Search is not available for this dataset
text
stringlengths 0
186k
|
---|
dar's power blues: how tanesco loses billions jamiiforums the home of great thinkers |
kiukreni karpaty. mountaints katika ukraine. nature. |
tarehe 5 novemba 2015 aliapishwa rais wa awamu ya tano, john magufuli (wa ccm vilevile). |
"'siwezi kuongea na wewe bila kuwemo wakili wangu, unalifahamu hilo.'nikasema" |
Ni hapa iliyokaribia na kupigwa uso kwa uso, na rasilimali zote za sayansi ya kibinadamu na shauku ya mtu ambaye angekuwa fikra mkuu kwa wasomi wengi wa Ulimwengu wa Tatu. |
ubelgiji, england watengeneza historia mpya kombe la dunia |
Inaelezwa kuwa hadi sasa vituo 241 havijafunguliwa kwa sababu ya kushindwa kukidhi masharti ya TRA. Ikumbukwe kuwa Rais John Magufuli aliamua kuiongezea Serikali jukumu la kuhakikisha watoto wetu wanasoma bure kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari, akiamini kuwa Tanzania ina wafanyabiashara wengi na makundi mengine ya watu wenye uwezo wa kugharamia huduma hiyo ya jamii kupitia kodi. |
Washindi wa tamasha la kusaka vipaji vya utangazaji lililoratibiwa na kituo cha redio cha HHC Alive cha Jijini Mwanza. |
"mheshimiwa spika, kwa niaba ya mheshimiwa waziri wa katiba na sheria, napenda kujibu swali la mheshimiwa mohamed omary mchengerwa, mbunge wa rufiji, kama ifuatavyo:-" |
"discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by graph theory, aug 6, 2012." |
"""katika mkoa wa mwanza tutahakikisha hakuna haki ya mfanyakazi inayopotea kwani wafanyakazi wanachangia sana katika kuleta amani na utulivu katika mkoa wetu, kuna baadhi ya maeneo wafanyakazi wanabaguliwa ambapo sio jambo jema kufanya hivyo, katika vikao vyote vya uwakilishi lazima kuwepo na wawakilishi wa vyama vya wafanyakazi ili maazimio ya vikao yanapofikiwa, yawe yanafika sehemu husika nakufanyiwa kazi na kutekelezwa kwa wakati. vyama vya wafanyakazi vipo kisheria kwa ajili ya kutatua changamoto za wafanyakazi. tumuunge mkono rais wetu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli ili tusonge mbele katika maendeleo ya nchi yetu"" amesema rc mongela." |
serikali kupitia wizara ya habari, sanaa, michezo na utamaduni, chini ya waziri wake, mheshimiwa dr harrison mwakyembe, ameipongeza kampuni ya bikosports kwa kitendo chake cha kuidhamini timu ya stand united ya shinyanga kwa sh milioni 100. |
7 jamza fashion kazi za mikono, bed cover, handbags etc. p.o. box 21353, dar es salaam, kinondoni vijana hostel0784 377830 / 2761827. |
Tulipokuwa tukienda hospitali kwa ajili ya uchunguzi, vipimo vilionesha mtoto tumboni hachezi. |
"wema sepetu akana kurudiana na diamond platnumz, aelezea mkali huyo anavyohitaji kumzibia katika mambo yake" |
Kama Mary Damian er en av de eldste, og jeg har ikke noe med meg selv, og jeg er glad for at du er en fan av jentene. Mimi sioni sababu ya neno hili kuhusishwa na dhambi. Wanaolitumia vibaya ni wasiookoka. |
aina ya raspberry hii ina upinzani wa baridi unaojulikana. katika uwepo wa kifuniko cha theluji cha kutosha hata joto kutoka -30 ° c hadi 35 ° c haipaswi kuleta madhara yoyote kwa sahani ya rasipberry. hata kwa kuridhika kwa hali zote za ukuaji, vichaka vitendo havifanyi shina vijana. |
FIFA yataka Niersbach afungiwe miaka miwili 20.05.2016 |
“Huyo bwana naona baada ya kushambuliwa sana aliamua kuwapoza madiwani hao kwa fedha za halmshauri ambazo wao walikuwa wanapigia kelele kuwa zinafujwa, ni sawa na mtu aliyeamua ‘kuwakaanga’ madiwani kwa kutumia ‘mafuta’ yao wenyewe,”anasema kwa dhihaka dhihaka. |
makubaliano hayo, yamewezesha upatikanaji wa zaidi ya dola milioni 11.84 kwa ajili ya kukopesha miradi mbalimbali iliyojikita katika nishati mbadala au kuongeza ufanisi wa upatikanaji au matumizi ya nishati hapa nchini kupitia bank of africa. |
gynectrol kwa ajili ya kuuza |
Wananchi mnaombwa yeyote atakaye baini au kuwa na taarifa ya vitendo hivi kutoa taarifa kwenye kituo chochote cha polisi kilichoko karibu. |
iliyotangulia:kazi ya pepo wabaya ni nini? kazi ya pepo wabaya hudhihirishwaje? |
magazetini leo zenj 3/6/2018. - zanzinews |
naibu katibu mkuu wa ccm bara, rodrick mpogolo, akizungumza na wanachama, viongozi wa ccm kata ya pugu, jimbo la ukonga wakati akiwa katika ziara yake ya kuimarisha chama mkoa wa dar es salaam, jana. mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa check point, pugu. naibu katibu mkuu wa ccm bara, rodrick mpogolo, akizungumza na wanachama, viongozi wa ccm kata ya pugu, jimbo la ukonga wakati akiwa katika ziara yake ya kuimarisha chama mkoa wa dar es salaam, jana. mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa check point, pugu. naibu katibu mkuu wa ccm bara, rodrick mpogolo, akizungumza na wanachama, viongozi wa ccm kata ya pugu, jimbo la ukonga wakati akiwa katika ziara yake ya kuimarisha chama mkoa wa dar es salaam, jana. mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa check point, pugu. wanachama wa ccm jimbo la ukonga wamsikiliza naibu katibu mkuu, rodrick mpogolo,wakati akiwahutubia kwenye ukumbi wa check point jana. |
"kamwe wasingesalimika! na ndio maana nimesema kuwa haya ni matokeo ya irrelevance ya capitalism katika tz na afrika kwa ujumla, na ndio maana una-fail." |
Baada ya hapo nchi nyingi za Umoja wa Ulaya, ikiwemo Ujerumani, ziliitambua Kosovo kama nchi huru. Waziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani wa wakati huo, Frank-Walter Steinmeier, alitoa sababu ya kuchukuwa hatua hiyo kuwa ni imani ya Ujerumani kwamba "kuitambua Kosovo kutakomesha miaka mingi ya ukosefu wa usalama na utulivu. Ni kwa njia hiyo tu ndipo tutaelekea katika mustakbali ulio bora, sio tu kwa Kosovo, lakini kwa eneo lote la Magharibi ya Balkan." |
"''ingawa ameshindwa kununua gari hilo baada ya madiwani kuja juu na kuzima njama zake, ameitia hasara manispaa ya kinondoni ya kiwango hicho cha pesa (sh milioni 9) wakati akijua mali chakavu zinazotakiwa kuuzwa hazistahili kukarabatiwa upya kwa fedha za umma''." |
25 na sulemani akawa na vibanda elfu nne vya farasi+ na magari na farasi+ wa vita kumi na mbili elfu, naye akaviweka vitu hivyo katika majiji ya magari+ na karibu na mfalme katika yerusalemu. |
Hata hivyo, aliiagiza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, kwamba wanapotoa vibali wahakikishe wawekezaji wanafanya tathmini ya mazingira katika eneo hilo. |
"kama wanakuudhi sana si ubadili kijiwe? mshenzi mkubwa wewe, modes mada za kipumbavu kama hizi zinaingiaje humu?" |
pinde huvunwa katika spring, kukata tawi la mwaka mmoja na kisu. urefu - 10-15 cm stalk ina huru kutoka kwa majani, na kuacha 2-4 shina juu. |
"katika kukua kwake, kaseja alisoma shule ya sekondari makongo. alifanikiwa kucheza katika chama cha mpira wa miguu cha makongo dar es salaam. uwezo aliouonesha katika uchezaji wake ulifuatiwa na kuteuliwa kuichezea timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17.[1]" |
Ujumbe wa Kazi: TCDD Nigde Gar Directorate Walemavu Ununuzi wa Ununuzi |
"kocha wa yanga, mholanzi hans van der pluijm nayeb anahitaji ushindi ili kujaribu kuzuia mpango wa mabadiliko ya benchi la ufundi la klabu hiyo." |
[22 / 10 / 2019] taa za trafiki katika maombi ya ankara 'green flash' yameondolewa ankara ya 06 |
"waziri wa maji na umwagiliaji: mheshimiwa mwenyekiti, nashukuru kwa nafasi uliyonipa. kwanza naomba nimpongeze waziri na naibu waziri wa wizara hii nyeti kwa manufaa ya watanzania kwa kazi kubwa ambayo wanaifanya. (makofi)" |
7: austria - inapakana na nchi nane |
jina la bidhaa: sanduku la kwanza la misaada item: cl-fk0005 maelezo: cl-fk0005 sanduku la kwanza la |
"amesema, ""aliniona nafaa ndiyo maana alifanya hivyo. sikuwahi kufikiria kama kuna siku nitateuliwa kuwa mkuu wa wilaya.""" |
"habari kura zaendelea kuhesabiwa sudan aprili 17, 2015" |
Mimi kuthibitisha chini ya adhabu ya kusema uwongo kwamba foregoing ni kweli na sahihi ya bora ya maelezo yangu, maarifa na kuamini. |
fyuuuu zake |
maonyesho ya urembo ni taaluma ya kuheshimika kwa wasichana katika nchi nyingi. hiki ni kisa cha msichana mmoja. |
sasa bofya 'expand widget template' kisha tafuta sentensi hii <data:post.body/> kisha baada ya hiyo, weka code hii: |
"hatua hiyo ni mwendelezo wa waziri mwakyembe kusafisha wafanyakazi wanaojihusisha na vitendo vya ubadhilifu, vinavyokwenda kinyume na jitihada za serikali kutaka trl kujiendesha kwa faida na kuondokana na utegemezi ambao shirika hilo limekuwa mzigo kwa sasa kwa serikali kutokana na ufisadi huo." |
Kwa wateja wa nje ya nchi, tunatumia dawa kwa njia ya POSTA au DHL. |
Tillerson , miaka 65, yuko katika ziara yake ya kwanza ya kidiplomasia katika bara la Afrika, ambako tayari ametembelea Ethiopia, Djibouti, Kenya na Nigeria na Chad. |
ubungo bus terminal ni janga lingine linalosubiriwa kutokea (mungu apishe mbali) na hatari kubwa ni kwamba mabasi na baadhi ya abiria hasa wazee na watoto, walemavu na wagonjwa hawataweza kujiokoa. |
Pamoja na juhudi zake hizo mpiga picha huyo, alikamatwa na walinzi na kuhojiwa. |
posts : 3,157 rep power : |
"[td=""class: fontstyle5""]majira ya joto ni kipindi ambacho vijidudu mbalimbali vya tumboni vinapozaliwa, kwa hiyo majira hayo pia ni kipindi ambacho watu wengi wanapata ugonjwa wa kuhara. katika kipindi hiki, tutawaelezeni jinsi ya kupambana na ugonjwa huo." |
Wasomi wa ukweli chuo kikuu wamemdhihirishiaezea kuwa yeye sio wa kundi hilo. Vipesa vidogo vidogo vinampotezea utu wake? angekuwa binti je? si angesema ana challenge nyingi ndo maana ana watoto tisa kabla ya ndoa. |
katika maisha inabidi uwe mtundu hapa nilikwisha andaa baadhi ya miche kama vile nyanya na miche ya mboga za maboga,,ujanja eeeehhh |
yanga wanakutana na stand united huku wakitaka kuhakikisha wanatoka na ushindi ili kuendelea kuongoza ligi na kutetea ubingwa wao. kikosi hicho kinaingia kambini baada ya mazoezi ya kesho asubuhi. |
"aidha, wapo wanaoziponda kiaina wakisema eti wanaovaa suruali hizo ni vichaa wasafi, kwamba ni sawa na wale vichaa ambao suruali zao zimechafuka lakini zimechanika kwa staili hiyohiyo." |
"mchezo huo uliotakiwa kufanyika februari 18, mwaka huu umesogezwa mbele kuwapisha mabingwa hao watetezi wa ligi kuu 2015/2016 kumaliza mechi zao dhidi ya ngaye de mba ambao utachezwa februari 10 nchini comoro na kurudiana februari 17 katika uwanja wa taifa." |
11. Miaka bilioni moja iliyopita ndio hasa mwanzo wa histiori ya maisha hapa Duniani,kwa vile Dunia ilianza kupoa,na ikawezekana maisha kuanza. Na maish yalianza katika inanda seas,bahari zilizokuwa zinaingia katika katika nchi,ambazo zilikuwa hazina kina kirefu,na ambapo mwangazo wa jua uliweza kupenyeza,na kuvifikia vile viumbe vidogo vilivyokuwepo pale ndani ya maji,viumbe kama amoeba. 13. Hivyo ndivyo maisha yalivyoanza Duniani,viumbe hivi vikakua,viakawa chura,vikatoka ndani ya maji,vikakuwa kuwa aina ya nyani,mpaka baadaye binadamu wakatokea. |
komredi seki kasuga(kulia) mjumbe wa kamati ya utekelezaji ya uvccm taifa akitoa maelekezo ya kazi kwa viongozi na vijana wa ccm. |
afadhali nimedaka hapa unaandika utumbo! ntauhifadhi huu utumbo siku nyingine ukileta yale majigambo yako ya kusema wewe msomi! |
ni mchango kwa waarhirika wa tetemeko la ardhi mkoani kagera, ofisini kwake jijini dar es salaam septemba 22, 2016. |
bochotnica ( bɔxɔtˈnit͡sa) ni kijiji katika poland ya kusini-mashariki kwenye mto wa wisła. |
mimi ni nani (uzuri) ~ light photo studio |
"akizungumzia mashindano ya mwaka huu, mtumwa anasema yatashirikisha timu 24 kutoka katika nchi za kenya, uganda, rwanda, burundi, jamhuri ya kidemokrasia ya congo (drc), zanzibar na tanzania." |
richard edward | 4:39:00 pm | afya |
KIMINI CHA MTOTO WA ASKOFU ni simulizi halisi, ya mambo yaliyotokea katika maisha na simulizi inakusanya matukio halisi ama yanayosimamia ama kujengwa katika uhalisia. |
14yohane alipokwisha fungwa gerezani, yesu alikwenda galilaya, akahubiri habari njema ya mungu, akisema, 15wakati umetimia, na ufalme wa mungu umekaribia. tubuni na kuiamini habari njema! |
"ukweli katika minyororo (imamu ali naqi [a]) | books on islam and muslims | al-islam.org |
mbosso alisema magari hayo yanafanana kwa aina lakini kila mtu ana lake, hivyo watu waache kuongea vitu ambavyo hawana uhakika navyo. |
mpango nakala jina kutoka meza ya muuzaji wakati kujaza katika uwanja muuzaji Hakuna. |
watu wote mliokuwa mnamshambulia zitto kabwe na kumuita mnafiki, mkibadirika na kuwa kama abdul nondo, ccm itakuwa na wakati mgumu sana. |
akiongea kuhusu ofa hiyo, meneja uhusiano wa airtel, jackosn mmbandoalisema” wateja wetu watazawadia unit luku za ziada bure mara tu watakaponunua luku kupitia huduma ya airtel money. tunaamini ofa hii inaendana na mahitaji na mwendendo wa maisha ya watanzania. kwa sasa manunuzi ya umeme kupitia njia nyingine si tu yanaleta changamoto za kusafiri umbali mrefu na kupoteza muda mwingi kupata huduma bali husababisha watu kukaa foleni ndefu kusubiri kununua umeme. leo airtel tunatoa ofa hii kwa wateja wetu na kuwawezesha kununua luku kwa urahisi wakiwa majumbani mwao pamoja na kunawazawadia kwa kuwapatia unit za luku za ziada za bure”. |
Kiungo huo hivi karibuni alitajwa kuwepo kwenye mazungumzo na uongozi wa Simba kwa ajili ya kukamilisha dili hilo la usajili la kuichezea timu hiyo kwa ajili ya kuiongezea nguvu safu ya kiungo. |
"waziri wa fedha wa japani taro aso na mkurugenzi mtendaji wa shirika la fedha la kimataifa (imf) christine lagarde katika mkutano wa mawaziri wa fedha wa kundi la g-7 katika mkoa wa sendai japani. |
2.5 g ya fiber; |
TTT Lines gari na abiria Ferry tiketi |
Wangapi wamewahi kusema uongo? Ulianza kusema uongo ukiwa na umri gani? Unaposema uongo unakuwa unataka kupata vitu kwa njia isiyo halali? Unasema uongo unapotafuta mwenzi wa maisha, kazi, masomo, biashara na nini tena? Uko tayari kuibia wengine kupata kitakachokufurahisha wewe kwa uongo? |
kazi ikaanza mboni masimba anamvalisha t'shirt yenye picha ya mpenzi mpya wa diamond steve nyerere anatunza |
"he's no mandela, he's just a strategic plant by ccm." |
(3) kuendelea kupata sapoti yote ya vyombo vya dola katika chaguzi ikiwemo wakuu wa mikoa, mawaziri, wakuu wa wilaya, wakuu wa polisi, polisi, mgambo, magereza n.k., hapa sijawaweka wakurugenzi wa halmashauri ambao moja kwa moja ndio pia wasimamizi wa uchaguzi, |
moderators mmeunyima mjadala huu profile kwa kuuhamishia habari mchanganyiko wakati mie nilipost jukwaaa la siasa kwa wapiga siasa wenzangu tujadiliane sijui lengo ni lipi au hii kwenu si siasa. mnatuvunja moyo kusaka details hot. |
""baada ya kusikia mlio wa risasi askali waliokuwa doria walifuatilia hadi eneo la tukio na kukuta umefanyika uporaji na kuamua kwenda kuweka mtego katika njia inayovuka kwenda burundi""alibainisha salewi. |
k. o. mbadiwe - former minister of commerce and industry |
mahakama yatoa neno kesi ya wambura" |
habari zinadai kuwa wajumbe wa nec walitaka spika arejeshe kadi ya ccm lakini baada ya kuongea na mwenyekiti wa chama hicho rais jakaya kikwete sitta alilazimika kuomba radhi |
"tumeonja urafiki, ushirikiano na undugu. nani ataweza kuwahesabu wote? mungu anajua na sala za watoto hawa wanaosaidiwa zitamwambia mwenyezi awarudishie mema mengi." |
mkuu wa wilaya ya igunga john mwaipopo amewaonya baadhi ya walimu wenye tabia ya ulevi, utoro kazini na wale wanaojihusisha na mapenzi na wanafunzi kuwa siku zao zinahesabika. kwani tabia hizo zimekuwa na mchango mkubwa sana katika kushusha ufaulu wa wanafunzi shuleni. |
"na kama tutakuta mpaka kwenye rufaa inakuwa kuna tatizo, basi tutapiga kelele sana, hatutakubali kuonewa. hiyo ndiyo tpa ya sasa inayosimamiwa na serikali ya awamu ya tano." |
JE HIYO 0.3-3% LIMEFANYIWA KAZI? Na je baada ya kupanda huko kwa thamani..Nani mfaidika? CCM peke yao ama Taifa kwa ujumla? |
"Pepo wa namna hii hawezi kuondolewa ila kwa sala na kufunga." |
"thenkoromo blog: simba sc ‘imejikosesha’ yenyewe ndayisenga, hakuwa wa dau kubwa |
Mu bapadiri bagarutsweho ni Emmanuel Rukundo wahamijwe ibyaha bya Jenoside mu rukiko rwa Arusha agakatirwa gufungwa imyaka 25 na Joseph Ndagijimana wahoze ari Padiri Mukuru wa Paruwasi ya Byimana mu 1994 na we wahamijwe ibyaha bya Jenoside agakatirwa gufungwa burundu muri 2008. Bombi bari bashyizwe ku rutonde rw’abazakorerwa Yubile y’imyaka 25. |
"novemba 26, 2016 - 12:16 am" |
kalaita ni mwathitika wa operesheni. polisi wenye silaha na mgambo waliingia kwake na kukomba mazizi ng ombe 340 na mbuzi 120 katikati ya eneo la eka zipatazo 70 ambako ameishi tangu 1963. |
44 “baba zetu walikuwa na lile hema la ushuhuda huko jangwani. lilikuwa limetengenezwa kama mungu alivyokuwa amemwelekeza mose, kulingana na kielelezo alichoona. 45 baba zetu wakiisha kulipokea hema kwa kupokezana wakiongozwa na yoshua katika milki ya nchi kutoka kwa yale mataifa ambayo mungu aliyafukuza mbele yao, nalo likadumu katika nchi mpaka wakati wa daudi, 46 ambaye alipata kibali kwa mungu, naye akaomba kwamba ampatie mungu wa yakobo maskani. 47 lakini alikuwa solomoni ndiye aliyemjengea mungu nyumba. |
Wataalamu wa mambo kwenye biashara ya soka wameshapata kiasi kilicholipwa ambapo ni pound milion 3 na Kelechi amesema kwamba anaenda Arsenal kuwa bora zaidi ya sasa. |
waziri ghasia aongoza mazishi ya dc moshi chang’a , spika makinda amlilia asema ndie aliyemnusuru kuangushwa na nccr mageuzi jimboni njombe kusini 1995 |
"(jumla ya maoni: saa ya 216, ziara za 3 kwa siku)" |
full-time assistant lecturers-8 posts and tutorial. |
let's just unite! |