina watawachonganisha kwa kila aina kwa sababu ukitaka watu uwatawale ni kuwachonganisha amesema rais magufuli
rais magufuli ameendelea kwa kusema wapo waliokuwa wanataka nchi yetu isiendelee unanunua ndege wanatumiwa watu wanashangilia kukamatwa ndege yao ni ushetani kweli kweli ndege ni yenu mtapanda wote lakini mtu anasimama pale anasema afadhali imeshikwa ibaki huko huko mnajiulizaje mtu wa aina hiyo mali ni yenu imeshikwa ni mali yenu lakini wanashangilia
sambamba na hilo rais magufuli amewataka watanzania kuwa wazalendo na kuzingatia uchumi wa nchi na sio kushangilia pale panapotokea tatizo | 2018-11-21T20:41:42 | http://www.msumbanews.co.tz/2018/04/rais-magufuli-awataja-wanaochonganisha.html |
suluhu ya kukabiliana na kukosa hamu kitandani
3880 chapisha kwa facebook
si kila mara ambapo zoezi la kushiriki mapenzi huwa shwariwakati watu wawili wanapokutana na kuanza uhusiano wa kimapenzi huwa wanapatwa na msisimko lakini nyakati zingine huenda hamu ya kushiriki mapenzi ukafifia ikiwa hali itageuka na kuwa hauna hamu kitandani unaweza kutekeleza hatua zifuatazohabari nyingine mpenzi akidanganya katika uhusiano chukua hatua zifuatazokukaa pamoja kuweni na uhusiano wa karibuwanawake hawapendi tu kukusikiliza wanapenda pia kukaa nawe kwa muda wa kutosha
sio wanawake pekee kwani hata wanaume hupenda kukaa na mwanamke wanayemthamini wachumba wanafaa kuelewana na kuwasilianaonyesheni mapenzi onyeshaneni mapenziwanafaa kupendana na kufaana na kushirikiana kimapenzi onyesha kwa vitendo kuwa unampenda mchumba wakoonyesha mapenzi mara kwa mara kwa mpenzi wako nje ya nyumba fanya hima kufanya vitu vidogo vinavyompendezamsikasirikiane kwa muda mrefu
picha ian isherwoodkila uhusiano huwa na changamoto zake lakini hafai kukaa umekasirika kwa muda mrefu kama isemavyo biblia haifai jua kutua ukiwa umekasirikaunafaa kutosheleza mwenzako mahitaji yake kitandani mnafaa kutoshelezana kitandanimnafaa kuelewana jinsi mnavyotaka kushiriki ngono hii ni kutokana na tofauti za matakwa katika tendo la kujamiianainafaa kuelewa mwili wa mwenzako
elewa mwili wa mwenzakowanawake na wanaume wanafaa kuelewa jinsi miili ya wenzao hufanya kazi mwanamume chukua muda kumshika mke wako usikimbie kumaliza kumfanyia mapenzi mkeohabari nyingine nyakati rais uhuru kenyatta ameonekana kama mtu mnyenyekevu (picha) furaha iwe sehemu yenuhii ni kwa sababu mwili wa mwanamke na mwanamume ni tofauti na huenda akachukua muda kabla ya kutoshelekahayo ni baadhi ya mambo unayofaa kutekeleza lakini usitarajie matokeo ya ghafla lazima utie juhudi na kuchukua muda na kujizoesha kufanya mambo hayoread english version read more
how to improve your relationship with your boyfriend how to keep a relationship exciing spicing up bedroom gymnastics how to keep the fire burning on bed tips on how to prevent boredom in the bedroom moto
wizkid milele fm presenters photos how old is akothee kcse leakage 2016 sheila mwanyigha habari zingine picha ya raila katika kilabu baada ya kutangazwa kama mpeperushaji bendera yaangaza mitandaoni (picha) | 2017-04-30T10:52:18 | https://swahili.tuko.co.ke/202486-je-umekosa-hamu-kitandani-fuata-njia-hizi-za-kukabiliana-na-tatizo-hilo.html |
mtoto wa kitaa breaking news ffu wavamia ofisi za global publsher
breaking news ffu wavamia ofisi za global publsher
katika hali isiyokuwa ya kawaida askari wa kutuliza ghasia (ffu) leo asubuhi badala ya kutuliza walikuwa chanzo cha fujo pale walipoingia kama wendawazimu katika ofisi za kampuni ya global publishers na kuanza kupiga makofi na mabomu wafanyakazipolisi hao walifika katika ofisi hizo ghafla huku wakiwa na bunduki na kuanza kufyatua mabomu ya machozi na baadaye polisi kadhaa waliingia ndani huku wakiwa wameshikilia bastola maalum ambapo kulikuwa na kikao cha kupitia magazeti kikiendelea polisi mmoja alitoka nje na mtumishi mmoja kifupi hali ilikuwa mbaya kutokana na kipigo cha polisi hao kwa wafanyakazi wasiokuwa na hatiakuona hali inazidi kuwa mbaya mhariri mtendaji manyota aliwasiliana na mkuu wa jeshi la polisi nchini (igp) saidi mwema na kumueleza kila kitu kuhusiana na fujo za kikosi cha kutuliza ghasia ambapo kiongozi huyo alishtuka na kutoa pole huku akiahidi kushughulikia suala hilo
pata picha halisi za tukio zima
askari wa kutuliza ghasia (ffu) wakijaribu kumchukua mmoja wa wafanyakazi wa global publishers hassan ally daffa kwa madai kuwa ni mmoja wa wanafunzi walioandamana huku wafanyakazi wenzake wakimteteapicha kwa hisani ya global publisher
wahariri wakutana kujadiliana juu ya tasnia ya habari | 2016-12-08T02:07:11 | http://mtotowakitaa.blogspot.com/2011/02/breaking-news-ffu-wavamia-ofisi-za.html |
cag magereza iko hoi kifedha
may 8 2014 | chanzo nipashe leave a comment
mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) ludovick utouh amesema magereza ya tanzania yamekuwa na idadi kubwa ya mahabusu na wafungwa huku bajeti ikishindwa kuwahudumia wafungwa na watumishi
alisema hayo jana wakati akizungumzia ripoti ya ukaguzi ya mwaka wa fedha unaoishia juni 30 2013 utouh anasema tanzania ina magereza 122 yenye uwezo wa kuchukua wafungwa 22669 lakini kwa sasa yanatoa huduma kwa wafungwa 45000 kiwango alichosema ni kikubwa na kinachohatarisha usalama wa wafungwa hao
kutokana na ongezeko hilo limechangia ugumu wa kudhibiti na kufuatilia haki za wafungwa kwenye magereza yenye msongamano mkubwa alisemapamoja na idadi kubwa wa wafungwa lakini idara ya magereza imekuwa ikipata bajeti finyu tofauti na inayopendekezwa hali inayowafanya watumia njia nyingine za kupata fedha za kuwatunza wafungwa hao
alisema hali hiyo inachangia kuvuruga wakati mwingine bajeti kuu kwa fedha zilizopangwa kufanya shughuli nyingine na kuchukuliwa kwa ajili ya kuihudumia idara hiyo
alisema kwa mfano bajeti ya 2012/13 idara hiyo iliomba sh bilioni 1315 kwa matumizi ya kawaida na sh bilioni 5160 kwa miradi ya maendeleo lakini walipewa bajeti yenye ukomo wa sh bilioni 514 kwa matumizi ya kawaida na sh bilioni 13 kwa shughuli za maendeleo
alisema baadhi ya maeneo yaliyoathirika kutokana na ukomo wa bajeti hiyo ni chakula cha wafungwa ambacho kilipangiwa sh bilioni 324 na bajeti iliyoidhinishwa ni sh bilioni 8
utouh alisema kwa upande wa mavazi ya wafungwa bajeti halisi ilikuwa ni sh bilioni 16 lakini kilichoidhinishwa ni sh bilioni 05
kwa upande wa sare za askari alisema bajeti halisi ilikuwa sh bilioni 37 lakini iliyoidhinishwa ni sh bilioni 035 utouh alitoa mapendekezo kuwa kutokana na changamoto zinazoikabili idara ya magereza ni vema mahakama ya tanzania ikaharakisha kutoa maamuzi ya kesi zilizopo kwani kwa sasa kuna idadi kubwa ya mahabusu magerezani wanaosubiri kusikilizwa kesi zao
alipendekeza pia kwamba serikali iiwezeshe idara ya mahakama iwe na uwezo wa kufanya kazi zake kikatiba kwa kuipatia fedha nyenzo na watumishi wenye sifa na idadi inayoendana na majukumu yake
ili kupunguza msongamano katika magereza na gharama za kuwahudumia wafungwa mahakama inashauriwa kutoa adhabu mbadala kwa makosa madogo alisema
serikali imeshauriwa pia kubuni miradi ya upanuzi wa miundombinu ya magerezaikiwa ni pamoja na kujenga magereza mapya na kukarabati yaliyopo ikiwa ni pamoja na kutenga fedha za kuwalisha wafungwa na kuwavisha na kuwatibu na kuwapatia haki zao za msingi
dk mengi wawekezaji wakubwa wanaotoa rushwa washughulikiwe
mwenyekiti wa mfuko wa sekta binafsi tanzania (tpsf) dk reginald mengi amesema ni muhimu kwa nchi za jumuiya ya afrika | 2018-05-27T17:51:10 | https://www.kijijini.com/2014/05/cag-magereza-iko-hoi-kifedha/ |
live waziri mkuu wa ethiopia na rais magufuli ikulu dsm tazama hapa millardayocom
waziri mkuu wa ethiopia hailemariam desalegn ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili nchini tanzania ambapo pamoja na mambo mengine mwenyeji wake rais dk john magufuli wanatarajia kutiliana saini mikataba kadhaa ya ushirikiano wa kiuchumi na biashara unaweza kufuatilia live kwa kubonyeza play hapa cchini
← previous story video mbunge lijualikali akitoka gerezani baada ya mahakama kutengua hukumu
next story → video nitafuatilia makampuni ya watanzania yanayofanya kazi nje waziri mwijage
video alikiba alivyoimba live na band yake dodoma usiku wa kuamkia leo | 2020-08-03T09:40:13 | https://millardayo.com/libv657/ |
malaika wa saikolojia ya saikolojia nambari kusoma kwa chakra machi 31st hadi jua 2nd aprili 2017 usomaji wa akili wa mtandaoni
online masomo ya akili > video > malaika wa saikolojia ya saikolojia nambari kusoma kwa chakra machi 31st hadi jua 2nd aprili 2017
megan machi 31 2017 videotagged ujumbe wa malaika malaika kuamka ufahamu wa pamoja mungu viongozi hig kundalini bwana utambuzi wa awali psychic roho tarotc majani ya twin ulimwengukuondoka maoni kwenye malaika wa saikolojia saikolojia nambari kusoma kwa chakra machi 31st hadi jua 2nd aprili 2017
pata 40 off huko ripley psychic | 2019-12-06T08:23:03 | https://sw.psychicbonus.com/weekend-psychic-angel-number-chakra-reading-march-31st-to-sun-2nd-april-2017/ |
wahamahamaji wa asia waliofanyiza milki
amkeni | mei 2008
urusi ilikumbwa na hofu na wasiwasi kama nzige jeshi la mashujaa wapandafarasi kutoka mashariki walivamia nchi tambarare wakiua wakipora na kuangamiza majeshi yoyote yaliyowapinga jimbo la novgorod ndilo tu lililookoka akiwa huko mwandishi mmoja alisema kwamba uvamizi huo ulifanywa na makabila yasiyojulikana yaliyozungumza lugha isiyoeleweka
wavamizi hao walikuwa wamongol watu walioishi katika nchi tambarare ambayo leo inaitwa mongolia iliyoko katikati na kaskazinimashariki mwa asia ushindi wao wa haraka ulioanza mapema katika karne ya 13 wk ulibadili historia ya asia na nusu ya ulaya katika miaka 25 tu wamongolia walitiisha wakaaji wa maeneo mengi kuliko yale ambayo waroma walitiisha kwa muda wa karne nne katika kilele cha utawala wao walitawala kutoka korea hadi hungaria na kutoka siberia hadi india milki hiyo ndiyo iliyotawala eneo kubwa zaidi lililoshikana kuwahi kurekodiwa katika historia
mbali na kutusaidia kuelewa historia ya asia na ulaya maandishi ya kihistoria ya milki ya mongol ambayo haikudumu kwa muda mrefu yanaunga mkono mafundisho mengi ya biblia kuhusu utu wa mwanadamu na utawala wa mwanadamu juu ya mwenzake kweli hizo zinatia ndani utukufu wa mwanadamu ni ubatili na unatoweka haraka (zaburi 629 1444) mwanadamu amemtawala mwanadamu kwa kumuumiza (mhubiri 89) kama zinavyofananishwa katika biblia falme za kisiasa zenye nguvu zimetenda kama wanyamamwitu katika jitihada zao za kutawala mataifa mengine kimabavu *
wamongol walikuwa nani
wamongol walikuwa jamii ya wahamahamaji na wapandafarasi stadi waliojiruzuku kwa kufuga wanyama kufanya biashara na uwindaji tofauti na jamii nyingine nyingi ambazo asilimia ndogo kati yao walizoezwa na kupewa silaha kwa ajili ya vita karibu wanaume wote wamongol walikuwa na farasi na upinde nao walikuwa mashujaa hodari na wakatili na kila kabila lilidumisha ushikamanifu kwa kiongozi wake aliyeitwa khan
baada ya kupingana kwa miaka 20 khan mmoja aliyeitwa temüjin (karibu 11621227) aliunganisha makabila 27 hivi ya wamongol chini ya uongozi wake baadaye waislamu wa asili ya uturuki walioitwa watatari walijiunga na wamongol katika mapambano hayo kwa kweli mashujaa wasioshindwa wa mongol walipoelekea magharibi wakaaji wa ulaya waliokuwa na woga waliwaita wavamizi hao watartari * mnamo 1206 temüjin alipokuwa na umri wa miaka 40 hivi wamongol walimweka kuwa genghis khan cheo ambacho huenda kinamaanisha mtawala mwenye nguvu au mtawala wa ulimwengu pia alijulikana kuwa khan mkuu
wapigamishale wa jeshi la genghis khan waliokuwa wamepanda farasi walishambulia kwa kasi na hasira na mara nyingi walipigana vita vingi katika maeneo mengi kijeshi alitoshana na aleksanda mkuu au napoleon wa kwanza inasema encarta encyclopedia juzjani mwanahistoria mwajemi aliyeishi wakati mmoja na genghis khan alimfafanua kuwa mtu mwenye nguvu nyingi utambuzi akili na uelewaji pia alimtaja kuwa mchinjaji
ngambo ya mongolia
eneo la kaskazini mwa china lilikaliwa na manchu ambao waliita milki yao jin au ya kidhahabu ili kufika katika maeneo ya manchu wamongol walivuka jangwa la gobi linalotisha lakini hilo halikuwa tatizo kubwa kwa wahamahamaji ambao ikiwa lazima wangeweza kuishi kwa kunywa tu maziwa na damu ya farasi ijapokuwa genghis khan alipanua utawala wake utie ndani china na manchuria vita viliendelea kwa miaka 20 hivi alichagua baadhi ya wachina waliokuwa wasomi wasanii wafanyabiashara na pia wahandisi ambao wangeweza kujenga kuta za mazingiwa manati na mabomu ya unga wa risasi
baada ya kudhibiti njia za biashara kati ya china na bahari ya mediterania kuelekea pande za mbali za magharibi genghis khan alijaribu kufanya mapatano ya kibiashara pamoja na sultani muhammad wa uturuki sultani huyo alitawala milki kubwa katika eneo ambalo leo linatia ndani afghanistan tajikistan turkmenistan uzibekistani na sehemu kubwa ya iran
katika 1218 wajumbe wamongol ambao inaelekea walitaka kufanya biashara walifika katika mpaka wa eneo la sultani huyo lakini gavana wa eneo hilo aliwaua na hivyo akaanzisha matukio ambayo yaliwafanya wamongol wavamie kwa mara ya kwanza nchi ya kiislamu katika miaka mitatu iliyofuata wamongol waliosemekana kuwa wengi kuliko chungu walipora wakateketeza majiji na mashamba na kuwaua raia wengi wa sultani muhammad isipokuwa wale waliokuwa na ustadi ambao wamongol walitaka
kisha jeshi la mongol lililokadiriwa kuwa na askari 20000 hivi likapita maeneo ya azerbaijan na georgia kuelekea nchi tambarare iliyo kaskazini ya caucasia likishinda majeshi yote waliyokutana nayo kutia ndani jeshi la urusi lenye askari 80000 katika safari ya kilomita 13000 hivi wamongol walizunguka bahari ya kaspiani katika kile kinachoonwa na watu fulani kuwa mojawapo ya uvamizi mkubwa zaidi wa jeshi la wapandafarasi katika historia mfululizo wao wa ushindi uliweka kielelezo cha uvamizi ambao ungefuata wa ulaya mashariki na watawala wa baadaye wa mongol
warithi wa genghis khan
ögödei mwana wa tatu kati ya wana wanne wa genghis khan waliozaliwa na mke wake wa kwanza ndiye aliwekwa kuwa khan mkuu baada yake ögödei alidhibiti tena maeneo yaliyokuwa yametiishwa akapokea ushuru kutoka kwa vibaraka na kumaliza milki ya jin huko kaskazini mwa china
ili kuendeleza milki na mtindo wa starehe wa maisha ambao wamongol walikuwa wamezoea hatimaye ögödei kwenda vitani tenalakini wakati huu alitaka kupigana na nchi ambazo hawakuwa wamezitiisha alishambulia maeneo mawili tofautinchi za ulaya upande wa magharibi na milki ya sung kusini mwa china kampeni ya ulaya ilifanikiwa lakini ya china haikufanikiwa ijapokuwa walipata mafanikio fulani wamongol hawakufaulu kutiisha eneo kuu la sung
kampeni ya magharibi
mnamo 1236 jeshi lenye mashujaa 150000 hivi lilielekea magharibi huko ulaya kwanza walishambulia maeneo ya kandokando ya mto volga kisha wakashambulia majiji ya urusi na kuteketeza kabisa jiji la kiev wamongol waliahidi kuyahifadhi majiji ikiwa watu wangewapa sehemu ya kumi ya kila kitu lakini warusi waliamua kupigana wakitumia manati wamongol waliwapiga maadui wao kwa kutumia mawe makubwa mafuta yanayowaka na baruti kuta za majiji zilipoangushwa wavamizi walimiminika ndani na kuwachinja watu wengi sana hivi kwamba kama mwanahistoria mmoja alivyoandika hakuna jicho lililobaki wazi ili kuwaombolezea wafu
majeshi ya mongol yalivamia poland na hungaria walifika karibu na mpaka wa ujerumani leo ulaya magharibi lilijitayarisha kwa ajili ya uvamizi lakini halikuvamiwa mnamo desemba (mwezi wa 12) 1241 ögödei khan alikufa inaelekea akiwa amelewa chakari hivyo makamanda wamongol walirudi haraka kwenye jiji lao kuu karakorum lililokuwa umbali wa kilomita 6000 ili kumchagua mtawala mpya
güyük mwana wa ögödei akamrithi baba yake mmoja wa watu walioshuhudia kutawazwa kwa güyük ni kasisi mwitaliano ambaye alifunga safari ya miezi 15 kupitia eneo lililodhibitiwa na wamongol ili kumpelekea barua kutoka kwa papa innocent wa nne papa huyo alitaka uhakikisho wa kwamba ulaya halingeshambuliwa tena na aliwahimiza wamongol wakubali ukristo güyük hakutoa ahadi yoyote badala yake alimwambia papa aje pamoja na wafalme kumpa khan heshima kuu
mashambulio mengine katika maeneo mawili
khan mkuu aliyefuata alikuwa mongke ambaye alitawazwa mnamo 1251 yeye na nduguye kublai walishambulia milki ya sung kusini mwa china huku jeshi lingine likishambulia maeneo ya magharibi jeshi lililoelekea magharibi liliharibu baghdad na likalazimisha damasko lisalimu amri watu waliodai kuwa wakristo waliokuwa wakipambana na waislamu walifurahi sana na wakristo walioishi baghdad walipora na kuwaua majirani wao waislamu
wakati huo muhimu sanawamongol walipokuwa tu tayari kumaliza jamii ya waislamuhistoria ilijirudia walipata ujumbe kwamba mongke amekufa kwa mara nyingine tena wavamizi hao walirudi nyumbani wakati huu wakiwaacha wanaume 10000 waulinde mpaka muda mfupi baada ya hapo jeshi hilo lenye watu wachache liliangamizwa na jeshi la wamisri
mashambulizi yaliyofanywa kusini mwa china dhidi ya milki tajiri ya sung yalifanikiwa kublai khan alijitangaza kuwa mwanzilishi wa milki mpya ya china na kuiita yuan jiji kuu la milki hiyo leo linaitwa beijing baada ya kuwashinda wale ambao bado walikuwa wakiunga mkono milki ya sung mwishoni mwa miaka ya 1270 kublai alitawala china iliyounganishwa kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa milki ya tang mnamo 907
kuvunjika na kuanguka
karibu mwanzoni mwa karne ya 14 milki kubwa ya mongol ilianza kuporomoka hilo lilisababishwa na mambo mengi kwanza kwa sababu wazao wa genghis khan walishindania mamlaka milki hiyo ilivunjika na kuwa milki kadhaa ndogo pia wamongol walichangamana na jamii za maeneo waliyotiisha huko china mapambano ya kushindania utawala yalipunguza mamlaka ya wazao wa kublai katika 1368 wachina waliochoshwa na utawala mbaya ufisadi na kodi kubwa waliwapindua mabwana wao wa milki ya yuan na kuwafurusha warudi mongolia
kama dhoruba kubwa tufani ya wamongol ilikuja haraka ikadumu kwa muda mfupi kisha ikapita lakini bado iliacha alama katika historia ya ulaya na asia kutia ndani kuunganisha mongolia na kuunganisha china bila shaka wamongolia wanamwona khan mkuu wa kwanza genghis khan kuwa baba wa taifa lao
^ fu 4 ona marejeo yanayotaja wanyamamwitu na tawala za kisiasa au serikali katika mistari ifuatayo ya biblia danieli 76 12 17 23 82022 ufunuo 1610 173 912
^ fu 7 wakaaji wa ulaya walifikiri kwamba watatari walikuwa mashetani waliotoka tartaro (2 petro 24) hivyo waliwaita wavamizi hao watartari
kutoka ushindi mpaka biashara
katika kilele chake milki ya yuan iliyoanzishwa na kublai khan ilichochea biashara na usafiri na hivyo kutokeza kile ambacho kimeitwa upanuzi mkubwa zaidi wa biashara katika historia ya ulaya na asia hiyo ilikuwa enzi ya msafiri mkuu wa venice aitwaye marco polo (12541324) * wakisafiri kupitia nchi kavu au kwa kutumia meli wafanyabiashara kutoka arabia uajemi india na ulaya walikuwa na farasi mazulia vito na vikolezo na walibadilisha vitu hivyo ili wapate vyombo vya udongo vanishi na hariri
mnamo 1492 christopher columbus akiwa amebeba simulizi la safari za marco polo alisafiri kwa meli upande wa magharibi kutoka ulaya akitumaini kusitawisha biashara na wamongol hata hivyo hakujua kwamba milki ilikuwa imeporomoka zaidi ya karne moja kabla kuvunjika kwa milki hiyo kulikatiza mawasiliano na waislamu walifunga njia ya kutoka ulaya kuelekea mashariki
^ fu 33 ukitaka kusoma kuhusu safari ya marco polo kuelekea china ona makala ya amkeni juni 8 2004 (8/6/2004)
walijulikana kwa uhuru wa kidini
ingawa waliabudu wanyama wamongol wa zamani waliruhusu imani nyingine kitabu the devils horsemen kinaeleza kwamba watu kutoka nchi za magharibi walipoingia kwenye mji mkuu wa mongol karakorum walishangazwa na utajiri wake na pia uhuru wa kidinimakanisa misikiti na mahekalu yalikuwa karibukaribu
ukristo uliwafikia wamongol kupitia wanestoria waliokuwa wameacha kanisa la bizantiamu au mashariki wanestoria waliwageuza imani watu wengi kati ya jamii za waturuki wa asia ambao walikutana na wamongol baadhi ya wanawake waliogeuzwa imani hata waliolewa katika familia ya kifalme ya mongol
wamongolia wa siku hizi wana dini mbalimbali idadi ya wanaodai kuabudu wanyama ni asilimia 30 hivi walama (watibet) wabudha asilimia 23 na waislamu asilimia 5 wengi kati ya hao wengine hawafuati dini yoyote
maeneo yaliyotawaliwa na wamongol
mto volga
bahari ya kaspiani
jangwa la gobi
kundi la farasi mongolia
[hisani ya picha katika ukurasa wa 12]
scenic © bruno morandi/age fotostock genghis khan ©the stapleton collection/the bridgeman art library
kwa nini wengi hawana tumaini
je wanadamu wanaweza kutuhakikishia wakati ujao wenye furaha
wakati ujao salama chini ya utawala wa mungu
wakati ujao unaotegemeka
je dunia itakuwa paradiso
je kweli huu ni mti
je ufadhili ndilo suluhisho
muzikizawadi ambayo mungu ameupa moyo
ghuba maridadi
maandishi mbinu za kupakua machapisho ya elektroni amkeni mei 2008
amkeni mei 2008 | 2020-02-22T11:18:08 | https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/g200805/Wahama-Hamaji-wa-Asia-Waliofanyiza-Milki/ |
waziri mkuu akagua ujenzi wa reli ya kisasa (sgr) owm
home kitaifa taarifambalimbali waziri mkuu akagua ujenzi wa reli ya kisasa (sgr)
✔ habari pmo 5/14/2020 122200 pm
waziri mkuu kassim majaliwa akifafanuliwa jambo na makamu mwenyekiti wa kampuni ya yapi markezi ardem arioglu akiwa ndani ya treni inayotumia umeme wakati alipokagua mradi wa reli ya kisasa ya sgr may 14 2020
waziri mkuu kassim majaliwa akifafanuliwa jambo na mkurugenzi mtendaji wa shirika la reli tanzania (trl) masanja kadogosa ndani ya treni inayotumia umeme wakati alipokagua mradi wa reli ya kisasa ya sgr may 14 2020
waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na baadhi ya mawaziri na viongozi wa shirika la reli tanzania (trl) ndani ya treni inayotumia umeme wakati alipokagua mradi wa reli ya kisasa ya sgr may 14 2020
waziri mkuu kassim majaliwa akiangalia mandhari ya nje wakati akiwa ndani ya treni inayotumia umeme alipokagua mradi wa reli ya kisasa ya sgr may 14 2020
waziri mkuu kassim majaliwa akishuka ndani ya treni inayotumia umeme wakati alipokagua mradi wa reli ya kisasa ya sgr may 14 2020
waziri mkuu akagua ujenzi wa reli ya kisasa (sgr) habari pmo 20200514t122200+0300 50 stars based on 35 reviews waziri mkuu kassim majaliwa akifafanuliwa jambo na makamu mwenyekiti wa kampuni ya yapi markezi ardem arioglu akiwa ndani ya treni inay | 2020-05-30T01:43:06 | https://wazirimkuu.blogspot.com/2020/05/waziri-mkuu-akagua-ujenzi-wa-reli-ya.html |
burudan mwanzo mwisho mshale wa kifo wa aisha bui kutua sokoni jumatatu
posted by super d (mnyamwezi) at 1033 pm | 2018-03-23T14:48:41 | http://burudan.blogspot.com/2014/08/mshale-wa-kifo-wa-aisha-bui-kutua.html |
kamati ya bunge yataka mashirika ya umma yasimamiwe kwa ukaribu dodoma yetu
home » » kamati ya bunge yataka mashirika ya umma yasimamiwe kwa ukaribu
kamati ya bunge yataka mashirika ya umma yasimamiwe kwa ukaribu
mwenyekiti wa pic richard ndassa
kamati ya bunge ya uwekezaji wa mitaji (pic) imeishauri serikali kusimamia mashirika ya umma ili kudhibiti matumizi mabaya ya fedha ambazo serikali imewekeza katika mashirika hayo
akizungumza baada ya kikao cha mafunzo ya kamati hiyo na msajili wa hazina jana mwenyekiti wa pic richard ndassa alisema kamati yake ina majukumu ya kusimamia mashirika ya umma ambayo yako zaidi ya 260 mengi yakionekena kuwa na kasoro ikiwamo matumizi makubwa kuliko mapato
tumekuwa tukishuhudia mashirika mengi ya umma yanatumia fedha nyingi katika kushughulika na masuala yasiyo na msingi kulinganisha na mapato wanayokusanya licha ya kuwa serikali inawekeza fedha nyingi kuendesha mashirika haya alisema ndassa
awali msajili wa hazina lawrance mafuru aliiomba kamati hiyo kushirikiana na serikali katika kushauri namna bora ya uwekezaji katika mashirika ya umma
alisema kwa kufanya hivyo kutawezesha faida inyopatikana kuendana na uwekezaji pamoja na kuwa na sheria madhubuti itakayoainisha usimamizi bora wa mashirika na kuondoa mgongano wa majukumu katika usimamizi wake
akiwasilisha mada kuhusu majukumu na muundo kwa ofisi ya msajili wa hazina mbele ya kamati ya uwekezaji wa mitaji ya serikali alisema serikali imekuwa ikiwekeza pesa nyingi lakini faida inayopatikan ni ndogo
alisema kiwango cha matumizi katika mashirika hayo ya umma kimekuwa kikubwa kulinganisha na mapato ya ndani alisema kumekuwapo na ongezeko la matumizi kutoka asilimia 83 mwaka 2011/2012 hadi asilimia 86 mwaka 2014/15
kuhusu deni la taifa mafuru alisema limekuwa likiongezeka kutokana mashirika ya umma kukopa katika kuendeleza miundombinu lakini yamekuwa yanashindwa kurudisha na kuiachia mzigo serikali | 2018-02-21T09:34:19 | http://dodoma-yetu.blogspot.com/2016/02/kamati-ya-bunge-yataka-mashirika-ya.html |
barrick imetunyanyasa sana | jamiiforums | the home of great thinkers
barrick imetunyanyasa sana
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by kingu victor el sep 10 2011
nilisoma gazeti la mwana halisi la 31august kuhusu malalamiko ya wahusika dhidi ya mwajiri au aliyekuwa mwajiri wao nionavyo mimi lawama hazistahili kwenda kwa kampuni ya barrick kabla ya kuangalia mapungufu yameanzia wapi watu wanaangalia na kulaumu walipoangukia bila kuangalia wamejikwaa wapi 1sheria zetu za kazi hazimlindi ipasavyo mfanyakazi kutokana na athari anazoweza kuzipata kutokana na kazi anayofanya 2 sheria zetu hazitoi fidia ya kuridhisha kwa mfanyakazi anayeathirika na magonjwa yatokanayo na kazi 3 wasimamizi wa sheria hawana meno makali ya kuweza kusimamia ipasavyo hata hizo sheria dhaifu zilizopo angalia sheria ya hii mfanyakazi akiumwa na akashindwa kufanya kazi mwajiri kwa uthibitisho wa daktari atampa likizo ya ugonjwa yenye malipo kwa siku 62 endapo hajapona ataongezewa siku zingine 62 zenye nusu malipo baada ya hapo mwajiri anamwachisha kazi mhusika hatutakiwi kulalamikia huruma za waajiri ati barrick hawana utu ninawauliza wana jf nani ameshawahi kukutana na mwajiri binafsi mwenye utu nani asiyejua kuwa endapo atatatanguliza utu maana yake ni kujipunguzia faida yeye mwenyewe ukiona mwajiri binafsi anatoa msaada ujue anawekeza au anataka umaarufu fulani ambao baadaye utamsaidia kupata unafuu fulani katika uendeshaji wa biashara zake kwa maana ya faida zaidi walinzi wa sheria wanapewa lift kwenye ndege za barrick unategemea sheria dhaifu itekelezwe kweli sijui wana jf manasemaje
tunajua wengi tumekuwa makini sana kufuatilia jinsi uendeshaji na mikataba ya serikali na makampuni ya madini mojawapo ni kampuni ya african barrick gold tunajua the problem sio misaada ya barrick pekee inayopelekwa kwenye ofisi za wizara ccm na ofisi ya raisi bali ni dharau ya barrick kwa wananchi wa tanzania
kama ilivyotegemewa na owners wa barrick kumtuma mwanyika akiwa mtanzania pekee kama lobbyist wa barrick serikalini na inchini what can we say about that si jambo la kushangaza ukijikuta unatumiwa that's only way barrick waliona umuhimu wa kuongeza nafasi ya vp na board member kutoka tanzania sio wewe pekee mwanyika ila hata board member juma mwapachu feel the same way that's so right from most of so called intellectuals wa generation ya ufisadi let me just continue na respond ya barrick hapa chini
senior management african barrick gold plc
corrected(official)update 2african barrick gold plans tanzania listing | news by country | reuters
tukianza kuzungumzia jinsi gani barrick wanarespond na opposition ya wananchi tunaona moja kwa moja wanatumia playbook ileile ya kutoka kwenye mining act ya 2010 kutokana na juhudi za barrick kulobby hard kwa baadhi ya wabunge walifanikiwa kutwist hand na kuelezwa kuregister hizi kampuni za madini katika dar stock exchange ambapo wananchi wanajikuta wananunua hizo shares wakiwa hawana say and being used by barrick face kwa corrections zilizotolewa na mwanyika juu ya registration in dce barrick wanasema this is not the way they want to go and they will not follow the law what can you say about laws za tanzania seem any fisadi can manipulate pick and chose congrats kikwete na zitto mwanyika aliongeza kwamba barrick imeinvest tanzania 2billions and they are current holding 32billions in capital tuonyeshe huo ukweli
view attachment 142010pdf
ukisoma mining act 2010 hapo kwenye link above (nasihi kila mtanzania asome) hasa section vi kuhusu loyalties zilivyopitishwa wakisihi ni sheria do you know you have right to demand public inform kuhusu hizi mapato ya serikali kutoka barrick je serikali walishaonyesha wananchi hata mara moja the other response ya barrick ni kuanzisha mfuko wa funds za kusaidia development tanzania baada ya kuona wananchi wengi wanachukizwa na tactics za kununua watu serikalini na kwenye majimbo kuaffect demokrasia ya tanzania sasa barrick wanajitahidi kujiweka ahead in respond to demand of actions kutaka laws za kuzuia open corruptions what's barrick prepared to do in coming years wanafungua hii mifuko ya funds ili kujilinda na kushitakiwa endapo cdm wakidemand na kuzuia direct contributions kutoka kwa businesses ili wao wadai hii ni kama ngo's but ikifanya contributions zilezile na kuavoid taxes at the same time huko us zinaitwa pac
upotoshaji wa barrick kuhusu taxes compared to mining earnings and stocks value
nimefuatilia kwa undani hii kampuni ya barrick na jinsi gani wanaendesha biashara zao na kupata mengi sana kwanza inaonekana kabisa hii kampuni inawaibia watanzania na utajiri wake wote unatokana na madini yaliyopo tanzania migodi wanayomiliki yote duniani ni hapa hapa tanzania nayo ifuatayo bulyanhulu buzwagi mara north tulawaka na nyanzaga kuna utata mwingi kama hii kampuni kweli ilianzishwa vipi na kupata uwezo wa kufunds hizi projects tanzania at once stay tune let's go back kwenye operations na businesses za barrick
tukifuatila sana kwa upande wa tanzania tunaona hakuna records zozote zinaonyesha barrick wanalipa taxes kiasi gani wala how they report their books who's incharge to audit their books and doc base on no legislation and who and how they refining their mines the truth ni kwamba hata ukisoma mining act 2010 utaona hakuna majibu mengi na ilikuwaje ikaitwa mining act 2010 maybe wahusika waliohusika na kuandika walipata review ya mining act 1998 na doc zote kutoka tra na ministry of mining hapa tuna maswali mengi na hakuna majibu
the facts tunaona gold price ikikaribia $2000 per once na price ya abg ni 600 ni vipi serikali ya tanzania inakaa kimya na kuendelea kuongeza madeni na umaskini kwa generations za watanzania imf na wb majibu hapa anayo kikwete na ngereja leo hakuna umeme maji ajira elimu huduma za mahospitali hata yale majimbo barrick wanachimba madini ukisoma financial statement za barrick zinaonyesha first half of 2011 barrick wamepata faida ya net $445million up to june 30 na walichimba total of 345857ounces je serikali ya tanzania ilikusanya taxes na royalties kiasi gani na kwanini tanzania haina umeme wala maji leo hii maybe the country's priority is to pay posho first hapa sielewe na nahitaji something kunisaidia na headache yangu home african barrick gold plc
view attachment finalhalfyearreport2011pdf
je ngereja alitoa tamko gani kuhusu super tax profit
tanzania won't impose tax on existing mining firms | reuters
je zitto alitoa tamko gani kuhusu kuongeza loyalties kwa taifa
the government will increase revenues a lot thanks to the new mining legislation but it might send a negative signal to investors and might impact foreign direct investment i'm worried on that zitto kabwe a member of parliament from the opposition chadema party told reuters
what coincidence of statements solutions serikali hii lazima ilazimishwe kuwa transparent kwa kila kitu kama wengi walishajadili haya na wanaendelea kupigania gov openness ni lazima tulazimike kupinga hii serikali kutokana na kuonyesha kuyapa makampuni waivers na kupokea rushwa sioni kitu kikubwa zaidi ya kupigania constitution mpya haraka sana kuna baadhi wameanza kupush kwa vitu vidogo vidogo ili kikwete na ccm waonekane wanafanya kazi ya kurekebisha hii katiba iliopo wengi tunapinga jitihada zozote zile za kuendelea kumweka kikwete na serikali ya ccm above the law or final decision makers
lazima media na wananchi kurequest documents and records za mikataba taxes na loyalties za wananchi sasa tunaona hata hii mining act 2010 haijakuwa funded na haina enforcement yeyote ile let's not depend on zitto ngereja ndulu kikwete makinda kutupeleka next century
something i recently learned kwanini wananchi wa south africa na serikali yao ilipush for african ownerneship kwenye mining sector kuna vita sana kuchafua mipango ya kuwapa wananchi ownership in sa na sisi watanzania ndipo tunapoelekea we want foreign investments but wananchi must be part of it too also fair joint ventures not less
south africas mining law review may calm investor fears the source wsj
mwananguumeitendea haki jf coz you dared 2 speek openely and critically
nani wa kusimamia mabadiliko ktk mining sector ikiwa kiongozi wa nchi ana mgao na waziri wa nishati wana migao yao kutoka kwenye hiyo migodi
ukiachilia mbali hayo yaliyoelezea na mwanzisha mada lakini pia vitendo wanaofanyiwa wafanyakazi watanzania ktk hiyo migodi sio vya kuvumilia hata kidogo
nobody care
inafika kipindi meneja wa barrick anamwambia kiongozi wa serikali ya kijiji kwamba mimi namwonga rais wako na hachukuliwi hatua zozote
migodi hiyo hiyo inaongoza kwa polution sumu kali zinasambaa kwa wakazi jirani na migodi mvua zimekata zikinyesha ni 'acidic rain'
wakazi wanaugua magonjwa ya ajabu ajabu kutokana na sumu hiyo
sisi waafrika sijui tuna matatizo gani ktk ubongo wetu
wabunge wataweza kuiwajibisha hii migodi kama wanakodishiwa ndege huu ni upupu tanzania hatuna kiongozi mwenye uwezo wa kudhubutu kulisemea hili
mleta mada your so smart
wabunge wataweza kuiwajibisha 0 people likes
ni kweli kuna sheria nyingi hazimlindi mfanyakazikuna ofisi flani ukiumwa tu ujue siku hiyo hiyo kazi huna kuna watu wanakaa nje ya ofisi kusubiria mtu aumwe au apate dharula washike nafasi zao japo ni cheap labours lakini haki zao ziheshimiwe kama wafanyakazi
whether good or bad africa is my home and there is no place like home i love africa because there is no place like africa even in my second life if god should give me the opportunity to choose where to live i would choose africa because i love africa and there is no doubt africa loves me some people don't understand some people think they know but they do not know some people think they know all about africa but the truth is that none of them knows africa the way i do i know africa and africa knows me i was born in africa i grew up in africa and africa is my home so you must believe me if i tell you there is no place like africa if it is true there is a god up there beyond the clouds then i am very sure that god is an african why because africa is the rhythm of life africa is that mighty tree of ancient origin rooted in mountains of gold and silver africa is that mighty stream africa is that stream of life africa is that mighty stream full of untold number of souls africa is that bird africa is that quiet but mighty bird africa is that quiet bird with the voice of thunder africa is that mighty bird with the wings of gold and diamond feathers anytime africa spreads her precious wings of different colors even the beasts below the surface of the earth smile africa is my home and there is no place like africa
it is very true my great great grandmother could not write her story in a book but what people do not understand is that my great great grandmother was able to carve her story on a mountain that does not move if you see my uncle walking on the kalahari desert with no shirt and no shoes on don't just conclude he is dumb because my uncle chases away wild beasts with his bare hands and it takes great courage and wisdom to do that if you live in new york city don't just conclude my uncle in the jungle is a fool because no fool survives in the jungle full of wild animals
some people think mama africa is an illiterate but what mama africa knows the world can never know even half if you steal from mama africa's backyard and she doesn't chase you away with a gun don't just conclude mama africa is blind because the eyes of mama africa shines like the sun and it sees all things but she doesn't judge instead she lives everything to he who knows how to judge once again i love africa because africa is my home and there is no place like home
there is poverty in africa but why is there poverty in africa there is hunger in africa but why is there hunger in africa you took away the piece of bread i had in my hands by force and now you are trying to feed me with expired biscuit why because i have nothing left to eat knowing very well that expired biscuit does me no good is it fair you break my home into pieces and then you come back later on and teach me unity is strength do you expect me to love you if unity is strength as your good book says then why break my home into pieces you take away my eyes and come back later on with a walking stick for me do you expect me to thank you for the walking stick some people think they know but they do not know some people think they understand but they do not understand some people are very bad but they don't even know the fact that they are bad which is very sad
education and by education i mean good education is the key to solving most of our problems why should i worry myself learning about abraham lincoln and thomas jefferson when i don't even know about kwame nkrumah and mandela education in some parts of africa is very poor not just because of poverty but because of the unnecessary things they teach us my teacher was busy teaching me how to draw an american map when i didn't even know how to draw an african map it is time we start learning the most important things first instead of wasting precious time learning american history we could be learning about agriculture and proper ways of growing crops and rearing animals agriculture unlike american history benefits africa directly and that is what we need to be studying not american history in africa there are many important things in this world but some are more important than others and we must do the most important things first we learn so many unnecessary things in school instead of concentrating on the most important things foreign interference
the western world pretends to help but in reality the western world only knows how to destroy africa the western world only helps destroy africa and i have my reasons the western world has done nothing but great harm to africa our sorrows serve as melodies for their amazing grace they benefit from our pains they benefit from our tears and sorrows they pretend to help but that is just one of the ways the wicked one deceives people it is time we start thinking for ourselves instead of allowing the west to think for us all the time the west has nothing good to think about africa besides lets go there and make more profit they encourage the planting of trees in their countries but come in record numbers to africa to cut down all our trees for timber the gold belongs to me but the west determines the market price of my gold is it fair the diamond belongs to us yet the west determines the price of our diamond this should tell you a lot about the west and how they benefit from our sweats it is time we start depending on ourselves instead of depending on the west because the western world has nothing good to offer africa they know unity is strength and that is why they keep dividing africa so they can control and manipulate us all the time the west destroys and then pretends to help rebuild very similar to the way the devil steals and destroys they ensure that only wicked people win elections in africa the west benefits from our wicked and greedy leaders so they always use money and influence to help the wicked ones win elections in africa that is why most of our leaders in africa today are very corrupt and greedy the west cannot benefit from africa if africa had great leaders who do not depend on the west but on africa i am not saying we should do away with the west completely but we should do away with their interference we shouldn't allow the west to decide for us all the time because the west has nothing good to offer africa poor leadership and corruption
there is no doubt our leaders are very greedy corrupt and wickedminded people we do not elect bad leaders in africa instead the west elects these corrupt people to rule africa so the west can benefit from our sweats when the west elects these greedy leaders for us sometimes my people revolt and then the west sends nato troops etc to intervene as if they are helping that is why you often hear political violence in africa the west referred to mandela as a monster but as we all know mandela was a freedom fighter who did not give in to the western influence they offered mandela money but he rejected it they offered mandela paradise but he rejected it why because mandela loves africa i cannot say the same about the other leaders in africa because they are all corrupt and wickedminded more than 500000 innocent people were murdered in darfur and omar albashir of north sudan sponsored most of the killings yet remains president gaddafi and mugabe for example are antiwest but also monsters why because they offered gaddafi money initially and he accepted it and later on turned against the west his turn against the west was not to protect africa but rather his own interest gaddafi's turn against the west was not because he loves africa but because he loves his power and doesn't want to let go power if gaddafi loves africa so much as he preaches he would do anything possible to protect africa but what do we see now gaddafi kills his own countrymen all in the name of protecting his country does it make sense to kill your children just because a monster is in your house i am not saying gaddafi should not fight the western oppressors but gaddafi's fighting and killing of his own people is something very insane in my opinion after 42 years in power any loving leader at all would leave in peace to avoid further bloodshed if not for anything at all mugabe is also an antiwest mugabe accepted all that the west could offer him initially and then turned against the west mugabe's turn against the west was not to protect africa but his own interest just just like gaddafi mugabe took away all the lands from the white settlers but what did he do with those lands he gave those lands to his immediate relatives and friends while the poor farmer had no land at all to farm on so in short most african leaders are very corrupt and greedy and the west sponsors most of them if not all one proud african | 2017-04-29T02:08:25 | https://www.jamiiforums.com/threads/barrick-imetunyanyasa-sana.171425/ |
omalundilo oulodi a xulila mefyo kundana oshiwambo newspaper
home eenguhudana omalundilo oulodi a xulila mefyo
omalundilo oulodi a xulila mefyo
ongwediva omalundilo oulodi oo a kala nokuningilwa omukainhu umwe nounona vaye molukanda evululuko moshakati okwa twala fiyo omefyo
nakufya maria nghulondo weedula 52 ou a dile komukunda okankonda ko angola mo1977 ashike okwa mona oukwashiwana wanamibia manga oshilongo inaashi manguluka nokwa kala omukalimo mevululuko ota va hokolola kutya okwa fya efyo loipundjamenye konima eshi a uda nai neenghono komalundilo oo a kala nokuningilwa naashi osha eta a ombokelwe nokufya
ovakwanedimo laye ota va hokolola kutya kakele komalundilo oo a kala noku ningilwa nghulondo ou a pakwa moshakati etitatu loshivike eshi okwa ya medu noiveta eshi ye ounona novatekulu vaye vakala nokuningilwa omahepeko okolutu kovakalimo vomolukanda omo
eshi sha ehameka unene ovakwanedimo ava vamwe vomovavululuko ova tameka ta va kuwilile konima eshi va uda efyo langhulondo
komima ashike eshi omakuyunguto oo a tameka meme okwa tameka ta nyonghola iha kofa yee ta lili efimbo nefimbo okwa ya koshipangelo ta monika ohonde ya londa konima yefimbo okwa ka tameka ita nu vali eepela odo a pewa koshipangelo tati kashi li dule ashike a fiye po ounyuni naashi oshe mu twala shili fiyo omefyo umwe womovana va nakufya ta hokolola
eemwedi dinini da pita po kundana okwa li a nyanyangida ehokololo omo ovakalimo vomolukanda evululuko vedule 20 va ya kombelewa ya komufala woshitukulwa shashana komishina ndahangwapo kashihakumwa tava hokolola kutya otava hepekwa kovanhu voludi lonhumba molukanda lavo paulodi
ovanhu ava ova lombwela opolifi kutya omolwa omahepeko oo ovanhu vamwe ova fya vamwe ohava iwa navo moixulo paulodi navamwe nokuli ovakwatwa komaunghundi elili nokulili
ovakwapata vanghulondo ova hokolola kutya omahokololo aa kaena oukwashili washa nokwa totwa komukainhu umwe omushiinda wanghulondo oo okamonakadona a lwile nokamonakadona moapril 14 nokudja efiku olo omalundilo oulodi okwa tameka nee
eshi omahokololo aa oo amwe omuo a nyanyangidwa nghulondo okwa kufa shimwe shomoikundaneki oyo ya nyanyangida omahokololo oo ndele teshi twaalele ina ko angola nelalakano oku ka ulikila nokuhokololela ina oudjuu oo ena unasha nomalundilo
mupya munene ko angola oko okwa ka shakenekako vali omukainhu umwe womolukanda mevululuko naye a dile koangola
omukainhu oo naye eshi a ya ko angola okwa twaalela epandja ladja moshikundaneki olo lina efano la meme ko angola nee ovanhu kave shi oshiingilisha nomolwaasho a ka tolokela ovanhu kutya fye ovalodi twa kwatwa keekomputa doko namibia ndee hatu fanekwa ashike ehokololo olo li li moshifo omuna meme aya koshifo a ka nyenyeta kutya ota lundilwa omonamati wanghulondo ta hokolola
omolwa omitoto odo da tandavelifwa komukainhu oo ovakwashiwana mokankonda omukunda oo uli moshangongo ova tameke oku ulika nakufya ou nomilungu nokumu ula omalaka mai
eshi osha eta fiyo omukainhu ou a ude nai neenghono nokwa ninga nee omafiku ita kofa ye ta lilaana osho shemutwala fiyo moshipangelo vamwe vomovakwapata ko angola ovemu twala koshipangelo mo angola nometine loshivike sha djako ove mukufa ko ko angola tave mueta koshipangelo moshakati omo a xulifila omutenya wetitano ladjako
ovakwapata vanghulondo otava hokolola kutya olwoodi pokati kokaana ka nghulondo nokaana kopoushiinda olo la etifa onhiko yomalundilo oo a twala fiyo omefyo
ina yokaana kopoushiinda omukulunhu mongeleka omo oye ha fatululile omufita ashike okaana kaye oka duda mukwao eexwiki taka ti oke di tumwa kongeleka opo ka ka ilikanenwe omukwapata ou ta hokolola
okudja opo onghalo yomalundilo ina i kala vali nawa fiyo ovakwashiwana vomevululuko tava fininike nokuli ovaneumbo ava opo vaye kongeleka oko vati haku dulu oku monika nokuholola oulodi womunhu
kongeleka omufita okwa ti meme ke na ondjo yasha ke na eshi eshi ashike tate ben (mundjele) kapatashu wolukanda okwe uya ta lombwele ovanhu kutya oulodi wetu owa moninka vati okwali hatu li dedaula momadu fye hatu popi ashike oinima ei kai na oushili washa umwe womovana kadona wa nakufya ta hokolola
ovakwanedimo ava tava hokolola yoo kutya moshikumungu ashishe eshi mundjele oo ngeno kwali ta dulu oku va amena omolwa ouleleli waye okweva amuka filufilu ndele ta ame kombinga yovalundili vavo
ofamili ei i udite kutya kaina naana epopilo lawana oyati ota i kakala ya hafa neenghono ngeenge oshinima eshi tashi tulwa momatwi elelo laukwambi opo va pwilikinifwe omahepeko oo ta va ningilwa
ashike otwa pandula opolifi shaashi ina i tuninga nande nai tate kashihakumwa okwe tu yakula nombili omukwanedimo umwe ta ti
mundjele pauye mwene okwa lombwela kundana kutya ye okwa amuka ko shili kofamili oyo shaashi ovanhu ova hapu unene molukanda laye ovo tava popi kutya otava hepekwa koludi eli
ame ita ndi amuka kovanhu ovanhu ovo nda hala ita shi dulika olukanda alishe likale ta li lundile ofamili imwe aike ame vali oko nda li kongeleka kwinya ita ndi ti vati eshi kwali tava kuu voo tava popi oinima ihapu ihapu ndele noshinima shokuhepeka ovanhu oveshi itavela
ashike polukanda apa onda keelela po ovanhu vahapu va hala oku ka xwikapo eumbo olo vamwe onde va kufa omakatana mundjele ta hokolola
previous articleovakainhu vamwe ovanamibia vakaninga eembwada moangola
next articleuunona uyali wasi ishewe omeya momusati | 2018-09-20T23:07:41 | https://kundana.com.na/2013/12/20/omalundilo-oulodi-xulila-mefyo/ |
shaka azungumzia maendeleo ya uchaguzi wa ndani wa uvccm habari za jamii
home / unlabelled / shaka azungumzia maendeleo ya uchaguzi wa ndani wa uvccm
dotto mwaibale 1047 pm
tusingependa kuona watu wanajitwika na kubeba agenda binafsi au kufikiria kumchafua mtu ndio kupata cheo ndani ya jumuiya yetu hakuna utamaduni huo haki na usawa itasimamiwa muda wote mtu yeyote atayendeleza kufanya hivyo kwa kisingizio cha uchaguzi wa chama na jumuiya zake mambo hayo hayakubaliki na hayatavumiliwa tena i | 2018-10-21T19:40:55 | http://www.habarizajamii.com/2017/09/shaka-azungumzia-maendeleo-ya-uchaguzi.html |
tarimba ajitosa ubunge kinondoni mwanaspoti
tarimba amekuwa mwanachama wa kwanza wa chama cha mapinduzi (ccm) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kupeperusha bendera katika kinyang'anyiro cha ubunge wa jimbo hilo
aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya yanga abbas tarimba leo jumanne amechukuwa fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania ubunge wa jimbo la kinondoni katika uchaguzi mkuu wa nchi utakaofanyika oktoba mwaka huu
abbas alifika kwenye ofisi za ccm wilaya ya kinondoni saa 155 asubuhi na alikuwa mtia nia wa kwanza kufika katika ofisini hizo zilizopo kinondoni ambazo zinazohudumia watia nia wa chama hicho katika majimbo ya kinondoni na kawe
ilipofika saa 2 kamili milango ya ofisi hizo ilifunguliwa na tarimba alifuata taratibu zote na kupatiwa fomu kisha kuondoka nayo
saa 316 tarimba alirejesha fomu hiyo baada ya kuijaza na hivyo kuwa mgombea wa kwanza wa ubunge wa jimbo hilo kurejesha fomu
kugombea ni haki ya kila mwana ccm nimekuwa nikijipima siku zote nimeona ninatosha kuwa kiongozi wa jimbo hili mimi ni mkazi wa kinondoni nimekuwa diwani kwa miaka 10 na nimekuwa kiongozi katika chama kwa ngazi mbalimbali tangu 2020 amesema tarimba akiwa katika ofisi za chama hicho
mara baada kurejesha fomu tarimba amesema amerejesha upesi fomu hiyo kwakuwa haikuwa na dodoso refu naye anakaa jirani na ofisi hizo
tarimba amewahi kuwa katibu mipango wa yanga mwaka 1992 kisha mwenyekiti muda na kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo mpaka mwaka 2003
mbali na kuongoza yanga katika nafasi tofauti tarimba aliwahi kuongoza kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka nchini (tff) kwa miaka minne makamu mwenyekiti wa baraza la michezo kwa miaka mitano na mjumbe wa baraza hilo | 2020-08-07T13:09:42 | https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/Tarimba-ajitosa-ubunge-Kinondoni/1799484-5593010-12s2uik/index.html |
kayombo afanya ziara ya kustukiza ukaguzi wa mialo ya ukusanyaji mapato awataka wakusanya mapato kuwa waadilifu
mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya musoma ndg john lipesi kayombo amefanya ziara ya kustukiza ya kukagua mialo ya ukusanyaji mapato sambamba na makusanyo ya mapato katika mialo hiyo
ziara hiyo ya kustukiza ameifanya katika mialo ya busekela kome na bukima
akiwa katika ziara hiyo ya kustukiza mkurugenzi kayombo aliwataka wakusanya mapato kuhakikisha wanakuwa na takwimu sahihi za idadi ya wavuvi na vyombo vya uvuvi (mitumbwi)
pia mkurugenzi kayombo aliwataka wakusanyaji mapato kuwa waadilifu na kuhakikisha fedha zote wanazokusanya wanapeleka halmashauri bila kupungua hata shillingi moja
moyo wa halmashauri ni mapato uvuvi unachangia kiasi kikubwa cha pato la halmashauri hii kwa hiyo hakikisheni mnakusanya mapato kwa uadilifu bila kuiba hata shillingi moja sambamba na kufahamu idadi kamili ya wavuvi na vyombo vyao vya uvuvi alisema kayombo
hapo mwanzo mlikuwa mnaleta makusanyo kila mwisho wa mwezi nimeona utaratibu huo wengi wenu mnatumia pesa hizo kwa kuwa mnakaa nazo muda mrefu kwa hiyo kuanzia sasa kila wiki muwe mnaleta makusanyo halmashauri lengo ni kuwasaidia kutokaa na fedha za serikali kwa muda mrefu kwani mnaweza kuzitumia zikawaletea matatizo alisema kayombo
wengine huwa wanazima pos (point of sales) kwa makusudi sasa nawaambia kuanzia sasa pos ziwe live zimewaka muda wote kuhakikisha hilo linafanikiwa kila asubuhi nikifika ofisini nitaziangalia kupitia kompyuta kwenye * dashboard* alisema kayombo
sambamba na hayo mkurugenzi kayombo alikutana na kuzungumza na baadhi ya wavuvi wa maeneo hayo na kuwataka kuhakikisha wanalipa kodi na ushuru mbalimbali sambamba na kujiepusha na magonjwa ya maambukizi kama ukimwi
pia aliwataka wavuvi hao kushirikiana na serikali katika ujenzi wa sehemu ya kuhifadhia bidhaa zao (shade) ili kuepukana na uharibifu kipindi cha mvua na wizi
utoaji wa huduma ya afya kwa njia ya mkoba september 25 2018
kayombo awasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za halmashauri 2017/2018 wanakamati wapongeza utoaji mikopo kinamama na vijana
tathmini ya maendeleo vijijini jimbo la musoma vijijini
kayombo ala sahani moja na wafanyabiashara wasio na leseni | 2018-10-18T06:21:10 | http://www.musomadc.go.tz/new/kayombo-afanya-ziara-ya-kustukiza-ukaguzi-wa-mialo-ya-ukusanyaji-mapato-awataka-wakusanya-mapato-kuwa-waadilifu |
dr slaa kuhusu bajeti ccm imefikia mwisho wa kufikiri | jamiiforums | the home of great thinkers
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by yericko nyerere jun 16 2012
katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) dk willibrod slaa ameiponda hotuba ya bajeti iliyosomwa bungeni juzi akisema inaonyesha wazi kuwa serikali ya chama cha mapinduzi (ccm) imefikia mwisho wa kufikiri
akizungumza na tanzania daima jana jioni kwa njia ya simu kuhusu bajeti hiyo dk slaa ambaye alikuwa mbunge wa karatu kwa vipindi vitatu mfululizo alisema licha ya kwamba ni mapema kutoa maoni lakini bajeti imejaa matamko ya kisiasa
hayo aliyosoma waziri william mgimwa ni matamko ya kisiasa si hotuba ya bajeti kwani tunaoelewa bajeti ni vitabu vinne wanavyopewa wabunge nami navingojea nimeomba nipatiwe ila kama ndiyo hivyo alivyosoma tuko kwenye hali mbaya alisema dk slaa
taifa linakopa ili iweje kulipana mishahara na posho ama hii ni hatari kwa vizazi vijavyo miaka 30 hadi 40 ijayo zamani hata serikali zilizotangulia zilikopa lakini mikopo hiyo ilitumika kujenga viwanda shule barabara na huduma nyingine leo tunafanya hivyo alhoji
alifafanua kuwa ni katika makosa kama hayo imenyimwa mkpo wa sh bilioni 480 kwa ajili ya shirika la ugavi wa umeme tanzania (tanesco)
tumerudia vyanzo vile vile ukiacha hicho cha watu kuruhusiwa kutumia magari yenye majina yao badala ya namba za usajili sasa labda walevi watakapogoma kunywa ndipo serikali itapata ubunifu wa kuangalia vyanzo vingine alisema
mafisadi hawaoni uchungu hata kidogo kutumia fedha ila jambo la msingi ni kwamba wamezipataje sasa kwa hali kama hii watafurahi kwa vile wanaona serikali imewahalalisha bila kujali kama fedha zao ni haramu alidai
jamaa namkubali ni kichwa kweli na ni rasilimali ya taifa
long live dr slaa
serikali legelege matokeo yake ndio haya
hapo wamefika mwisho wa kufikiri
kukopa kwa ajili ya kulipana posho huu ni uhuni ktk uchumi wa leo
mkopo ni kwa ajili ya shughuli za maendeleo
wa kubanawa apa ni tra mapato mengi yanaenda mifukoni mwao no wonder wengi wa mamanager wake wawemewekeza kama wafanyabiashara
wa kubanawa apa ni tra mapato mengi yanaenda mifukoni mwao no wonder wengi wa mamanager wake wawemewekeza kama wafanyabiasharaclick to expand
kuna kazi kubwa sana ya kulijenga taifa na ni wenye moyo tu ndio watalijenga na wenye meno wazuiwe kula uchumi huu
serikali inakopa ili mkweree aweze kusafiri kwenda kubembea it is stupid
hivi kuna watu wanafikilia kwa kutumia makalio aukama wapo bac asilimia kubwa ya viongozi wa serikali hii wanatumia makalio mana inasikitisha sana kuona kiona kiongozi anafanya utumbo na anasema uvundo mwisho wao 2015 tu na kupanda gari lenye mamba t2015cdm
i hate tanzania with ths present presdent who think by using masabuli i love u slaa ni kwa mema na mawazo endelevu unayotupa sisi watanzania tunaotaka tz iwe angalau kama rwanda godbless u slaa
i hate tanzania with ths present presdent who think by using masabuli i love u slaa ni kwa mema na mawazo endelevu unayotupa sisi watanzania tunaotaka tz iwe angalau kama rwanda godbless u slaaclick to expand
tena kwa mimi naona hiyo kodi ya ulevi na sigara ni ndogo sana mzee wa kanisa anapotetea ulevi kuongezwa bei anasikitisha sana
hivi ile sera ya kuvutia wawekezaji bado ipo | 2016-10-28T07:04:35 | http://www.jamiiforums.com/threads/dr-slaa-kuhusu-bajeti-ccm-imefikia-mwisho-wa-kufikiri.279454/ |
anna tibaijuka afutwa kazi hadharani bbc news swahili
anna tibaijuka afutwa kazi hadharani
23 disemba 2014
https//wwwbbccom/swahili/habari/2014/12/141223_tibaijuka_out
image caption profanna tibaijuka
kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya escrow imemwondoa kigogo wa pili baada ya jana rais kikwete kutangaza kwamba atateua mtu mwingine kuchukua nafasi ya waziri wa ardhinyumba na maendeleo makazi prof anna tibaijuka
tibaijuka anakua kiongozi wa pili mwandamizi wa serikali kuondoka madarakani kwa kashfa hiyo baada ya mwanasheria mkuu jaji fredrick werema kujiuzulu hivi karibuni
aidha hatua hiyo inakuja baada ya hivi katibuni tibaijuka kuitisha mkutano na waandishi wa habari na kusema hawezi kujiuzulu kwa kuwa alichukua bilioni 16 kwa nia njema kutoka kwa james rugemalira wa vip engeneering na kwamba akifanya hivyo hadi rais atamshangaa
akiwahutubia wazee wa jijini dar es salaam kikwete alisema tumemuulizi tibaijuka fedha hizo nyingi amezipata vipiakatujibu kwamba ni kwa ajili ya kuendesha shulebodi ya shule nayo ikatetea kwamba na shule ikatetea kwamba ni fedha za shule na hiyo kwetu haina tatizo kusaidia shulesisi hatukua na tatizo kwa nini shule imepewa fedha tatizo lilikua kwanini fedha zimeingia kwenye akaunti yake badala ya akaunti ya shule alitujibu kuwa hayo ndiyo masharti aliyopewa na rugemarilaalisema kikwete
tukaona kwamba hapa kuna mapungufutukakubaliana na tukamwomba atuachie nafasi ili tumteue waziri mwinginealiongeza
tujikumbushe kauli ya jembe anna tibaijuka ilivyokua
waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wa wakati huo profesa anna tibaijuka aliwahi kusema hatojiuzulu kwa sababu kufanya hivyo si fasheni
pamoja na kauli hiyo pia aliweka bayana kuwa yeye na waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo bado wanategemewa na rais jakaya kikwete katika kumsaidia kufanya kazi
kauli ya profesa tibaijuka ilitoka siku chache baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali jaji frederick werema kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya sh bilioni 300 katika akauti ya tegeta escrow iliyokuwa imefunguliwa benki kuu ya tanzania (bot)
mbali na hayo waziri huyo alieleza endapo uchunguzi utafanywa na kubaini fedha ambazo ziliingizwa kwenye akaunti yake na mmiliki wa kampuni ya vip engineering james rugemalira si halali basi yupo tayari kuzirudisha
prof tibaijuka alizungumzia kuhusu kuhusishwa kwake na sakata la akaunti ya escrow profesa tibaijuka alisema wanaodhani kwamba anatarajia kujiuzulu wanakosea kwani kufanya hivyo si kutenda haki katika dhana ya maendeleo
profesa tibaijuka alisema anavishangaa baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwa kumwita mama escrow huku akiweka wazi na kujiita yeye ni mama wa migogoro ya ardhi na si mama wa migogoro ya escrow
mlifikiri nimekuja kujiuzulu kumbe ndiyo maana mmekuja wengi sikuja kujiuzulu ngo kwani sina kosa na siwezi kujiuzulu kwa ajili ya mchango wa shule nikijiuzulu nitakuwa sitendi haki katika dhana ya maendeleo na kujiuzulu siyo fasheni
sijaja kujiuzulu wala kutetea watu wenye madhambi pia uongo ukirudiwa mara nyingi unageuka kuwa ukweli kilichonileta hapa ni kufafanua lengo la fedha hizo ambazo zilikuwa za shule ingawa suala lenyewe linaonekana kuwa na utata
fedha hizo zilitolewa na watu wenye nia njema ya elimu kwa watoto wa kike kwani kipindi hicho elimu yao ilikuwa katika kiwango cha chini tofauti na wavulana hali iliyoleta mvutano kuwa watafutiwe kiwango maalumu cha ufaulu
wizi na uongo ni dhambi tusiwe watu wa kuhukumu kwani ni dhambi ya mauti sikuwahi kuitwa na kamati ya bunge ya hesabu za serikali inayoongozwa na zitto kabwe wala kamati yoyote kueleza suala hilo na nilishangaa kuona jina langu lipo kwenye orodha ya escrow alisema profesa tibaijuka
katika mkutano huo tibaijuka alisisitiza kuwa anaona fahari kufanikisha mchango wa shule yake iliyoingiziwa fedha hizo na kwamba aliyemfadhili aliweka masharti ya kufungua akaunti benki ya mkombozi pekee na kisha kuingiziwa kiasi cha sh bilioni 1617 aidha alisema maazimio yaliyotolewa na bunge ya kutaka uchunguzi uendelee kufanyika bado yamekuwa yakileta mkanganyiko kwani azimio namba tatu linataka waliohusika wawajibishwe
nikijiuzulu hata rais jakaya kikwete atanishangaa kwani fedha nilizopata ni za shule na kwa ajili kukomboa elimu nchini hasa kwa watoto wa kike kutokana na wazazi wengi kutoweza kumudu gharama za shule alisemamatokeo ya mkutano wa jana raisi alipozungumza na wazee wa daressalaam na wilaya zake alimfuta kazi anna tibaijuka
desemba 16 mwaka huu aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali jaji frederick werema ambaye ni mmoja wa watuhumiwa katika kashfa ya escrow alitangaza kujiuzulu
hatua hiyo ya werema ilikuja wakati watanzania wakiwa bado wanasubiri uamuzi wa rais kikwete kuhusu maamizio nane ya bunge yaliyotokana na ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) aliyekagua miamala ya akaunti ya tegeta escrow
katika maazimio ya bunge baadhi ya viongozi ambao chombo hicho kiliona wana makosa na kutaka mamlaka zao za uteuzi ziwachukulie hatua ni waziri wa nishati na madini profesa muhongo waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi profesa tibaujuka jaji werema katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini eliakim maswi na wajumbe wa bodi ya wakurugenzi ya tanesco | 2018-10-23T06:05:39 | https://www.bbc.com/swahili/habari/2014/12/141223_tibaijuka_out |
mfungho wa mfumo ya free state
coat of arms ya xifundzha xa free state yinyikiwe ximfumo hiti 7 may 1999 yina tshaku ra mihlovohlovo laha kungana rihlaza buraweni beige leyi yimelaka misava ya xifundzha xa free state motto katleho ka kopano leswi tsariweke hi sesotho swivulaka kuhumelela hi vunwe
xisirhelelo ixa mihlovo ya rihlaza xitshopani na wasi rihlaza riyimela tindzhawu ta byasi wasi yiyimela mapapa naswona xitshopani xiyimela maribye ya nkoka yale eastern free state exikarhi ka xivumbeko xa xitshopani kuna bilomu rale kaya ra orange river lily
e henhla ka xisirhelelo kuna crown leyingana ti diamonds xikanwe na tindzoho ta mavele leswi yimelaka mfuwo wa swirimiwa swa misava na ndzhaka yati mayini ta free state
leswi seketelaka i ti cheetahs timbirhi
symbol ya xiharhi cheetah (acinonyx jubatus)
hi miri lowu wa xivumbeko xa milenge yo leha mbilu leyikulu na mahahu xikanwe na tinhompfu leti pfulekeke cheetah yi akeriwe rivilo kahle kahle i xiharhi lexingana rivilo ngopfu lexi tsutsumaka ehansi laha misaveni
cheetah yiwela eka ndyangu wa swimanga hambi leswi yilangutekaka kufana na mbyana naswona ayina minwala leyi tlhelelaka endzhaku kufana na swimanga swinwana kuva minwala yitshama yiri ehandle swiendla leswaku yitsutsuma ngopfu loko yi hlongorisa ti cheetah tina ncila woleha lowu yiwutirhisaka kuva yi tshamiseka loko yiri e rivilwini lok yi hlongorisa nala wa yona
rivilo ra cheetah ra tsakisa kurivona kusukela loko yisuka naloko yi khome rivilo ehansi ka 60 m laha xipidi xayona xifikaka eka 114 km\h nala wa yona lowungavaka xinwana na xinwana kusuka eka mpfundla kuya eka mhunti wuta ringeta kuva wunyamalala loko cheetah yirikarhi yi hlongorisa kutani wutumbela tumbela hi swihlahla na misinya yitala kuphikizana hi rivilo yikomba vuswikoti na matimba laha loyi a hluriwaka a dyiwaka kumbe asala na ndlala
ti cheetah hitona tihumelelaka ngopfu eka kuhlota kutlula swiharhi swinwana leswikulu eka nyangu wa swimanga ngopfu ngopfu loko swijume nala wa swona hambiswiritano ya vevuka swinene kutlula swimanga swinwana leswikulu laha swihetelelaka swilanwa swakudya swa swona swisiyela tinghala nati leopards ngopfu ngopfu laha swifaneleke swisungula swikoka moya loko swinga se sungula kudya
ti cheetah tina tindzhawu totala laha ti famba fambelaka kona kutlula ndzhawu leyi tishamaka eka yona leyi tiyitsalaka hi mitsakamisi kambe atiyi lweli kutirhisana ka vamakwerhu vati cheetah switele ngopfu
symbol ya bilomu orange river lily (crinum bulbispermum)
ximilani xa orange river lily i xikulu swinene naswona xikula kuringana 1m hiku leha xina matluka ya mpunwa kuya eka rihlaza tshindi ro leha xikanwe na mabilomu lawa ya cikinyaka ya muxaka wa lily lawa yanga pink na nkhwalalati wotshuka eka xiphemu xinwe
tani hi leswi vito rivulaka mabilomu lawa ya mila etibuweni ta milambu nalaha kungana byasi byo tlhuma mabilomu lawa ya nyanganya ya damarhela yava na nuhelo lowu kokaka rinoko ra switsotswana kuva swiendla pollination mabilomu ya orange river lilies ya biloma hinkarhi wa tinhweti ta ximumu loko mabilomu ya sungula kuwa kuhumeleriswa mihandzu leyikulu ya pink leyingana mbewu endzeni mbewu yakona yikurile naswona yimila ntsena loko yahaku fika emisaveni tshindi ri sirheleriwile hi mahanti lawa ya waswirhelelaka hitinhweti ta xixika letinga oma
bilomu ra orange river lily ritirhisiwa tani hi murhi wa xintu waku tshungula rheumatism varicose veins xikanwe naku susa ku pfimba kutlhela kutshembiwa hivanwana leswaku yisirhelela muti eka swobiha | 2019-06-19T18:56:35 | http://southafrica.co.za/ts/mfungho-wa-mfumo-ya-free-state.html |
ujio wangu exclusive mjue mrithi wa mr ebbo
exclusive mjue mrithi wa mr ebbo
jamaa anajulikana kwa jina la masai wa kigoma anaetumia rafudhi ya kimasai kuimba anakuja na hit song natoka leo iliyofanyika uprise music studio iliyopo mbagala chini ya producer fraga aliyefanya vocal na mixing wakati beat imetengenezwa na dyno
jamaa anasema yeye ndio mrithi wa mr ebbo na anarudisha radha ya kimasai kwenye mziki wetu pia amefunguka kuwa video ya nyimbo hiyo itatoka hivi karibuni kwani juzi alikua location kufanya video hiyo chini ya f2k kutoka mashada inc videoz kampuni inayofanya vizuri kwa sasa
posted by friday kyando at 548 am
download new track folio ft zax 4 real tenzi | 2018-07-23T11:28:58 | http://ujiowangu7.blogspot.com/2013/05/exclusive-mjue-mrithi-wa-mr-ebbo.html |
utafiti unyonyaji wa vidole una faida kwa watoto | pamoja blog
» utafiti unyonyaji wa vidole una faida kwa watoto
utafiti unyonyaji wa vidole una faida kwa watoto
7/16/2016 032800 pm
ripoti mpya iliyotolewa hivi karibuni na jarida la utafiti wa kisayansi la pediatrics limesema kuwa watoto wanaonyonya vidole au kungata kucha zao kwa meno huenda wasipate matatizo ya kuathirika kutokana na mazingira hewa au kula vyakula fulani
theluthi moja ya watoto hao ni wanyonyaji wa vidole mara kwa mara au hungata kucha zao na katika vipimo walivyofanyiwa watoto hao wameonekana kuwa wana kiwango kidogo cha kuathirika kutokana na mazingira hewa au kula vyakula fulani
watoto wengi wameonekana kuathirika kutokana na mazingira ya hali ya hewa pamoja na kula vyakula fulani lakini unyonyaji wa kidole gumba na ungataji wa kucha umeonekana kuzuia baadhi ya allergy na matatizo hayo
kati ya watu elfu moja wenye umri wa kati ya miaka 5 hadi 32 walifanyiwa uchunguzi kwa muda nchini new zealand aidha jarida hilo limesema kuwa tabia hiyo ya unyonyaji vidole na ungataji kucha haisaidii watu wenye pumu au mtu anapopata homa kali
*makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akizungumza na balozi wa irani nchini mhemehdi agha jafari (kushoto)ambaye a | 2016-10-22T08:47:19 | http://www.pamoja.co.tz/2016/07/utafiti-unyonyaji-wa-vidole-una-faida.html |
aliyefungwa miaka 73 ajigeuza binti atoroke gerezani | gazeti la rai
home kimataifa aliyefungwa miaka 73 ajigeuza binti atoroke gerezani
mfanyabiashara wa dawa za kulevya mwenye jina kubwa nchini brazil clauvino da silva mwishoni mwa wiki iliyopita alikuwa gumzo kwa wafuatiliaji wa kila kinachoendelea katika mitandao ya kijamii
da silva aliwashangaza wengi kwa mpango wake wa kutaka kutoroka gerezani anakotumikia kifungo cha miaka 73 baada ya kukutwa na hatia ya kujihusisha na usafirishaji wa unga
lakini sasa huenda kutoroka si ishu bali kilichoonekana kuwa kituko katika tukio hilo ni uamuzi wake wa kubadili mwonekano wake ili awe kama binti yake akiamini angeweza kuwapita maaskari bila wao kumshitukia
kwa mujibu wa kile kilichoelezwa na mamlaka da silva mwenye umri wa miaka 42 alipanga na mtoto wake huyo mwenye umri wa miaka 19 aliyekuwa tayari kuingia gerezani kumsaidia kutumikia kifungo
ili kuwa na mwonekano huo wa kike bibiye alimpa da silva kinyago kinachofanana na sura yake wigi na fulana aidha mbaya ni kwamba wakati kila kitu kikiwa kimekamilika polisi walishitukia baada ya kumwona jamaa akimwomba mwanaye kitambulisho ambacho angekitumia kupita mlangoni
katika video iliyosambazwa mitandaoni na mamlaka da silva anaonekana akivua kinyago hicho kilichomfanya kutokuwa na tofauti ya kimwonekano na binti yake huyo
wakati huo huo gazeti maarufu la new york times limeiendea mbali stori hiyo likidai kuwa hii si mara ya kwanza kwa wafungwa kutaka kutoroka gerezani nchini brazil kwa kutumia staili ya mshikaji
chanzo cha habari hicho times kilimtaja da silva kuingia kwenye orodha ya wengine 30 waliowahi kufanya hivyo kwa upande mwingine inasemekena kuwa binti yake ni mtu wa nane katika wale waliowahi kutaka kuwasaidia wafungwa kufanya hivyo
huku times wakieleza hayo gazeti la reuters ambalo pia ni la uingereza limeibuka na mwendelezo wa tukio hilo likiripoti kwamba da silva atahamishwa gereza na atakumbana na adhabu kwa kosa alilofanya
wengi wanamkumbuka da silva kwa jina lake kubwa huko brazil akiwa kiongozi wa red command kundi lenye nguvu nchini humo katika biashara ya dawa za kulevya
previous articlebakwata mpya mwanza yaja na mikakati ya kuboresha uchumi
next articlewanasoka wetu wazingatie miiko ya soka wafike mbali | 2020-01-25T14:10:40 | http://www.rai.co.tz/aliyefungwa-miaka-73-ajigeuza-binti-atoroke-gerezani/ |
maisha mapenzi urembo breaking news
inatia huruma sana inasikitisha sana waototo wawili wameachiwa huru na kurudi uraiani
lakini nguza na mwanae papii warudishwa gerezani kwa kilio kikubwa sana
habari hii imenihuzunisha sana
nahisi mwili kuganda
tumbo la uzazi linanikata
machozi yananitoka
naskia kizunguzungu kabisa
hivi ni kweli walibaka au ni kesi ya kutengeneza mungu aujua ukweli kama sio ukweli watatoka tu
inauma sana kesi iliwahusisha wote mbona wametolewa wawili tu inawaingia akilini hiyo yule mwalimu alikimbiliaga wapi nae si alikuwa anajua kwakuwa alikuwa akipewa pesa wanapokwenda kuchukuliwa watoto
hivi tanzania kuna haki kweli
wameonewa
anonymous february 11 2010 at 1217 am
mheshimiwakifungo mateso uliyowapa yametosha waachie huru
hainitii huruma coz mahakama inafata mkondo wakekweli kama walikkua wanafanya unyama ule na wafungwe tuu maana ingekua mwanao kaharibiwa na babu seya unadhani ungemwonea hurumaungesema anyongwe leomahakama hadi imfunge mtu ina vithibitisho vya kutosha vya hoa watoto waliofanywa vibayabut mahakama ingefanya hima kuwaachia watoto wote ila mzee mzima aendelee kula nondoz
anonymous february 11 2010 at 104 am
jamani masikitiko makubwa sana inauma sana niliposikia jambo hilomahakama haijatenda haki hata kidogokama iliamua kuwaachia huru ingefanya hivyo kwa wotewamesota jamanihadi wamechakaamhh this tz haina huruma hata kidogomaisha ya gerezani maisha ni magumu sana na ya mateso ukiangalia maisha walikua wanaishi na sasa inatia huruma saaaanamimi siamini kama ni kweli labda ilikua ya kusuka alikua na bifu na mkubwa ikabidi abambikizwe zengwe lote hilo | 2018-04-20T06:34:17 | http://beautytouchdar.blogspot.com/2010/02/breaking-news.html |
nini tofauti ya mashoga na watumiaji kinyume cha maumbile | jamiiforums | the home of great thinkers
nini tofauti ya mashoga na watumiaji kinyume cha maumbile
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by candid scope jun 23 2012
nimewahi kufanya kazi na lesbians niliwapenda sana kufanya kazi nao kwani wako motivated kiutendaji kama wanaume na wanajitahidi kuwa na tabia kama za kiume na papo wako very strictly mambo ya mahusiano usiwaguse kwani utaumbuka kama si kushtakiwa udhalilishaji kwa mtazamo wangu pamoja na mambo yao lakini mbele ya jamii wanajiheshimu vizuri sana na ustaarabu wao ni mzuri kuliko wasichana wa kawaida wanaotaka kujirembua na kujipitisha na pia kuweka mitego mbalimbali kuwavutia wanaume
wanaume wengi walio mashoga wenye kuonyesha uwazi ni wale wa daraja la chini lakini wa daraja la kati na juu wana tabia hiyo hiyo hawapendi kuwasumbua wanawake hawataki kuguswa na wanawake na ni wachapa kazi sana
kuna tofauti gani kati ya hawa gays/lesbians na hawa wanaoendekeza ngono kinyume cha maumbile
kuna sababu gani kuwachukia lesbians/gays wakati hawa watumiaji wa ngono kinyume cha maumbile hawakemewi wanaachwa wakipeta kama ndo halali yao hapa naona wazi kuna kasoro kubwa
http//wwwmwananchicotz/michezo/16kandanda/24085mkwasawasagajituliwatimuatwigastars
http//wwwmwananchicotz/michezo/16kandanda/24085mkwasawasagajituliwatimuatwigastarsclick to expand
jambo lipi bora kama wachezaji waruke ukuta kwenda nje au kubaki kambini najua fika mahusiano ya ngono huathiri wachezaji kwani mchezaji akifanya ngono once ni sawa kama amekimbia km 7 kilichotakiwa si kuwafukuza bali kuwapa elimu itakayowasaidia kujisahihisha kufukusa si suluhisho vinginevyo kama waliwapa maelekezo jinsi ya kujiepusha na michezo hiyo na athari zake kwa timu la sivyo ni makosa kwani binadamu huwa anajisahihisha
mkuu jamii yetu kamwe kamwe hairuhusu mambo haya na ndio maana wanayapinga vibaya sana kwa wenzetu wamehalalisha na usemayo hayo kweli gays/lesbian daraja la kati na juu hujiheshimu na wala hawajionyeshi ovyo ovyo maana wanajijua wao ni wa kina nani ila kamwe tanzania mambo haya hawajaruhusu na ukianza kuwatetea ndio mtu wa kwanza kukunyooshea mkono ingawa huko maofisini yapo sana na wanafanya kwa siri sana na walio daraja la chini nao wapo wanajiuza kama kawa ila tusitetee haya mambo jamani ni aibu kwetu lol
mkuu jamii yetu kamwe kamwe hairuhusu mambo haya na ndio maana wanayapinga vibaya sana kwa wenzetu wamehalalisha na usemayo hayo kweli gays/lesbian daraja la kati na juu hujiheshimu na wala hawajionyeshi ovyo ovyo maana wanajijua wao ni wa kina nani ila kamwe tanzania mambo haya hawajaruhusu na ukianza kuwatetea ndio mtu wa kwanza kukunyooshea mkono ingawa huko maofisini yapo sana na wanafanya kwa siri sana na walio daraja la chini nao wapo wanajiuza kama kawa ila tusitetee haya mambo jamani ni aibu kwetu lolclick to expand
asante kwa mwono wako mpana mimi binafsi sina sababu ya kutetea na niko kinyume kabisa cha mambo haya naheshimu mpango wa mungu alivyotuandalia maungo yetu kila kiungo na kazi yake maalum iweje mdomo wa kupitishia chakula kwa ajili ya kuendeleza uhai wetu utumike kwa blow job za mapenzi
iweje sehemu ya kiungo cha kutolea mavi itumike kwa kujamihiana
pamoja na lesbians/gays kufanya mambo kinyume cha mpango wa mungu wa kutushirikisha uumbaji wake kwa nini jamii imekaa kimya kukemea tabia ambazo wanandoa na marafiki kufanya mambo hayo hayo ambayo hufanywa na hawa lesbians/gays ninachoshangaa mambo hayo siku hizi yako hadharani kabisa na picha kuanikwa wazi kabisa mfano tembelea jukwaa la wakubwa na hakuna anayekemea hayo wenye akili fupi wanaona kama ni halali kufanya hivyo je tunakwenda wapi ni nini tofauti ya wasagaji na hawa wanaoanika picha na mafunzo ya kufanya ngono kinyume cha maumbile
action speaks louder than words
ni maisha yao binafsi ndio maana wanafanya kwa siri hata ngono ya mke na mme ni siri yao haituhusu hata mme na mke wakilana tigo or anything ni uamuzi wao kama hao gays la lesbian misimamo yetu ya kupinga or kutokupenda hayo ya kinyume cha maumbile tusishinikize kwa wengine ni maisha yao waliochagua wao kama ni dhambi mungu ndio wakuwahukumu ila kama ni hukumu ewe mzinzi unayevunja amri ya sita utakutana nao jehanam kwenye moto wa degree sawa in the meantime it is their civil liberty
ni maisha yao binafsi ndio maana wanafanya kwa siri hata ngono ya mke na mme ni siri yao haituhusu hata mme na mke wakilana tigo or anything ni uamuzi wao kama hao gays la lesbian misimamo yetu ya kupinga or kutokupenda hayo ya kinyume cha maumbile tusishinikize kwa wengine ni maisha yao waliochagua wao kama ni dhambi mungu ndio wakuwahukumu ila kama ni hukumu ewe mzinzi unayevunja amri ya sita utakutana nao jehanam kwenye moto wa degree sawa in the meantime it is their civil libertyclick to expand
yes ni maisha yao na mambo yao ya siri wafanyapo wao binafsi huko sirini kusikoonwa na wengine ni siri yao lakini je mafunzo na picha ziwekavyo hadharani kufunza mfumo wa ngono kinyume cha maumbile bila kunyooshewa kidole imekaaje ninachoongelea mie ni yale ambayo siku hizi yamehalalishwa hata mitandao ya kijamii kuwekwa hadharani na kufunza wengine hadharani inatoa taswira gani kwa jamii yetu yenye utamaduni kinyume cha mambo hayo
ntarudi asubuhi sasa hivi konyagi ziko hadi maskioni
mi naona ni haohao hakuna tofautijamii imebadilika sana ukitaka kujua pita kwenye mitandao hukowanawake kwa wanaume wanataka kuingiliwa kinyume wanatoa hadi contactkifupi ni kwamba tunaishi nyakati za mwisho
mfanyaji na mfanyiwa ni mashoga mwanaume yoyote yule anaekula tigo ni shoga
mi huwa najiuliza kwa mwanaume ambaye si riziki halafu akaamua kuwa analiwa tigo (wenyewe wanaita ******) huyu tunamjadilije
mi naona ni haohao hakuna tofautijamii imebadilika sana ukitaka kujua pita kwenye mitandao hukowanawake kwa wanaume wanataka kuingiliwa kinyume wanatoa hadi contactkifupi ni kwamba tunaishi nyakati za mwishoclick to expand
uko sahihi dada maana kinachofanyika ni kile kile lakini hawa lesbians/gays ambao wanajipambanua kwa uwazi tunawakemea kwa ukali sana lakini hawa wengine wanaoonyesha na kufunza videndo hivyo kwenye mitandao mbalimbali hatuwanyooshei vidole wala kuwakemea wakati wanachofanya ni kile kile
masuala ya kuelimishana mbinu na kupeana mawaidha kuhusu mapenzi ni jambo zuri kwa vile wapo wengi wasio na ujuzi wala namna ya kuishi na wake au waume zao lakini wanapopitiliza kushauri kufunza na kuhamasisha ngono kinyume cha maumbile naona tunaipeleka jamii kubaya
hapa jf mtu akileta mada ambayo haina maudhui mazuri kwa jamii inaondolewa mara moja na pengine hata kufungiwa lakini jukwaa la wakubwa wanaleta picha na mambo ambayo ni aibu kuyatamka yafanywayo na mashoga na wasagaji lakini uongozi wa jf na moderators hawachukua hatua yo yote hapa inabidi invisible kuwa na mtazamo mpana
ee mungu wangu nakuomba uniepushie janga hili nisije nikala tigo ya kike wala ya kiume natamani mbinguni kuliko maisha haya ya duniani niepushe na sodoma na gomora za nyakati hizi za mwisho maana mwili hutamani ukishindana na roho raha ya milele unipe ee bwana na mwanga wa milele uniangazie nipumzike kwa amani
mie swali langu kama lako ila in a different angle mwanaume anaetumia mtandao wa kuruka ukuta na mwanamke nae aitwe gay
nawaamkua all gays in here
nawaamkua all gays in hereclick to expand
mpira unaochezwa ni ule ule ambao simba ikicheza hawanyooshewi kidole lakini mchezo huo ikicheza azam watashushuliwa
mpira unaochezwa ni ule ule ambao simba ikicheza hawanyooshewi kidole lakini mchezo huo ikicheza azam watashushuliwaclick to expand
this is good one umewashika pabaya
kuna basha na msenge wake wanaume wengi hupenda kujisifia ubasha (ufiraji) kuliko ufiruajisijui kwenye gay relationship huwa wanabadilishana roles yaani kila mtu anamwingilia mwenzie
lkn kwenye man/woman relationship mume haingiliwi kwenye kishimo chake cha solid waste hivyo sidhani kama anajiona gay ila ninahisi akikutana na msenge anaweza kula mzigo
i real hope watakuja kutupa mwanga boflo we need ur views here
kuna dhana ambayo imejengeka katika mawazo ya mwanadamu ya kuwa kutiw@ ni kitendo cha kudharaulika embu angalia matusi yote katika dunia hii katika tamaduni zote matusi yote hupewa mtiw@
sasa swala la kufanya mapenzi kunyume na maumbile nalo kwa kiasi kukubwa linaangalia mtiw@ ni nani na ndio huyo jamii inamcondemn sasa ikiwa mwanamke ndie anafanyiwaa kinyume na maumbile basi watu huona ni kawaida kwakuwa eti yeye ni mtiw@ ambaye watu wamezoea ila sasa akibadilika mtiw@ ndio kosa hata hao lesbian yule anayeti@ watu huonekana shujaa katika hili la mashoga basha ni mti@ yeye huonekana shujaa ila sasa ms3ng3 yeye ni mtiwq basi watu huona ni kosa
i real hope watakuja kutupa mwanga boflo we need ur views hereclick to expand
hivi mwanaume anayekula tigo ya mwanamke na anayekula tigi ya mwanaume wamatofauti gani wote si mashoga/mabasha
hivi mwanaume anayekula tigo ya mwanamke na anayekula tigi ya mwanaume wamatofauti gani wote si mashoga/mabashaclick to expand
labda huyo mwanamke awe na filimbi na kengele mbili kaning'iniza vinginevyo ni tofauti kubwa sana | 2016-12-07T14:45:33 | http://www.jamiiforums.com/threads/nini-tofauti-ya-mashoga-na-watumiaji-kinyume-cha-maumbile.282494/ |
laana ya mama yake yamtisha wema sepetu | habari za walimwengu
home » » laana ya mama yake yamtisha wema sepetu
laana ya mama yake yamtisha wema sepetu
written by stephen kavishe on thursday august 7 2014 | 1200 pm
nyota wa filamu za kibongo wema sepetu amesema kuwa katika maisha yake anajitahidi hakosani na mama yake mzazi mirium sepetu ili kukwepa kupata laana ya kile ambacho anaweza kumtamkia na kuharibu mwelekeo mzima wa malengo yake aliyojipangia kuyatimiza akiwa ndani ya ndoa yake
akizungumza na mpekuzi wema alisema kuwa ndio maana kipindi ambacho mama yake hakutaka kuolewa na mchumba wake nasibu abdul 'diamond' hakupenda kutumia nguvu ama uwezo wake wa kifedha kumpuuza mzazi wake kwani anaamini angemuumiza na kumfanya amtamkie maneno mabaya
natambua fika kuwa mungu ametuagiza kuwaheshimu wazazi wetu kwani hawa ni miungu wadogo wakitamka neno lolote baya baada ya kuwaudhi huwa linaumbika na kuwa shida kwa mhusika ndio maana wakati anaweka mikingamo ya mimi kuolewa na diamond sikulazimisha bali niliendelea kumsihi akubali alisema wema
penzi la wema na diamond linazidi kupamba moto hasa baada ya hivi karibuni kuvishana pete nyingine ya uchumba baada ya mama wema kubariki penzi lao | 2017-12-16T16:55:05 | http://www.bewithjeddy.com/2014/08/laana-ya-mama-yake-yamtisha-wema-sepetu.html |
nyumbani2013mei12 (jumapili)
siku mei 12 2013
kazi ya marejesho ya ray ilianza pazardzhik
kazi ya ukarabati wa reli ilianza huko pazarcık kiwanda cha reli ya hatay kinatumika kama daraja kati ya ronskenderun iron na kiwanda cha chuma na divivigi ya sivas katika pazardzhik [zaidi ]
ishara ya asili itaokoa 2 bilioni tl
ishara za kaya zitaokoa 2 bilioni tl karibu asilimia 80 ya reli nchini uturuki kuonyesha kwamba hali ya prof kuashiria dr mehmet turan söylemez mfumo wa kuashiria kwa safari salama na starehe kwenye reli [zaidi ]
mganda ulipinduliwa katika ujenzi wa kituo cha metro ya yenikapı
crane ilipindua katika ujenzi wa kituo cha metro ya yenikapı ujenzi wa subway yenikapıunkapanı katika tukio hilo lililotokea saa za 1900 katika kituo cha yenikapı barabara ya mnara ilipinduliwa juu ya eneo lililokamilishwa karibu na kituo cha reli [zaidi ]
traffic quits kwanza trambus malatya uturuki
traffic quits kwanza trambus malatya uturuki malatya manispaa trambus mradi huo unatekelezwa kwa kushirikiana na majadiliano shida ya usafirishaji wa mijini katika nchi yetu pia inajadiliwa katika miji mbali na istanbul miji yetu ya mji mkuu ni istanbul ankara na [zaidi ]
kipaumbele cha wazazi katika metro ya ankara
makini wa mama kwa abiria kwenye ankara subway wamama wawili na wazalendo mmoja wa kike wa 4 wa kike wanaofanya kazi katika subara ya ankara wamekuwa wakifanya kazi kwa uangalifu mkubwa na kujitolea kwa miaka ili kuhakikisha kuwa raia wanasafiri vizuri wazalendo wa wanawake [zaidi ]
tüvasaşa mfano wa tuzo ya uuzaji wa umma
tüvasaş mwakilishi wa umma tuzo export kwa mchango wake kwa maendeleo ya uturuki wagon viwanda inc nje uchumi wa nchi hiyo mfano mauzo umma tuzo aliyopewa naibu waziri mkuu ali babacan [zaidi ]
utoaji wa maji huko istanbul kutokana na ujenzi wa kituo cha metro
ukosefu wa maji huko istanbul kwa sababu ya ujenzi wa kituo cha metro 13 sehemu zingine za istanbul hazitapewa maji kwa masaa ya 22 mei kulingana na utunzaji wa maji na maji ya istanbul üsküdarümraniyeçekmeköy subway i̇nkılap quarter yamanevler [zaidi ]
maneno mazito kutoka tcdd hadi i̇zban
maneno mazito kutoka tcdd hadi i̇zban tcdd i̇zbankarşıyakamamnus katika vyombo vya habari juu ya ujenzi wa underpali huyo katika meya wa manispaa ya metropolitan izizir aziz kocaoglu alitoa taarifa kulingana na taarifa hiyo kulingana na taarifa hiyo kwa kushirikiana na manispaa ya metropolitan ya izmir [zaidi ]
kazi ya reli ya kazakhstanturkmenistan imefunguliwa
njia ya reli ya kazakhstanturkmenistan ilifunguliwa reli hizo ziliwekwa katika mradi wa reli ya kazakhstanturkmenistaniran ambayo inaitwa ukanda wa kaskazinikusini mwa asia ya kati mstari wa reli na urefu wa jumla wa kilomita 926 [zaidi ]
ulimaji wa reli kutoka zamani hadi kwa sasa hivi ni ilifanyika katika ukumbi wa mkutano wa kampasi ya kavacık ya beykoz logistics vocational school mgeni wa hafla hiyo alikuwa yaşar rota meneja mkuu wa chama cha reli njia [zaidi ]
mchakato usioepukika katika tüvasaş erol i̇nalla utaanza
mchakato usioweza kuepukika huko tüvasaş utaanza na erol i̇nalla mimi si dhidi ya ubinafsishaji ngumu kifedha na kijamii imelemewa na serikali haiwezi kusawazisha bajeti kutokana na taasisi zingine biashara ya jimbo la uchumi (tazama) kwa serikali [zaidi ]
yht juu ya kuwinda utalii
uwindaji wa kitalii wa yn kati ya ankarakonyaankara na ankaraeskişehirankara yhts siku za juma jumanne jumatano na alhamisi angalau watu wa 20 na vikundi katika safari za mzunguko (ada ya darasa la uchumi) ada ya 30 [zaidi ] | 2020-01-29T11:07:09 | https://sw.rayhaber.com/2013/05/12/ |
tff wazee wa njaa ligi daraja la kwanza yauzwa sh milioni 25 bin zubeiry sports online tff wazee wa njaa ligi daraja la kwanza yauzwa sh milioni 25 bin zubeiry sports online
mwanzo > untagged tff wazee wa njaa ligi daraja la kwanza yauzwa sh milioni 25
tff wazee wa njaa ligi daraja la kwanza yauzwa sh milioni 25
mkoa unaotaka kuwa mwenyeji wa fainali za ligi daraja la kwanza (fdl) zinazoshirikisha timu tisa bora za ligi hiyo unatakiwa kutoa sh milioni 25 ambazo ni gharama za kuendesha fainali hizo
haki ya kuwa mwenyeji wa fainali hizo iko wazi kwa mikoa yote wanachama wa tff ingawa tayari ipo minne ambayo imeshatuma rasmi maombi ya kuandaa fainali hizo mikoa hiyo ni mbeya mwanza ruvuma na tabora
kwa mikoa ambayo itakuwa tayari kuwa mwenyeji kwa maana ya kutimiza sharti hilo la kutoa kiasi hicho cha fedha inatakiwa iwe imefanya hivyo kufikia machi 15 mwaka huu
pia kumefanyika mabadiliko ya kuanza fainali hizo sasa zitaanza machi 31 mwaka huu badala ya machi 17 ambayo ilitangazwa awali
item reviewed tff wazee wa njaa ligi daraja la kwanza yauzwa sh milioni 25 rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-02-26T14:35:26 | http://www.binzubeiry.co.tz/2012/02/tff-wazee-wa-njaa-ligi-daraja-la-kwanza.html |
kwanini siku mtu anapokosa hela njaa inauma haraka sana kuliko kawaida jamiiforums
kwanini siku mtu anapokosa hela njaa inauma haraka sana kuliko kawaida
kwa wanaume ambao tunafanya shughuli za hapa na pale za kujipatia kipato tumezoea kuwa na hela muda wote mfukoni hata hivyo inapotokea siku umekosa kabisa fedha mfukoni na hauna njia ya haraka ya kuipata njaa itaanza kukuuma hata mida ya saa 1 asubuhi
cha ajabu ni kuwa hata ukifanikiwa kunywa chai muda wa saa 4 asubuhi walahi hautatoboa saa 6 kwani njaa kali itakukamata balaa halafu mbaya muda wa kwenda kunywa chai ama chakula cha mchana ukikaribia unakosa kabisa amani na kushindwa kufanya kazi vyema
cha kushangaza ni kuwa siku hela ikikutembelea unaweza usiwe umekula chochote kuanzia asubuhi hadi jioni lakini still hautafeel njaa kabisa
wadau sijui kama hali hii inanipata mimi tu ama inatupata wote
reactions di ty the glassroof nzuri pesa and 3 others
sio ww peke yako mm pia
na usiombe siku hiyo ambayo hauna kitu mfukoni ukutane na totoz ambalo umelikomalia kitambo linaringa ringa lakini siku hiyo linataka ukalinunulie tu chakula dah
hapo ndipo wasukuma wanakwambiaga bhalya abha mino yaani wanakula wenye meno
reactions di ty khaligraph jordan jay dinongo and 3 others
wakati huna hela mawimbi ya tumbo na akili yanasoma 4g
reactions the glassroof auz jay dinongo and 3 others
mimi ninapokosa hela / pesa ndiyo nakuwa na ' nyege ' sana halafu kila ' nikitongoza ' sikataliwi ila huwa nakosa ' mtonyo ' wa kulipia gesti / loji nabaki kusikitika na kununa tu
reactions mkorinto jay dinongo kivyako and 3 others
kwanini mlevi/mnywaji ama mvutaji akipata hela koo linawasha washakupata kiu na kukauka kwa mate
the genius62
hahaha yu got itpsychological fact
4058 2000
halafu unapopita unakutana na vyakula vizuri vizuri tu
reactions jay dinongo and daimler
kidumeee
ubongo unakua busy kuwaza utapataje helaso calories nyingi zinatumika
hizi shule mlizosoma sijui za kata majanga sana
reactions aretasludovick regnatus cletus use brain heriel and 2 others
14250 2000
20115 2000
hela ni sabuni ya roho
ukiwa hauna helautatembea kwenye jua
ila unahisi kivuli kimekufunika
kama ina ukweli fulani hivi
hata hivyo gentamycine nadhani unamaanisha unapokuwa huna hela wale mademu uliokuwa unawapenda unaona kama wanajisogeza karibu yako
kumbuka kama wote ni watumishi serikalini ni wazi kuanzia tarehe 15 kuitafuta tarehe ya mshahara huwa ni ngumu sana coz mnakuwa mmeishiwa hela so kwa mademu ofisini ni rahisi kukupenda coz hawana kitu
vivyo hivyo wakati wa boom kwa wanachuo mademu huwa wagumu sana lakini baada ya mwezi tu kupita huanza kulgea wenyewe na ndio boom likichelewa weee nakumbuka nikiwa ud nilipendelea sana kuishi mabibo hostel kipindi boom limeisha mabinti zetu walikuwa wananyakuliwa sana na wenye nazo na hasa mitaani tena kwa hela kidogo sana
siku ukifukuzwa kazi ndio unajua umuhimu wake
hii kitu nadhani wengi imetukuta sana
ukisikia watu wanaiba ndio hapa
wataalamu wanasema kuwamwanadamu anapokuwa katika hali ya wasi wasi na msongo wa mawazo cell metabolism inakuwa high sana
kukosa fedha mfukoni ni changamoto kwa kuwa ni nyenzo kuu ya kukupatia mahitaji hasa kwa watu wa mijiniso kutokuwa na uhakika wa kupata mahitaji yako kwa wakati kunaleta hali ya wasi wasi mwili mwakohasa kama ikiwa hukuzoea hali hiyohivyo hupelekea kuwa na njaa kila wakati
dont worrytake it easy
reactions binti kiziwi triple g daimler and 4 others
jay dinongo
na siku ukiwa na hela njaa hata haiumi
njaa ni psychological harm
hapo kuna muunganiko wa stress mipango migumu/deal ya jinsi utapata pesa haraka na njaa inaunga humu sasa hapo issues
reactions binti kiziwi and daimler
imagine mpaka saa hii sijala kituna njaa haiumi
sikujua kwanini vibwengo walinikimbia siku ile habari na hoja mchanganyiko 13 mar 29 2020
kama faini huongezeka usipolipa ndani ya siku 7 kwa shillingi 7500/ kwanini umkamate mtu anapochelewa kulipa habari na hoja mchanganyiko 22 dec 2 2018
c mtu kutembea siku tatu kutoka mbeya mpaka dar kwanini clouds media mlitudanganya habari na hoja mchanganyiko 27 jan 27 2017
kama faini huongezeka usipolipa ndani ya siku 7 kwa shillingi 7500/ kwanini umkamate mtu anapochelewa kulipa
mtu kutembea siku tatu kutoka mbeya mpaka dar kwanini clouds media mlitudanganya | 2020-04-08T18:28:30 | https://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-siku-mtu-anapokosa-hela-njaa-inauma-haraka-sana-kuliko-kawaida.1492613/ |
masomo ya kiislamu 2
matembeleo 1519
pakua 419
kitabu cha pili
masomo ya kiislam
kitabu chapili
1 somo la kwanza
imam wa kwanza
2 somo la pili
binti wa nabii (saww)
3 somo la tatu
4 somo la nne
imamu wa tatu
5 somo la tano
imamu wa nne
6 somo la sita
imamu wa tano
7 somo la saba
imamu wa sita
8 somo la nane
imamu wa saba
9 somo la tisa
imamu wa nane
10 somo la kumi
11 somo la kumi na moja
imamu wa kumi
12 somo la kumi na mbili
imam wa kumina moja
13 somo la kumi na tatu
matembeleo 1519 / pakua 419
20191231 140339
swahili 20191231 140339
basi anayekubali kwa ukweli asili ya dini na kutumia matawi ya dini na akiishajipamba na tabia ya dini basi yeye ni mbora duniani na akhera (kiyama[2] )
kitabu hiki kimesahihishwa na kimepangwa na ayatullah allamah alhaj sayyid saeed akhtar rizvi muasisi na muhbiri mkuu wa bilal muslim mission of tanzania
ndugu yangu katika kitabu cha kwanza umeelewa kuwa walikuja maimam (viongozi wa dini) kumi na wawili baada yake mtume mtukufu(saww)
katika kitabu hiki tunataja kwa ufupi hali (maisha) za mabwana hawa pamoja na hali ya binti wake mtume(saww) naye ni mke wa wasii wake mtume na mama ya maimamu wengine
basi mimi ninataja hali zao hawa watukufu kwa ajili ya kuthibitisha imani na kwa kujijulisha kwao ili tupate ugezo mwema katika maisha yetu
na yeyote akiwafuata na kutumia vitendo vyao na kufuatisha mwendo wao basi kawa mtukufu duniani na akhera mungu ni msaidizi
naye ni ali bin abi talib(as) na mama yake ni fatima binti asad ibnu ami rasulillahi na mume wa binti wake mtume(saww) ndiye khalifa juu ya watu baada yake naye ni amirul muuminiin (mkuu wa walioamini) mzazi wa maimamu wote (juu yao amani na rehema)
kazaliwa bwana huyu kaabani (ndani ya kaaba[3] tukufu) maka siku ya ijumaa usiku wa mwezi kumi na tatu mfungo kumi baada ya kupita miaka thelathini toka kuzaliwa mtume(saww)
na akawa shahidi (akauawa kwa ajili ya dini) usiku wa ijumaa ndani ya msikiti wa kufa mihirabuni[4] kwa kupigwa upanga na abdurrahman bin muljimu (mungu amuweke pabaya) usiku wa mwezi kumi na tisa mwezi wa ramadhani mtukufu akafa kwa siku ya tatu toka kupigwa na umri wake mtukufu ni miaka sitini na tatu
akasimamia matengenezo ya mazishi yake imam hassan na hussein(as) na akazikwa katika najaf (iraq)alipokuwepo sasa
yuna bwana huyu mwema makuu na fadhila (ubora) zisizo hesabika amekuwa ni mtu wa kwanza kuamini wala hakusujudia sanamu hata kidogo na hakupata kushindwa vita vyovyote alivyo viongoza wala hakuwahi kukimbia kunako mashambulizi yoyote ya maadui
na katika jumla ya fadhila zake mtume(saww) kasema kadhi mwenye kuamua vizuri kuliko wote ni ali (as)
na katika uwingi wa elimu yake mtume(saww) kasema mimi ni jiji la elimu na ali (as) ni mlango wake
basi inatuonyesha kwamba atakaye elimu ya mtume(saww) ni lazima apitie mlangoni na ufunguliwe na kama hakufunguliwa basi hana elimu na kufunguliwa kwake ni kumfuata mafunzo yake na mwenendo wake imam ali(as)
na katika kulazimiana na haki basi mtume(saww) kasema ali yu pamoja na haki na haki ipopamoja na ali
sina shaka wasemi wamesema kama mtambuzi tambua wewe mwenyewe
na alikuwa mwadilifu kwa raia wake mgawa kwa usawa mchamungu katika mshuko wa ulimwengu
alikuwa akienda katika idara ya mali (hazina) na hutazama dhahabu na fedha na husema ee ung'avu wake ee uweupe wake umkhadaa mwingine siyo mimi kisha hugawa kwa watu
alikuwa anawahurumia maskini hukaanao mafakiri huwatekelezea wenye shida na husema ukweli na huhukumu kwa uadilifu
na kwa ujumla yeye alikuwa kama mtume katika kila sifa mpaka akamjaalia mungu mtukufu katika aya ya qur'an kuwa yeye ni nafsi
binti wa nabii(saww)
yeye ni fatima zahra baba yake ni rasulullah (mjumbe na mtume wake mwenyezi mungu) muhammad bin abdullah(saww) na mama yake ni bibi mtukufu khadija mama wa waislamu na mumewe ni bwana wa mawasii ali ameerulmuuminiin na watoto wake na wajukuze ni maimam watoharifu (juu yao rehma na amani)
alizaliwa bibi fatima(as) siku ya mwezi ishirini mwezi wa mfungo tisa mwaka wa arobaini na tano toka alipozaliwa mtume(saww)
na akafa bibi huyo siku ya jumanne mwezi tatu mfungo tisa mwaka wa kumi na moja wa hijiria[5] na umri wake ni miaka kumi nanane
na akasimamia matendo ya kifo chake amirul muminiin ali(as) akamzika madina munawwara (mji wenye nuru mji wake mtume uliopo katika saudia arabia) na akalificha kaburi lake kama alivyo usia mwenyewe bibi fatima
alikuwa bibi huyo kama baba yake kwa ibada na kumcha mungu na ubora na zimeshuka katika sifa zake aya nyingi za qur'ani alhakim
alikuwa mtume(saww) akimwita bibi wa wanawake wa ulimwenguni na akimpenda mapenzi mazuri mpaka yeye akiwa anaingia kwa mtume(saww) humkaribisha na kusimama na kumkaliza mahali pake pengine humbusu mikono yake
na mtume(saww) akasema mungu huridhika analoridhika fatima na hukasirika unalo mkasirisha fatima
pia mtukufu mtume amesema wabora wa wanawake wa peponi ni wanne mariam binti imrani na khadija binti khuwailid na fatima binti muhammad (saww) na aasia bint muzaahim
mtu mmoja akamwuliza bibi aaisha mtu gani alikuwa mpenzi mno wa mtukufu mtume (saww) akajibu fatima
kisha akamwuliza ni gani kutokana na wanaume akajibu mume wake bibi fatima yaani ali bin abi talib(as)
mtume mtukufu(saww) akasema hakika mwenyezi mungu ameniamrisha mimi nimwoze fatima kwa ali (as)
kazaa bibi huyo kwa amirul muuminiin ali(as) imam hassan(as) imam hussein(as) bibi zainab(as) bibi ummu kulthum(as) muhsin(as) lakini bwana muhsin kafa tumboni zama alipopata mama yake msukosuko wa maadui kwa hiyo jumla ya watoto wa bibi fatima ni 5
mtume mtukufu(saww) amesema kila mtoto huchukuwa ukoo wa baba yake ispokuwa vizazi vya fatima kwani mimi ndiyo walii wao na nasaba wao (yaani vizazi vya fatima wote ukoo wao unatokana kwa mtukufu mtume(saww)
pia mtume mtukufu amesema kila ukoo na uhusiano utafatia siku ya qiyama ispokuwa ukoowangu na uhusiano wangu
naye ni hassan bin ali bin abi talib(as) mama yake ni fatima zahra binti wake mtume(saww ) na bwana huyu ni mjukuu wake mtume(saww) na ni wapili katika makhalifa wake na ni imam juu ya watu baada ya baba yake amirul muuminiin ali(as)
kazaliwa madina munawwara siku ya juma nne nusu ya mwezi mtukufu wa ramadhani mwaka wa tatu wa hijiria
na akafariki hali ya kuwa shahidi kwa kupewa sumu siku ya alhamisi mwezi ishirini na nane mwezi wa mfungo tano mwaka wa arobaini na tisa wa hijiria
na akasimamia maziko yake ndugu yake imam hussein(as) na kazikwa bakii mji wa madina mahala palipo kaburi lake sasa
alikuwa mwabudu mno katika zama zake na mwenye elimu mno na mbora sana alikuwa kamshabihi mno mtume(saww) na mkarimu mno katika ahlul bayt (vizazi vyake mtume) zama zake na mpole mno kuliko watu wote
ni katika jumla ya ukarimu wake kuwa alimjia mjakazi wake na shada la mrehani akamwambia wewe ni huru kwa lillahi (kwa ajili ya kupata ridhaa ya mwenyezi mungu) kisha akaseina hivi hakutufunza mungu mtukufu akisema
na katika upole wake alimwona mtu wa shami kampanda mnyama alikuwa anamlaani imam hassan(as) lakini imam hakumrudishia lolote alipomaliza laana yake imam akamwendea na kumtolea salamu na akamchekea na akamuuliza ewe mzee ninakudhani kuwa wewe ni mgeni huenda wewe umekosa kunifahamu basi lau ungalitaka tungalikutolea shida yako na lau ungali tuomba tungalikupa na lau ungali taka kukuongoza tungalikuongoza na lau ungali taka kukuchukua tungali kuchukua na lau ukiwa na njaa tutakushibisha na ukiwa huna nguo tutakuvisha na ukiwa unaona upeke tutakuwa nawe na ukiwa na haja tutakutekelezea haja yako
aliposikia yule mtu maneno yake imamu akalia akasema ninatoa shahada kuwa wewe ni khalifa wa mungu katika ardhi yake na mungu anajua mahala anapojaalia ujumbe wake
na mtukufu mtume(saww) amesema mwenye furaha ya kutaka kumwangalia bwana wa vijana wa peponi amwangalie hassan(as)
na mtukufu mtume(saww) amesema mwenye kunipenda mimi ampende yeye (yaani hassan)
imam hassan alikwenda hija mara ishirini na tano na alikuwa anakwenda kwa miguu kutoka madina mpaka maka
bwana abu huraira sahaba wake mtukufu(saww) amesema akaja hassan bin ali na akatoa salamu na jamaa wakamjibu na akaendelea na nyendo zake na abu huraira hajuwi aliwasalimu ni nani kisha akaambiwa kwamba aliyetusalimu ni hassan bin ali
hapo abu huraira akamfuata na akasema salaam juu yako ewe bwana wangu
watu wakamuuliza mbona unamwita bwana wako
akasema abu huraira ninakiri kuwa mjumbe wa mwenyezi mungu(saww) akasema hakika yeye ni bwana
naye ni hussein bin ali bin abi talib(as) na mama yake ni bibi fatima binti yake mtume(saww) na yeye ni mjukuu wa mtume(saww) ni wa tatu katika makhalifa na ni baba wa maimamu tisa baada yake na ni imam wa watu baada ya kaka yake (imam hassan) (as)
kazaliwa madina munawwara mwezi tatu shaaban mwaka wa nne wa hijiria
kauwawa hali ya kudhulumiwa kwa upanga katika hali ya kiu katika mapigano ya ashura[6] yaliyoko mashuhuri siku ya ijumaa mwezi kumi mfungo nne mwaka wa sitini na moja wa hijiria na akasimamia mambo ya mazishi yake baada ya siku tatu mtoto wake ali zainul abediin(as) akamzika mahala lilipo kaburi lake sasa katika mji wa karbala mtakatifu
fadhila zake hazitajiki yeye ni manukato ya mtume(sawww) kama alivyo sema mtume(saww) kwa yeye na kwa kaka yake imam hassan (as) wao ni manukato yangu duniani
na akasema mtume(saww) hussein ni katika mimi na mimi ni katika hussein pia akasema hassan na hussein ni maimamu ijapokuwa wamesimama au wamekaa
alikuwa mjua mno na mwabudu mno alikuwa anasali kila usiku elfu rakaa kama baba yake amirul muuminiin ali(as)
alikuwa anabeba siku nyingi mifuko ya vyakula kuwapelekea mafakiri mpaka ikaonekana alama ya mizigo baada ya kuuwawa kwake na alikuwa mkarimu mpole na alikuwa anaghadhibika anapoona mtu akifanya kinyume cha sheria ya kiislamu
na katika ukarimu wake kuwa mwarabu mmoja alimkusudia kwa kutaka haja yake akamfanyia mashairi (nashidi) akasema hakurudi utupu ambaye akakutumai na akakusudia mlangoni kwako
wewe ni mkarimu na wewe mwenye kutegemewa baba yako alikuwa muuwaji wa fasiki (wale wanaomwasi mwenyezi mungu)
lau si ambayo imekuwa kutoka kwa wazee wenu ingalitufunika moto wa jahannam
imam hussein(as) aliposikia nashid hii akampa dinari elfu nne na pia akamtaka msamaha kwamashairi haya
chukua hizi mimi kwako ninataka msamaha jua kuwa mimi ni mwenye huruma kwako
lau tungalikuwa na fimbo katika mwenendo wetu wa mapema yangalikuwa mawingu yetu juu yako yenye kunywesha (kama ungalikuwa utawala wa dola ya islamu mkononi mwetu tungalikusaidia zaidi)
lakini khadaa ya zama ina migeuzo na kitanga changu ni kichache cha nafaka (matumizi)
akahisha(as) kwa msimamo wake wa ushujaa (ambao hapana mfano ulimwenguni) sharia za kiislamu na dini ya baba yake rasulullah(saww) kamwe kuhuisha ulimwengu mzima mpaka siku ya kiyama
yeye ni bwana wa mashahidi na mbora mno baada ya kakaye
naye ni imam ali bin hussein(as) na mama yake shah zanan binti ya mfalme yazdajurd (shahzananmfalme wa wanawake) bibi huyo tena anaitwa shahr bano (bibi wa mji) imam huyu kazaliwa madina munnawwara nusu ya mwezi wa mfungo nane mwaka thelathini na sita siku aliyoteka ali(as) basra na kafa hali ya kupewa sumu siku ya jumamosi mwezi ishirini na tano mfungo nne mwaka wa tisini na tano wa hijiria na umri wake mtukufu ni miaka khamsin na saba kazikwa bakii mji wa madina
alikuwa bila ya mfano katika elimu na ibada na fadhila na uchamungu na kuwasaidia waliopata shida na wamepokea kutoka kwake(as) wanachuoni wengi na yamehifadhiwa kutokana kwake mawaidha na uradi na historia na mengineyo
alikuwa anatoka usiku anachukua mifuko ndani yake zimo dinari na dirhamu na wakati mwingine akibeba vyakula au kuni hata akifika majumba ya masikini na hugonga mlango kisha huwapa alichonacho alikuwa akiuficha uso wake kwa sababu wasimjue masikini zama alipokufa ndipo walimjua kuwa yeye ndiye mchukuaji mifuko ya mapesa na vyakula
alikuwa anapendeza mno kula nao masikini na viwete na mayatima alikuwa mzuri mno wa tabia alikuwa akiwaita kila mwezi watumishi wake na huwaambia akiwa yeyote katika nyie anayetaka kuolewa nitamwozesha au kumwuza nitamwuza au kumwacha huru nitamwacha huru alikuwa anasema anapomjia mtu kutaka msaada marahaba kwa mwenye kufikisha akiba yangu akhera
na katika uchamungu wake alikuwa anasali mchana na usiku elfu rakaa[7] na utapoingia wakati wa sala hutetemeka mwili wake na hugeuka uso wake rangi ya njano na kiwiliwili chake hutetemeka kama kuti na alikuwa anaitwa dhuththafanati yaani mwenye magome na sababu yake kuwa kwa wingi wa kusujudu yakamtokea magome katika paa lauso na vitanga vya mikono na magotini na katika vidole gumba kila miezi sita yakikatwa magome haya
na alikuwa kila anapomkumbuka mwenyezi mungu na neema zake husujudu na kila anaposoma aya yenye sijida husujudu na kila anapomaliza swala ya faradhi husujudu na huitwa assajaad (yaani mwenye kusujudu sana)
na wakati ule walikuwa wakisema hatukumwona mquraish mbora kuliko yeye
na alitukanwa na mtu katika jamaa zake na kusikia yasiyompendeza naye alikaa kimya baada ya muda mdogo akaenda imam(as) kwake wakadhani waliokuwepo kuwa imam(as) anataka akamrudishie sivyo laa hasha alisoma imam(as) maneno ya quran haya
وَالْكَاظِمِينَ الْغَيْظَ وَالْعَافِينَ عَنِ النَّاسِ وَاللَّـهُ يُحِبُّ الْمُحْسِنِينَ ﴿١٣٤﴾
na wavunjao ghadhabu na wanaosamehe watu na mungu anawapenda watendao mema
kisha imam(as) akasema kumwambia yule aliye tukana ee ndugu yangu wewe umetushambulia sasa hivi ukasema uliyoyasema ikiwa ndivyo ulvyo sema kwangu basi mungu anisamehe na ikiwa ulivyosema sivyo basi mungu akusamehe
naye ni imamu muhammad albaqir(as) baba yake ni imamu ali zainulabidiin(as) na mama yake ni fatima binti wa imam hassan(as)
kazaliwa siku ya jumatatu mwezi wa mfungo kumi mwaka wa khamsini na saba
baba yake alikuwa mjukuu wa imam ali bin abi talib(as) na vile vile mama yake alikuwa mjukuu wa imamu ali bin abi talib(as) kwa hiyo yeye alikuwa mtu wa kwanza aliyekuwa kijukuu wa imam ali bin abi talib(as) kwa pande mbili
alikufa kwa kupewa sumu siku ya jumatatu mwezi saba mfiingo tatu mwaka wa mia moja na kumi na nne wa hijiria
umri wake ni miaka khamsini na saba kazikwa bakiikatika madina munawwara
alikuwa mwenye fadhila kubwa na utukufu na ucha mungu na alikuwa na elimu nyingi na upole mwingi na tabia nzuri na ibada na unyenyekevu na ukarimu
hadithi hii inaonyesha uzuri wa tabia yake siku moja mkristo mmoja akamwambia imam(as) wewe ni ng'ombe imam akamjibu mimi ni baqir (mchimbua elimu) mkristo akasema tenawewe ni mtoto wampishi akasema imam(as) hiyo kazi yake akamwambia tena wewe ni mtoto wa mshenzi akamjibu imam(as) ikiwa ulivyo sema ni kweli mungu amsamehe na ikiwa ulivyosema ni uongo basi mungu akusamehe
kwa alivyoona upole wa imam(as) akasilimu mkristo yule hapo hapo
bwana jabiri bin abdillah sahaba wake mtume amesema nilikuwa siku moja kwa mtukufu mtume(saww) huku amempakata mjukuu wake imam hussein(as) mapajani anacheza naye basi mtukufu mtume akamwambia ewe jabir huyu mwanangu atapata mwana jina lake litakuwa ali ikiwa siku ya qiyama mwitaji atataja asimame sayyidul abidiin (bwana wa wenye ibada) na huko atasimama ali bin hussein na atamzaa kwa huyo mtoto ataitwa muhammad basi ewe jabir ukimdiriki nisalimie na ukikutana naye basi ujue kuwa hutaishi sana baada ya hapo
alikuwa bahar ya elimu alikuwa anaelezea kila swali analoulizwa pasina kupapasia akasema ibnu ata almakki sikuona wanachuoni kuwa wadogo mbele ya yeyote isipokuwa akijambele ya imam muhammad albair(as) (maana yake kuwa mwana chuoni yeyote akifika mbele ya imam huyu huonekana kuwa anayo elimu ndogo sana) hakika nimemwona hakimu bin utayba (na yeye ana heshima mbele ya watu) mbele ya imam(as) kama mtoto mbele ya mwalimu wake
akasema muhammad bin muslim hakikupita moyoni mwangu chochote ila nilimwuliza imam muhammad albaqir(as) mpaka nilimwuliza thelathini elfu hadithi
alikuwa imam(as) anamkumbuka mwenyezi mungu daima hata akasema mwanawe imamu jaafar sadique(as) baba yangu alikuwa mwingi wa dhikiri nilikuwa ninakwenda nayeye na yeye anadhikiri mungu na alikuwa anazungumza na watu na hali ile ile haachi kumkumbuka mwenyezi mungu na alikuwa anasali tahajjudi[8] kwa kirefu na alikuwa mwingi wa ibada alikuwa analia sana kwa mapenzi ya mungu
yeye ni jaafar bin muhammad assadiq(as) mama yake ni fatima (na jina lake lingine ni farwah)
kazaliwa imam(as) madina siku ya jumatatu mwezi kumi na saba mfungo sita siku alipozaliwa mtume(saww) mwaka wa thamanini na tatu hijiria
amekufa kwa kupewa sumu siku ya ishirini na tano mfungo mosi mwaka wa mia moja na arobaini na nane ulikuwa umri wake miaka sitini na tano
alikuwa imam(as) ana elimu na ubora na hekima na ujuzi wa sheria na uchamungu na ukweli na uadilifu na ubwana na ukuu na ukarimu na ushujaa na mambo mengine matukufu yasiyo hifadhika
akasema almufid hawakuchukua wanachuoni kwa yeyote katika ahlulbayt kama waliyonakili kwake wala hajakutana na yeyote katika wanachuoni wa hadithi na historia aliye eneza elimu kuliko imam jaafar assadique(as)
hakika wamekusanya majina ya watu waliopokea elimu kwake yeye (watu waaminifu na wenye imani mbalimbali walikuwa watu elfu nneabu hanifa kiongozi wa masuni alikuwa mmoja wapo
na kwa sababu ya uchamungu wake alikuwa anakula siki na mafuta na akivaa khanzu nzito si nzuri sana na pengine nguo zake zilikuwa na viraka
alikuwa anafanya kazi mwenyewe bustanini mwake na pengine alikuwa anaghumiwa katika ibada ya mwenyezi mungu
usiku mmoja rashidi akampelekea mtu kumwita akasema mtumishi wake nilikwenda kwake nilimkuta katika chumba cha faragha yamevurugika mashavu yake kwa udongo kwa unyenyekevu
anamwomba mwenyezi mungu huku akiinua mikono yake pana alama ya mchanga usoni mwake na mashavuni mwake
alikuwa imam(as) mwingi wa kutoa sadaka mzuri kwa tabia mlainifu kwa maneno mzuri kwa kikazi na kushirikiana naye
siku moja imam(as) alimwita mtumwa wake aitwae musaadifu akampa dinari elfu moja na akamwambia ajitayarishe kwa safari ya kwenda misri kwa biashara kwani watu wa nyumbani wamezidi kuwa wengi na nilazima kutafuta njia ya maisha
musaadifu akanunua vitu vya biashara na akaelekea misri pamoja na kundi la wafanya biashara walipokaribia misri walikutana na kundi lingine waliokuwa wanatoka misri wakawaeleza sisi tunavyo vitu fulani je vitu hivi vinapatikana kwenye mji
wakajibu hapana wakaahidiana kuwa wasiuze vitu vyao chini ya faida ya mia kwa mia wakafanya hivyo baadae wakarejea madina
musadifu alikwenda kwa imam(as) akachukua mifuko miwili na ndani ya kila mfuko mna dinari elfu moja na akasema mfuko huu ni ule wa rasilimali na huu ni faida
hapo imam akamwambia faida hii ni nyingi mlifanyaje kwenye vile vitu akamuelezea namna walivyofanya na namna walivyoapa
hapo imam(as) akastaajabu sana na akasema je mliapa kuwa hamtawauzia umma wa waislam ila kwa faida ya mia kwa mia
kisha akachukua mfuko mmoja na akasema huu ni rasilmali yangu na wala hatuna haja ya faida
kisha akasema ewe musaadifu kupigana kwa panga ni rahisi kuliko kutafuta maisha kwa njia ya halali
naye imamu musa bin jafar alkadhim(as) mama yake ni bibi hamida almusaffatu imam huyu kazaliwa ab wa (hapo ni mahala kati ya maka na madina) siku ya jumapili mwezi saba mfungo tano mwaka mia moja ishirini na nane hijiria
alikufa imam kwa hali ya kupewa sumu ndani ya gereza la mfalme haruna alikaa humo muda mrefu kwa kufungwa miaka kumi na nne kwa dhuluma na mateso tu alikufa mwezi ishirini na tano mfungo kumi mwaka mia moja na thelathini na tatu hijiria
akasimamia mazishi yake mtoto wake ali arridha(as) kazikwa mtukufu katika kadhimiya mahala lilipo kaburi lake sasa
alikuwa anavunja ghadhabu kwa hivyo akaitwa alkadhimu' (maana yake mvunja ghadhabu)
na kwa sababu ya wema wake akaitwa'alabdussalih' (maana yake mja mwema)
ikaonekana elimu yake katika mambo mbali mbali iliyowashangaza watu na hadithi ya mazungumzo yake na buraina (mkuu wa wanaswara) ni mashuhuri alipomshinda imam(as) akasilimu kwa nia halisi
maskini mmoja alimwomba imam(as) dinari mia moja imam(as) akamuuliza maswali ili kujaribu kiasi cha maarifa yake alipomjibu akampa dirham elfu mbili
alikuwa imam(as) mzuri mno kwa sauti kusoma qur'ani na alikuwa mwingi wa ibada na kusoma qur'an na alikuwa anasujudu muda mrefu na alikuwa mwingi wa kulia kwa mapenzi ya mungu kafa imam(as) katika hali ya sijida
abu hamza alimwona imam musa al kadhim(as) anafanya kazi kwenye shamba akiwa mwenye kujaa jasho kwenye miguu yake akamwuliza wako wapi wafanyakazi
akamjibu ewe abu hamza amefanya kazi kwa mikono yake aliyekuwa mbora zaidi kuliko mimi na baba yangu
abu hamza akamwuliza ni nani huyo
akamjibu mtume wa mwenyezi mungu (swt) na amirul muuminiin ali(as) na wazazi wangu wote walikuwa wafanya kazi kwa mikono yao na njia hii ni njia ya mitume na mursaliin na mawasii na masaleh wote
imam ali bin musa ar ridha(as) mama yake ni bibi najma
kazaliwa imam(as) siku ya ijumaa mwezi kumi na moja mfungo pili mwaka wa mia moja na arobaini na nane hijiria madina munawwara
kafa kwa kupewa sumu siku ya mwisho wa mwezi mfungo tano rnwaka mia mbili na tatu akashughulikia mambo ya mazishi yake mtoto wake aljawad(as) na kazikwa mashhad mahali palipo kaburi lake sasa
elimu yake na utukufu na ukarimu wake na uzuri wa tabia na unyenyekevu wake na ibada zake zinajulikana sana ulimwenguni na haina haja ya kuzitaja
mfalme mamun alitaka kumtawalisha mambo ya ukhalifa wa kiislamu mahala pake lakini imam(as) hakukubali kwa sababu nia yake mamuni haikuwa safi na wakati alipokataa ukhalifa imam(as) alilazimishwa na mamun kukubali awe makamo baada yake lakini imam(as) akatoa sharti kwamba hatafanya chochote katika mambo ya dola
umedhihiri uwingi wa elimu yake kuhusu dini na madhehebu mbalimbali katika mikutano ya mashindano ambayo aliyoifanya mamun hata wasafiri waliporudi mijini kwao walikuwa wanahadithia habari za elimu yake
imam(as) alikuwa anakesha kucha kwa ibada na anasoma (qur'ani nzima kwa siku tatu na wakati mwingine alikuwa anasali mchana na usiku rakaa elfu na akisujudu kwa muda mrefu na alikuwa akifunga mara nyingi
alikuwa imam(as) mwingi wa kutoa na kufululiza sadaka kwa siri hasa katika usiku wa giza hakumkatisha imam(as) maneno ya mtu yeyote wala hakutumia neno chafu wala hakutegemea chochote mbele ya mtu wala hakucheka kwa sauti wala hakutema mate mbele ya yeyote
na wakati wa kula huwaita jamaa zake na watumishi wake mpaka wakeze na hula pamoja nao
naye imam muhammad taki bin ali al jawad(as) mama yake ni bibi sabika kazaliwa imam(as) mwezi kumi mfungo kumi mwaka wa mia moja na tisini na tano hijiria madina munawwara
kafa hali ya kupewa sumu baghdadi mwisho wa mfungo pili miaka mia mbili na ishirini
kazikwa nyuma ya babu yake imam musa bin jafar(as) mahala lilipo sasa kaburi lake katika kadhimiya
alikuwa imam(as) mwanachuoni mno zama zake na mbora na mkarimu na mtoaji mzuri mno kwa kikazi na mbora wa tabia na alikuwa fasaha mno
alikuwa anapopanda mnyama huchukuwa dhahabu na fedha na kama akiombwa na yeyote njiani humpa na akiombwa na ammi zake huwapa dinari khamsini au zaidi na akiombwa na mashangazi zake huwapa dinari ishirini na tano au zaidi
na elimu yake kubwa imedhihiri waziwazi kwa watu mara wanachuoni themanini walikusanyika kwake baada ya kurudi kwenye hija yao walimwuliza maswali mbalimbali akiwajibu imam(as) kwa kumtosheleza kila mtu
wakati mmoja watu wengi walikusanyika kwake na kumwuliza maswali thelathini elfu mahala pamoja akawajibu wote pasi kuzuia wala kukosa alikuwa umri wake wakati huo miaka tisa tu lakini mfano namna hii si kitu cha kustaajabisha kwa ahlulbayt
na khalifa mamun rashid alimwozesha binti wake baada ya mtihani muhimu na kisa chake ni mashuhuri
naye ni imam ali bin muhammad annaqii(as) mama yake ni bibi samana kazaliwa imam(as) madina munawwara mwezi tano mfungo kumi mwaka mia mbili na kumi na nane kafariki hali ya kupewa sumu mji wa samarra siku ya jumatatu mwezi tatu mfungo kumi mwaka mia mbili na khamsini na nne kazikwa huko mahala palipo kaburi lake sasa
al kuwa imam(as) mbora kuliko watu wote wa zama zake alikuwa mwanachuoni mno naye ndio makusanyiko ya utukufu na ukarimu na mlainifu wa mazungumzo na alikuwa mchamungu na mzuri wa mwenendo na tabia na alikuwa mkarimu mno
siku moja mfalme alimpelekea thelathini elfu dirham na imam akampa mwarabu wa kufa kwa msaada na akamwambia kalipe deni zako na kwa watoto wako na ahali zako na utusamehe (hatuna zaidi) akasema yule mwarabu ee mtoto wa mtume nilikuwa ninatumai kupata chini ya kumi elfu lakini mungu anajua alipoweka ujumbe wake baadaye akachukua mali ile na akaenda zake
naye ni imam hassan bin ali al askari(as) mama yake ni bibi haditha
kazaliwa imam(as) siku ya jumatatu mwezi kumi mfungo saba mwaka wa miambili na thelathini na mbili
amekufa hali ya kupewa sumu siku ya ijumaa mwezi nane mfungo sita mwaka 260 akasimamia mazishi yake mtoto wake imam alhujjat(as) kazikwa alipozikwa baba yake katika mji wa samarra
'uso wake na mwili wake ulikuwa mzuri sana alikuwa anaheshimiwa sana ijapokuwa umri wake ulikuwa mdogo alikuwa anafanana na mtume(saww) katika tabia
yaliyosikiwa kwa ismaili kasema 'nilikaa njiani kwa kumngojea imam(as) alipopita nikamshtakia hali yangu akasema imam(as) unaapa uongo kwa mungu nawe umeficha katika ardhi dinari mia sisemi hivyo kwa kuwa nisikupe chochote la nitakupa baadaye imam(as) akamwamuru kijana wake kumpa alicho nacho akampa dinari mia
mtu mmoja akenda kwa imam(as) aliposikia ukarimu wake yeye alikuwa anahitaji dirhamu miatano imam(as) akampa mia tano dirhamu na akamzidishia mia tatu dirhamu
wanaswara wakashuhudia kuwa imam(as) ni mfano wa masihi katika fadhila na elimu na miujiza yake
alikuwa imam(as) mwingi wa ibada na mwingi wa sala za usiku(tahajjud)
naye imam almahdi muhammad bin hassan(as) na mama yake ni bibi narjis
kazaliwa imam(as) samarra usiku wa nusu ya shaaban mwaka mia mbili na khamsini na tano
imam huyo(as) ndiye wa mwisho na ni hoja ya mungu ardhini na ni mwisho wa makhalifa wa mtume mtukufu na mwisho wa maimamu wa waislamu wa kumi na mbili
naye ni hai duniani sasa na karefusha mungu mtukufu umri wake mtukufu(as) naye ni ghaib (haonekani) na atadhihiri karibu ya kiyama wakati itapojaa dunia dhulma na madhambi na yeye atajaza dunia uadilifu na haki na usawa
kama alivyohubiri mtume(saww ) na ma imamu(as) kuwa yeye atabaki hafi
atamiliki dunia nzima na kuimarisha na uadilifu na atawauwa wadhalimu kama alivyosema mwenyezi mungu mwenyezi mungu aishindishe juu ya dini zote ijapokuwa washirikina wachukie
ee mola fanya upesi faraja yake na wepesi kutoka kwake utujaalie miongoni mwa wanusuru wake na wasaidizi wake
na kwa sababu kujificha kwake imam(as) kulikuwa nyumbani kwake wanakwenda waislamu mahari hapo katika samarra kwa kumwabudu mungu hapo na nyumba ile inaitwa sardabulghaibat
masomo ya kiislamu 1
kitabu cha pili 1
masomo ya kiislam 2
kitabu chapili 2
1 somo la kwanza 2
imam wa kwanza 2
masomo ya kiislam 4
kitabu chapili 4
2 somo la pili 4
binti wa nabii (saww) 4
masomo ya kiislam 6
kitabu chapili 6
3 somo la tatu 6
imam wa pili 6
masomo ya kiislam 8
kitabu chapili 8
4 somo la nne 8
imamu wa tatu 8
masomo ya kiislam 10
kitabu chapili 10
5 somo la tano 10
imamu wa nne 10
masomo ya kiislam 12
kitabu chapili 12
6 somo la sita 12
imamu wa tano 12
masomo ya kiislam 14
kitabu chapili 14
7 somo la saba 14
imamu wa sita 14
masomo ya kiislam 16
kitabu chapili 16
8 somo la nane 16
imamu wa saba 16
9 somo la tisa 16
imamu wa nane 16
10 somo la kumi 17
imam wa tisa 17
masomo ya kiislam 18
kitabu chapili 18
11 somo la kumi na moja 18
imamu wa kumi 18
12 somo la kumi na mbili 18
imam wa kumina moja 18
13 somo la kumi na tatu 19
imamu wa kumi na mbili 19
sharti ya kuchapa 19
mwisho wa kitabu 19
yaliyomo 20
[1] akhera ufufuo
[2] kiyama siku ya kufufuliwa
[3] kaaba nyumba ya munguiliyojengwa na nabii ibrahimu (as) katika mji wa maka kwa ajili ya ibada ya mwenyezi mungu
[4] mihirabu sehemu ya msikiti inayoonyesha kuelekea kibla
[5] hijiria chimbuko la tarehe kwa mwaka wa kiislamu inahisabiwa kutoka kuhama kwake mtume (saww) maka
[6] ashura mwezi kumi mfungo nne tarehe kumi ya mwezi wa muharram
[7] rakaa sehemu ya sala kila sala inayo rakaa mbili tatu au nne
[8] tahajjud sala zinazosaliwa baada ya nusu ya usiku sala hizi si za faradhi | 2020-01-21T12:07:38 | http://alhassanain.org/swahili/?com=book&id=5 |
diamond nyimbo na video ninazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia hadi siku ntapozikwa bongoswaggzcom
home / diamond platnumz / news / diamond nyimbo na video ninazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia hadi siku ntapozikwa
diamond nyimbo na video ninazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia hadi siku ntapozikwa
bongo swaggz 1008 am diamond platnumz news
diamond ni miongoni mwa wasanii ambao waliahidi kuachia kazi mpya baada ya uchaguzi na kati ya kazi alizofanya inayosubiriwa kwa hamu zaidi ni wimbo aliomshirikisha staa wa rnb kutoka marekani neyo
mpaka sasa bado haijafahamika ni wimbo/nyimbo gani atakazotangulia kuachia kutokana na style yake ya kufanya vitu kimya kimya mpaka dakika za mwisho akiwa na kila kitu mkononi ndio huwa anaanza kutoa ishara
platnumz juzi (nov9) aliandika post ambayo ni kama ishara ya kuwaandaa mashabiki wake wakae mkao wa kupokea kazi mpya
kwa kujiamini kupita maelezo kupitia mitandao ya kijamii baba wa tiffah aliandika
nyimbo na videos nnazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia na kubaki kumbukumbu hadi siku ntapozikwa #hifadhihiipost kwa maneno haya hii ni ishara kuwa mzigo unadondoka muda si mrefu nadhani majibu tutayapata soon
nyimbo na videos nnazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia na kubaki kumbukumbu hadi siku ntapozikwa #hifadhihiipost
chibu dangote (@diamondplatnumz) november 9 2015
kwa tafsiri ya kile alichoandika diamond nyimbo na videos hii inamaanisha tutarajie wimbo zaidi ya mmoja (1) pamoja na video zaidi ya moja (1) ndani ya siku 51 zilizosailia kuumaliza mwaka huu wa 2015 #hifadhihiipost
bybongo5 jiunge nasi >> facebook << >> instagram << na >> playstore << kupata habari na burudani fasta kila time
diamond nyimbo na video ninazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia hadi siku ntapozikwa reviewed by bongo swaggz on 1008 am rating 5 | 2017-08-24T06:51:26 | http://www.bongoswaggz.com/2015/11/diamond-nyimbo-na-video-ninazoenda.html |
kazakhstan mfumuko wa bei (mwezi)
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi kazakhstan mfumuko wa bei (mwezi)
<iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=kazakhstaninfratmom&v=202007011329v20191105&lang=all&h=300&w=600&ref=/kazakhstan/inflationratemom' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/kazakhstan/inflationratemom'>tradingeconomicscom</a>
kazakhstan bei
mfumuko wa bei 700 670 296080 190 asilimia [+]
consumer bei index cpi 82510 82150 82510 14530 pointi [+]
mfumuko wa bei za msingi 677 684 1980 123 asilimia [+]
mtayarishaji bei 94200 92600 120906 12210 pointi [+]
kuagiza bei 10080 10020 10850 9280 pointi [+]
gdp deflator 640 860 26090 640 pointi [+]
chakula mfumuko wa bei 1110 1070 3150 190 asilimia [+]
export bei 9840 10340 11400 7980 pointi [+]
cpi usafiri 10470 10500 12320 9380 pointi [+]
mabadiliko ya bei uzalishaji 2210 1340 7170 3360 asilimia [+]
mfumuko wa bei (mwezi) 040 050 4590 100 asilimia [+]
kazakhstan umojamataifa uingereza euro eneo china afghanistan albania algeria andorra angola antigua na barbuda argentina armenia aruba australia austria azerbaijan bahamas bahrain bangladesh barbados belarus ubelgiji belize benin bermuda bhutan bolivia bosnia botswana brazil brunei bulgaria burkinafaso burundi cambodia cameroon canada capekijani visiwa vya cayman ya afrika ya kati jamhuri ya chad channelvisiwa chile china colombia comoro kongo pwanirica cote d ivoire kroatia kuba cyprus jamhuri ya czech denmark djibouti dominika jamhuri ya dominika mashariki ya asia na pasifiki timor ya mashariki ecuador misri themwokozi guinea ya ikweta eritrea estonia ethiopia euro eneo umoja wa ulaya ulaya na asia ya kati faeroe visiwa fiji finland ufaransa polynesia ya kifaransa gabon gambia georgia ujerumani ghana ugiriki greenland grenada guam guatemala guinea guineabissau guyana haiti honduras hongkong hungary iceland india indonesia iran iraq ireland kisiwa cha man israeli italia ivorypwani jamaika japan jordan kazakhstan kenya kiribati kosovo kuwait kyrgyzstan laos latvia lebanon lesotho liberia libya liechtenstein lithuania luxemburg macau macedonia madagascar malawi malaysia maldivi mali malta visiwa vya marshall mauritania mauritius mayotte mexico mikronesia moldova monako mongolia montenegro morocco msumbiji myanmar namibia nepal uholanzi uholanziantilles kaledonia mpya mpyazealand nikaragua niger nigeria korea ya kaskazini norway oman pakistan palau panama palestina papua guinea mpya paraguay peru philippines poland ureno pwetoriko qatar jamhuri ya kongo romania urusi rwanda samoa sao tome na principe saudiarabia senegal serbia shelisheli sierraleone singapore slovakia slovenia visiwa vya solomon somalia afrika kusini asia ya kusini korea ya kusini sudan kusini hispania srilanka sudan surinam uswazi sweden uswisi syria taiwan tajikistan tanzania thailand timor leste togo tonga trinidad na tobago tunisia uturuki turkmenistan uganda ukraine falme za kiarabu uingereza umojamataifa urugwai uzbekistan vanuatu venezuela vietnam visiwa vya virgin yemen zambia zimbabwe | 2020-07-05T21:00:28 | https://sw.tradingeconomics.com/kazakhstan/inflation-rate-mom |
399 bhulamanzuku bhuli bhubhi | sukuma legacy project
399 bhulamanzuku bhuli bhubhi
imbuki ya lusumo lunulo yingilile kujisumva ijo jigikalaga jisangabalile ijisumva jinijo jigitaga yombo nhale aho jili jigabayoganijaga abhichajo mpaga bhaganogaga ugujidegeleka hunagwene abhanhu bhayombaga giki bhulamanzuku bhuli bhubhi
ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga uyomba mamihayo wilaka lyahigulya umunhu ngwunuyo agafunyaga mbisila ja bhiye kunguno ya guyomba mihayo iyo idinasolobho agalisanyaga bhanhu bho kuyomba mihayo ya bulomolomo alinsigani noyi umunhu ngwunuyo hunagwene abhanhu bhagayombaga giki bhulamanzuku bhuli bhubhi
ulusumo lunulo lolanga bhanhu gighulya ya kuleka nhungwa ja bhuyombagani bho nyalomolomo kugiki bhadule goya gubhalisanya abhichabo yigeleliwe abhanhu bhenabho bhabhize na bulyehu bho gudula gwikala na bhanhu chiza
zaburi 3414
yakobo 316
1 petro 310
kiswahili upayukaji ni mbaya
chanzo cha methali hiyo chaangalia kiumbe ambacho hupiga kelele sana pale kilipo kiumbe hicho huendelea kuongea kwa sauti kubwa kule kiendako mpaka wale wanaokisikiliza hukerwa nacho ndiyo maana watu husema kwamba upayukaji ni mbaya
methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anaongea maneyo kwa sauti ya juu mtu huyo hutoa siri za watu kwa sababu ya uongeaji wake huo wa maneno mengi huchonganisha watu kwa kusema maneno ya uongo yeye husengenya watu pia ndiyo maana watu husema kwamba upayukaji ni mbaya
methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kupayuka maneno ya uongo maishani mwao ili waweze kuacha kuwagombanisha wenzao yafaa watu hao wawe na upole wa kuwawezesha kuishi kwa amani na wenzao
english too loudly talking is bad
the source of the above proverb is looking at a creature that screams very loudly where it is such a creature keeps talking loudly in the direction it goes until those listerning to it feel offended that is why people can say too loudly talking is bad
the proverb can be compared to a person who speaks loudly such a person is likely to affect other peoples privacy antagonize others through false words such a person can be warned by telling him/her that too loudly talking is bad
this proverb teaches people to avoid the habit of lying they should not cause chaos to others rather be gentle enough to make people lead their lives in a peaceful manner
psalm 3414
james 316
posted in sukuma proverbs and tagged folklore heritage joe healey kashinje zacharia legacy mother tongue mwanza myth proverbs shinyanga stories sukuma tanzania zakaria kashinje on november 5 2019 by sukuma legacy leave a comment
← 398 wiza bho bhulabhu bhudalamaga
400 jilamba lume →
25 years of towards an african narrative theology (1995 to 2020)
755 kub´isa nwile ulabhulwa ng`hungu
754 gub´isa moto ukubhulwa lyochi
753 gub´isa mhulu na bhayanda ugusanga jajukulagwa (jafumbulagwa)
752 gub´isa go nva gugafumbulagwa ng`hungulu | 2020-08-03T23:03:31 | https://sukumalegacy.org/2019/11/05/399-bulamanzuku-buli-bubi/ |
dawa asili 7 zinazotibu tatizo la kutapika fadhilipaulocom
dawa asili 7 zinazotibu tatizo la kutapika
by fadhili · 22/06/2017
kutapika mara nyingi siyo ugonjwa hasa unaohitaji uangalizi mkubwa kwa kawaida huwa ni jambo la muda mfupi tu na kama matokeo ya mwili wako kutokupatana na chakula fulani umekula
moja ya visababishi vya kutapika ni pamoja na kunywa pombe kupita kiasi sumu katika vyakula homa ya matumbo mfadhaiko ujauzito pia inaweza kuwa matokeo ya mvurugiko wa tumbo wakati ukisafiri kwenye vyombo usafiri
ili kujitibu tatizo la kutapika unaweza kujaribu moja ya hizi dawa za asili zinazoweza kupatikana jikoni kwako
dawa asili 7 zinazotibu tatizo la kutapika
1 juisi ya kitunguu maji
juisi ya kitunguu maji inaweza kusaidia kudhibiti kujisikia vibaya na kutapika ahsante kwa viuavijasumu vyake vya asili inavyovimiliki
tengeneza juisi freshi ya kitunguu maji ambayo siyo nzito wala nyepesi sana na utumie asali na siyo sukari ndani yake
kunywa glasi moja kutwa mara 2 kila siku mpaka umepona
tangawizi ni nzuri kwa ajili ya mfumo wako wa mmengenyo wa chakula na hufanya kazi ya kudhibiti kutapika pia
tengeneza chai ya tangawizi ukitumia tangawizi mbichi (freshi) na usiweke majani ya chai huku ukitumia asali badala ya sukari kisha unywe kikombe kimoja kutwa mara 2 kwa siku kadhaa mpaka umepona
3 maji ya mchele
maji ya mchele husaidia kutibu kutapika hasa kama kutapika huko kumetokana na uvimbe tumboni
tumia mchele mweupe wa kawaida kwa kazi hii
chemsha kikombe kimoja cha mchele kwa dakika kadhaa kisha ipua na uchuje na unywe maji maji hayo uliyochuja yote fanya hivi kutwa mara 2 kwa siku kadhaa mpaka umepona
mdalasini husaidia kutuliza tumbo na kutibu kujisikia vibaya kulikosababishwa na matatizo katika mfumo wa mmengenyo wa chakula
kwenye kikombe kimoja cha maji ya moto ongeza mdalasini ya unga kijiko kidogo kimoja cha chai na usubiri ipowe kidogo kisha chuja na uongeze asali kidogo kupata radha na unywe yote fanya hivi kutwa mara 2 kwa siku kadhaa mpaka umepona
mhimu dawa hii inaweza isiwe nzuri kwa baadhi ya kina mama wajawazito hivyo wasiliana na daktari wako kabla
5 mnanaa (mint)
chai ya majani ya mnanaa inaweza kukutibu na tatizo la kutapika hasa kama tatizo limetokana na kuvurugika kwa tumbo
tengeneza chai ya majani ya mnanaa kama ni makavu au kama ni majani mabichi ni sawa na unywe kikombe kimoja kutwa mara 2 huku ukitumia asali kwenye hiyo chai yako
mnanaa unaweza kuupata kirahisi ukiwa dar au zanzibar
siki ya tufaa (apple cider vinegar) inaweza kusaidia kutibu tatizo la kutapika
husaidia kulituliza tumbo lililovurugika na kusaidia pia kuondoa sumu
husaidia pia kuondoa sumu zitokanazo na vyakula tunavyokula kila siku na kudhibiti bakteria mbalimbali mwilini
changanya kijiko kikubwa kimoja cha siki ya tufaa kijiko kikubwa kimoja tena cha asali ndani ya kikombe kimoja cha maji (robo lita) changanya vizuri na unywe yote fanya hivi kutwa mara 2 kwa siku kadhaa
7 karafuu
karafuu inayo sifa ya kutuliza maumivu na husaidia pia mfumo wa mmengenyo wa chakula na hivyo kuwa dawa nzuri kuzuia kutapika
ni dawa nzuri ya kutuliza kutapika hasa kulikotokana na uvimbe katika tumbo
tafuna tu karafuu 1 au mbili mara 1 au 2 kwa siku au tengeneza chai ukitumia karafuu na unywe hiyo chai mara 2 kwa siku kwa siku kadhaa
mambo mhimu ya kuzingatia unapoumwa kutapika
*unapojisikia tu hali ya kutaka kutapika kunywa kiasi kidogo cha maji
*kula chakula chepesi na ule pole pole
*epuka kula vyakula vinavyopikwa katikati ya mafuta mengi (fried foods)
*kunywa maji halisi zaidi kuliko juisi za viwandani
*pata muda wa kutosha wa kupumzika
*epuka harufu kali kama vile za pafyumu au ile harufu ya jikoni
*usiende kulala mara tu unapokuwa umetoka kula
*usipige mswaki mara tu baada ya kumaliza kula
dawa hizi asili zinaweza kukutibu tatizo hili la kutapika bila shida yoyote hata hivyo kama tatizo litaendelea zaidi muone daktari kwa msaada zaidi
naomba nisaidie kushare
(imesomwa mara 2838 leo peke yake imesomwa mara 64)
tags dawa asili 7 zinazotibu tatizo la kutapikakutapika
namna kansa inavyojitokeza mwilini
jinsi ya kurudisha nguvu za kiume
michael p chendela says
shukrani kwa somo zur
22/06/2017 at 621 pm
raymond eligi says
dokta vip kwa watu ambao wakila kitu flan lazma watapike kwa mfano mimi nikila parachichikumbikumbi na mchuzi wa samaki ulipoa lazma nitapike na huwa sivigusi
utakuwa una aleji na hivyo vitu
ila mwanzo nilikua nikivitumia vzur tuu bila shida yoyote
jackie jackie mnyungu says
kuna wakati mtu anajihisi kichefu chefu lakini hatapiki jee dawa hizi zinaweza kuondoa hiyo hali
22/06/2017 at 646 pm
ndiyo unaweza kutumia hizi kwa ajili ya kichefuchefu tu
22/06/2017 at 652 pm
linah gittige says
for real my god bless you fadhilpaulo umekuwa sehemu ya baraka kwangu
john malapwa says
asante sana dk
devotha sisto says
doctor mimi huwa natapika pale nikipanda gari ambalo halina hewa tatizo ni noni
lazaro mkongwi says
naomba kufahamishwa mnanaanimmea gan
22/06/2017 at 655 pm
ubarikiwe dk
que regga says
mungu akutunze na kukutimizia haja za moyo wako mpendwa unatufunza mengi
haika amenjeka maeda says
22/06/2017 at 712 pm
asante hivi somo la makalio bado
carlos kazimoto says
25/06/2017 at 636 am
25/06/2017 at 819 am
yuyuu mhimili says
cecyln elius says
rafaeli juvenari says
asante fadhili paulonikiwa ndani ya gari likifungwa vioo vyote hata kama nilisafiri nikiwa sijisikii ugonjahuwa nahisi kutapikaau natapika kabisa je ni ugonjwa au
innocent pius says
25/06/2017 at 815 am
jaribu kabla hujasafiri chukua nyanya moja ioshe vizuri itafune inaweza kukusaidia usisikie hiyo hali
asante innocent piusnitafuata maelekezo yakonatanguliza shukuraniasanteeeee
grace rocky says
hancykey'emelah mach says
asante dr naomba nichomekee kidogo naomba kujua dawa ya fizi zinazotoa damu na kuuma wakat wa kupiga mswaki
asanteee
yusta mbanga says
22/06/2017 at 802 pm
asante sana dr
faruki chodo ibn jumaa says
asante mtaalamu nakuelewa sana na tambua kabisa mi ni mwanafunzi wako humu nachukua nukuuu dr
22/06/2017 at 818 pm
kathryne mchami says
22/06/2017 at 905 pm
nasikia maji ya michele pia yanazuia mtu anaekojoa kitandani ni kweli na yanat umikaje
ngulu saidy abdallah says
22/06/2017 at 933 pm
kwel bw fadhil ninakuelewa xana tena zaid ya xana
samwel wa zacharia says
mungu akubariki sana ufike mbali dr
elieza c malamba says
vzr sana kwa ushauli
rukia mgosi says
22/06/2017 at 1038 pm
dokta sorry mi huwa natapika asubuhi mara nyingi nnapowahi kuamka nifanyeje
deniza aloyce says
25/06/2017 at 809 am
nahc n dall ya vdonda vya tumbo
mmmm sawa ndugu asante
glads j sambo says
22/06/2017 at 1057 pm
docta huwa natapika pale ninaposikia harufu ya mafuta ya gari hilo ni tatz gani
benjamini peter benjamini says
22/06/2017 at 1131 pm
asante mpendwa
vivian kaaya says
mungu akulinde drfadhili tuendelee kupata nasaha zako
debbie katondo says
dr na yule mtu mwenye gas nyingi tumboni muda wote mpaka anatapika afanyaje
alhabib hash pain says
23/06/2017 at 543 am
daktar je dawa za chango za kiume ngiri za aina zote naomba unijalie tiba hyo ndugu yng
tumaini tina says
23/06/2017 at 639 am
he na wale wanaotapika safarini kwenye gari yaani akisafiri ndio anaisikia hio hali tu
maryam ameir says
abou zuleikha says
23/06/2017 at 900 am
rahma mgaza
suhuba ghafur says
23/06/2017 at 1117 am
rose damian says
23/06/2017 at 1242 pm
zainab juma says
23/06/2017 at 157 pm
my nahomba utoe namaelekezo yadawa zakina mama
25/06/2017 at 822 am
za kina mama kwa tatizo gani hasa
mi nasumbuliwa sana na 2mbo
25/06/2017 at 821 am
tatizo lipoje hasa ndugu
daraa rashid says
naomba kuuliza hakuna madhara ya dawa hizi kwa mjamzito
25/06/2017 at 820 am
ile yenye madhara utaona nimetoa tayari tahadhari
grace kivuyo says
24/06/2017 at 352 pm
doct mm natapika cn nikipanda tuu gari tatizo ni nn
noela patrick says
25/06/2017 at 755 am
yaan mm kwanz nikisikia tu nasafir duh naanz tu kuhis kutapik jamn mpk nakosa amn sitamn hata safr
juisi ya tangawizi au hata chai ya tangawizi itakusaidieni hilo
25/06/2017 at 217 pm
nakunywa kabla sijaanza safar ama maana nikisikia kesho nasafir naanza kutapika leo had nikiingia kwenye gar hoii
25/06/2017 at 524 am
ubalkiwe kwa huduma
mwantum jumaa says
25/06/2017 at 657 am
mimi nikiumwa na kichwa sana lazima nitapike
25/06/2017 at 817 am
hizi dawa lazima zitakusaidia hilo zijaribu na uniletee majibu
geofrey jeas says
25/06/2017 at 729 am
dkt samani naomba unisaidie dawa ya pumu kwa watoto
wa umri gani hasa
soma hii pia =>http//wwwfadhilipaulocom/dawambadala13zinazotibupumu/
25/06/2017 at 758 am
dr mm nikisafir tyu jamn au nikipita tyu hata karibu na gar linalotoa moshi duh najisikia kutapik plz naomb namb zako nikutafut
pole sana ndugu tuwasiliane whatsapp +255769142586
asante nakutafut sahv
mm mtt wangu akiwa usngzn anatafuna meno had anashndwa kutafuna nyama hv hii sababu yake nn
25/06/2017 at 814 am
ni wa umri gani sasa
kwa sasa ana miaka saba na alianza hvo toka mdogo
25/06/2017 at 826 am
alafu akiamka ukimuulza anajua kabsa na anasaga km akiwa usngzn cjui inakuwaje anajua alchokuwa anafanya akiwa usngzn hali hyo inannyma raha sana
nlwah kumuulza dr akasema n tabia tu ya mtt mm sidhan ukiulza watu wa iman atakuambia mtt analishwa nyama na wachaw usngzn mhhhhh
herieth chabruma says
hongera kwa ushauri mzr mungu akubariki
mariam mkama says
canny mwingira says
next story uvimbe kwenye kizazi
previous story dawa asili 10 zinazotibu kikohozi | 2018-01-17T22:15:34 | http://www.fadhilipaulo.com/dawa-asili-7-zinazotibu-tatizo-la-kutapika/ |
twaweza siasa zetu na sauti za wananchi nchini kwetu makala | mwananchi
twaweza siasa zetu na sauti za wananchi nchini kwetu
lengo la makala hii ni kuunga mkono programu yao iitwayo sauti za wananchi kwa maelezo yao programu hii inatoa fursa kwa wadau wa serikali wafanya maamuzi vyombo vya habari na wadau wengine kufahamu hali halisi (au kupima mapigo ya moyo) kwenye masuala mbalimbali ya kijamii kisiasa na kiuchumi nchini
makala hii si utetezi wa twaweza ni imani yetu kwamba taasisi hii ni kubwa na ina uwezo wa kujitetea yenyewe au utetezi wake ni kazi zake zinazoonekana wazi kwa wananchi
kabla ya programu hii ya sauti za wananchi hapajawahi kuwapo fursa na uwezo wa kufahamu maoni ya wananchi wa kawaida kwa haraka na gharama nafuu
sauti za wananchi imekuwa chipukizi na kinara katika nyanja hii ya kupima mapigo ya moyo wa taifa ufanisi huu wa kuandaa kutekeleza na kusimamia programu uliishawishi benki ya dunia kushirikiana na twaweza katika kuandika kwa pamoja kitabu juu ya namna gani tafiti zenye kutumia simu zinaweza kufanywa jambo ambalo limebuniwa na kutendwa tanzania sasa linatumika kama mfano bora na la kuelimisha taasisi katika kila pembe ya dunia
idara kadhaa za serikali zimeshatumia taarifa zinazotolewa na sauti za wananchi kukusanya takwimu ambazo zinasaidia katika utekelezaji wa kazi zao likiwamo jeshi la polisi wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ofisi ya taifa ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali pia twaweza imepokea na kushughulikia maombi ya kutoa ripoti za kina kwa baadhi ya maofisa wa serikali
sauti za wananchi ilianzishwa mwaka 2013 nchini tanzania na iliendesha raundi 65 kwa kutumia miundombinu iliyoiweka na kuchapa zaidi ya machapisho 50 kutoka katika maoni sauti na uzoefu wa wananchi
katika kipindi hicho matokeo ya sauti za wananchi yameandikwa au kunukuliwa katika habari (magazetini redioni na kwenye vipindi vya runinga zaidi ya mara 1000 huku ikipata ushiriki na mjadala zaidi ya milioni kwenye mitandao ya kijamii
kama sikosei sakata la twaweza na serikali limechochewa na programu hii ya sauti za wananchi pale ambapo programu hiyo ilitoa sauti isizopendeza kwenye masikio ya wakubwa
binafsi ninaiunga mkono programu hii kwa kuamini kwamba kiongozi mzuri ni lazima asikilize sauti za wananchi bila kusikiliza sauti za wananchi ni kazi ngumu kupanga mipango ya maendeleo na kutekeleza shughuli nyingine za ujenzi wa taifa
si lazima unaposikiliza sauti za wananchi usikie yale unayoyataka wakati mwingine utasikia yale usiyoyataka ukiwa mkweli unayaweka wazi au unaweza kuamua kuyaficha ili uifurahishe nafsi yako
lakini kwa taasisi kama twaweza kuficha ukweli wa sauti za wananchi ni kujimaliza yenyewe ni imani yangu kwamba kwa vile wanazingatia weledi wanatangaza hata yale wasiyopenda kuyasikia lakini kwa vile ni sauti za wananchi wanaziota jinsi zilivyo
hoja yangu ya pili kwenye makala hii ni kuhoji uhusiano wa makosa ya twaweza kama kweli wana makosa maana tumeshuhudia majibizano kati yake na serikali na juzi waliitisha mkutano na waandishi wa habari uhusiano wa makosa yao na kushikiliwa hati ya kusafiria ya mkurugenzi mtendaji wa twaweza
inawezekana twaweza ikafanya makosa lakini uraia wa mkurugenzi mtendaji unaingia vipi hapa baadhi ya vyombo vya habari vimeandika kwamba uhamiaji yanahoji uraia wa aidan eyakuze mkurugenzi mtendaji wa twaweza wengine katika mitandao ya kijamii wanahoji hata jina la eyakuze kwamba si la tanzania
wanakuwa wavivu wa kufikiri na kukubali ukweli wa kihistoria kwamba kuna majina ambayo utayakuta burundi rwanda uganda hata na kenya mfano jina la otieno liko uganda kenya na tanzania karugendo liko burundi rwanda uganda na tanzania
itakuwa ni kichekesho kama uhamiaji wanamhoji hata na aidan eyakuze uraia wake wakijikita kwenye jina lake wakawaulize wazee kama mimi na wengine ambao tunamfahamu baba yake aidan na mama yake watuulize sisi tunaoufahamu uzalendo na kazi kubwa alizozifanya marehemu dk eyakuze aliitumikia tanzania kwa uzalendo mkubwa na wakati mwingine aliiwakilisha vizuri nchi yake kwenye mataifa mengine
mimi hivi sasa nina umri wa miaka 62 nilikutana na aidan eyakuze kwa mara ya kwanza nikiwa na umri wa miaka 16 nilikuwa ninasoma sekondari ya lake mwanza wakati baba yake dk eyakuze akiwa anafanya kazi kwenye kituo cha utafiti cha tiba mwanza wakati huo aidan akiwa mdogo tunasali pamoja kwenye kanisa la nyakahoja
inawezekana ushuhuda huu hautoshi kutetea uraia wa aidan eyakuze lakini kwa vile baba yake ni mtanzania na amezikwa kijijini kwake kasharu bukoba na mama yake maria ni mzaliwa wa kiziba bukoba basi hapa ni kuhoji uraia wa watu wengi wa ukoo wa baba yake na ukoo wa mama yake haitoshi kuhoji uraia wa aidan bila kuhoji uraia wa watu wengi ambao ni ndugu zake wa damu
kwa faida ya msomaji wa makala hii ni kwamba mkoa wa kagera unapakana na nchi tatu uganda rwanda na burundi na kuna historia ya miaka mingi ya watu wa nchi hizi kuingiliana kuwa na utamaduni unaofanana na lugha zinazofanana mipaka ya nchi hizi haikufanikiwa kuondoa udugu ulioanzishwa na mababu zetu nakumbuka kuandika makala fulani nikisema kwamba mwenyeji wa mkoa wa kagera ambaye hana chimbuko rwanda burundi au uganda si mzaliwa wa mkoa huo
tanzania inapakana na nchi nyingi hivyo mikoa mingi ina tatizo hili la wahamiaji haramu lakini tatizo hili ni kubwa zaidi kagera ni vigumu kuelewa kwa nini tatizo hili linasikika sana mkoani humo kuliko kwingine mfano mtwara watu wa msumbiji wanaingia na kutoka na wengine wanaishi tanzania bila kelele za uhamiaji haramu arusha ndugu zangu wamasai wanaingia kenya na kurudi tanzania na kuishi bila kuitambua mipaka ya nchi hizi mbili lakini hakuna kelele za uhamiaji haramu
na mara nyingi hili suala la uraia linawakumba watu wa mkoa wa kagera hili halikuwa tatizo wakati wa uongozi wa kwanza wa taifa letu mwalimu nyerere aliifahamu vizuri historia ya afrika na bado aliamini umuhimu wa muungano wa afrika nzima
ukiachia mbali historia ya bara letu la afrika ya mipaka ya nchi zetu kuibuka 1884 mwalimu nyerere alifungua mipaka ya nchi yetu kwa waafrika wote tanzania iliwapokea wakimbizi na wapigania uhuru kwa miaka mingi ilikuwa ni kimbilio la wengi na msamiati huu wa wahamiaji haramu haukujulikana
kwa njia hii watu wengi wa nchi jirani walipata uraia wa tanzania na wengine waliendelea kuishi hivyohivyo bila hata kujishughulisha kuomba uraia kwa maana nyingine huko nyuma hakukuwa na mpango wa kudumu wa kulishughulikia suala la wahamiaji haramuau hakukuwa na umuhimu wa kutengeneza mpango wa kulishughulikia suala hili
mwalimu nyerere hakuimba tu wimbo wa binadamu wote ni sawa afrika ni moja na afrika ni lazima iungane hakutumia mvinyo ili aseme ukweli alitekeleza kwa matendo
ndio maana wakati wa uongozi wake tanzania ilikuwa kimbilio la kila mwanadamu wapigania uhuru walikaribishwa tanzania na kuishi kama nyumbani kwao walipotaka kutembelea nchi za nje kama ulaya na kwingineko walitumia pasi za tanzania walianzisha makambi ya mapambano hapahapa uganda ilipopinduliwa na kutawaliwa na iddi amin mwalimu alikataa kukaa kimya alifanya uamuzi mgumu wa kuingilia kwenye mapambano ya vita vya kagera
hatukusikia lugha ya wahamiaji haramu wakati wa uongozi wa mwalimu sasa hivi ni kinyume watanzania tumeanza kujenga utamaduni wa ubaguzi tena ubaguzi mbaya kabisa hivi karibuni tanzania tumekuwa na zoezi la kuwafukuza wahamiaji haramu kutoka rwanda burundi na uganda
ndugu zetu ambao tunaunganishwa na damu na wengine tunaongea lugha moja na utamaduni unaofanana lakini tunateganishwa na mipaka ya kikoloni
hivyo tusiimbe wimbo wa umoja wa afrika tusiimbe wimbo wa binadamu wote ni sawa wimbo wa azimio la arusha bali tutekeleze falsafa hii tusimkumbuke mwalimu nyerere kwa mihadhara mizuri ya kupendeza bali tuunde mifumo ya kutuwezesha kutekeleza falsafa hii ambayo ni urithi wetu
mwalimu aliwaheshimu binadamu wote na alifanya jambo hili kwa matendo mwalimu aliamini kwamba afrika ni lazima iungane na alifanya hivyo kwa matendo kwa kufungua milango ya tanzania kwa kila mwafrika
tuache utamaduni huu wa kutumia uraia kama silaha ya kuwanyamazisha watu wanaohoji na kuwa na mawazo tofauti tutalijenga taifa letu kwa kusikiliza sauti za wananchi na hasa kusikia yale tusiyopenda kuyasikia na kuyafanyia kazi
hivyo programu ya twaweza ya sauti za wananchi ni ya kuungwa mkono ingawa wakati mwingine italeta sauti zisizotufurahisha si ukweli kwamba sauti zisizotufurahisha ni za watu kutoka nje ya tanzania
watanzania zaidi ya milioni hamsini hawawezi kuwa na sauti moja ni lazima watakuwa na maoni tofauti na kawaida tofauti zetu zinatuunganisha chanya na hasi inazaa maisha hii ni sayansi ya maisha na wala hakuna kupinga
padre privatus karugendo+255 754633122 | 2018-08-21T12:26:46 | http://www.mwananchi.co.tz/habari/Makala/Twaweza--siasa-zetu-na-sauti-za-wananchi-nchini-kwetu/1597592-4702896-hr73r7/index.html |
jedwali kuu la hexagon veneer side china manufacturers & suppliers & factory
jedwali kuu la hexagon veneer side mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 24 bidhaa kwa jedwali kuu la hexagon veneer side)
jedwali kuu la hexagon veneer side jedwali kuu la hexagon veneer side jedwali la mbali la hexagon veneer jedwali la upande wa hexagon nyeusi jedwali la upande wa hexagon nyeusi na lacquer jedwali la kudumu la mango mango mango jedwali la kudumu la mlo wa kuni jedwali kuu ya mwisho wa mango | 2019-12-14T17:56:43 | https://sw.taihuafurniture.com/dp-jedwali-kuu-la-hexagon-veneer-side.html |
bondia mayweather uso kwa uso na 2face idibia wa nigeria | saluti5
home » michezo » soka » bondia mayweather uso kwa uso na 2face idibia wa nigeria
bondia mayweather uso kwa uso na 2face idibia wa nigeria
bingwa wa zamani wa ngumi za uzitowa juu duniani floyd mayweather jr raia wa marekani amepanga kukutana na mwanamuziki wa nigeria 2face idibia
rapa 2facealithibitisha juu ya ujio huo kupitia akaunti yake ya instagram baada ya kuwepo kwa tetesi za ziara hiyo
bondia anayeishi kama rais atatua nigeria juni na atakuwa hapa kwa siku tatu ilisomeka sehemu ya taarifa iliyotumwa na 2face
floyd amekuwa na mafanikio makubwa kupitia mchezo wa ngumi lakini analaumiwa kwa kuwa na matumizi mabovu ya hela | 2017-10-17T05:52:32 | http://www.saluti5.com/2017/05/bondia-mayweather-uso-kwa-uso-na-2face.html |
indira gandhi wikipedia kamusi elezo huru
indira gandhi pamoja na rais wa marekani richard nixon 1971
indira gandhi (19 novemba 1917 31 oktoba 1984) alikuwa mwanasiasa wa uhindi na mwanamke wa kwanza aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo
indira alizaliwa kama binti wa jawaharlal nehru aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza wa uhindi kati ya 1947 hadi 1964 jina la gandhi alipokea kwa njia ya ndoa na firuz gandhi ambaye hakuwa na uhusiano na mahatma gandhi
alishirikiana na babake kama karani yake 1955 alikuwa mwenyekiti wa chama tawala cha congress baada ya kifo chake aliingia katika serikali kama waziri akachaguliwa kuwa waziri mkuu 1966 akatawala hadi 1977
1980 alirudi baada ya uchaguzi akashika uongozi tena kipindi cha mwisho kiliona uasi wa kundi la kalasinga huko punjab indira iliamuru jeshi kuvamia hekalu ya kalasinga huko amritsar ambako waasi wenye silaha walijificha baada ya tendo hili indira aliuawa na walinzi wake waliokuwa kalasinga
baada ya kifo chake madaraka yalishikiliwa na mtoto wake wa kiume aitwae rajiv gandhi na alikuwa kama waziri mkuu kati ya 1984 hadi 1989
je unajua kitu kuhusu indira gandhi kama wasifu wake habari za maisha au kazi yake
rudishwa kutoka http//swwikipediaorg/w/indexphptitle=indira_gandhi&oldid=881962 | 2014-10-23T03:01:49 | http://sw.wikipedia.org/wiki/Indira_Gandhi |
pongezi za muwaza | zanzibar ni njema atakaye na aje
pongezi za muwaza
muwaza yapongeza ujasiri na ushujaa
muwaza inapenda kutoa pongezi zake za dhati kwa misimamo ya wazanzibari ya hivi karibuni kwa kujitokeza kinaga ubaga kutetea maslahi ya zanzibar maslahi ambayo yamekuwa yakipokonywa tokea siku za awali za kuundwa kwa muungano
hii si mara ya kwanza kwa wazanzibari kujitokeza kwa uwazi kukemea dhulma waliotendedewa wazanzibari maafa waliyoyapata viongozi wa kizanzibari wakati wakipigania mustakbal wa zanzibar si siri
tumeshuhudia jinsi rais wa zanzibar alhajj aboud jumbe alivyouzuliwa kidikteta
tumeshuhudia namna waziri kiongozi sh ramadhan haji alivyotimuliwa
tumeshuhudia jinsi rais mstaafu dr salmin amour alivyoadhiriwa na bara
tumeona jinsi akina marehemu shaaban mloo maalim seif na wengine walivyofukuzwa chamani kwa kuitetea zanzibar
tumeona jinsi mwanasheria mkuu wa zanzibar wolfgang dourado aliyotupwa korokonin bila ya kupandishwa mahakamani
tumeshuhudia jinsi mwanasheria mkuu bashir e kwawswanzy alivonyan´ganywa uraia na kufukuzwa nchi
tumejionea jinsi makatibu wakuu wa wizara tofauti za zanzibar namna walivyoparaganywa
wote hao na wengi wengineo walipigwa vita vikali kwa sababu ya kutetea haki za zanzibar
dhulma tofauti za kuifisidi zanzibar ni nyingi sana na ziko dhahiri kwa wengi wa wazanzibari bila ya kuwa na haja ya kuzitaja moja baada ya moja
juu ya kwamba viongozi wa kizanzibari wamepata maafa tofauti kwa kupigania haki za zanzibar maafa na mateso hayo hayajawatisha si viongozi si wataalamu si taasisi wala
wazanzibari wa kawaida
wazanzibari walio wengi wamesimama pamoja na wako imara kulinda mustakbal wa zanzibar bila ya uoga au kujali yatayowafika binafsi
muwaza inapenda kutoa pongezi za dhati kwa wale wote wanayoipenda na kuitetea nchi yao ya zanzibar
khususan viongozi washupavu kama rais mtaafu dr aman abeid karume na maalim seif shariff hamad kwa kuondosha khitilafu za kisiasa na kutetea mustakbal wa zanzibar
muwaza inawapongeza wawakilishi na wabunge wa kizanzibari kwa misimamo yao madhubuti kutetea maslahi ya zanzibar bila ya kujali vitisho vya kina mazengo pinda na samuel sitta
muwaza inawapongeza wanasheria na wataalamu wa kizanzibari pamoja na waandishi wa habari kwa taaluma walio na wanayoendelea kutoa kwa wazanzibar kuhusu haki za zanzibar
muwaza inapongeza taasisi zote ikiwemo uamsho kwa ushupavu wao wa kuelimisha umma wa kizanzibari kutetea haki za kisiasa kiuchumi kijamii na za kidola za zanzibar
muwaza inawapongeza wazee wa kizanzibari akiwemo mzee hassan nassor moyo kwa kusimamia maslahi ya zanzibar na kutokubali kuburutwa
muwaza inawalaani vikali vibaraka na vitimba kwiri wasambazaji wa vipeperushi za kifitina hawa ni wale wale waliopinga maridhiano kutaka watu waendelee kuuwana na kukubali kutumiliwa na bara kwa maslahi yao binafsi
muwaza inawatangazia vita kwa kuwaomba wazanzibari wote wawaandame usiku na mchana na kuwafichua kwa unafiki wao wa kuwasujudia mabwana zao wa bara
muwaza inampongeza waziri mansoor yussuf himid kwa ujasiri na ushujaa wake wa kutetea wazanzibari na rasimali zake na nchi yake kwa ujumla
muwaza inamtupia changa moto rais wa serikali ya maridhiano dr mohammed ali shein achukuwe msimamo wa dhahiri kutetea mustakbal wa zanzibar kutanabahisha na kujitenga na wale wasioitakia zanzibar kheri kwa kuleta fitina ikiwemo ya vipeperushi vya fitina
← wafanyabiashara wadogo wasaidiwe tutunze mazingira yetu →
one response to pongezi za muwaza rivaldo july 22 2011 at 557 pm
reply → muwaza ilikiwa jambo halifnaywa makombozi in hayana maana kelele za chura hazimzui tembo kunywa maji ni maana yamgu kuwa hata tukipiga kelele ni bure tu mana kina samia hawaoni matatizo ya unganiko la vyama vyao ccn tz/smz bure tu | 2017-03-30T20:30:15 | https://zanzibarkwetu.wordpress.com/2011/07/21/pongezi-za-muwaza/ |