Search is not available for this dataset
text
stringlengths 0
186k
|
---|
drc: mwanamuziki koffi olomid ahukumiwa kifungo cha miezi mitatu matukio ya afrika dw 16.08.2012 |
“Kwa hiyo, viongozi wa dini wakipata kalenda ya kilimo cha mazao mbalimbali, watatenga muda wa kuwakumbusha waumini wao umuhimu wa kazi ya kilimo. Nina uhakika wakulima waumini watazingatia muda stahiki wa kila zao kwa ajili ya kupanda mbegu bora. Kwa njia hii kilimo kitakuwa na tija zaidi na kitaharakisha kufikia uchumi wa kati” Dkt. Nchimbi. |
‘yupo humu ndani ya mahakama, ..hajatoka, nahisi yeye |
Specification:Upimaji mbalimbali: 0-100%, Pato signal katika hewa: 10-12mV, umeme Interface: Molex Plug 4P4C |
mixing cialis generic viag http://cialischmrx.com generic cialis mexico. |
mtunzi katumia falsafa nzuri sana!!, read |
Nikajikuta nakuwa kama upepo, nikisikia wanawekeza huku na mimi speed naenda kuwekeza huko. |
Mhadisi Mrope alisema katika kipindi hicho, jumla ya kampuni za ushauri wa kihandisi 279 zilisajiliwa na kati ya hizo, 201 ni ya kizalendo na 78 za kigeni. |
niko dar, tuwasiliane au email, josephy.joh@yahoo.com |
"(4) je, watu wote wanaweza kwenda mbinguni bila kujali uhusiano wa kidini ikiwa kuna dini nyingi zinazoshikilia madai ya kinyume? kwa mfano, vipi kuhusu watu wanaoamini vitu tofauti kabisa kuhusu maisha ya baadaye, kama vile kuzaliwa upya au kuangamiza (yaani, wazo kwamba wakati wa kifo tunakoma kuwepo baada ya kifo)?" |
"""tafiti zinaonyesha kuwa watu wanaokula vyakula vyenye wingi wa virutubisho vya beta-carotene (vilivyomo kwenye maboga) huwa na uwezekano mdogo wa kupata baadhi ya aina za kansa, ikiwamo ya tezi dume na kansa ya mapafu,"" alisema dk. fazel katika sehemu ya andiko lake kwa nipashe ambalo hata hivyo, halikuelezea mbegu za maboga peke yake bali pia na tunda lenyewe." |
“Sisi ndio watu wa Mtwara ni lazima tushirikiane kwa pamoja kuondoa changamoto zilizopo katika elimu ili kupiga hatua, tukitoa michango yetu na shule ikakamilika tutakuwa tumeweka alama,”amesema Murji |
Msaada wa namna ya kuwachanganyia kuku dawa hizi |
bongo facts: may 2013 |
“Ninaamini bado nina nafasi ya kufanya vizuri na kuweka rekodi mpya ndani ya Simba tofauti na wakati uliopita, hivyo mashabiki waendelee kutupa |
maranyingi habari huendana na picha, ili somo hilo la habari liwe zuri na liende sawa maofisa hao pia walipewa mafunzo ya namna ya upigaji picha bora za habari na namna ya kutumia kamera. mpigapicha mwandamizi wa magazeti ya serikali (tsn), mroki mroki alitoa mafunzo hayo kikamilifu." |
the person who made this club should change the pic zaidi ya mwaka mmoja uliopita |
Kaimu Meneja Mamlaka ya Mawasiliano kanda ya Kaskazini Francis Msungu akisisitiza jambo katika mafunzo hayo.Picha na Vero Ignatus Blog. |
11/18/14--02:51: _basata na kituo cha. |
"tanzania inachunguza shambulio la kanisa arusha, wananchi wako ukingoni" |
Ni nani anayeweza kusimama na kuthubutu kukisema chama hiki kuwa hakina mvuto, hali ya kuwa ndicho kinachosikilizwa kimtaje mtu wa kusimama kama mgombea urais? |
"""kikosi cha usalama kiliwasimamisha jamaa wa nsonga walipokuwa tayari wameuweka mwili kwenye meli tayari kuanza safari kuelekea kituo cha senjojo,"" alisema bw original okumu ngamita, mwenyekiti wa parokia ya buhuka." |
kujua uwezekano wa shida hiyo, ni muhimu kudumisha unyevu wa juu kwenye chumba (hasa kwenye siku za moto), mara kwa mara kuosha majani chini ya kuogelea kwa joto, unaweza hata kutumia shampoo au sabuni.katika hali mbaya, ni muhimu kupumzika kwa msaada wa acaricides, lakini baada ya muda, wadudu huwa sugu kwao. |
Lakini, wakati huo huo tunataka kueleza kwamba Mwenyezi Mungu, wa Pekee Ambaye tumeamua kumuabudu na Ambaye tunamwamini, ni huyu huyu ambaye ameumba dunia na mbingu, Ambaye huruzuku viumbe vyote, Ambaye kudhibiti maisha ya viumbe vyote vyenye uhai na Ambaye uwezo wake hauna mipaka. |
Aristotle, Politics, Book one, Sura ya 5 (New York: Modern Library, 1943), uk. |
Kupata vitabu vyote inapatikana kwa namba yako ISBN 9782266262026 Linganisha bei haraka na kwa urahisi na kuagiza mara moja. |
Hatua ya CUF kuchangisha fedha kwa ajili ya Mchakamchaka V4C mpaka 2015 ilifananishwa na kile kilichofanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). |
“Bado kuna kazi ya kubwa ya kufanya ili kuikwamua sekta, lakini pia tukiamua kwa pamoja baina ya serikali na wafugaji nadhani tutakuwa na kipindi kifupi tu cha kufanya mabadiliko makubwa kwenye sekta hii” aliongeza Dkt. |
"alhamis, rais obama alizuru eneo la ground zero lililokumbwa na shambulio la septemba 11 2001 mjini new york , na kuweka shada la maua ikiwa ni kumbukumbu ya karibu watu 3,000 waliothiriwa na shambulio hilo." |
“wakati huo nilikwenda kwenye mdahalo wa wazi pale blue pearl (ubungo plaza). ilikuwa ni mdahalo wa katiba kuanzia saa tisa alasiri mpaka 12:00 jioni, nilizungumza msimamo wa chama changu na kutoa hoja za msingi, niliwashinda profesa ibrahim lipumba na tundu lissu,” alitamba wasira. |
waumini wambanakatika kufuatilia kwa kina sakata |
Inapatikana nadra vitabu, vitabu kutumika na mkono wa pili vitabu vya kichwa "Das Deutsche Reich. |
ndio maana nasema niko tayari kuwaangazia kwa kuwa mimi ni nuru alisikika mwanadada huyo |
oooow for dell inspiron n5040 go to ikopi hiyo link kama ilivyo kisha kaipaste katika address bar hapo itakuja direct page ya drivers za computer yako kwa windows zote. |
Mkuu wa Mkoa ametoa rai hiyo leo mkoani Morogoro alipokuwa akizungumza na mwandishi wa habari hii juu ya maendeleo ya vijana wenye ulemavu waliopo chini ya Mradi wa Uwezeshaji Vijana Kiuchumi (YEE) unaoratibiwa na shirika la Plan International. |
Yona1: 1 Basi neno la Bwana lilimjia Yona, mwana wa Amitai, kusema, |
maswali ya kweli ya dini katoliki follow. 09 aug 2017 05:02, (featured-katoliki). maswali ya kweli ya dini katoliki |
yanga, ambayo ilikuwa haijawahi kuifunga timu yoyote ya misri, imewapa burudani mashabiki waliofurika kwenye uwanja wa taifa, dar es salaam ambao ulishuhudia kikundi cha mashabiki wanaohisiwa wa simba kung'oa viti kabla na baada ya yanga kupata bao. |
"nimepita sehemu fulani, nimeona kuna mzozo eti ni ipi staili nzuri saa ya kufanya mapenzi, kweli hili suala lina mitazamo mingi. mimi na." |
"rais dkt. magufuli ahutubia katika sherehe za sikukuu ya wafanyakazi duniani mei mosi zilizofanyika moshi mkoani kilimanjaro | mtaa kwa mtaa blog |
Kama kweli unatamani kupungua uzito ni vyema pia ukaacha kutumia bia |
"mheshimiwa spika; wizara inafanya kila linalowezekana kuboresha utendaji wa brela na mifumo yake ya usajili wa majina ya biashara, makampuni, alama za biashara na huduma, hataza, leseni za viwanda na leseni za biashara kwa njia ya mtandao. hadi kufikia machi, 2020, wakala imesajili makampuni 7,549, majina ya biashara 12,627, alama za biashara na huduma 1,970, hataza 55, leseni za viwanda 200 na leseni za biashara 9,927." |
Anaongeza kuwa Wizara inatarajia kuimarisha usambazaji wa umeme vijijini kwa kushirikiana na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na TANESCO kupitia miradi mbalimbali ikiwemo mradi wa usambazaji wa umeme wenye msongo wa kilovolti 400 kupitia Iringa, Mbeya, Tunduma hadi katika eneo la Kabwe nchini Zambia. |
"pamoja na yanga kuwasilisha pingamizi la kuwepo mmoja wa wajumbe katika kikao kwa sababu za kimaslahi (conflict of interests), walifahamishwa kuwa kilichopo mbele ya kamati ni mgogoro wa kimkataba kati ya yanga na okwi, na si usajili." |
matumizi yasiyo ya lazima |
na wewe unaweza ukawa too positive to see what is behind the scene! |
duh, kama vipi nipewe changu niondoke..." |
wana jf, poleni kwa majukumu! najitokeza kwa mara ya kwanza kuomba ushauri! nina mpenzi kwa miaka 4 hivi na tuna pendana sana. kwa muda wote huu tulikuwa boy friend na girl friend. mwez uliopita (september) bint alipata ujauzito. kimsing tulifurah sana. niliamua kutuma wazaz wangu wapeleke posa. jambo la kushangaza posa ilikataliwa kwa kuwa mimi na huyu bint tunasali madhehebu tofauti. yeye ni [colour=blue]mabato[/colour] na mimi ni mlutheri. wazazi wake hawataki kusikia lolote kuhusu ndoa japo wanajua binti yao ni mjamzito. bint ananipenda na mimi nampenda pia. naombeni ushauri wadau.click to expand... |
Alisema siku zote kitu cha bure hakithaminiwi, hivyo lazima kila Mwananchi achangie kidogo lakini isiwe bure kabisa. |
"ujumbe wa kipekee wa katoliki open. 28 sep 2017 01:25, (featured-katoliki). ujumbe wa kipekee wa katoliki" |
kwa bahati mbaya sana, badala ya wajumbe wa bunge la katiba kujielekeza katika masuala yatakayoleta katiba bora, wengi wao wamekuwa wakionyesha waziwazi kuwa wanapigania zaidi maslahi ya vyama vyao. |
"conceptually, unajaribu ku argue kuwa equity financing is better than debt financing. lakini umeacha/umeshindwa kudadavua athari za interest na dividend katika muktadha wa kodi. wakati wa kukokotoa kodi interest unayolipa benki ni mojawapo ya exepenses hivyo in a way inapunguza kiwango cha kodi wakati dividend sio expense. na zaidi, katika mfano ulioutoa(wa individual kukopa benki au kutumia pesa yake), interest inayolipwa bank haina kodi ya zuio na hata kama ingekuwepi sio final tax kwa bank wakati dividendvitakuwa na kodi ya zuio na kwa individual itakuwa final tax." |
"mheshimiwa mwenyekiti, tatizo la uhaba wa walimu; naomba tatizo hili liangaliwe sana hasa katika maeneo ya pembezoni ambako hakuna kabisa walimu hasa wa masomo ya sayansi." |
"theresia justin yeye amefurahishwa na taarifa za ujio wa umeme kwenye hamlamshauri yao kwani tangu wapate uhuru hawajawahi kuwa na umeme, zaidi ya watu wenye uwezo kutumia majenereta na wengine umeme wa solar. |
"kupungua na majibu yako ya maombi kuwa mbali. watu ambao hawajaokoka ni maskini wanaohitaji habari njema. yesu aliwahubiria maskini hawa habari njema. ukiziba masikio usisikie kilio chao cha kutaka habari njema, na kuwaacha waende jehanum, wewe pia maombi yako hayatasikiwa [soma mithali 21:13] ukikaa katika mafundisho haya, utajua kwamba mungu wetu yuko karibu mno na anajibu kila tumwitapo [soma kumbukumbu la torati 4:7]." |
Kwamba kuna tofauti kubwa si suala tena.I think kinachogomba ni malengo ya mtoaji.Hongo na Ukarimu vyote ni vitendo vya kutoa differing only in their motives.Tutajuaje hii ni hongo na sio ukarimu or otherwise?Kwa kuwa watoaji hawasemi wazi malengo(na/au husema ni ukarimu wakati ni hongo) kwa kuzingatia timing na mazingira ya utoaji tunaweza sema pasi na shaka ni kipi hasa kinatokea kati ya mawili hayo......hiyo ya Mkwere ni hongo period! |
Mafanikio ya Msuva yanapogeuka changamoto kwa mdogo wake |
min. amri: 123 set/sets |
Lakini kwa mukhtasari ninachoweza kukueleza ni kuwa nyuma ya Nyerere kulikuwa na viongozi "nationalists," kama Sheikh Hassan bin Amir, Hamza Mwapachu, Abdul Sykes kuwataja wachache walioona mbali zaidi na kupanga mikakati ya umoja wa kitaifa kama silaha ya kuushinda ukoloni. |
Shindano la Redd’s Miss Tanzania kwa sasa linadhaminiwa na kinywaji cha Redd’s Original kinachozaliswa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). |
"kama akifanikiwa kutua roma atakuwa amejiunga na mchezaji mwenzake kutoka chelsea, cole aliyesaini mkataba wa miaka miwili na timu hiyo huku ikiwa ni mara ya pili kwa nyota huyo kurejea nchini italia baada ya kuitumikia inter milan kati mwaka 2009 na 2011. |
March 18, 2018 admin UDAKU 0 |
"45,730 16,081 280" |
"3. unakubali kutumia tovuti ya trtvotworld, ambayo inaweza kufikiwa kupitia trt.net.tr au kwa kupitia anwani yake yenyewe, tu kwa madhumuni yasiyokiuka sheria, na si kwa njia ambayo inakiuka au kuzuia haki za matumizi ya wengine.ni marufuku kusambaza kitu chochote kisichofaa au maudhui yoyote ambayo inaweza kusababisha dhiki au usumbufu kwa watumiaji wengine na kuharibu mtiririko wa kawaida wa mazungumzo ndani ya tovuti." |
haya ni maajabu lakini kwa unafiki wa ccm si ajabu... |
"lakini mandara alisema sheria hiyo haikutungwa kwa nia ya kuwaadhibu viongozi wa umma bali kuhakikisha viongozi hao wanatekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maadili ya kiwango cha juu ili kujenga imani ya wananchi kwa serikali . |
"""ni nani mwenye kauli nzuri zaidi kuliko yule anayelingania kwa allaah na akatenda mema na akasema: ""hakika mimi ni miongoni mwa waislamu."" (41:33)" |
alipoulizwa mwalala kama kocha wake tayari anaonyesha kumtupia virago atafanya nini mshambuliaji huyo wa zamani wa sc villa ya uganda alijibu kwa ufupi nitajua kila kitu huko huko dar es salaa |
Katika tukio uwezekano kupata huo wote umoja Gibraltar kivuko tiketi ya bei nafuu katika brosha ya yoyote ziara operator nyingine sisi ahadi kwamba sisi kufanya kazi nzuri ya kuwapiga kwamba bei au kutoa uchaguzi wa kuomba marejesho ya kodi. Kwa kitabu Gibraltar gari na abiria kivuko tiketi tafadhali bonyeza hapa. Wateja Care, Telesales & Wasiliana Nasi Wakati ferryto.com wewe ni uwezo wa kupata kuishi Gibraltar kivuko tiketi bei, kuangalia upatikanaji na kitabu gari na abiria kivuko tiketi kwenda na kutoka Gibraltar saa inapatikana yetu chini bei ya tiketi. Ferryto.com ni sehemu ya ukubwa duniani online kivuko tiketi mtandao wa usambazaji kutoa uwezo kwa kitabu juu ya 80 kubwa ya Ulaya kampuni ya feri ikiwa ni pamoja na Gibraltar na zaidi 1,200 wengine njia ya feri katika Uingereza, Ufaransa, Hispania, Ireland, Uholanzi, Ulaya Mashariki, Mediterranean, Baltic na Afrika Kaskazini. Kwa habari zaidi, majibu ya mara nyingi kuulizwa maswali au kuwasiliana nasi moja kwa moja tafadhali bonyeza hapa. Kuhusu sisi |
wee fikira tu majuzi kikwete amekebehi ujamaa wakati huu ndio mwongozo wa chama chake na imani ya chama inasema - ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru!.. |
nzuri. Inatarajiwa kukamilika katika nusu ya kwanza ya mwaka 2015. Mwaka ujao pia visima virefu vya Kimbiji na Kipera vitachimbwa na Bwawa la Kidunda litaanza kujengwa. |
"katika baadhi ya maeneo, watu huchuja maji kwa kutumia vitambaa safi kasha huyachemsha na kuyahifadhi kwenye vyombo safi. |
(src)=""20.3""> 댓글들은 우려하기도 했다 : |
watoto hao kutoka costa rica hadi ufilipino wamesema jambo muhimu sana kwao ni kuunganishwa tena na familia zao.pia wamesema muhimu ni kurejea shuleni. aidha wamesema kwamba itafaa ikiwa wahusika wataingilia kati ili kutetea haki za watoto hao na kuziimarisha jumuiya za wafanyakazi,za watumishi wa majumbani. |
tehran-raia wawili wa sweden waachiwa huru iran. |
Vijitabu hivi vinasambazwa katika shule za sekondari nchi nzima ili kuwahamasisha vijana wajione kuwa wao wenyewe ndiyo waleta mabadiliko. |
Alisema hayo wakati akizungumza kwa muda mfupi na waandishi wa habari wakati akikabidhi madawati 127 aliyochangia na marafiki zake kwa mkuu wa wilaya ya Chamwino, Dodoma. |
viwanda uzalishaji 1.60 -0.20 13.60 -22.90 asilimia [+] |
hongera dear.mimi nipo nil mpaka sasa |
storage tjoto saa -20 ° c |
tshisekedi na kamerhe wakataa uteuzi wa fayulu kama mgombea wa upinzani drc - afrika - rfi |
Amesema katika eneo palipotokea ajali, kuna vizuizi vya ukaguzi vinne (4) lakini askari hao wa barabarani hawakuona kuwa basi hilo la shule lilikuwa limezidisha idadi ya abiria linaopaswa kubeba huku watoto hao wakiwa hawajafunga mikanda. |
mkuu wa mkoa wa geita,mhandisi robert luhumbi akikagua baadhi ya vifaa ambavyo vilikuwa kwenye sehemu ya chakula(kantine). |
"jinsi ya kupika eggchop. 21 sep 2017 11:24, (mapishinalishe: ). jinsi ya kupika eggchop" |
05/16/17--09:43: _lg electronics set ... |
"kucheza mchezo vita katika iraq online: |
06 May 2019 16:23, 06 May 2019 16:23 ago; msamaha-ndugu,: Ujumbe/ kadi ya salima, kutoka kwa ali makofi,👉soma ujumbe... |
kwa matumizi mengine ya jina hili tazama georgia (maana) |
"""huu uongozi wenu wa sasa ninaupongeza sana, sijui mliuchaguaje, unachapa kazi kweli kweli. ninawaahidi sitawaangusha, ahadi yangu ya kuwaongezea mishahara, kulipa marupurupu na kupandisha madaraja nitatekeleza." |
"lakini ujio wa kundi la tmk wanaume family lililoanzishwa novemba 12 mwaka 2002, ndiyo uliomtambulisha na kumtangaza zaidi na hata kuwafanya wadau wengi wa muziki kumfahamu kuwa ni nani na ana nafasi gani katika muziki wa tanzania. |
uwajulishe watu wake wokovu, katika kusamehewa dhambi zao."" |
bible'mba: 'tompai mumone'mba- |
"kwa nyakati tofauti, redknapp" |
eneo la ihumwa katika mji wa dodoma ni eneo rasmi ambalo limetengwa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya serikali yakiwemo ya wizara ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ofisi za serikali kuhamia rasmi mjini dodoma, kutokana na agizo lililotolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt. john magufuli wakati akiingia madarakani mwezi novemba mwaka 2015, ambapo kwa sasa ofisi mbalimbali za serikali zinafanya shughuli zake katika majengo ya kupangisha. |
Wana Uwezo Wa Ku-Pretend Kwa Muda Mrefu Zaidi Hasa Kwenye Mapenzi. |
matumizi ya matumizi 44258.10 44333.30 44333.30 4470.60 sgd - milioni [+] |
previous articleyalio jiri katika kurasa za magazeti leo novemba 15 |
hata wale waliokuwa wakifanya tafiti za tabia za kibinadamu kulikuwepo na eneo kubwa tena sana tu kwa tafiti hizo. |
Mashambulizi hayo pia yaliyalenga makazi ya jenerali wa zamani wa jeshi, Ali al Kahlani, lakini wakazi walisema hakuna aliyeumia. Mlinzi wa jenerali huyo, Abu Asil al Ziyadi, alisema, "Mwendo wa saa tano mchana kulifanyika shambulizi la kinyama katika makazi ya meja jenerali Ali Mohammed Al Kahlani kutumia makombora mawili. Uharibifu uliotokea kwa majirani ulitokana na shambulizi hilo lakini tunamshukuru Mungu hakuna aliyekufa." |
"nina rafiki wa kike tunafanya nae kazi watu wengi hawaamini kuwa sisi sio wapenzi,ni rafiki wa kawaida tunashauriana,taniana,kula pamoja na hata kuna mara 1 tulisafiri pamoja tukakosa nafasi na kupata chumba kimoja chenye vitanda 2 tukalala pamoja,kila kitu ni akili yako tuu.click to expand." |